Duhu mtoto ana roho saba huyu sasa yule mtoto wa Fahima ndio ateseke kisa huyu mtoto mama ni mvunjaji majumba na mtoto pia mvunjaji baba kimya walai hawa mwisho
Kubadilika kwa aina gani usemako?kwa maisha haya mnayoishi.Mungu ni mtakatifu usimchanganye na maisha unayotuonyesha ya kulukaluka na mwanao ndo maisha unamfundisha.
Haoo tu paula na rayvan waringe nikwamudaaaa lazmaaaaa wataachan mapenz ya bongo tushaa yazoweya Hata mama ako kaaachan na konde nawew mutaachanaa fata maisha yakoo usione unafatwa kisa uzuri unao wanaume niwatoto wabaya sanaa
Sasa kajala dada angu umevaa tishirt kubwa umelifunga juu tumbo liko wazi kabisaaa mtoto mkubwa basi ungefanya hivyo ukiwa unatoka usiku mwenyewe kuliko hapo mbona uzungu mwingi 🤔🤔
@@shabanmanamba773 @Shaban Manamba uko sahihi lakini Mungu kupitia maandiko matakatifu anatuambia kuwa tuchukuliane mizigo akiwa na maana unapoona mwenzako anakwenda ndivyo sivyo muambie na Kwa majibu yako kwangu inaonekana nimekukwaza sana, Samahani Kwa hilo lakini ukweli utabaki pale pale wewe kama ni shabiki wa ujinga unaofanywa kwenye Mitandao na Hata kama moto huuogopi basi niache na kiherehere changu Pia pengine nilichokiandika kinaweza kumuokoa mtu Kwa namna moja au nyingine. Unapaswa kuacha ukuda Pia kupanic kwenye comment za watu. Lakini Utambue tu Mi na familia yangu hatuwezi kufanya hivyo Vioja kwenye Mitandao ya kijamii Hata kama ninavyo kila siku najifunza vitu chanya sana kwenye Mitandao na kuwaelekeza familia lengo kuu la walioanzisha hii Mitandao ni lipi, Acha kukurupuka kushabikia upuuzi.
Kajala nakupenda sana mm siku yakuonana nawewe mm sijui nitafanya nn nakupenda kajala mm nimama Kama wewe nakula bata nabint yangu nakup enda naandika msg hii mpaka machozi yananitoka natamani siku nikae nawe naiga unavo weka nywele unavoo vaa unaishi nami nafanya hivo ny friend love
Kajala ukibadilika unakua mwanamke mzur Sana muongoze mwanao vizur
Daah
@@husamshorts950 aa
Mitapeli miwili......wana ganzi hao...they don't feel something called love.
Kajala your a great mum....keep doing you😘 Mungu awasimamie
Nawapenda sana kajala na Paula ❤️❤️❤️
Safi kajala, kumbatiana na mwanao hivyo hivyooo kwa kila changamoto wazidi kuona wivuuuu.
Kajala unampenda sana mwanao....ongera sana ishi tu maisha yenu wanadamu ndvyo walvyo hawana pema
Bwana Yesu asifiwe dada
Mapenzi ya mama ni mema kajala na mwanao Paula zidisheni maombi Sana n mshkuruni Mungu
Hata hivo niwakawaida sema ninyi mnapenda sifa kiiilakitu kupost mitandaoni waiii🤣🤣🤣🤣 gonga like kama unakubaliana na mm👍
Kabisa
Huyu dada hata akili hana
@@udaku..travel8506 kabisa badala akasome anahanyahanya huku
Aisee wa kawaid kabis Sema mitandao ya kibongo mm
Kwel wao wenyew ndio wanataka
Kajala uko sawa wote wenye coment nao wana watoto kajala achana nao nakupenda mama wa msimamo mtoto simtumi mm
Chuiii nexti levo misic na ravnnyn
Hongera sana kajala mi nishabiki ako japo mshaachana na harmonize nakukubali sana
Picha inaeza tudanganya kwa rangi all the same she is beautiful
Yes ni mzuri na ana ngozi safi .kuliko zile.editing za insta
Paula congrats kwa kuwa your mam n mamako wa karbu sana
Chuiii nexti levo misic na ravnnyn Chuiii
Mimi sio msanii ila nakuomba Mtoto usimwongoze kisanii mtunze kama Mtoto wakati wake ukiukosea utaujutia.Mungu akusaidie
Mtoto na mama pambeee 🥰😍❤️keep going mama 👌
🥵❤️❤️❤️❤️ my God I love this family kajala be strong
Duhu mtoto ana roho saba huyu sasa yule mtoto wa Fahima ndio ateseke kisa huyu mtoto mama ni mvunjaji majumba na mtoto pia mvunjaji baba kimya walai hawa mwisho
Angependa kuwa mtoto wa kawaida angekuwa.
