Hongereni Jamani nawaombea Kwa Mungu awajalie maisha marefu sana ukoo Wenu na Bibi yetu.Mbarikiwe sana ,Niko hapa Italia nawafuatilia.mimi ni mzawa Wa Tanzania
Jamn Bibi anamjua magufuli alikua akionyeshwa dunia yote alipokufa na Rais mwngne Nyerere ndio anaowajua mama Samia hamjui Wala hajamckia,inabd Mama Samia awatembelee uko king'ori! hongera Bibi MUNGU azidi kukuongezea miaka mingine mingi ukiwa na nguvu na afya tele!nimependa xanaa Bibi na wajukuu mzidi kubarikiwa aswa uyo Halima anabaraka nyingi asee
120yrs nako very strong kuliko wati wa 90yrs she is so beautiful so wonderful may God bless those taking care of her so challenging I miss my grandma atupe siri yakuishi long thanks to God 🙏🏽
mashaallah bibi jaman umenikumbusha bibi angu ukimuuliza miaka yake anasema we mtoto wataka niuliwe akisikia mzee kafa halili ila anaroho mzuri San penda mungu amuweke tunamchoka na tunacheka ila ukimuuz matusi utakula
Duuh. Ukweli bibi alikua mrembo sana. Ila pia very bright ukweli. Kipenzi cha uzazi wake, Tukifuata amri kuu tutapata mema ya nchi. Beloved grandma jmn. Nimempenda sana. Mungu amtunze haloo sana
Miaka 120 yuko mzuri namna hii. Alipokuwa binti c alikuwa moto?? Ndio maana mkuu alikimbilia aisee. Mashallah Mungu aendelee kumtunza na hao wanaomlea Mungu awabariki sana. Kumbukumbu bado ziko vizuri sababu ya matunzo mazuri coz stress pia hupoteza memory hata kwa vijana. Big up family
Tatizo vyakula mtu wangu saivi ukitobowa 40 mshukuru Allah saivi chakula hakina mafuta si kitamu tumejaa magonjwa kitambi gesi sukari moyo kwasababu ya mapenzi na tamaa wanaumme hawana msimamo wannawake hawana kazi kweli kweli
Wanaomuita bibi washa itwa bibi na babu kitambo. Kwa kweli amebarikiwa sana. Mungu atukuzwe sana! Kwa hivyo aliolewa na miaka 30 if the first born was born in 1932? Huenda ikawa!
Kwa hivio siri mtori mimi kuanzia leo mtori ba mimi mimi na mtoro❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ahsante Kwa hii Siri ...120 na yuko mrembo hatarii ebu watuonyeshe picha zake akiwa binti ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Muandishi unamchsha Bibi jaman nakurudirudia maswali, anyway Bibi umebarikiwa sana Mwenyezi Mungu amekubariki sana Amekupa umri,Amekupa uzao ukaona wajukuu ,vitukuu ,virembwe n.kakakupa ufahamu Pamoja na umri huo mkubwa bado uko smart Mshukuru sana Mungu 🙏
Inakisiwa kuwa kula ndizi nimoja ya kuishi maisha marefu an sna ujuzi sans ila Kwa hapa Tanzania inakadiriwa Mkoa WA Kilimanjaro Arusha Ziwa magharibi na Mbeya, Asia ni Cambodia nk
Duh huku ndo kule kushika vema amri ya nne eti waheshimu baba na mama ....ili upate miaka mingi na heri duniani afu bibi alikuwa kifaa kwelikweli mbona hadi leo anaonekana mrembo licha ya umri mrefu
Hongera...ila wako wenye zaidi ya miaka mia vile hawajatangazwa...wilaya ya Rombo wako pia wenye na waliokuwa na umri....baba aliyekuwa anaitwa saronga tarimo wa Mkuu alifariki akiwa na miaka 130 ...mdogo wake wa kike akafariki na 127 na mwingine mdogo wake wa kike alifariki miaka mitatu iliyopita akiwa na miaka 135..na mwenyewe alikuwa anasema hiyo ni michache. Huyu mwanae wa kiume alikataa tusimtoe kwenye mtandao.
Na yule wa Ufaransa aliyekufa jana mwenye miaka 118 maana alijulikana kama mtu mwenye umri mkubwa duniani nafikiri wapo wengi ila wabongo hawajulikani nje ya bongo
Mtangazaji unajitambua kweli ww au basi tu umepewa mike ulishe tumbo,,,,next time ukifanya interview tambua ni mtu wa aina gani unafanya naye na matumizi sahihi ya lugha ili akuelewe pia,,,,''MWENYEZI MUNGU AKUONGEZE UMRI BIBI UISHI ZAIDI YA HAPO''🤲
Usomi ndio huu unaleta ujuaji wa kufa na miaka 70 umekuwa kikongwe. Hawa ambao hawakusoma wanachukua muda mrefu kwakua akili zao zinakuwa hazina mambo mengi.
