Jamani nimewapenda nyie watu. I wish ningekua na wazazi wangu, bibi nk. Loool nimewapenda sana nyie watu mmenikumbusha mama yangu alikua akisisitiza upendo. Aisee Mungu awatunze jmn nyie. Bibi mzuriii nyie anasisitiza amri kuu ya Yesu 😘 Duuh sweet grandma jmn
So you want to tell us this woman got married at age thirty??????? . Am doubting this because during those days, they were not schooling and girls got married at an early age! I deeply feel there might be some exerggaration on her age. Most likely she is around 110 years not 120.
Huyu mke mwenza mbona anasema hakusoma mimi naona kuna ishara ya kuwa alisoma? anajieleza hadi raha na bibi aneacha wosia mzuri siyo kwa wanae tu bali na huku kwangu nimejengeka. Mungu aendelee kumtunza.
Kweli dunia ilianza na watu wawili, unaona Bibi ni mmeru lakini analandana kabisa na Mchagga, hakubatizwa hapo awali kisha baadae akawa mkristo lakini kizazi chake wapo wakristo, Waislamu, wameru, Wamaasai, hii inafikirisha sana ukiitafakari kwa utulivu!
Mmmh uke wenza ni uke wenza uleule, kama ulikua ni mzuri sasa haya ma balaa tunayo yasikia yametoka wapi kama sio Urithi wa walio tanguli? Sema tu wapo wanawake wamefundishwa na kuandaliwa na maisha hayo ndio unakuta hakuna misuguano,
Hastahiki kutozwa Kodi tena huyu Nini badala yake inafaa serikali imtambue, imthamini na imlee kwa kumpatia" PENSHENI YA MAISHA" Ianzishwe" PENSHENI YA MAISHA" kwa watu maalum Kama hawa. NI heshima na fahari kubwa kwa Taifa.
Wau Masha’Allah na still anakaa mtu wa miaka 80 na mpaka anaongea vizuri ako na kumbukumbu ako na meno macho,Mungu anijalie nifike hata 75
Unasema hata sabini na tano weka imani usiseme hata sema zaidi ya..
Na mimi mungu niwezeshe nifike myaka 120 yesu niwezeshe nakuomba
Maisha ya zamani yalikuwa raha sana inagine mke unatoka unaendachukua mke mwenzako. No roho mbaya wala magomvi wanaishi peace kabisa. THOSE DAYS 💪👍
Jamani nimewapenda nyie watu. I wish ningekua na wazazi wangu, bibi nk. Loool nimewapenda sana nyie watu mmenikumbusha mama yangu alikua akisisitiza upendo. Aisee Mungu awatunze jmn nyie. Bibi mzuriii nyie anasisitiza amri kuu ya Yesu 😘
Duuh sweet grandma jmn
Mash allah huu ukoo mzuy sana wanapendana na wana umri mrefu wa kuishi
Bi Halima 1954 Mtoto wa Chama Cha Tanu Huyo 👏👏👏👏👏
Aaaamen, kweli Mungu ni mwema asante kwa ajili ya hii Familia 🙏🙏
Hii familia ni Kubwa sana aisee 😁🥰 watoto wajukuu vijukuu na nini na nini na wote wapo sisi wengine tuna wazazi tuu hata babu na mabibi hatuna 🤔
Yote ni ya mungu kuna ambawo hata waliowazaa hawajapata kuwaona . Mungu ndiye anaefanya vile atakavyo pôle
Bibi ni mtu mweye busara n'a hechime . Mungu akubariki🙏🙏🙏
Awesome mashalllah nyie bado Yupo. Vzir bibi
maa shaa Allah
Abarikiwe daima jamani historia nzuri kweli
Mashaa Allah
Huyo bibi hana miaka 120 kwa sababu watoto walizaliwa mwishoni mwa 1930's,
Mashaallah bibi ananguvu zake
Mama kijana watoto wazee
Bado mrembo
Jamani nimempenda Sana Bibi yangu king'ori ni nyumbani kwetu jamani
Mashaallah mashaallah
Ooooooooo jamaniii anakula nini atuambie na Sisi jamani 😂
Mwenzangu asili imeisha. Ss hivi artificial sana. Mungu atutunze
So you want to tell us this woman got married at age thirty??????? . Am doubting this because during those days, they were not schooling and girls got married at an early age! I deeply feel there might be some exerggaration on her age. Most likely she is around 110 years not 120.
Huyu mke mwenza mbona anasema hakusoma mimi naona kuna ishara ya kuwa alisoma? anajieleza hadi raha na bibi aneacha wosia mzuri siyo kwa wanae tu bali na huku kwangu nimejengeka. Mungu aendelee kumtunza.
Kweli dunia ilianza na watu wawili, unaona Bibi ni mmeru lakini analandana kabisa na Mchagga, hakubatizwa hapo awali kisha baadae akawa mkristo lakini kizazi chake wapo wakristo, Waislamu, wameru, Wamaasai, hii inafikirisha sana ukiitafakari kwa utulivu!
Bibi yupo vizuri
Waandishi hawa 2023towa 1938 unapata 120 kweli?
Ni miaka 85 tu wacheni uwongo
1902 kazaliwa
Mke mwenzie ndiye mwenye hiyo miaka ya 120 , bibi anayeongea yuko na 85
Elewa b4 commenting badly
Mwenye miaka 120 sio uyu ni yule mzee sana kuwa mwelewa
sikiliza mwanzo hadi mwisho utaona huyo mwenye miaka 120
Maashallah
Wana upendo wa dhati kweli mashaallah
Mashaallah
MUNGU APE MAISHA MALEFU
Bwana Yesu asifiwe sana
Bado anakumbkumb vzr tu🥺.huyo bibi mzee alikua kisu balaa kama n mzee lkn bado anawaka tu ilikua pc asee
Enzi hizo uke wenza ulikua mzuri
Mmmh uke wenza ni uke wenza uleule, kama ulikua ni mzuri sasa haya ma balaa tunayo yasikia yametoka wapi kama sio Urithi wa walio tanguli? Sema tu wapo wanawake wamefundishwa na kuandaliwa na maisha hayo ndio unakuta hakuna misuguano,
Jeneration yake ngap
Mungu ni mwema
Wow congratulations
Zamani walikuwa wana owana kwa ndoa za kimila kumbe
Hiyo ipo Mpaka kesho sio jambo jipya hilo ndugu
Mpaka sasa
Wa toto wamezeeka kuliko Mzazi wao
Hata bib yangu na babu jaman mmoja ana 125 na mwingine 120 na wako vizur tuu.
I doubt that age of your grandparents. Mtoto wao wa kwanza ana miaka mingapi?
Yaani ninapoona mtu anishi miaka mingi kwangu ni faraja kubwa.
Bado anaakili kbsa uyu bibi
Hastahiki kutozwa Kodi tena huyu Nini badala yake inafaa serikali imtambue, imthamini na imlee kwa kumpatia" PENSHENI YA MAISHA"
Ianzishwe" PENSHENI YA MAISHA" kwa watu maalum Kama hawa.
NI heshima na fahari kubwa kwa Taifa.