Anapenda to be on the limelight.
Huyo Paula hamfikii fayma wa Rayvan kiukweli fayma mzuri haswaaa
Ila ana ngozi nzuri sana saaafi
Fayma mrembo
Aaah wapi dada Paula yuko vizuri utakuwa una upofu fayma mfupiiiiii
Bhana wot wazuri sem paula mzuri san kulik fahym faym ni mweup t,,
paula and your mum i love you so much
Acha kumuuza mtoto we mama jimama lenyewe nyooooooooo
Daah mmetisha Sana. Nawapenda Sana🥰🥰
Love you guys
Mzazi ni mzazi tu🥰 Mungu awapitie mbele
Asante Sana kajala kwakuwachamba wambea
Ninakupenda Paula na Kajala from Canada
Kwelii kajalaa anampendaa mtoto wakee 😂😂❤️ Niko na boss wangu yeye na msichana wakee nikama pakaa na mbwaa 😂😂😂
Duh
Akusikie huyo bossi wako, kazi huna
Madam kajala big up sana mamaa uko vizuri
Jamaan chui na tembo mhumarze tofautizenu
Kila.mtu ana njia yake so tusihukumiane nakupenda Paula na kajala..
Mm nawapendaga sana hawa wtu!!
Ni kweliiiiih mm paulah fact
Nawapenda sana Kajala na Paula
Nakupenda sana kajala kutoka rwanda
Safi tufanye kazi tutaheshimika tu barikiwa sana
Nawapenda Sana❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Naweza pata usaidi kule wcb?
Kubadilika kwa aina gani usemako?kwa maisha haya mnayoishi.Mungu ni mtakatifu usimchanganye na maisha unayotuonyesha ya kulukaluka na mwanao ndo maisha unamfundisha.
kweli my dia nakupenda bure
Naona Paula ana anamtumia SMS rayvan njoo huku nipo na mama
Kwakwel
🤣🤣🤣
Nilijua tuuu mtawai
Kajala nakupenda sana
Haoo tu paula na rayvan waringe nikwamudaaaa lazmaaaaa wataachan mapenz ya bongo tushaa yazoweya Hata mama ako kaaachan na konde nawew mutaachanaa fata maisha yakoo usione unafatwa kisa uzuri unao wanaume niwatoto wabaya sanaa
Pole
Kajala Na Paula nawapenda sn kwakweli🥰🥰🥰🥰🥰
Leave kajala and Paula to live their lives!
Aijalishi watakusema nn kipenz Paula mm nakupenda Sana kwanza nataman ata uwe lafiki yangu jamni nivile upo mbali
Nawapenda xana Paula na mama yake
Nawapenda sana kajala na katoto kazuri
Sasa kajala dada angu umevaa tishirt kubwa umelifunga juu tumbo liko wazi kabisaaa mtoto mkubwa basi ungefanya hivyo ukiwa unatoka usiku mwenyewe kuliko hapo mbona uzungu mwingi 🤔🤔
Yan na iko kitovu na kulishushashusha kutwa utafikili alitumwa
@@deelissa2746 Mtihan
Maman ni Maman wallah ona gis wanapendez adi raha yani mwey nawapend adi raha
Mmmh hamna kitu hapa kwa kajala
Jamani akuna mtuu asimpenda mtoto wake ira ndio ivo
Mh Mungu which Mungu who
Hamna Mama apa😌
They are strong
Upo vizulo umewakomesha wambea
Mlee mtoto katika njia ipasayo sisi niwapitaji hapa duniani tusijisahau Leo upo na kesho haupo unajua ataishije na watu wengine
Kumbe Sura za kawaida lakini insta😅😅
Kwanza Paula😂😂😂
Mbona hawa watu kwenye picha wana onekana weupe ila live wanakuwa weusi daaa edita bwanaa hatari
Uyu mtangazaji nampenda bureeeeeee
Paula xhem wetu NLM bhana gonga like apaaa 🔥 🔥
Waaah 🤔
Nawapend bure ❤❤❤❤
nimeipenda hiyo
Did she just apologized for speaking the right Swahili word only to say the wrong one
Nakupenda mama komaa na mwanao
maisha yenyew ndo ayaaya. Kula round kajala Acha mtoto aharakishwe
Kajala lea mtoto vizuri
❤❤❤❤ my god I love you
Ameacha tena kile kitovu chake nje 🙌🙌🙌
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Halafu a nakwambia yeye ni mama bora 😀😀😀
NIPO KENYA NAITWA LAVESH MJUKUU MCHONYI MWENYEW NIKO LIVE NAWATIZAMA MTOTO NA MAMAKE WAMEPENDEZA
Kajala nakupenda wewe mdad
Mtangazaji ana maswali conky🥂
Kama umeona kama mm ista wazungu ila uwalisia wao ndo huu gonga like
Hap wote black nashangaa rang ya mitandao na hii tofaut
mtangazaji makini.
