D voc janja mjue ametoka katika mziki wa singeli pia anatuone shea upande wake mwengine jama anajua sana tuache midomo mond kamwaga mpunga apo wewe sio mjinga D voc ❤
Kuandika melody sauti mishairi dvoice awezi kushindana na ibraah dvoice yuko wcb so number zake zitakua juu ibraah angekua wcb trust me ibraah angekua mbali sana ibraah ana kipaji ila huu mwaka ndo kaanza kuchangamka lakini kama unaujua mziki uwezi mshindanisha na dvoice muimba singeli wtf
@@juniorog205 Hamna mambo ya lebo. Kwanza Ibraah kachelewa sana. Mbona wengi tu wako nje ya lebo Wana melody nzuri wanajua kuandika na wamefanikiwa kimziki Kwa mda mchache tu? Huyu ama vyote na Yuko chini ya lebo na ameshindwa kutoboa?
@@michaeljuma254 nani nitajie uyo mi nakwambia huu mwaka ndo namuona ibraah kuchangamka yani ndo kama anaanza na we apo kama unaumjua mziki dvoice ukitoa number labda amfikii ibraah kwa lolote pure music Ivyo kwa kina lody music lody music ni talented sema tu uongozi mzuri hana ila hanstone pia mziki anaujua so kama kweli unaujua mziki man awa wa tatu uwezi uka wacompare na dvoice man
@@michaeljuma254 kwanza uwezi ata macvoice Iko vizuri sema lebo jama yuko kimya kaaa mwaka ivi bila kutoa nyimbo dvoice Numbers zake zitakua zaidi ya awa wengine ila dvoice ukimsikiliza vizuri utagundua jama hana melody mashairi sio kiivyo tuseme akiiimba singela itakua unyama zaidi
D.vois anarudisha pesa mauzo yana jieleza kwaiyo atuna Shaka nae atabadilika zaidi na zaidi wcb atujawai kosea na d.vos atamuelewa tu kwakua anajua sana
Mm ni Wcb kabla ya vany boy upande wangu Hapo SIMBA amejichanganya lebo kubwa hio D voice ni hasara kibwa sizani simba analiona hilo hapo ni hasara amna maaajabu😭😭
Mziki saa hii umebadilika, kitambo ukisainiwa Tu na label kubwa ulikuwa tayari ww n star. Saa hii mashabiki wanaskiza mziki mzuri na ndo maana marioo, jay melody, dayooh, kontawa na wasanii wengine wasioko katika label wanafanya vizuri. Kama hauna talent hata usainiwe n KAZI bure
Mbona harmonize anawasumbua sana ? Mkiwa na jambolenu mpaka mumtaje harmonazi ? Mbona mwanzoni wewe middle Simba ulisemaga eti dvoici anamshinda harmonazi ?ndomana najisemeaga iyo redio yako niya diamond na ndomana ni meddle Simba kwasababu diamond anajihitaga SIMBA !! Naelewa kabisa mbona mnashindwa kurudisha millioni mia sita ?
Di voice ni mkalli sanaaaa❤❤❤❤
D voice ni mkali ako sawaaaa
D voice ni msani mzuri
D voc janja mjue ametoka katika mziki wa singeli pia anatuone shea upande wake mwengine jama anajua sana tuache midomo mond kamwaga mpunga apo wewe sio mjinga D voc ❤
Wasiolewa ipo siku watakuja kuelewa! BD mapema Sana. Ila Ukwl n kwamba D'voice is very talented.
Sana
Tuletee facts ya comparison ya Ibraah, Yammy, Mac voice pamoja na D-voice alafu utajua ni Kwa nini D-voice atakua mkubwa kuwashinda hao.
Asante Kwa kumwambia asante sana!
Kuandika melody sauti mishairi dvoice awezi kushindana na ibraah dvoice yuko wcb so number zake zitakua juu ibraah angekua wcb trust me ibraah angekua mbali sana ibraah ana kipaji ila huu mwaka ndo kaanza kuchangamka lakini kama unaujua mziki uwezi mshindanisha na dvoice muimba singeli wtf
@@juniorog205 Hamna mambo ya lebo. Kwanza Ibraah kachelewa sana. Mbona wengi tu wako nje ya lebo Wana melody nzuri wanajua kuandika na wamefanikiwa kimziki Kwa mda mchache tu? Huyu ama vyote na Yuko chini ya lebo na ameshindwa kutoboa?
@@michaeljuma254 nani nitajie uyo mi nakwambia huu mwaka ndo namuona ibraah kuchangamka yani ndo kama anaanza na we apo kama unaumjua mziki dvoice ukitoa number labda amfikii ibraah kwa lolote pure music
Ivyo kwa kina lody music lody music ni talented sema tu uongozi mzuri hana ila hanstone pia mziki anaujua so kama kweli unaujua mziki man awa wa tatu uwezi uka wacompare na dvoice man
@@michaeljuma254 kwanza uwezi ata macvoice Iko vizuri sema lebo jama yuko kimya kaaa mwaka ivi bila kutoa nyimbo dvoice Numbers zake zitakua zaidi ya awa wengine ila dvoice ukimsikiliza vizuri utagundua jama hana melody mashairi sio kiivyo tuseme akiiimba singela itakua unyama zaidi
D Voice sio wa kuchezea mpeni muda tu mtakuja kumuelewa, ila Mondi hakukosea kumsaini dogo.
