EXCLUSIVE: KAJALA AFUNGUKA, PENZI LA PAULA NA RAYVANNY, TATTOO YA HARMONIZE..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 387

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 3 роки тому +54

    Kajala ukibadilika unakua mwanamke mzur Sana muongoze mwanao vizur

  • @nayomi6498
    @nayomi6498 3 роки тому +25

    Kajala your a great mum....keep doing you😘 Mungu awasimamie

  • @rithagoliama2952
    @rithagoliama2952 Рік тому +3

    Nawapenda sana kajala na Paula ❤️❤️❤️

  • @christinammassy1550
    @christinammassy1550 3 роки тому +23

    Safi kajala, kumbatiana na mwanao hivyo hivyooo kwa kila changamoto wazidi kuona wivuuuu.

  • @fatumamakumbuli1199
    @fatumamakumbuli1199 3 роки тому +6

    Kajala unampenda sana mwanao....ongera sana ishi tu maisha yenu wanadamu ndvyo walvyo hawana pema

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Рік тому +3

    Mapenzi ya mama ni mema kajala na mwanao Paula zidisheni maombi Sana n mshkuruni Mungu

  • @evelynsalila9700
    @evelynsalila9700 3 роки тому +79

    Hata hivo niwakawaida sema ninyi mnapenda sifa kiiilakitu kupost mitandaoni waiii🤣🤣🤣🤣 gonga like kama unakubaliana na mm👍

  • @darlinekalisa7114
    @darlinekalisa7114 3 роки тому +11

    Kajala uko sawa wote wenye coment nao wana watoto kajala achana nao nakupenda mama wa msimamo mtoto simtumi mm

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 2 роки тому +1

    Chuiii nexti levo misic na ravnnyn

  • @EmanueliMsaghaa
    @EmanueliMsaghaa 2 місяці тому

    Hongera sana kajala mi nishabiki ako japo mshaachana na harmonize nakukubali sana

  • @sandraechiveraya8570
    @sandraechiveraya8570 3 роки тому +11

    Picha inaeza tudanganya kwa rangi all the same she is beautiful

    • @Paulahkajala
      @Paulahkajala 3 роки тому +1

      Yes ni mzuri na ana ngozi safi .kuliko zile.editing za insta

  • @evelyn5260
    @evelyn5260 Рік тому +5

    Paula congrats kwa kuwa your mam n mamako wa karbu sana

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 2 роки тому +1

    Chuiii nexti levo misic na ravnnyn Chuiii

  • @nurungole3961
    @nurungole3961 3 роки тому +13

    Mimi sio msanii ila nakuomba Mtoto usimwongoze kisanii mtunze kama Mtoto wakati wake ukiukosea utaujutia.Mungu akusaidie

  • @symphonymoid335
    @symphonymoid335 3 роки тому +11

    Mtoto na mama pambeee 🥰😍❤️keep going mama 👌

  • @nass5650
    @nass5650 3 роки тому +23

    🥵❤️❤️❤️❤️ my God I love this family kajala be strong

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 3 роки тому +8

    Duhu mtoto ana roho saba huyu sasa yule mtoto wa Fahima ndio ateseke kisa huyu mtoto mama ni mvunjaji majumba na mtoto pia mvunjaji baba kimya walai hawa mwisho

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 3 роки тому +8

    Angependa kuwa mtoto wa kawaida angekuwa.
    Anapenda to be on the limelight.

