Yaan hum mnakera sana sio vzr mwenzenu kataarsha kaz ili kupata comment zetu za vzr aongeze bidii au mbaya asahihishe lkn mnaomba like asilimia kubwa ya watu hamcomment kumpa moyo na kumpa nguv mnaomba malike ya kaz gan kwa zinaliwa izo like clam umejitahd sana mungu azd kukuongoza vzr sana nmefurah ulivomueka huyo chili mganga yupo vzr nae kabisaa hongera zako
wee hujui hiyo ina maana kubwa mno mfano mimi siwez kwenda kuvew video alafu nisiipende eti niombe like alaf pia watu wanafanya ivo soo kwa ubaya mtu anasema KM UMIPENDA HII EPPISOD LIKE APA yee mwenyewe clam akiona watu wamemlike anaenjoy ni moja pia ya surpot kwahyo mm sion km kuna ubaya
@@dangomc_niger Shda ni kwamba kila mtu alaf anaomba like kwa kuwa wa kwanza c km anasema ameipenda angesema km umeipenda hii movie like hapo unaelewa lkn eti wa kwanza naomben like ndo nn kila mtu hii sio poa inaboa walete comment zinacfia kaz au kutoa ushaur wa kurekebsha au kuongeza ktu bc ni vzr zaid
Clam vevo bro wwe ni mkubwa sna katika vijana wanaingiza uko juu na tena unajua mpka umetuletea mzee chilly kwenye movies mzee nakupa salute unanikumbusha *maneno ya kuambiwa*dah ilikua noma snaa mzee mwinyi mkuu
Kazi nzuri sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tunaomba muwalete wote wale wa sani nguli wote pia muendeleshe hizo episodes. Alafu Mwakadobe amekutana na mwengeni muchawi mkubwa kuliko yeye na huyu jama anafahamu sana kazi natumaini wote pamoja na Mwakatobe wataacha historia kubwa katika episodes hizi.
Acheni ujinga, kila mtu wakwanza yeye,.. Mara nipeni like zangu,... Toeni maoni kwa wasanii hawa tunaowatazama kwenye kazi zao ili maoni hayo yawajenge na kuwa bora ili waendelee kufanya kazi kubwa na bora zaidi.
Yaani ukitazama tamthilia za nje huwezi kuona haya mambo ya sijui naombeni like sijui mimi wa kwanza, yani kuna watu wanakimbia hapa kuja kusema tu naombeni like hata hajui anafanya nini hapa majitu mengine yani mungu tusamehe
Aise wata Wana sumbuwa saaana Ku omba like djamani like siyo muhimu saana Kuliko Ku wa sifiya kwa Kazi nzuri ambayo timu nzima inalo Li Fanya ongereni saana Team Clam vevo kwa Kazi Zuri Mimi ni mukongomani 🇨🇩 from Dubaï🇦🇪
Mimi cku hizi Wala sicomment nimtu wakusoma comemment tuu huku nikii injoi na *SNAKE BOY❤* maana nikicomment iyo comment YANGU watu wanavyoupita najua mwenyeweee😂😂😂😂😂😅
Nice series kaka ila idea ya chain ya waganga na wachawi imekuwa kubwa sana,jaribu kuleta content yenye kisa kizur kama ile ya mwanzo ya chief kutaka kutawaliwa na wachawi ww kuja kuokoa imaya na kulipa kisas waliomuua mama yako iliteka sana watu ayo ni maoni tu kwenye kuboresha asante
mwaka wako ...wala usijali sisi tuko pamoja na wewe uwezi amini wananchi wote wanakusubiri vipande vyako vinasisimua hakuna mganga juu ya mungu wewe mungu ameshakufungulia kazana toa msada wako kwa wasinii waliopotea kwenye tasnia za filam wanakuombea na baraka zako zinakuwa juu Akram ...yani hiyo ni comedy mixer sirius episode umeweza ndugu yetu kula mb zetu ni zako
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema.