D voice n mkali sana
Kwangu ni ya kwanza wcb
D voce
That's true Hana level. Ingekuwa hâta Chinga
Ndio maana amesainiwa ili aweze kufika mbali sio kutafuta ambao wamejipata kama Mario j melody na wengine
Nc
D voice yupo Sawa bhana mm namkubali Sana
D.vois anarudisha pesa mauzo yana jieleza kwaiyo atuna Shaka nae atabadilika zaidi na zaidi wcb atujawai kosea na d.vos atamuelewa tu kwakua anajua sana
🎉D voice ni mnyamwezi
WACHANENI NA MAMBO YA WBC TAFADHALI! TUNAJUA TUNALOLIFANYA
Mm ni Wcb kabla ya vany boy upande wangu Hapo SIMBA amejichanganya lebo kubwa hio D voice ni hasara kibwa sizani simba analiona hilo hapo ni hasara amna maaajabu😭😭
@middle simba Mr love bite alipotelea wapi
D voice ni mukali tena anaimba vizuri sana mimi binasi namukubali
D voice ni mkali saana hata kumliko ibrah
D voice yani ashituwi hata kidogo
D voice ndo Simba wa mpili💪
Kwakweli uyo hatoshi walikulupuka Hana tofauti na lavalava
Nilijua tu Lazima atajwe Harmoniz humu ndani
Auko poa sana
Apo nikweli
Mbuyu ulikuwa kama mchicha nyie mlitaka mchicha uwe kama mbuyu😂
D voice 4life
D, voice ninoma
anafaa sanaa tena yupo pw mdogo wetu
Ndio ni kweli
Wachawi hawapendi mafanikio ya Dogo 😠😠😠
Haa
Uyo dogo tatizo yake ajiongezi hata kidogo
D voice ni mkali sana
Dvoice hana ile amsha amsha yuko slow sana
Bado hajaniconvince ni mkali
Ngoma zake hazina nyama ya kutosha
Wewe middle Simba ndipo waboa..hizo habari za kinafki na zakuchochea hatuzipendi...we uliskia wapi hizo vitu wasema
Kwanini amu taji Rich Mavoko 😂😂😂❤
Hatoshi kaka
D voice nimoto kama pasi
Hanstone ni mnyama middle Simba huyu bado Sana
Hamna kitu apa
D voice hafai kwakweli, ananyimbo zautoto, star anastahili wasafi ni chid Benz, young lunya,ao me blue, shetta
D voice☠️💀☠️
Iyo Ni keeling kabisa 😂😂😂
middle Simba ulishaka wahi konana na diamond ? 🇨🇩
Dvoic💥💥💥💥💥
Hio ni kawaida ya mashabiki cz nakumbuka hata zuchu ukati akianza walisema ni mwimba taarabu hatowezana na kasi ya usafini
Mziki saa hii umebadilika, kitambo ukisainiwa Tu na label kubwa ulikuwa tayari ww n star. Saa hii mashabiki wanaskiza mziki mzuri na ndo maana marioo, jay melody, dayooh, kontawa na wasanii wengine wasioko katika label wanafanya vizuri. Kama hauna talent hata usainiwe n KAZI bure
Wacha uongo bro, WCB haiwezi kuizidi ybnl ya olamide. Hiyo label imewatoa asake, adekunle gold, fireboy dml, seyi vibes na wengine wengi
Nikwasababu katokea singeri lakininimunoma
Mm ninavo jua diamond ni msanii mkubwa Wangp hajawasaini.. Mpk kamsaajili D voice bc ujue ameona Uwezo wake ndomana
Diamond ajawahi kukosea kwenye swala la msanii hapo WCB,ipo siku watakuja kumuelewa D Voice ni mkali kiasi gani
Diamond hajaamua kumtoa huyu dogo,hajafanyaa collaboration nae
Mbona Konde aujantaja ama unachukinae
Mentira
Mjue tu Diamond hatupagi hela kwenye jalala,hata Lavalava pia mnamchukulia poa,wcb hawabahatish
Kiungo cha plau 😅
Apa akunaga msanii
Middle simba anaweza tengeneza update yake vizuri ila hawezi kosea kuto weka uchawa , sjui ana pepo gani uyu jamaa 😂, halaf comment yakumponda hawezi hipa like,anapenda sifa za ma chawa wenzake tu
Wcb kupata wasanii km harmo na vannyboy haitatokea tena
Mbona harmonize anawasumbua sana ? Mkiwa na jambolenu mpaka mumtaje harmonazi ? Mbona mwanzoni wewe middle Simba ulisemaga eti dvoici anamshinda harmonazi ?ndomana najisemeaga iyo redio yako niya diamond na ndomana ni meddle Simba kwasababu diamond anajihitaga SIMBA !! Naelewa kabisa mbona mnashindwa kurudisha millioni mia sita ?