Mashallah tabaraka llah 🥰 hongereniiiiiii Kwa kazi nzuri sana ya kumlea bibi 🙌🤣 wenye wamependa hiyi interview wagonge like 👇😅 🥰❤️👌
Mungu akutunze Sana bibi
Hongereni wanafamilia kwa kumtunza bibi kwa kiwango cha juu sana. Mungu awabariki nanyi mpate kuishi maisha marefu. Hongera bibi
Hongereni Jamani nawaombea Kwa Mungu awajalie maisha marefu sana ukoo Wenu na Bibi yetu.Mbarikiwe sana ,Niko hapa Italia nawafuatilia.mimi ni mzawa Wa Tanzania
Hongera bibi.mungu akutuze zaidi
Mash allah bibi mzuri kwa sura ...yupo vizur sana
Na faham zake zipo vizur sana
Hongereni kea baraka nyingi kwakumlea bibi huyo
jamani sijabahatika kuwaona bibi zangu nimempenda bibi hongereni sana kwa neema kubwa mliyopewa mungu amtunze
Jamn Bibi anamjua magufuli alikua akionyeshwa dunia yote alipokufa na Rais mwngne Nyerere ndio anaowajua mama Samia hamjui Wala hajamckia,inabd Mama Samia awatembelee uko king'ori! hongera Bibi MUNGU azidi kukuongezea miaka mingine mingi ukiwa na nguvu na afya tele!nimependa xanaa Bibi na wajukuu mzidi kubarikiwa aswa uyo Halima anabaraka nyingi asee
Mama samia hajafanya kitu ndio mana hamjui
Bibi ana hekima jamaaaan❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤eee MUNGU tupe umri mrefu na sisi tukaone uzee wetu
120yrs nako very strong kuliko wati wa 90yrs she is so beautiful so wonderful may God bless those taking care of her so challenging I miss my grandma atupe siri yakuishi long thanks to God 🙏🏽
Very beautiful
mashaallah bibi jaman umenikumbusha bibi angu ukimuuliza miaka yake anasema we mtoto wataka niuliwe akisikia mzee kafa halili ila anaroho mzuri San penda mungu amuweke tunamchoka na tunacheka ila ukimuuz matusi utakula
Hongereni kwa kumlea bibi kwa upendo mkubwa sana
Duuh. Ukweli bibi alikua mrembo sana. Ila pia very bright ukweli. Kipenzi cha uzazi wake, Tukifuata amri kuu tutapata mema ya nchi. Beloved grandma jmn. Nimempenda sana. Mungu amtunze haloo sana
Maisha marefu ni baraka kama zilivyo baraka nyingine.Hivyo utaishi siku tu Mungu alizokupangia tu.Tumshukuru Mungu ktk kila jambo
Mungu mzidishie umri mrefu zaidi hizo ndizo zile baraka za kuona wajukuu vitukuu Hadi vilembwe
Nakuimba Pia MashaAllah🤲🏽🤲🏽♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🎉🎉🎉🎉🎉
Bibi angali n'a ufaamu wote mungu nami ni rehemu niishi myaka hiyi nafurahi sana
Huyu bibi alikuwa nzuri sana. Hapo alipo tu lkn Bado mzurii.
Mungu ampe maisha marefu
Hawa walikula natural food pindi hicho.saivi kutoboa miaka nyingi ni ngumu vyakula vya chipsi kuku
GREAT👌💖LOVE U GRANNY) GRANMA OF ALL😄😆😁👏
Hongera sana kwa familia nimempenda bibi ajibu vizuri sana mungu aendelee kumlinda
Miaka 120 yuko mzuri namna hii. Alipokuwa binti c alikuwa moto?? Ndio maana mkuu alikimbilia aisee. Mashallah Mungu aendelee kumtunza na hao wanaomlea Mungu awabariki sana. Kumbukumbu bado ziko vizuri sababu ya matunzo mazuri coz stress pia hupoteza memory hata kwa vijana. Big up family
Tatizo vyakula mtu wangu saivi ukitobowa 40 mshukuru Allah saivi chakula hakina mafuta si kitamu tumejaa magonjwa kitambi gesi sukari moyo kwasababu ya mapenzi na tamaa wanaumme hawana msimamo wannawake hawana kazi kweli kweli
Mw Mungu awajalie heri ya miaka mingi dunia wazaz wangu walez wangu ndugu jamaa na marafiki Amiina . Hadi raha jamn
Mashaallah
Bibi hongera sana .nakuombea misa .Mungu akupe afya njema
Mashaallah mungu kwema lakini na famila yake kwa kumtumza bibi .
