RAYVANNY AFUNGUKA BAADA YA KUTOKA WCB NILIKUWA SIKUTANI NA WASANII WENZANGU DIAMOND TUMEMALIZANA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 62

  • @evodylaurent8349
    @evodylaurent8349 2 роки тому +2

    Utatrend xana iwe kwa uongo ama ukweri but uxijisahau kuna maisha baada ya hapo

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 2 роки тому +1

    Chuii nexti levo misic na ravnnyn Chuiii

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 2 роки тому +4

    Vanny boy 😍♥️🔥🔥🔥💯

  • @stephanosulle5485
    @stephanosulle5485 2 роки тому +8

    Watz acheni ujinga diamond cyo Mungu msipende diamond asujudiwe mashabiki wa wcb acheni na ushabiki mandazi

    • @johnsy_onetz4201
      @johnsy_onetz4201 2 роки тому +1

      Huoni Kama UNACHUKI

    • @stephanosulle5485
      @stephanosulle5485 2 роки тому +4

      Chuki ndo nyie mashabiki wa wasafi mnatengeneza nyie ndo mnaoua mziki wa Tanzania mkiona msanii kakua kaanza kujitigemea mnaanza kutengenezea bifu naye huo ni uxhamba

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 2 роки тому +10

    MEDIA WANAJARIBU KUMCHONGANISHA RAYVANNY NA DIAMOND AU WCB NA SIJUI KWANINI WANAFANYA HIVO

    • @awadhisarai4331
      @awadhisarai4331 2 роки тому

      Ndio maana ina semekana mashabiki,ndio mnachonganisha,huyu ni msani km wengine tu,sasa uko kuchonganishwa diamond ni wp na wp

    • @chibudangote0126
      @chibudangote0126 2 роки тому

      @@awadhisarai4331 SIKILIZA MASWALI VZURI UTAELEWA NINACHOMAANISHA...MEDIA IKIGOMBANISHA WASANII NDO KULA YAO INATOKA HAPO CSE WANAPATA CONTENT

  • @erickjuma5754
    @erickjuma5754 2 роки тому +5

    Mbona umekonda bro

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 2 роки тому +8

    Wcb imekupa muonekano chunga mdomo wako ukiropoka ubata tutakublock ng,ombe ww after miaka miwili ushuke kama chid benz

  • @vanjay8685
    @vanjay8685 2 роки тому +6

    Hizi media zinafaa kuchunguzwa sana...wanaanzisha na kukuza chuki kwa manufaa Yao wenyewe wapate views na pesa bila kujali utu na maafa yake

  • @johnzege209
    @johnzege209 2 роки тому +11

    Media za kibongo hazipo kuwaunganisha wasanii, maswali ya kipuuzi kuulizana Ili ujibu wakunukuu vibaya na vichwa vya habari visivyofaa, fuc*******

  • @nobodyog9512
    @nobodyog9512 2 роки тому

    VannyBoeeee 🔥🔥

  • @abdoulkarimmabulu1416
    @abdoulkarimmabulu1416 2 роки тому +1

    Mashabiki wa WCB Bado tunakupenda Ray huna ugomvi nasi. acana na hizi Media zinazotafuta views na pesa

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 2 роки тому

    Ravnny ngoma.kall sana Chilli NLM NLM

  • @bensongeorge6011
    @bensongeorge6011 2 роки тому

    Sam misago channel sikutegemea😞

  • @beatricekassim6190
    @beatricekassim6190 2 роки тому +1

    siku zote mtu ambae sio muongeaji muogope huwa ni wanafiki sana bora wale waropokaji

  • @abdoulkarimmabulu1416
    @abdoulkarimmabulu1416 2 роки тому +1

    Hajaongea hivyo aceni kuleta ugomvi kati ya Rayvanny na WCB

  • @bennyngoye8707
    @bennyngoye8707 2 роки тому

    HONGERA VANNY BOY,KAZA MZEE NAFASI UNAYO.

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 2 роки тому +9

    Kumbuka ata ulivyo toka kwenu mbeya ulikuwa aujui ata kuvaa kwaiyo unatakiwa kujieshimu sana dogo usiwe msenge sana jalibu ata ayo waandishi wa abari wapelekee ata kwenu

  • @robyjoseph3413
    @robyjoseph3413 2 роки тому +3

    Bado mshamba unaiga unyamwezi😁😁

  • @piusmwakyembe4545
    @piusmwakyembe4545 2 роки тому +1

    Hizi media za uongo

  • @kyungumedardmaurice8321
    @kyungumedardmaurice8321 2 роки тому +2

    Hakuna msani hataenda mbinguni yani wote ni wanafikii

  • @especherathuman2693
    @especherathuman2693 2 роки тому +1

    yaan ananikera na hiko kingereza chake 😒😒

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 роки тому

    Nic thing you do ujuwe lil ommy kwaheli tena

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 2 роки тому

    Hongera

  • @harrunaally8869
    @harrunaally8869 2 роки тому +2

    Mbn vany Kawa m.baya au mach yang t 😂

  • @hadijaabdallah8614
    @hadijaabdallah8614 2 роки тому +7

    Kwamba wasafi mlikua hamkutani na wasanii wengine? Wasafi tour mlikua hamchukui wasanii wengine? Au fiesta inachukua wasanii wote wa ndani?