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 3 роки тому +11

    Huyo Paula hamfikii fayma wa Rayvan kiukweli fayma mzuri haswaaa

    • @Paulahkajala
      @Paulahkajala 3 роки тому +1

      Ila ana ngozi nzuri sana saaafi

    • @anitakawiru9714
      @anitakawiru9714 3 роки тому

      Fayma mrembo

    • @sarahalfred6279
      @sarahalfred6279 3 роки тому +1

      Aaah wapi dada Paula yuko vizuri utakuwa una upofu fayma mfupiiiiii

    • @tatungole412
      @tatungole412 3 роки тому

      Bhana wot wazuri sem paula mzuri san kulik fahym faym ni mweup t,,

  • @jacobkiio8065
    @jacobkiio8065 2 роки тому +3

    paula and your mum i love you so much

  • @fredyjohn1070
    @fredyjohn1070 3 роки тому +22

    Acha kumuuza mtoto we mama jimama lenyewe nyooooooooo

  • @samsonmsafiri444
    @samsonmsafiri444 Рік тому

    Daah mmetisha Sana. Nawapenda Sana🥰🥰

  • @LilianMalala-z2x
    @LilianMalala-z2x 3 дні тому

    Love you guys

  • @fikfameica8851
    @fikfameica8851 3 роки тому +10

    Mzazi ni mzazi tu🥰 Mungu awapitie mbele

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 2 роки тому

    Asante Sana kajala kwakuwachamba wambea

  • @erickkambula3558
    @erickkambula3558 3 роки тому +7

    Ninakupenda Paula na Kajala from Canada

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane5421 3 роки тому +17

    Kwelii kajalaa anampendaa mtoto wakee 😂😂❤️ Niko na boss wangu yeye na msichana wakee nikama pakaa na mbwaa 😂😂😂

  • @shebymashambo9589
    @shebymashambo9589 2 роки тому

    Madam kajala big up sana mamaa uko vizuri

  • @winifridayustini8509
    @winifridayustini8509 2 роки тому

    Jamaan chui na tembo mhumarze tofautizenu

  • @pendojeremiah9111
    @pendojeremiah9111 3 роки тому +7

    Kila.mtu ana njia yake so tusihukumiane nakupenda Paula na kajala..

  • @sarachambo224
    @sarachambo224 3 роки тому +1

    Mm nawapendaga sana hawa wtu!!

  • @offiallishazzy256
    @offiallishazzy256 2 роки тому

    Ni kweliiiiih mm paulah fact

  • @jamilabeauty1316
    @jamilabeauty1316 3 роки тому +5

    Nawapenda sana Kajala na Paula

  • @mukambanzaamira7283
    @mukambanzaamira7283 2 роки тому +3

    Nakupenda sana kajala kutoka rwanda

  • @izraeltsaxarra2469
    @izraeltsaxarra2469 2 роки тому

    Safi tufanye kazi tutaheshimika tu barikiwa sana

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 роки тому +3

    Nawapenda Sana❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @winspear1295
    @winspear1295 2 роки тому

    Naweza pata usaidi kule wcb?

  • @joshuamwamala4795
    @joshuamwamala4795 2 роки тому

    Kubadilika kwa aina gani usemako?kwa maisha haya mnayoishi.Mungu ni mtakatifu usimchanganye na maisha unayotuonyesha ya kulukaluka na mwanao ndo maisha unamfundisha.

  • @abedsaidy7263
    @abedsaidy7263 2 роки тому

    kweli my dia nakupenda bure

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 3 роки тому +12

    Naona Paula ana anamtumia SMS rayvan njoo huku nipo na mama

  • @ivonesisa5271
    @ivonesisa5271 Рік тому

    Kajala nakupenda sana

  • @zanyah7012
    @zanyah7012 3 роки тому

    Haoo tu paula na rayvan waringe nikwamudaaaa lazmaaaaa wataachan mapenz ya bongo tushaa yazoweya Hata mama ako kaaachan na konde nawew mutaachanaa fata maisha yakoo usione unafatwa kisa uzuri unao wanaume niwatoto wabaya sanaa

  • @tatungeni7588
    @tatungeni7588 2 роки тому

    Pole

  • @chamillairakoze6465
    @chamillairakoze6465 2 роки тому

    Kajala Na Paula nawapenda sn kwakweli🥰🥰🥰🥰🥰

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 роки тому +14

    Leave kajala and Paula to live their lives!

  • @maryammaryam646
    @maryammaryam646 3 роки тому +5

    Aijalishi watakusema nn kipenz Paula mm nakupenda Sana kwanza nataman ata uwe lafiki yangu jamni nivile upo mbali

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 3 роки тому +4

    Nawapenda xana Paula na mama yake

  • @رانيزجاهز
    @رانيزجاهز 2 роки тому

    Nawapenda sana kajala na katoto kazuri

  • @jenifajuma5395
    @jenifajuma5395 3 роки тому +8

    Sasa kajala dada angu umevaa tishirt kubwa umelifunga juu tumbo liko wazi kabisaaa mtoto mkubwa basi ungefanya hivyo ukiwa unatoka usiku mwenyewe kuliko hapo mbona uzungu mwingi 🤔🤔

