SNAKE BOY | ep 14 | SEASON TWO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 кві 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    people/CLAM-...
    #clamvevo
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 1,9 тис.

  • @NuruJara
    @NuruJara 28 днів тому +270

    Jamani like za pole basi naomba Jana tumepoteza zaidi ya watu 80 Kwa maafuruko huku Kenya shehemu 3 tofauti 😭😭😭 tumepoteza ndugu jamaa na marafiki

  • @Riva57902
    @Riva57902 28 днів тому +66

    Mnajipea like kujuana Mimi sijulikani lakini naomba tuh like 20 from Kenya Ke Ke

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 28 днів тому +96

    Yaani ww clam utafika mbali kwa ivo vichwa ulivoviingiza nakuombe kwa Mungu like from Oman 🇴🇲 ❤

    • @SobiTz
      @SobiTz 28 днів тому +1

      Kabisa 💯

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 28 днів тому

      Kabisa yn❤🎉

    • @KareemMkobe
      @KareemMkobe 27 днів тому +1

      Nitumie namba yako me pia 0mani❤

    • @SobiTz
      @SobiTz 27 днів тому

      Tupeane connection jaman ,uko Oman 🇴🇲 mnafikaje fikaje 🙂

  • @fatmasaid4806
    @fatmasaid4806 28 днів тому +58

    Yaan hum mnakera sana sio vzr mwenzenu kataarsha kaz ili kupata comment zetu za vzr aongeze bidii au mbaya asahihishe lkn mnaomba like asilimia kubwa ya watu hamcomment kumpa moyo na kumpa nguv mnaomba malike ya kaz gan kwa zinaliwa izo like clam umejitahd sana mungu azd kukuongoza vzr sana nmefurah ulivomueka huyo chili mganga yupo vzr nae kabisaa hongera zako

    • @aminamchoya-yk4iu
      @aminamchoya-yk4iu 28 днів тому +3

      kweli kabisa wanakera sana

    • @user-pw2sw1sk1b
      @user-pw2sw1sk1b 28 днів тому +4

      Kama misenge kama wa kwanza si kwa faida yake inakera

    • @dangomc_niger
      @dangomc_niger 28 днів тому

      wee hujui hiyo ina maana kubwa mno mfano mimi siwez kwenda kuvew video alafu nisiipende eti niombe like alaf pia watu wanafanya ivo soo kwa ubaya mtu anasema KM UMIPENDA HII EPPISOD LIKE APA yee mwenyewe clam akiona watu wamemlike anaenjoy ni moja pia ya surpot kwahyo mm sion km kuna ubaya

    • @fatmasaid4806
      @fatmasaid4806 28 днів тому

      @@dangomc_niger Shda ni kwamba kila mtu alaf anaomba like kwa kuwa wa kwanza c km anasema ameipenda angesema km umeipenda hii movie like hapo unaelewa lkn eti wa kwanza naomben like ndo nn kila mtu hii sio poa inaboa walete comment zinacfia kaz au kutoa ushaur wa kurekebsha au kuongeza ktu bc ni vzr zaid

    • @EllyJohn-nr4rw
      @EllyJohn-nr4rw 28 днів тому +3

      Yanakera kbsa umeongea kwelii Kila MTU wakwanza😂

  • @dicksonmartin1992
    @dicksonmartin1992 28 днів тому +16

    CLAM wewe ni Mbadala wa Kanumba.. Elendelea na vitu Baba Mtaani Unazungumziwa wewe tuu💯💯💯

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 28 днів тому +37

    Kenyans lets gather here and support our fellow Tanzanian vevo for entertaining us let show him some love ❤❤❤❤

  • @muhindoYouri
    @muhindoYouri 28 днів тому +43

    Wa kwanza Ku toko DR CONGO 🇨🇩 naombeni likes zenu jamani.

  • @IssaAlly-iu6ut
    @IssaAlly-iu6ut 28 днів тому +5

    Vevo unazingua kaka em kama upo serious n maisha na mashabiki zako toa vipande hata viwili tu kwa siku sio hiki kimoja unakaa wiki nzima inakata stim

  • @RaimamomedSaidi-wz1yu
    @RaimamomedSaidi-wz1yu 28 днів тому +32

    Kakoso kazi nzur tunakukubal sana like zako mia leo kwangu tu

  • @rj_tr._ref._cfcfan.
    @rj_tr._ref._cfcfan. 28 днів тому +28

    Haya nimefika japo nimechelewa kidogo tu,kijana nyoka wa hapa jirani Kenya 🇰🇪 naona wengi mmemezwa tayari. One love. ❤