Katika comment zote ww ndio ulie na busara maana umempa moyo na kumpongeza msanii.. wengine wote wanalilia kuwa wa kwanza sijui wanafaidika nn??? Kizazi hiki shida tupu.Ongera sana ndg
Whao hata kama CLAM VEVO alikwepa kuja MISISI 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ila familia ya MISISI Tuko nyuma yako 💪💪💪 ongera sana kwa hiki ambacho mnazidi kujifanya pamoja na SUPER DIRECTA wetu KAKOSO 🤝
Jamani like za pole basi naomba Jana tumepoteza zaidi ya watu 80 Kwa maafuruko huku Kenya shehemu 3 tofauti 😭😭😭 tumepoteza ndugu jamaa na marafiki
Poleni sana mungu awemfariji wenu
Poleni sana ndugu zetu poleni sana 😭😭💔
Poleni Sana wapenzi.... Mungu awafanyie wepes insha'Allah
Poleni sana
Poleni sana
Mnajipea like kujuana Mimi sijulikani lakini naomba tuh like 20 from Kenya Ke Ke
Yaani ww clam utafika mbali kwa ivo vichwa ulivoviingiza nakuombe kwa Mungu like from Oman 🇴🇲 ❤
Kabisa 💯
Kabisa yn❤🎉
Nitumie namba yako me pia 0mani❤
Tupeane connection jaman ,uko Oman 🇴🇲 mnafikaje fikaje 🙂
Yaan hum mnakera sana sio vzr mwenzenu kataarsha kaz ili kupata comment zetu za vzr aongeze bidii au mbaya asahihishe lkn mnaomba like asilimia kubwa ya watu hamcomment kumpa moyo na kumpa nguv mnaomba malike ya kaz gan kwa zinaliwa izo like clam umejitahd sana mungu azd kukuongoza vzr sana nmefurah ulivomueka huyo chili mganga yupo vzr nae kabisaa hongera zako
kweli kabisa wanakera sana
Kama misenge kama wa kwanza si kwa faida yake inakera
wee hujui hiyo ina maana kubwa mno mfano mimi siwez kwenda kuvew video alafu nisiipende eti niombe like alaf pia watu wanafanya ivo soo kwa ubaya mtu anasema KM UMIPENDA HII EPPISOD LIKE APA yee mwenyewe clam akiona watu wamemlike anaenjoy ni moja pia ya surpot kwahyo mm sion km kuna ubaya
@@dangomc_niger Shda ni kwamba kila mtu alaf anaomba like kwa kuwa wa kwanza c km anasema ameipenda angesema km umeipenda hii movie like hapo unaelewa lkn eti wa kwanza naomben like ndo nn kila mtu hii sio poa inaboa walete comment zinacfia kaz au kutoa ushaur wa kurekebsha au kuongeza ktu bc ni vzr zaid
Yanakera kbsa umeongea kwelii Kila MTU wakwanza😂
CLAM wewe ni Mbadala wa Kanumba.. Elendelea na vitu Baba Mtaani Unazungumziwa wewe tuu💯💯💯
Kenyans lets gather here and support our fellow Tanzanian vevo for entertaining us let show him some love ❤❤❤❤
Wa kwanza Ku toko DR CONGO 🇨🇩 naombeni likes zenu jamani.
Vevo unazingua kaka em kama upo serious n maisha na mashabiki zako toa vipande hata viwili tu kwa siku sio hiki kimoja unakaa wiki nzima inakata stim
Kakoso kazi nzur tunakukubal sana like zako mia leo kwangu tu
Haya nimefika japo nimechelewa kidogo tu,kijana nyoka wa hapa jirani Kenya 🇰🇪 naona wengi mmemezwa tayari. One love. ❤
Kurukuntanta mantentere waaachaa!!!! Naku kubali mzee ulikuwa wapi mdaa wote huu haki ya nani una nikubalisha kutoka congo DRC mimi ni shabiki🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nawaangalia nikiwa saudia jamani naombeni likes 150 tuh washirika wenzangu wa team vevo❤❤❤
Wa kwanza na cjawai pata likes ata wakat nikishika sim ya mtu na subscribe kimya kimya kwa clam😅😅😅
😂😂😂
Like zinawasaidia nn
@@zenapius3796 umelike kwanza 😅😅😅
@@zenapius3796huwa najiuliza huwa wanafanyia nn hzo like maana kila mtu Anaomba LIKE
SNAKE BOY💥
ZINGA NI KITUKO KAMUONGEZA MAKALIO MWENZIE. HA HA HA 😂😂😂😂😂😂😂
Clam vevo bro wwe ni mkubwa sna katika vijana wanaingiza uko juu na tena unajua mpka umetuletea mzee chilly kwenye movies mzee nakupa salute unanikumbusha *maneno ya kuambiwa*dah ilikua noma snaa mzee mwinyi mkuu
Kazi nzuri sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tunaomba muwalete wote wale wa sani nguli wote pia muendeleshe hizo episodes. Alafu Mwakadobe amekutana na mwengeni muchawi mkubwa kuliko yeye na huyu jama anafahamu sana kazi natumaini wote pamoja na Mwakatobe wataacha historia kubwa katika episodes hizi.