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 3 роки тому

      Yan na iko kitovu na kulishushashusha kutwa utafikili alitumwa

    • @pamoles1303
      @pamoles1303 3 роки тому

      @@deelissa2746 Mtihan

  • @kadoluxclassic7476
    @kadoluxclassic7476 3 роки тому +5

    Maman ni Maman wallah ona gis wanapendez adi raha yani mwey nawapend adi raha

  • @mariahaling9893
    @mariahaling9893 2 роки тому

    Mmmh hamna kitu hapa kwa kajala

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 3 роки тому +17

    Jamani akuna mtuu asimpenda mtoto wake ira ndio ivo

  • @rachelmliwa9830
    @rachelmliwa9830 3 роки тому

    Mh Mungu which Mungu who

  • @bulldozerpatty9481
    @bulldozerpatty9481 3 роки тому +5

    Hamna Mama apa😌

  • @nyabaplussheila6541
    @nyabaplussheila6541 3 роки тому +2

    They are strong

  • @lilianmashanya1417
    @lilianmashanya1417 3 роки тому +2

    Mlee mtoto katika njia ipasayo sisi niwapitaji hapa duniani tusijisahau Leo upo na kesho haupo unajua ataishije na watu wengine

  • @hawajamila6303
    @hawajamila6303 3 роки тому +5

    Kumbe Sura za kawaida lakini insta😅😅

  • @MiMi-pj2mz
    @MiMi-pj2mz 2 роки тому

    Mbona hawa watu kwenye picha wana onekana weupe ila live wanakuwa weusi daaa edita bwanaa hatari

  • @elizabethmhapa3658
    @elizabethmhapa3658 3 роки тому +2

    Uyu mtangazaji nampenda bureeeeeee

  • @rehematarama9205
    @rehematarama9205 3 роки тому +7

    Paula xhem wetu NLM bhana gonga like apaaa 🔥 🔥

  • @villagegal8520
    @villagegal8520 2 роки тому

    Waaah 🤔

  • @ab3ab313
    @ab3ab313 3 роки тому +4

    Nawapend bure ❤❤❤❤

  • @BlackroseAloryFx
    @BlackroseAloryFx Рік тому +3

    Did she just apologized for speaking the right Swahili word only to say the wrong one

  • @catherinekerobo2569
    @catherinekerobo2569 3 роки тому +1

    Nakupenda mama komaa na mwanao

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 3 роки тому +3

    maisha yenyew ndo ayaaya. Kula round kajala Acha mtoto aharakishwe

  • @robegodana7459
    @robegodana7459 3 роки тому +4

    Kajala lea mtoto vizuri

  • @felixmukolwe1293
    @felixmukolwe1293 2 роки тому

    ❤❤❤❤ my god I love you

  • @happytz2807
    @happytz2807 3 роки тому +3

    Ameacha tena kile kitovu chake nje 🙌🙌🙌

  • @joanperis9335
    @joanperis9335 3 роки тому +12

    NIPO KENYA NAITWA LAVESH MJUKUU MCHONYI MWENYEW NIKO LIVE NAWATIZAMA MTOTO NA MAMAKE WAMEPENDEZA

  • @Sofiasad9659
    @Sofiasad9659 3 роки тому +6

    Kajala nakupenda wewe mdad

  • @ruthkasumba7739
    @ruthkasumba7739 3 роки тому +2

    Mtangazaji ana maswali conky🥂

  • @anoldbakachuba3584
    @anoldbakachuba3584 3 роки тому +1

    Kama umeona kama mm ista wazungu ila uwalisia wao ndo huu gonga like

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 роки тому +6

    Hap wote black nashangaa rang ya mitandao na hii tofaut

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 роки тому +13

    mtangazaji makini.

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 3 роки тому +10

    Mama bora si wa vioja mitandaoni bana, mtajikuta mnajuta saaana Ila Mungu anawahusu hasa we Mama.

    • @shabanmanamba773
      @shabanmanamba773 3 роки тому +1

      Kabra ujamfundiaha mwenzio je! Wewe usha fundisha familia yako ama kihelehele kwa wenzenu? Halafu yenu yanawashindika? Akienda motoni siyeye kwani nyie?

