SAKATA LA SUMU YA GAS BEACH KIDIMBWI, MENEJA AFUNGUKA "WAKO POLISI, WIVU WA MAPENZI"
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- #millardayoUPDATES
Baada ya kusambaa kwa taarifa mitandao iliyoibua taharuki kwamba kuna watu wamepoteza maisha, kuibiwa mali zao na kuzimia katika eneo maarufu jijini Dar es Salaam Kidimbwi Beach, Ayo Tv na Millardayo.com imezungumza na Uongozi wa eneo hilo.
Daaa pazuri Sana kumpiga teke chura ni kumuongezea spidi hawawakomoi bali wanajikomoa hizo ni mbinu za mtu alishindwa kupambana na kujipambaunua anakimbilia kuchufua tu ili wooote wafeli kama we umefeli feli kivyoko ila ndo tatizo letu wabongo
Beach kidimbwi pazuri jamani. 👏💪💕watu wabaya waachei kuwaharibia wenzao biashara
Uongooo tu wabongo wameshindwa kubuni mbinu nzuri yakufanya biashara basi wanamharibia mwenzie..Hili ndilo tatizo letu
Logically, Kidimbwi is an open space: sioni ni jinsi gani moshi wa sumu (spray ya mkobani) ingeweza kuathiri makumi ya watu. Hata ukiwa na sumu hiyo bado itaevaporate in the endless air na kuwa less toxic.
THE BIGGEST BOSS NASRI
Nipen jins ya kufika kidimbwi jaman
Uo uongo tuu watu wote hao ...roho mby z watuu
Ipo wapi hii kidimbwi
Mbez beach
Inapatikana wapi hii please
Africana chini ukifika stand ukiulizia boda wanakupeleka mpka mlangoni
Asante Dayanah
Mbez beach ukiwa unaelekea kwa zena
Mmmh
Duh noma
Nan kaicheki video hii akivuta taswira ya uto na manara juu ya kidimbwi😂
Iko wapi
Maeneo ya africana kama unaelekea white sand
Kindimbwi Safi siku nikija tz nitafika
Kidimbwi hoteli ya utopolo
Shida tu bongo zinasumbua kuhalibiana biashara
😅😅
Wivu wa kimaendeleo wanataka kuwaharibia mpoteze wateja