  • @JayproMedia-gs7ql
    @JayproMedia-gs7ql 28 днів тому +7

    Kurukuntanta mantentere waaachaa!!!! Naku kubali mzee ulikuwa wapi mdaa wote huu haki ya nani una nikubalisha kutoka congo DRC mimi ni shabiki🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @djggghgdd-fq8pr
    @djggghgdd-fq8pr 28 днів тому +17

    Nawaangalia nikiwa saudia jamani naombeni likes 150 tuh washirika wenzangu wa team vevo❤❤❤

  • @richardharuna2118
    @richardharuna2118 28 днів тому +134

    Wa kwanza na cjawai pata likes ata wakat nikishika sim ya mtu na subscribe kimya kimya kwa clam😅😅😅

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 28 днів тому +21

    ZINGA NI KITUKO KAMUONGEZA MAKALIO MWENZIE. HA HA HA 😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-ek5nz6eq5g
    @user-ek5nz6eq5g 28 днів тому +11

    Clam vevo bro wwe ni mkubwa sna katika vijana wanaingiza uko juu na tena unajua mpka umetuletea mzee chilly kwenye movies mzee nakupa salute unanikumbusha *maneno ya kuambiwa*dah ilikua noma snaa mzee mwinyi mkuu

  • @homebest9258
    @homebest9258 28 днів тому +14

    Kazi nzuri sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tunaomba muwalete wote wale wa sani nguli wote pia muendeleshe hizo episodes. Alafu Mwakadobe amekutana na mwengeni muchawi mkubwa kuliko yeye na huyu jama anafahamu sana kazi natumaini wote pamoja na Mwakatobe wataacha historia kubwa katika episodes hizi.

  • @machozimukucha
    @machozimukucha 28 днів тому +44

    Nakupenda sana clam❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @Mkobabababunga
    @Mkobabababunga 28 днів тому +63

    chiriii jamni ni kamuwest mkubalini bas anhaaaa like bas

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 28 днів тому +9

    Snake boy inazidi kua balaa clam vevo umetisha sana 🔥🔥🔥💪

  • @alphablondponera2367
    @alphablondponera2367 28 днів тому +5

    Mwiny mkuu anapiga punch za kichawi hapigi makelele ndio maana miaka yote hatoki kwenye ubora .. mwakatobe apunguze makelele apige punch

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 28 днів тому +109

    Number 1 leo naombeni Likes watu wa kenya n TZ na East africa yote Please.

  • @BahaDePrince
    @BahaDePrince 28 днів тому +62

    Fist to watch in Kenya wapi like zangu za uku kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 please Leo s mnipe tu like

  • @andrewcb9045
    @andrewcb9045 28 днів тому +9

    Mkeny mpenda watanzania...naomba hata likes tano tuu za 254 na clam vevo

  • @MwetaminaZaburoni-mv7iu
    @MwetaminaZaburoni-mv7iu 27 днів тому +1

    Wakwanza kutoka monzambique naomba nami mauwa 🎉.
    Aqui monzambique tamos jutos.

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 28 днів тому +79

    Team strong hoyeeeeeeeeee 😂🇸🇦🇰🇪 wap like zangu km wape snake boy love you all

  • @OREDI401
    @OREDI401 28 днів тому +21

    ❤❤atuja Kupinga kaka kwa Kazi Yako ✊🏿✊🏿✊🏿 Respect Clam Kila Ngazi✊🏿✊🏿

  • @aloycemanjale8816
    @aloycemanjale8816 28 днів тому +5

    From CANADA I like the way this guy clam is performing Congratulations boy 👏👏👏

  • @aronlameck-vc5dr
    @aronlameck-vc5dr 28 днів тому +2

    Basi Kaz nzur saana nime kuwa wamwisho mm nikotofaut naomben kalingulila

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 28 днів тому +15

    kulu kutanta mantentereee namkubali sana huyu mtu mwinyimkuuu kuigiza kama mganga anajua sana

  • @hunterpictures3549
    @hunterpictures3549 28 днів тому +386

    Wakwanza kutoka burundi naomba like zng

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk 28 днів тому +2

    Aisee Na Chelewa Lakn Niko Ndani Good Job Next time Achatuone Mwalimu Na Mwanafunzi Nani Bora

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 28 днів тому +2

    Namkubali sana chili na huyu mzee pia yumo wee clam kiboko❤❤❤🎉🎉🎉

  • @JohnJuma-bk5lc
    @JohnJuma-bk5lc 28 днів тому +105

    Duuuuh wat wap chap dk 2 mmeniwah naomben like zen bc ht kam sijaw wa 1

  • @user-nz3du9mh3j
    @user-nz3du9mh3j 28 днів тому +122

    Nimekuwa Wa kwanza from Dr congo nipe like zangu kama unamkubali vevo ❤❤ nipe ata like tano