    • @mgallason...5686
      @mgallason...5686 3 роки тому

      @@shabanmanamba773 @Shaban Manamba uko sahihi lakini Mungu kupitia maandiko matakatifu anatuambia kuwa tuchukuliane mizigo akiwa na maana unapoona mwenzako anakwenda ndivyo sivyo muambie na Kwa majibu yako kwangu inaonekana nimekukwaza sana, Samahani Kwa hilo lakini ukweli utabaki pale pale wewe kama ni shabiki wa ujinga unaofanywa kwenye Mitandao na Hata kama moto huuogopi basi niache na kiherehere changu Pia pengine nilichokiandika kinaweza kumuokoa mtu Kwa namna moja au nyingine. Unapaswa kuacha ukuda Pia kupanic kwenye comment za watu. Lakini Utambue tu Mi na familia yangu hatuwezi kufanya hivyo Vioja kwenye Mitandao ya kijamii Hata kama ninavyo kila siku najifunza vitu chanya sana kwenye Mitandao na kuwaelekeza familia lengo kuu la walioanzisha hii Mitandao ni lipi, Acha kukurupuka kushabikia upuuzi.

    • @ezyjob5083
      @ezyjob5083 2 роки тому

      @@shabanmanamba773 kabisaaa

  • @Foot_ball12
    @Foot_ball12 3 роки тому +4

    Huyu Dem ana mdomo mkubwa excess uso artificial sijui Hawa wa TZ wanasema ni mazuri kwanini..

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 3 роки тому +2

    Hata c mzur huyo paula

  • @ayushiashanty9818
    @ayushiashanty9818 3 роки тому +1

    Mbona povu jingi jmn ila Mungu amuongoze paula bado mdogo sana

  • @robegodana7459
    @robegodana7459 3 роки тому +3

    Kajala mbona unapenda kutembea na mtoto kwani paula hana marafiki weeeeee🤣🤣😃😃😃

    • @msuyatztv5201
      @msuyatztv5201 3 роки тому

      Trend yake hiyo.watu wana hasira nae.watampiga pombe alafu wafanye yao

  • @asiliyetu
    @asiliyetu 3 роки тому

    Hongera

  • @Nihorimberefaustin5879
    @Nihorimberefaustin5879 2 роки тому

    Kajala kwanini unamoyo mkunjufu namna hivo naa unashindwa kumsamehe konde ngeng nini kajala?kamahumpendi siumsamehe yaishe nakama humpendi mwambie levi

  • @hassanisadiki824
    @hassanisadiki824 3 роки тому +5

    Sema uyu Demu simuoni kama ni mzuri kuliko Fahyma

  • @aminadotto4512
    @aminadotto4512 3 роки тому

    Kajala nakupenda sana mm siku yakuonana nawewe mm sijui nitafanya nn nakupenda kajala mm nimama Kama wewe nakula bata nabint yangu nakup enda naandika msg hii mpaka machozi yananitoka natamani siku nikae nawe naiga unavo weka nywele unavoo vaa unaishi nami nafanya hivo ny friend love

  • @sandalalutubija235
    @sandalalutubija235 3 роки тому +1

    Kila m2 namaisha yake bhana

  • @KitchenPlusTz-cp4ec
    @KitchenPlusTz-cp4ec Рік тому

    Hivi hii reality show iliishia wap

  • @everlynesalu2955
    @everlynesalu2955 2 роки тому +4

    na kukubali kajala kinoma,unaongea sana

  • @halimamchopa5090
    @halimamchopa5090 3 роки тому

    Jaman mi napenda wanavyoishi

  • @monaidi1232
    @monaidi1232 3 роки тому +3

    Hakuna kama mama jamani

  • @wonderstylish
    @wonderstylish 3 роки тому

    Namchukia sana kajala

  • @elizabethmelkiadi994
    @elizabethmelkiadi994 3 роки тому

    Just

  • @cesyjonathan3038
    @cesyjonathan3038 3 роки тому

    Kwan Paul ni mtoto wa aina gan?

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 3 роки тому +8

    Wametoka Europe mbona kiswahiki cha kizungu

  • @priscillakageha1689
    @priscillakageha1689 3 роки тому +5

    Hiyo ni agement yangu atulie na mambo y mapenzi

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 3 роки тому +11

    Usijali maneno ya watu kajala yao yamewashinda .

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 роки тому +1

    Paula ni jina zuri...usilaumu jina lako ila jilaumu tabia zako,,, jitahidi ubadilike My dear

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 3 роки тому

    Maadili ya wapi haya Kajala?

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 роки тому

    Paula

  • @mariamuomary8373
    @mariamuomary8373 2 роки тому

    Daaa kapaula kanaongea vizur jmn kapole masikin pole usijute jmn ndy wanadam ata sisi tunasemwa na wasaiz yetu

  • @kulway4669
    @kulway4669 3 роки тому

    Hii

  • @mogenesebastien141
    @mogenesebastien141 3 роки тому

    cool