@@rehemageorge9506 Asante Dada kwa kumjibu huyu jamaa sjui ametumwa huwa yupo very negative na mambo ya Mungu bro Kwan lazima u comment mbna unateseka Sana
Broo acha kuteseka asiee nimekufwatila Sana usitafute kiki kwenye page za watu nenda kawaambie Mataifa Haya mambo huku sisi tulishavuka hz story unapiga tuliambiwa miaka 20 ilyo pita
Nabii mkuu ubarikiwe sana ktk udumu yako unayotoa mungu wa mbinguni akurinde siku zote za maisha yako uzidi kutukumbuka kutuombea ss turio kuwa na matatizo tupate kupona mm naitwa mariamu selemani Niko mkuranga mkoa wa pwani
Nabii Hahahahahaaaaaa acha nikae kimya maana kuna watu wanamkubali 😂😂 Kwanza nicheke dah Mungu atujalie mwisho mwema kama ni Nabii Inshallah Mungu am bariki kwa mema anayofanya ! Ila Kwa mimi hapa Mungu anisamehe ! All da Best Nabii Nakuheshimu pia ubarikiwe
Matayo 24:24) akiwemo na huyo Nabii wenu mkuu! Kapewa unabii na nani? Yesu aliitwa Nabii mkuu! Soma Luka 7:12,13) Sasa yupi Nabii mkuu kati ya huyo na Yesu?
Pamoja na yote wanayosema juu ya huyu nabii mkuu,mimi namkubali sana,kwanza mahubiri yake ni ya kujenga na kutia moyo sana,nampenda sana huyu nabii ananibariki sana.
pesa zitawafuraisha funiani lakini mbingu hamta hiyona kamwe , kama mafhabau ni ya Mungu mtu ambaye anakaa mtaani kuongea vitu visivyo mpendeza Mungu anaipanda nakuanza kutaja diamond ,harmonize , shetani tu anatawala kanisani , na mna wapea hao pesa na waumini wenu pengine kuna wenye wamelala njaa before waje kanisani , wengine wana fikiri mtu akiwa na pesa yaani Mungu anampenda sana, kumbuka story ya tajiri na Razoro.
Acha ujinga wewe gosbert tatizo moja nyie viumbe cjui mnatokea akigawa anawa kwa mapenzi yake asa wew akigawa wewe inakuuma nini karibu kufanya vitu vya msingi acha kufuatilia vitu visivyokuhusu
Mbona dada yangu Mary Barnaba amesali kwa Geo Davie miaka 30 na hana kazi anauza vitunguu saumu sokoni anatoa sadaka amefiwa na watoto 2 hajawahi kupewa hata mia moja na Geo Davie? na mama yangu alisali pia pale hadi umauti ulimfika na hakupewa chochote??
Ivi maumivu Kiasi gani wanayapata washiriki ambao wanajinyima wamepanga hawajalipa Kodi wanashinda bila kula wanaleta sadaka alafu unagawa pesa za masikini Kwa vibwengo vinavyokusifia
Ukiona hivo KANISA limevamiwa hapa MUNGU KAAMUA KUJIDHIHILISHA KUWA YY SIO WA MIZAA NTAWAYAMBUA KWA MATUNDA YAO KAMA DHAMBI HAZIJEMEWI NI PESA TU MBINGUNI TUMEAILISHA KWENDA
Watu wangu wanaaangamia kwa kukosa maarifa,jamani tuitafute ile kweli yake Bwana wetu Yesu Kristo nayo itatuweka huru!
Ni heri kutoa kuliko kupokea.hilo ni neno la Mungu linatenda kazi uwe na amani.