  • @ALEXISMTB-xl5tv
    @ALEXISMTB-xl5tv 27 днів тому +2

    Wakwanza natokeya Burundi 🇧🇮 naomba liké zangu

  • @nyagabonamisana5400
    @nyagabonamisana5400 27 днів тому +1

    KAZI nzuri saaaaana Kumbe zinga ni MUASI KAMA M23 Wa Kongo

  • @Pablowakama
    @Pablowakama 28 днів тому +28

    Wakwanza Leo from Congo DRC to Zambia 🇿🇲🇿🇲

  • @zamirhassan81
    @zamirhassan81 28 днів тому +23

    Hii kitu ya moto sana kwa kweli 😂😂😂

  • @mayeka66
    @mayeka66 28 днів тому +1

    Acheni ujinga, kila mtu wakwanza yeye,.. Mara nipeni like zangu,... Toeni maoni kwa wasanii hawa tunaowatazama kwenye kazi zao ili maoni hayo yawajenge na kuwa bora ili waendelee kufanya kazi kubwa na bora zaidi.

  • @user-hj4uw5pp2w
    @user-hj4uw5pp2w 28 днів тому +1

    Yaani ukitazama tamthilia za nje huwezi kuona haya mambo ya sijui naombeni like sijui mimi wa kwanza, yani kuna watu wanakimbia hapa kuja kusema tu naombeni like hata hajui anafanya nini hapa majitu mengine yani mungu tusamehe

  • @ramakinjoi4063
    @ramakinjoi4063 28 днів тому +10

    Chaupele mtundu sana...utundu wake umeongezeka,huko nyuma hakuwa ivyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 28 днів тому +136

    Mimi ndo wa kwanza na mkukosa kunipa like basi sito comments tena manionyongeaga saan kila nikiwa wa kwanza🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @perajiampipi4473
      @perajiampipi4473 28 днів тому +4

      We una matatizo😅 kwamb unakulag izo likes,, na usipocomment unahc unamkomesha nan

    • @user-ce8dm1hg9p
      @user-ce8dm1hg9p 28 днів тому

      Kwan unataka kuzipika au 😂😂mbna umefanya kununa😂

    • @perajiampipi4473
      @perajiampipi4473 28 днів тому

      @@user-ce8dm1hg9p 😅😅😅😅yaan awa watu

    • @Kadzo-yf2yc
      @Kadzo-yf2yc 28 днів тому

      Hii kali😊

    • @user-sm1zu2mo4b
      @user-sm1zu2mo4b 28 днів тому

      Hiki ki song nimekipenda

  • @CycyConstaOg
    @CycyConstaOg 28 днів тому +2

    Jamaa kaongezewa makalio😂😂😂😂😂tieni basi 👍👍

  • @GriphineJonesGriphine
    @GriphineJonesGriphine 28 днів тому +54

    Wangapi wanamkubali huyu mwamba tokea Kenya nione kwa likes ❤❤

  • @IssaMangala
    @IssaMangala 28 днів тому +103

    Aise wata Wana sumbuwa saaana Ku omba like djamani like siyo muhimu saana Kuliko Ku wa sifiya kwa Kazi nzuri ambayo timu nzima inalo Li Fanya ongereni saana Team Clam vevo kwa Kazi Zuri Mimi ni mukongomani 🇨🇩 from Dubaï🇦🇪

    • @kgchippy
      @kgchippy 28 днів тому +2

      Izi like zawaseidia nini?😢 isije ikawa mwafaidi😂

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 28 днів тому +1

      Sijui ni ushamba au nin mim wana nikera like wanaona kama dhahabu 😂😂😂

    • @elizabethmyombe7375
      @elizabethmyombe7375 28 днів тому +1

      Yan wanaboa

    • @user-gg8kt2jm5y
      @user-gg8kt2jm5y 28 днів тому +1

      Wana upuuzi sana badala kujadili kipindi niwakwanza tu,,hao wanaowapa pia hawana akili wangeachiwa mmi mbona wangekoma😏😏😏😏😏😏😏

    • @annandajilo2831
      @annandajilo2831 28 днів тому +1

      Kam wehu😂

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 28 днів тому +14

    ZINGA ANATAKA KUMGEUZA MWENZIE CHAKULAAAAAAA. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @CharlesDani-ff7xe
    @CharlesDani-ff7xe 28 днів тому +3