    • @kathojj789
      @kathojj789 2 роки тому

      Wasafi wanafanya yao pekeyao, ndio maana unasikia Ata mtu akienda kwenye shughuli atalipishwa 😔

    • @hadijaabdallah8614
      @hadijaabdallah8614 2 роки тому

      @@kathojj789 nilikua nauliza zile tour walikua hawakutani na wasanii wengine

  • @simonibonifacemwakaniki3357
    @simonibonifacemwakaniki3357 2 роки тому +1

    Midia msiwechanzo chakugombanishawatu

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana3598 2 роки тому +2

    Hivi vingereza tunavyoiga sasa

  • @MzeeKobe_254
    @MzeeKobe_254 2 роки тому +3

    Hapa amenaswa kama vita kwa WCB!! Anayo safari dogo.. kwani watu ni ishirini na tatu???!!!

    • @juxjemc5768
      @juxjemc5768 2 роки тому

      Brooo dogo akiwa na heshima atatoboa ila akiwa na dharau hatoboi

    • @MzeeKobe_254
      @MzeeKobe_254 2 роки тому

      @@juxjemc5768 kumbuka ni meanakibuli zaidi, kutembea na Mondi, alidhani ako na Michael Jackson… kupanda jukwaa zile kubwa ilikua misheni za kina Salaam, sasa huko Clouds nani atampa mkono!!!

  • @kikundahassani8149
    @kikundahassani8149 2 роки тому +2

    mbona amekonda

  • @miriamcheya3136
    @miriamcheya3136 2 роки тому +2

    Hao mabodgard vp mbona wafupi km yeye ila umekua mwamba pambana

  • @tobynasheimani7969
    @tobynasheimani7969 2 роки тому +1

    Amekunywa kvanty ama😂😂😂

  • @kingungemaster4811
    @kingungemaster4811 2 роки тому

    Walkuwa hawapgi ngoma zake over 5 years ago kasahau tayar Aseee kadunia haka🤣😂 Eti alimis fiesta

  • @fimboezekiel9654
    @fimboezekiel9654 2 роки тому +1

    Ndo kuvimba hvo

  • @ramspelo
    @ramspelo 2 роки тому +1

    Wasanii lazima tukue kifikra .... Safi hii....

  • @mudriqhamidu871
    @mudriqhamidu871 2 роки тому +1

    Mshamba atabaki kuendelea kuwa mshamba t hatabadilika maisha

  • @franz5769
    @franz5769 2 роки тому +4

    Chui

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana3598 2 роки тому +1

    Unity na umoja wasanii wetu bhana🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 2 роки тому +3

    Nilijua tu toka mwanzo huyu dogo ni snitch mkubwa na bonge la nyoka.

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 2 роки тому +3

    Watu wengi wanawatoa watu kimaisha suo mond tu na wanaendelea na maisha yao mengine Sasa nyie mnataka watu waendelee kukaa na Simba kwa sababu gani???ovyo kabisa

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 2 роки тому +3

      Mijinga kama wewe ndo mnapiga piga kelele nani aliwakataza wasiondoke

  • @siphifahashimu9723
    @siphifahashimu9723 2 роки тому

    Pouwa kabisa canny kiumee

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 роки тому

    Huyu ndio chui wazee

  • @northerntanzaniatv4033
    @northerntanzaniatv4033 2 роки тому +1

    Chuiiii kakua sasa

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 2 роки тому +2

    Usiseme umemiss kitu huko hakuna mafanikio kina barnaba mpaka leo hakuna walichoambulia usijisifie ujinga hawana ela hao tena utakopwa kuku wewe

    • @mohammedkazembe7786
      @mohammedkazembe7786 2 роки тому +1

      Acheni wivuu

    • @husseinyusuph5458
      @husseinyusuph5458 2 роки тому

      @@mohammedkazembe7786 wivu iyo clouds ina maajab gan kwamtu kama msanii mwenye Bet nawewe hau hujui mzik ww

    • @mohammedkazembe7786
      @mohammedkazembe7786 2 роки тому

      Wcb MBNA kuna kina lava lava na mbosso hawana maajabu mwacheni chuii afanye yake