Mama bora si wa vioja mitandaoni bana, mtajikuta mnajuta saaana Ila Mungu anawahusu hasa we Mama.
Kabra ujamfundiaha mwenzio je! Wewe usha fundisha familia yako ama kihelehele kwa wenzenu? Halafu yenu yanawashindika? Akienda motoni siyeye kwani nyie?
@@shabanmanamba773 @Shaban Manamba uko sahihi lakini Mungu kupitia maandiko matakatifu anatuambia kuwa tuchukuliane mizigo akiwa na maana unapoona mwenzako anakwenda ndivyo sivyo muambie na Kwa majibu yako kwangu inaonekana nimekukwaza sana, Samahani Kwa hilo lakini ukweli utabaki pale pale wewe kama ni shabiki wa ujinga unaofanywa kwenye Mitandao na Hata kama moto huuogopi basi niache na kiherehere changu Pia pengine nilichokiandika kinaweza kumuokoa mtu Kwa namna moja au nyingine. Unapaswa kuacha ukuda Pia kupanic kwenye comment za watu. Lakini Utambue tu Mi na familia yangu hatuwezi kufanya hivyo Vioja kwenye Mitandao ya kijamii Hata kama ninavyo kila siku najifunza vitu chanya sana kwenye Mitandao na kuwaelekeza familia lengo kuu la walioanzisha hii Mitandao ni lipi, Acha kukurupuka kushabikia upuuzi.
@@shabanmanamba773 kabisaaa
Huyu Dem ana mdomo mkubwa excess uso artificial sijui Hawa wa TZ wanasema ni mazuri kwanini..
Hata c mzur huyo paula
Mbona povu jingi jmn ila Mungu amuongoze paula bado mdogo sana
Kajala mbona unapenda kutembea na mtoto kwani paula hana marafiki weeeeee🤣🤣😃😃😃
Trend yake hiyo.watu wana hasira nae.watampiga pombe alafu wafanye yao
Hongera
Kajala kwanini unamoyo mkunjufu namna hivo naa unashindwa kumsamehe konde ngeng nini kajala?kamahumpendi siumsamehe yaishe nakama humpendi mwambie levi
Sema uyu Demu simuoni kama ni mzuri kuliko Fahyma
Mzur
Fahyma mzuri bhana
Kajala nakupenda sana mm siku yakuonana nawewe mm sijui nitafanya nn nakupenda kajala mm nimama Kama wewe nakula bata nabint yangu nakup enda naandika msg hii mpaka machozi yananitoka natamani siku nikae nawe naiga unavo weka nywele unavoo vaa unaishi nami nafanya hivo ny friend love
Kila m2 namaisha yake bhana
Hivi hii reality show iliishia wap
na kukubali kajala kinoma,unaongea sana
Jaman mi napenda wanavyoishi
Hakuna kama mama jamani
Namchukia sana kajala
Just
Kwan Paul ni mtoto wa aina gan?
Wametoka Europe mbona kiswahiki cha kizungu
Hiyo ni agement yangu atulie na mambo y mapenzi
Usijali maneno ya watu kajala yao yamewashinda .
Kabisa
Paula ni jina zuri...usilaumu jina lako ila jilaumu tabia zako,,, jitahidi ubadilike My dear
Maadili ya wapi haya Kajala?
Paula
Daaa kapaula kanaongea vizur jmn kapole masikin pole usijute jmn ndy wanadam ata sisi tunasemwa na wasaiz yetu
Hii
cool