    Hii ni zaidi ya move iko pw sana

  • @OmarOmar-ob9tb
    @OmarOmar-ob9tb 28 днів тому +2

    Nimegundua mafans wngy w clam n w kenya my fellow Kenyans naomb likes tujuane

  • @user-kd6gi9pp4n
    @user-kd6gi9pp4n 28 днів тому +39

    Clobal 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦ndabasavye abarundi muri Saudi muduze ibiganza
    Liké munipe jamani naomba

  • @Kashindijohn
    @Kashindijohn 28 днів тому +36

    Tume wai leo like wapi congratulations sana clam ❤❤❤❤🎉🎉

  • @romaeedward4723
    @romaeedward4723 2 дні тому +1

    clam unachelewa sana kutoa mwendelezo ad uhondo wa kuangalia unaisha kabisa! Yan ad mtu anasahau alipoishia!!!!!!

  • @user-oe5ze5uq8m
    @user-oe5ze5uq8m 28 днів тому +4

    Mwenye anamukubali mwakatobe asipite APA bila kuatcha like moja

  • @festuspromoter3376
    @festuspromoter3376 28 днів тому +15

    Burundi tunaifatilia hii tamtilia mwanzo hadi mwisho🇧🇮🇹🇿

  • @user-sk5iw3dj5h
    @user-sk5iw3dj5h 28 днів тому +27

    Wa pili Ku toka congo-goma

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 28 днів тому +4

    dah wenzetu mnarauka kwaclam vevo mm ndio uchelewa hadiraha clam vevo❤❤

  • @GloireGlodes
    @GloireGlodes 27 днів тому +1

    Merci beaucoup clam vevo snake boy roule très bien

  • @mrsabdul-mz8hh
    @mrsabdul-mz8hh 28 днів тому +19

    Mimi cku hizi Wala sicomment nimtu wakusoma comemment tuu huku nikii injoi na *SNAKE BOY❤* maana nikicomment iyo comment YANGU watu wanavyoupita najua mwenyeweee😂😂😂😂😂😅

  • @charlessamson6625
    @charlessamson6625 28 днів тому +2

    Naombeni na mimi like jamani mbona sipati like

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 27 днів тому +2

    Nipen like chil mwa wasos anazid kukiwasha zaidi🙋🏻‍♂️saluuut sana kwa vevo

  • @xavieramandiocristovao8286
    @xavieramandiocristovao8286 28 днів тому +38

    Leo wakwanza mimi uku🇲🇿🇲🇿

  • @sultan_official875
    @sultan_official875 28 днів тому +80

    Niko ndani Leo...nipeni likes za clam❤🎉🇹🇿🇺🇬🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @jozzytozo
      @jozzytozo 28 днів тому +1

      Xja wahi Leo nipeni hats moja

  • @user-yd9ni1lt3l
    @user-yd9ni1lt3l 28 днів тому +6

    Mwakatobe punguza sifa uko na sifa nyinyi mpaka wasinya

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 28 днів тому +2

    CLAM UNAJUA MNOOOOOOOOOO YANI SANA HII MOVIE NI NZURI MNOOOOOOOOOO🎉🎉🎉🎉🎉🎉. SANA HONGER MUNGU AKUTANGULIE AKUPE NA NAISHA MAREFU

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 28 днів тому +9

    😂😂😂😂😂Watu mko vzr mmmmh sio kwa kukimbizana huko

  • @NicksonMushi-eo9yy
    @NicksonMushi-eo9yy 28 днів тому +6

    Nice series kaka ila idea ya chain ya waganga na wachawi imekuwa kubwa sana,jaribu kuleta content yenye kisa kizur kama ile ya mwanzo ya chief kutaka kutawaliwa na wachawi ww kuja kuokoa imaya na kulipa kisas waliomuua mama yako iliteka sana watu ayo ni maoni tu kwenye kuboresha asante

  • @barakae.n6418
    @barakae.n6418 28 днів тому +1

    Nimechelewa kidoogo sana ✊🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇧🇮🇨🇩🇸🇸🇷🇼