@@rehemageorge9506 Asante Dada kwa kumjibu huyu jamaa sjui ametumwa huwa yupo very negative na mambo ya Mungu bro Kwan lazima u comment mbna unateseka Sana
Broo acha kuteseka asiee nimekufwatila Sana usitafute kiki kwenye page za watu nenda kawaambie Mataifa Haya mambo huku sisi tulishavuka hz story unapiga tuliambiwa miaka 20 ilyo pita
Yaani shetani yupo kutuchelewesha na hela Ila Wala hatuambizani kuwa Kuna kilio na KUSAGA meno baada ya kufa Kama hatutubu dhambi na kuacha
@@geitandelwa299 wewe mpka Leo hujatubu dhambi zako unashida gani yani mpkaa Leo hujatubu mbna unachelewa Sana
Nabii mkuu ubarikiwe sana ktk udumu yako unayotoa mungu wa mbinguni akurinde siku zote za maisha yako uzidi kutukumbuka kutuombea ss turio kuwa na matatizo tupate kupona mm naitwa mariamu selemani Niko mkuranga mkoa wa pwani
Àsante sana jamani Baba yangu barikiwa kwa MSAADA wako
Nabii Hahahahahaaaaaa acha nikae kimya maana kuna watu wanamkubali 😂😂 Kwanza nicheke dah Mungu atujalie mwisho mwema kama ni Nabii Inshallah Mungu am bariki kwa mema anayofanya ! Ila Kwa mimi hapa Mungu anisamehe ! All da Best Nabii Nakuheshimu pia ubarikiwe
Amina
Hawa watoto wanafuata hela tu, Ila nabii mkuu Geordavie Mungu azidi kukupeleka.
Alitegemea gariii
ALLAH Aninusuru na NJAA ni UDHALILI aisee..!! MEYA MUISLAM KABISA 😢😢
Nahii mwenyezi mungu akubariki Sana mungu awe nawe katika kuitenda kazi ya mungu HAKIKA hakuna mtumishi WA mungu anayesaidia jamii kama wewe
Mtoto akienda kwa Baba yake hawezi kurudi mikono mitupu barikiwa sana Nabii Mkuu kwa kuchunga kondoo vizuri in Yesus Christ name
Mung akubarik san baba yang nabii mkuu mungu akupe maish marefu zaid
Yuko wapi huyu nabiii anipe hizi pesa😍
Reaally!!!! World is amazing, but Humans inside even the world amazed itself.
Nabarikiwa na wewe nabii mkuu mungu wangu natamani Nije nikanyage kwenye madhabahu y'ako baba 😭nakuombea
Amen amen Mungu akuzidishie Sana Nbii Mkuu.
Ubarikiwe sana Nabii mkuu G.
Pesa zipo kwa ajili kuutambulisha ufalme wa Mungu
Ufalme wa Mungu hautambulishi kwa fedha.
BILA HAWA WATU SISI TUTAKOSA CHA KUHUBIRI INJILI YA KWELI
✓HIVYO NAPENDA WAONGEZEKE ZAIDI NA ZAIDI 🙌
Utapeli mtupu
Nabiii Mkuuu,Mungu akubariki sana na Mungu akupe maisha malefu👌👌
Matayo 24:24) akiwemo na huyo Nabii wenu mkuu! Kapewa unabii na nani? Yesu aliitwa Nabii mkuu! Soma Luka 7:12,13) Sasa yupi Nabii mkuu kati ya huyo na Yesu?
Ubarikiwe Nabii, tukumbuke na wengine madeni tulipe watu wanakufaa
Eeeee kweli kazi ipo kwa hapo,,, kam
Heshima yako baba Mheshimiwa Nabii mkuu Dr GeorDavie 💪💪👏👏👏👏
MUNGU akufungue macho umepotea
@@joshuasamwelyrungu2360 Akufungue na wewe vidole u-comment vinavyoendana na post, sema amen huko huko ulipo.
Nabii mkuu hongera kwa kwakuwa na moyo wa huruma
AMINA, Mungu akutunze Nabii Mkuu
Shalom Nabii Mkuu,mimi naitwa agnes nduku kutuka kenya malindi naomba utamke neno moja juu ndoa yangu na maisha yangu mimi na jamii yangu.
@@agnesnduku4376 Amani inawe. MUNGU akufanyie Amani kwenye maisha Yako.