Bibi yuko vizuri kabisa,yuko na nguvu ijspokua umri umesonga sana lakini anajielewa sana, naomba MUNGU anipe maisha marefu kama yeye
Wanaomuita bibi washa itwa bibi na babu kitambo. Kwa kweli amebarikiwa sana. Mungu atukuzwe sana! Kwa hivyo aliolewa na miaka 30 if the first born was born in 1932? Huenda ikawa!
Hongela sana bb Mungu akujaliye uingiye miaka 121 hongela sana bb Amen 🙏🙏🙏 💕💕💕
Hongera sanaa bibi mungu azidi kukutangulia akupe maisha mazuri wakutunze vizur hadi raha tuhombe he na sisi
Allah amzidishie umri,na mama yangu Allah ampe umri mrefu wenyekheri
Hongera sana na mungu azidi kutunza bibi
Kwa hivio siri mtori mimi kuanzia leo mtori ba mimi mimi na mtoro❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ahsante Kwa hii Siri ...120 na yuko mrembo hatarii ebu watuonyeshe picha zake akiwa binti ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Mungu awatangulie sana
Hongera bibi mungu akitunze
Muandishi unamchsha Bibi jaman nakurudirudia maswali, anyway Bibi umebarikiwa sana Mwenyezi Mungu amekubariki sana Amekupa umri,Amekupa uzao ukaona wajukuu ,vitukuu ,virembwe n.kakakupa ufahamu Pamoja na umri huo mkubwa bado uko smart Mshukuru sana Mungu 🙏
Mungu. Akupe. Umri. Mrefu. Bibi
Bibi mnamuona mpaka Sasa ni mrembo Anawaka je Alipokuwa mschana Alikuwaje
Waooooh 😍❤️
Bibi yetu hongera sana mungu azidi kukuweka bado tunnakupenda tunakuhitaji
Hongera bb napia wanafamilia hiyo hongereni san
Hongera familia kwa kumwangalia bibi mwenyezi mungu amlinde
Up❤❤
Roho nzuri aliyonayo ndio imemfanya Mungu amubariki kuishi miaka 120 na akiwa bado na akili timamu, wengine miaka 70 tu akili umeshaanza kusahau.
Kamjua Magufuli 😢😢
Bibi ana nichekesha aseme sikuizi simunatumiya madawa kieeeeeee cheko Sana mungu awenawe siku zote bibi
Safi sana hapa Kongo Kuna patikana mzee anayo 144kongo
Mashaallah Allah aendelee kkukuweka bibii
Hongera Bibi yangu wa kingori
Masha allah bibi bado anakumbukumbu
Inakisiwa kuwa kula ndizi nimoja ya kuishi maisha marefu an sna ujuzi sans ila Kwa hapa Tanzania inakadiriwa Mkoa WA Kilimanjaro Arusha Ziwa magharibi na Mbeya, Asia ni Cambodia nk
Mungu akutunze bibi🙏
Maashalla maashalla mzuri sana
💪💪💪💪💪💪💪👍👍
Nimempenda bibi, ana kumbukumbu sana kulingana na umri wake, ni mzuri na anaonekana alikua mrembo hasa na ana upendo 🥰🥰🥰
Humeonae hadi raha mungu amtangulie
Jamani.nani kwenye familia hiyo atafikia hivyo.mungu akutunze bibi.
Mimi mama yake na bibi yangu mpaka leo yupo anamiaka 132 sasa
Kijiji gani tuje
Yupo kweli wewe Neema unatania au?
Alhamdulillah mungu ampe Umri Mrefu Amiiin 🤲
Hapo alipo apewe umri mrefu tena sema apew6e mwisho mwema nahuko anakokwenda
@@ukhtyrayyan7884 amiiiin
Bibi nimrembo na ni mstaarabu sana ni dhahabu wallahi
Watanzania wengi sana Wana umri mkubwa Ila wazungu hawapendi kusema waafrica kwa uzuri
Huyo ni zaidi ,hongera
MashaAllah ❤ halafu bb bado anaufahamu, Allah aimarishe afya yake
Mrembo mpka leo bibi maa shaa Allah
Kuninchiwe mbora bibi🥰
MashaAllah tena kumbu kumbu pia anazo
Hongera saana kwakufika salama umri huo bibi so hata Mimi bibi angu alikufa mwaka Jana akiwa na umri wa miaka 130
Jamani
Hatimaye Leo tumeagana na Bibi yetu😢
Wapo zaidi ya 120 nje ya Tanzania
Nampenda sana bibi stori zake kama mtoto jamani
Hakika nimempenda bibi jamani ❤❤❤❤
Mungu azidi kukupa kumbukumbu bibi,Mungu mkubwa
Sema nini hii familia wazuri wa sura kwakweli alafu wanampenda sana huyu mama yao 🥰
Hao ni wajukuu sio watoto wake
Duh huku ndo kule kushika vema amri ya nne eti waheshimu baba na mama ....ili upate miaka mingi na heri duniani afu bibi alikuwa kifaa kwelikweli mbona hadi leo anaonekana mrembo licha ya umri mrefu
Ezi zake alikuwa mzuri sana
Hata hivyo wameru wazuri wa sura sana
@@sashahauke2032 sio kwamba ni weupe sana?