Nakupenda sana clam❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
chiriii jamni ni kamuwest mkubalini bas anhaaaa like bas
Snake boy inazidi kua balaa clam vevo umetisha sana 🔥🔥🔥💪
Mwiny mkuu anapiga punch za kichawi hapigi makelele ndio maana miaka yote hatoki kwenye ubora .. mwakatobe apunguze makelele apige punch
Number 1 leo naombeni Likes watu wa kenya n TZ na East africa yote Please.
Izo like utapikia watoto
Ovyoo
Fist to watch in Kenya wapi like zangu za uku kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 please Leo s mnipe tu like
Hi
@@MellanierChristian-wn9mw hi too
Mkeny mpenda watanzania...naomba hata likes tano tuu za 254 na clam vevo
Wakwanza kutoka monzambique naomba nami mauwa 🎉.
Aqui monzambique tamos jutos.
Team strong hoyeeeeeeeeee 😂🇸🇦🇰🇪 wap like zangu km wape snake boy love you all
Hoyeeee tupp kama kawa❤😂😂😂
TUPO❤❤
Tupoo love you 2 dear❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Tupo watu WA team strong 💪💪💪💪
Tupo💪🏾
❤❤atuja Kupinga kaka kwa Kazi Yako ✊🏿✊🏿✊🏿 Respect Clam Kila Ngazi✊🏿✊🏿
From CANADA I like the way this guy clam is performing Congratulations boy 👏👏👏
Basi Kaz nzur saana nime kuwa wamwisho mm nikotofaut naomben kalingulila
kulu kutanta mantentereee namkubali sana huyu mtu mwinyimkuuu kuigiza kama mganga anajua sana
Wakwanza kutoka burundi naomba like zng
Like zako ulimpa nani?
Choko weh😅😅😅😅
Iko pw sana mwanetu ni full mamzuka
Iko pw sana mwanetu ni full mamzuka
Tupo wengi wa Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Aisee Na Chelewa Lakn Niko Ndani Good Job Next time Achatuone Mwalimu Na Mwanafunzi Nani Bora
Namkubali sana chili na huyu mzee pia yumo wee clam kiboko❤❤❤🎉🎉🎉
Duuuuh wat wap chap dk 2 mmeniwah naomben like zen bc ht kam sijaw wa 1
❤❤❤❤❤❤
Ukipewa unazila
Una lala saana ss tumelala nayo hiii nhoma
Nimekuwa Wa kwanza from Dr congo nipe like zangu kama unamkubali vevo ❤❤ nipe ata like tano
Kwani kila mtu akiingia asema mm wakwanza
Boss🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wakwanza natokeya Burundi 🇧🇮 naomba liké zangu
KAZI nzuri saaaaana Kumbe zinga ni MUASI KAMA M23 Wa Kongo
Wakwanza Leo from Congo DRC to Zambia 🇿🇲🇿🇲
Hii kitu ya moto sana kwa kweli 😂😂😂
Acheni ujinga, kila mtu wakwanza yeye,.. Mara nipeni like zangu,... Toeni maoni kwa wasanii hawa tunaowatazama kwenye kazi zao ili maoni hayo yawajenge na kuwa bora ili waendelee kufanya kazi kubwa na bora zaidi.