Mtumishi mie nisaidie chakula tu🙏
😁😁
DINI ZINACHEZEWA SANA AISEE
Huyu baba mungu ambariki Sana jamani
Amina baba
Duuu Hawa wasanii wanavamia kanisa kisa pesa nabii kuwa makini na hao viumbe
Nabii.mkuu u abalikiwe sana mm ni mhumini wako naitaji msaada kutoka kwako nina omba msaada wa mtaji
Sawa San. Hongera sana kwako pimbi
Pamoja na yote wanayosema juu ya huyu nabii mkuu,mimi namkubali sana,kwanza mahubiri yake ni ya kujenga na kutia moyo sana,nampenda sana huyu nabii ananibariki sana.
Tina,jitaidi kusoma biblia uhujuwe ukweli omba macho ya ki MUNGU uwone sawasawa
Sasa hapo wanaondoka hivi hivi bila hata kuelezwa habari za Yesu na kuongozwa sala ya toba!!
Hivi jooh dav hajui Kama hapo watu Wana fuata hela Yan hela n hatari Sana haya bhana me Sina namna maana Leo yao kesho yangu siijui
Njoo na wewe ufuate
Ni Nabii mkuu Dr GeorDavie sio kama ulivyoandika
N:B Huwezi fata hela mahali pasipo na hela
@@bintalmasi2393 Hujui maana ya kafara wewe acha kelele bana.
Na Mimi namupenda saana huu nabii
Pesa hizi jamaniiiiiii
Amen Amen 🙏
Laaanatullah ibilisi
Mmh uhubiri watu waache dhambi wajenge mahusiano mazuri na Mungu
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen. Mungu awaongeze miyaka watumishikama hawajamani kamaninge kutana nae singepitiya shidaninayo pitiya ilakwasanabu nimekuona natiya imani kupitiya kwanabi mukuu nitafanikiwa hakinabi niombe e
Naamini wewe mtu wa mungu umeletwa kwaajili ya watu sema chochote kwangu
Ameniii Ameniii 🙏
Njaaa ni kali mno
😂😂😂
Njaa Kali
Njaa Kali mwenyewe mwenzako amejua mahali sahihi
Naomba namb ya baba jodevi mm yohana
Kweli mtu wa mungu,natamani ningelikuwa karibu nawe.
Amina
Innalillah wainnailaihy rajiuun
Matendo ni jibu tosha. Wewe ni mcha mungu wa kweli
Siufunguwe tu kilinge uwe mganga wa kienyeji uwe wazi weka madudu yako peupe hayo yanayo kuletea pesa
pesa zitawafuraisha funiani lakini mbingu hamta hiyona kamwe ,
kama mafhabau ni ya Mungu mtu ambaye anakaa mtaani kuongea vitu visivyo mpendeza Mungu anaipanda nakuanza kutaja diamond ,harmonize , shetani tu anatawala kanisani , na mna wapea hao pesa na waumini wenu pengine kuna wenye wamelala njaa before waje kanisani ,
wengine wana fikiri mtu akiwa na pesa yaani Mungu anampenda sana, kumbuka story ya tajiri na Razoro.
great
Sio kuangamia Kwa kukosa maarifa, ni wanaangamizwa Kwa kukosa maarifa na kweli wameangamizwa MUNGU atusaidie
Nabii mkuu anayo mbingu yake na wafuasi wake, hongera nabii mkuu
Mmmmh Ni KWELI kabisa no kupokea uponyaji na hela na miujiza habali ya KWENDA mbinguni haipo
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Tanzania paka manabii wana hitaji machawa !
Nimm pia
Yupo elibarik sumbe
Nabii namii nakuja unipe hera😍
🤓
Looii ibilisi yuko kazini
Yes
Jamanii naomba nikutanishwe nae Nina shida saana na ela
😆😄
Maigizo ndio ibadakweli?