Maendeleo ya hii video iko wapi video nzuri sana
we kuna bibiangu ana miaka 137 sema tu huko bushi hakunaga Media na kunawengine wamemzidi bibi hio miaka
Niyakweli hayo
NAAMINI KWELI.
@@missmoona4497 KUNA WENGINE ZAIDI YA HIYO.
@@salimmalaka256 waleteni jamani kivutiohicho
Naomba tuje kwenye birthday jaman mwandishi tag mtu moja kwenye familia atupe update
Anaona
Mi mwenyewe bibi nakulaga makande tutakuja kula pamoja 😂
Hongera...ila wako wenye zaidi ya miaka mia vile hawajatangazwa...wilaya ya Rombo wako pia wenye na waliokuwa na umri....baba aliyekuwa anaitwa saronga tarimo wa Mkuu alifariki akiwa na miaka 130 ...mdogo wake wa kike akafariki na 127 na mwingine mdogo wake wa kike alifariki miaka mitatu iliyopita akiwa na miaka 135..na mwenyewe alikuwa anasema hiyo ni michache. Huyu mwanae wa kiume alikataa tusimtoe kwenye mtandao.
Nimempenda bibi. Mungu akupe afya njema
Mrembo mwenzangu, ulikula Nini, ukaishi miaka mingi hivi, nami niishi kama wewe. mrembo kweli.😂😂😂😂😂😂😂🤭🥂
Mtangazaji wapime watu na ufahamu wao usiende speed sana huyo ni mzee.
Kuna kinyanya uku Kenya ako na miaka 126
Na yule wa Ufaransa aliyekufa jana mwenye miaka 118 maana alijulikana kama mtu mwenye umri mkubwa duniani nafikiri wapo wengi ila wabongo hawajulikani nje ya bongo
Mashallah lakini hapa Niko Ako na Miata 130
" Mimi napenda kutumia githeri, ucuru,.."Huyu bibi kwani ni mkikuyu wa Kenya? Infact anaongea kikikuyu! ✍️🙄
Maa Shaa Allaah.
Huyo anayemsaidia kujibu ni mjukuu au mtoto wake?
Mjukuu
Mjukuu wake
Mbona huyo mke mwenzie amenuna
Kama amezaa mtoto wa mwisho mwaka 1958, yaani miaka takriban 65 iliyopita, ina maana alizaa akiwa na umri wa miaka 55. Maajabu mengine.
Yaani ni mzuri kama bibi yangu na yeye amefariki na Miaka 125 akiwa hahapoteza kumbukhmbu
Mtangazaji unajitambua kweli ww au basi tu umepewa mike ulishe tumbo,,,,next time ukifanya interview tambua ni mtu wa aina gani unafanya naye na matumizi sahihi ya lugha ili akuelewe pia,,,,''MWENYEZI MUNGU AKUONGEZE UMRI BIBI UISHI ZAIDI YA HAPO''🤲
Wazee wengi zamani hawakusomaga
Kamtaja upesi Halima inaonyesha ndio mwepesi wake.
Bibi bado Mrembo aiseeee
Sanaaaa. Mie miaka 40 Nisha zeeeeka🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa 😍
Bibi yetu tumemzika mwaka Jana alikua anamiaka 107 maeneo ya kisamo old Moshi
Ndumi iruva awaninge mbora Nini den na masaa Anu akwenjerie
Kweli Magu alikuwa kifaa dah hadi bibi anajua ubabe wake 😄😄
KIJANA HUYO ANATEMBEA NA ANASIKIA NA ANAONGEA.
Yani mimi sina hata bibi mmoja pande zote 😢😢🙆🏽♂️
Hata mimi
Mi sina hata babu sikuwahi hata kuwaona
Pole
@@lusilatemu7099 Asante dear
@@tausir.mgeleka1433 Wee aha mimi mpaka najiuliza ni kwa nini jaman yani woe siyo bibi siyo babu wote wameenda☹😭
Hadi raha harafu ukipata watu wa kukutunza inapendeza pia alikuwa mrembo
Sema huko ila huku yuko mwenye miaka 135 tena hapa mbeya
MashaAllah anaonekana alikuwa mrembosana
Usomi ndio huu unaleta ujuaji wa kufa na miaka 70 umekuwa kikongwe. Hawa ambao hawakusoma wanachukua muda mrefu kwakua akili zao zinakuwa hazina mambo mengi.
,🤣🤣🤣