Yaani ukitazama tamthilia za nje huwezi kuona haya mambo ya sijui naombeni like sijui mimi wa kwanza, yani kuna watu wanakimbia hapa kuja kusema tu naombeni like hata hajui anafanya nini hapa majitu mengine yani mungu tusamehe
Chaupele mtundu sana...utundu wake umeongezeka,huko nyuma hakuwa ivyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mimi ndo wa kwanza na mkukosa kunipa like basi sito comments tena manionyongeaga saan kila nikiwa wa kwanza🎉🎉🎉🎉🎉🎉
We una matatizo😅 kwamb unakulag izo likes,, na usipocomment unahc unamkomesha nan
Kwan unataka kuzipika au 😂😂mbna umefanya kununa😂
@@user-ce8dm1hg9p 😅😅😅😅yaan awa watu
Hii kali😊
Hiki ki song nimekipenda
Jamaa kaongezewa makalio😂😂😂😂😂tieni basi 👍👍
Wangapi wanamkubali huyu mwamba tokea Kenya nione kwa likes ❤❤
Yupi
Aise wata Wana sumbuwa saaana Ku omba like djamani like siyo muhimu saana Kuliko Ku wa sifiya kwa Kazi nzuri ambayo timu nzima inalo Li Fanya ongereni saana Team Clam vevo kwa Kazi Zuri Mimi ni mukongomani 🇨🇩 from Dubaï🇦🇪
Izi like zawaseidia nini?😢 isije ikawa mwafaidi😂
Sijui ni ushamba au nin mim wana nikera like wanaona kama dhahabu 😂😂😂
Yan wanaboa
Wana upuuzi sana badala kujadili kipindi niwakwanza tu,,hao wanaowapa pia hawana akili wangeachiwa mmi mbona wangekoma😏😏😏😏😏😏😏
Kam wehu😂
ZINGA ANATAKA KUMGEUZA MWENZIE CHAKULAAAAAAA. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii ni zaidi ya move iko pw sana
Nimegundua mafans wngy w clam n w kenya my fellow Kenyans naomb likes tujuane
Clobal 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦ndabasavye abarundi muri Saudi muduze ibiganza
Liké munipe jamani naomba
Weho ndabona uhanzwe na like gusa
Tume wai leo like wapi congratulations sana clam ❤❤❤❤🎉🎉
clam unachelewa sana kutoa mwendelezo ad uhondo wa kuangalia unaisha kabisa! Yan ad mtu anasahau alipoishia!!!!!!
Mwenye anamukubali mwakatobe asipite APA bila kuatcha like moja
Burundi tunaifatilia hii tamtilia mwanzo hadi mwisho🇧🇮🇹🇿
Wa pili Ku toka congo-goma
Wapo like zangu niko kenya 🇰🇪
dah wenzetu mnarauka kwaclam vevo mm ndio uchelewa hadiraha clam vevo❤❤
Merci beaucoup clam vevo snake boy roule très bien
Mimi cku hizi Wala sicomment nimtu wakusoma comemment tuu huku nikii injoi na *SNAKE BOY❤* maana nikicomment iyo comment YANGU watu wanavyoupita najua mwenyeweee😂😂😂😂😂😅
😁😃😃😃
😂😂😂
Naombeni na mimi like jamani mbona sipati like
Nipen like chil mwa wasos anazid kukiwasha zaidi🙋🏻♂️saluuut sana kwa vevo
Leo wakwanza mimi uku🇲🇿🇲🇿
Niko ndani Leo...nipeni likes za clam❤🎉🇹🇿🇺🇬🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Xja wahi Leo nipeni hats moja
Mwakatobe punguza sifa uko na sifa nyinyi mpaka wasinya
Walai mpka anaharibu sasa
CLAM UNAJUA MNOOOOOOOOOO YANI SANA HII MOVIE NI NZURI MNOOOOOOOOOO🎉🎉🎉🎉🎉🎉. SANA HONGER MUNGU AKUTANGULIE AKUPE NA NAISHA MAREFU
😂😂😂😂😂Watu mko vzr mmmmh sio kwa kukimbizana huko
Nice series kaka ila idea ya chain ya waganga na wachawi imekuwa kubwa sana,jaribu kuleta content yenye kisa kizur kama ile ya mwanzo ya chief kutaka kutawaliwa na wachawi ww kuja kuokoa imaya na kulipa kisas waliomuua mama yako iliteka sana watu ayo ni maoni tu kwenye kuboresha asante
Nimechelewa kidoogo sana ✊🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇧🇮🇨🇩🇸🇸🇷🇼
Kazi ft sana vevo more love from kenya
Jamani wa kwanz leo nipeni hata like 100 tu
Umeomba 100 umepew 15 5 hatuna baya
Asanteni sana kweli amna baya
Vevo nakimu
Nawapendasana🇧🇮🇧🇮
mwaka wako ...wala usijali sisi tuko pamoja na wewe uwezi amini wananchi wote wanakusubiri vipande vyako vinasisimua hakuna mganga juu ya mungu wewe mungu ameshakufungulia kazana toa msada wako kwa wasinii waliopotea kwenye tasnia za filam wanakuombea na baraka zako zinakuwa juu Akram ...yani hiyo ni comedy mixer sirius episode umeweza ndugu yetu kula mb zetu ni zako
Nzr japo tulichotegemea sio tulichokikuta Clam
Movie kali sana hii mwinyi mkuu katisha tunamkubali mwinyi mkuu like apa wakanza kutoka dubai teem strong leo nmewawai😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Nakubali brother vevo
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema.