Huyu Mtumishi ana Machawa kama wote
Juuuu
Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa
Sana sana
amekuwa chawa wa nabii tena
Hv Sasa ifike pahala we nabii uache ugawaji huu nna wasiwasi naww
Tumezaliwa kutafuta waache watafute kwa uhalali wasiibe tu
Acha ujinga wewe gosbert tatizo moja nyie viumbe cjui mnatokea akigawa anawa kwa mapenzi yake asa wew akigawa wewe inakuuma nini karibu kufanya vitu vya msingi acha kufuatilia vitu visivyokuhusu
Unae wasiwasi gani? 😏
@@bboypianistandguitarist3329 😹😹😹😹nilijua tu makolofc wapenda vya Bure mtajajibu haya nenda naww upewe
@@Clex-f5s 😹
The prophet of worlds
Nabii mkuu hongera sana 🙌
Amuka usingizini umutafute yesu wa kweli
Joshua
yaan mi 2 dah
Mbona dada yangu Mary Barnaba amesali kwa Geo Davie miaka 30 na hana kazi anauza vitunguu saumu sokoni anatoa sadaka amefiwa na watoto 2 hajawahi kupewa hata mia moja na Geo Davie? na mama yangu alisali pia pale hadi umauti ulimfika na hakupewa chochote??
Kijanja iki mbilikimo..na kitatolewa kafara neisho
😂😂😂
Nabii nimmoja tu Muhammad mtaenda motoninyie acheni njaa
Sasa hyo ndio jamii mfyu ww unajua kugusa jamii?? Ilaa watu Wehu kwelikweli
Nabii naomba msaada wako wamaombi nakuomba sana baba Mimi nimtanzania lakini Niko kenya
Nabii Mkuu haombi,ANATAMKA. Na Mungu anaweka Muhuri,imekuwa kwako. Omba tamko.
Wanafuata gar na pesa hapo 🤣🤣🤣🤣haya ach inyeshee
💗💗💗💗
Hizi dini zinakoelekea sasa 🙄🙄🙄🙄🙄😭😭😭
Alafu utaisikia batoto bakenya wanataja wao Ezekieli
Na wishi kuona nabii mkuu
Nabii naomba usinisahau na Mm
Nabii kaipenda style ya Nywele ya Mr Pimbi?
Ah we mbona kama nishida huko kichwani nabii umeshindwaje kumwambia huyo aah
Mbona anemusifia
Nabii wa mchongo
Kwel n Balak San
Dalili za kiama izi
Au naww ulifikili utapewa gali sio
Naona Mimi nitafungua channel yangu ya kukusifu wewe tu
Ivi maumivu Kiasi gani wanayapata washiriki ambao wanajinyima wamepanga hawajalipa Kodi wanashinda bila kula wanaleta sadaka alafu unagawa pesa za masikini Kwa vibwengo vinavyokusifia
watu wanafuata hela 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisaaa
Na zitawatokea puani, hawajiulizi zinatokea wapi?
Hilo babu linaongozwa na frimansoon hilo
Diamond na wewe uko wapi wahi aisee
Kama injili iko hivyo tumekwisha
Ebu ngoja na mimi niende kwa nabii nikamsalimie
Nakaribia kufika hapo
Njaa njaa haijawahi kumuacha mtu salama
hahaaa kwa kweli
Dah hii ndo Tz
Huyu pimbi muislamu kweli?
Ila tuache kuchanganya jaman, wasanii kanisan ni wa nini?
Ukiona hivo KANISA limevamiwa hapa MUNGU KAAMUA KUJIDHIHILISHA KUWA YY SIO WA MIZAA NTAWAYAMBUA KWA MATUNDA YAO KAMA DHAMBI HAZIJEMEWI NI PESA TU MBINGUNI TUMEAILISHA KWENDA
Yesu alikuja kwa wenye dhambi
Usihukumu usije hukumiwa
Ukiona hivyo stuka, hilo si kanisa kama ulivyofikiri
Aya ndio makanisa sio kanisa Mchungaji anaweka waumini ndio kitega uchumi
mh!
Ianatullah
Ukimsifia 2 pesa Tena anachagua maarufu
Naamini hata Watu masikini kanisani kwake huwa Saidia hivyo.. Na kama sivyo basi Afanye hivyo
nabii gani uyo utapeli yeye mwenyewe akajikataa rangi yake alio zaliwa nayo mpaka kaji bleach kakaa kama mkongoman siku za mwisho zinakaribia