Zoezi ya speedy 120, kwa kona shwaaa😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌
Mimi wa kwanza from IRINGA naombeni like zenu hapa wakuu 😅😅😅
Iringa Mtuwa apa
Unaenda kukatia miti hzo like😅
😂izo like unataka za kugemea ulanz
Home boy
10:40
😅😂😅
Kajaribisha elimu kwa kuongeza Makalio ya mwanafunzi mwenzake! Zinga bhana!😅
😂😅
Mwakatobe amehitimu mafunzo ya uchawi anaenda kujitegemea😂😂😂😂
Yn nimeenjoy kumuona chili humu ndani❤
Leo na Mimi wa kwanza jamani naombeni like hata 10000 kama tunao mkubali mwakatobe
Safiii clam.na kukubal mdogo wangu..pesa na akili ndio umenizidi
Waa nilisubiri tu kuona Mwalimu akigezwa kuku nitupe sm
Kinyamkela pia ulete season two😅😅huyo mwamba hatari🎉🎉🎉
Leo wakwanz mm beast mwnanasta 😂like apa.
Nimekuwa wakwanza Leo like zangu wapi ❤❤❤❤congratulations clam vevo kitu kizito
Kweli anafanya kazi nzur hongera sana Mr cram unajitahidi sasa wew ndo king wa bongo movie
Mwanafunzi anaweza kua bora kuliko mwalimu 😂😂
Kazi nzuri bro
Katika comment zote ww ndio ulie na busara maana umempa moyo na kumpongeza msanii.. wengine wote wanalilia kuwa wa kwanza sijui wanafaidika nn??? Kizazi hiki shida tupu.Ongera sana ndg
@@isayajoseph14Kweli kabsa muhimu ni kumpongeza Clam na tim nzima ya SNAKE BOY ila sio kuomba like.
Ni kweli kabisa
@@isayajoseph14 shukurani kaka 😎👍🏽
Pamoja sana .....
@@Mamalyzzy004 bora umeona 👍🏽
Yap yap mambo ndio yana anza 💪
Whao hata kama CLAM VEVO alikwepa kuja MISISI 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ila familia ya MISISI Tuko nyuma yako 💪💪💪 ongera sana kwa hiki ambacho mnazidi kujifanya pamoja na SUPER DIRECTA wetu KAKOSO 🤝
VEVO ongeza hat dk 20 duh 😢
Mm ndio wakwaza naomba like zenu
Wakwanza leo jamani naomba like zangu kama zoteee❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Ooh jmn clam unajitahid sana lkn tuongezee dakika au toa mfuliliozo co leo ad cku 3 tena ndyo kingne kidogo ❤❤
Tatzo la waigzaj wa kibongo uchaw mmeupa kipau mbele xn kuliko mafundish yenye maadil mbele ya jamii mpk mnatuogopesha make Kila kina uchaw uchaw
imekuwa bora zaid ntanzi waooh usichelew sana kutoa next
Clam the great acter ….first to comment from gulf ❤❤❤❤ likes my friends
Kakoso una akili sana director wetu ,Mungu akuongoze utufikishe mbali
Pongezi kwako pamoja na walio shirik Allah awasimamie kwenye kazi yenu
VEVO upewe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kazi nzuri San ubahatish