  • @zuhurarashid958
    @zuhurarashid958 28 днів тому +6

    Kazi ft sana vevo more love from kenya

  • @mmungakiza
    @mmungakiza 28 днів тому +168

    Jamani wa kwanz leo nipeni hata like 100 tu

  • @MangasiMani-kw4kn
    @MangasiMani-kw4kn 28 днів тому +19

    Vevo nakimu
    Nawapendasana🇧🇮🇧🇮

  • @zainabuberkhbuthellez4725
    @zainabuberkhbuthellez4725 28 днів тому +2

    mwaka wako ...wala usijali sisi tuko pamoja na wewe uwezi amini wananchi wote wanakusubiri vipande vyako vinasisimua hakuna mganga juu ya mungu wewe mungu ameshakufungulia kazana toa msada wako kwa wasinii waliopotea kwenye tasnia za filam wanakuombea na baraka zako zinakuwa juu Akram ...yani hiyo ni comedy mixer sirius episode umeweza ndugu yetu kula mb zetu ni zako

  • @hammyboyofficial885
    @hammyboyofficial885 27 днів тому +2

    Nzr japo tulichotegemea sio tulichokikuta Clam

  • @Professor.Irene95
    @Professor.Irene95 28 днів тому +12

    Movie kali sana hii mwinyi mkuu katisha tunamkubali mwinyi mkuu like apa wakanza kutoka dubai teem strong leo nmewawai😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪

  • @ShabaOmary
    @ShabaOmary 28 днів тому +18

    Nakubali brother vevo

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 28 днів тому +1

    Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema.

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 28 днів тому +1

    Zoezi ya speedy 120, kwa kona shwaaa😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌

  • @user-dg1ke9mu4t
    @user-dg1ke9mu4t 28 днів тому +37

    Mimi wa kwanza from IRINGA naombeni like zenu hapa wakuu 😅😅😅

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 28 днів тому +6

    10:40
    😅😂😅
    Kajaribisha elimu kwa kuongeza Makalio ya mwanafunzi mwenzake! Zinga bhana!😅
    😂😅

  • @Football_Highlights-gq4bz
    @Football_Highlights-gq4bz 26 днів тому +1

    Mwakatobe amehitimu mafunzo ya uchawi anaenda kujitegemea😂😂😂😂

  • @user-tq6yc8ol5q
    @user-tq6yc8ol5q 28 днів тому +2

    Yn nimeenjoy kumuona chili humu ndani❤

  • @user-lj9nl3iv6j
    @user-lj9nl3iv6j 28 днів тому +34

    Leo na Mimi wa kwanza jamani naombeni like hata 10000 kama tunao mkubali mwakatobe

  • @villa499
    @villa499 28 днів тому +7

    Safiii clam.na kukubal mdogo wangu..pesa na akili ndio umenizidi

  • @user-ie8cu9vm6p
    @user-ie8cu9vm6p 28 днів тому +2

    Waa nilisubiri tu kuona Mwalimu akigezwa kuku nitupe sm

  • @dollar105
    @dollar105 28 днів тому +1

    Kinyamkela pia ulete season two😅😅huyo mwamba hatari🎉🎉🎉

  • @hamisimwanasta4955
    @hamisimwanasta4955 28 днів тому +17

    Leo wakwanz mm beast mwnanasta 😂like apa.

  • @ToshaEme
    @ToshaEme 28 днів тому +26

    Nimekuwa wakwanza Leo like zangu wapi ❤❤❤❤congratulations clam vevo kitu kizito

  • @PETERYEmma
    @PETERYEmma 28 днів тому

    Kweli anafanya kazi nzur hongera sana Mr cram unajitahidi sasa wew ndo king wa bongo movie

  • @3malis
    @3malis 28 днів тому +3

    Mwanafunzi anaweza kua bora kuliko mwalimu 😂😂

  • @carlpsonmunisi7315
    @carlpsonmunisi7315 28 днів тому +43

    Kazi nzuri bro

    • @isayajoseph14
      @isayajoseph14 28 днів тому +1

      Katika comment zote ww ndio ulie na busara maana umempa moyo na kumpongeza msanii.. wengine wote wanalilia kuwa wa kwanza sijui wanafaidika nn??? Kizazi hiki shida tupu.Ongera sana ndg

    • @Mamalyzzy004
      @Mamalyzzy004 28 днів тому

      ​@@isayajoseph14Kweli kabsa muhimu ni kumpongeza Clam na tim nzima ya SNAKE BOY ila sio kuomba like.

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 28 днів тому +1

      Ni kweli kabisa

    • @carlpsonmunisi7315
      @carlpsonmunisi7315 27 днів тому +1

      @@isayajoseph14 shukurani kaka 😎👍🏽
      Pamoja sana .....

    • @carlpsonmunisi7315
      @carlpsonmunisi7315 27 днів тому +1

      @@Mamalyzzy004 bora umeona 👍🏽

  • @directorkakoso
    @directorkakoso 28 днів тому +4

    Yap yap mambo ndio yana anza 💪

  • @mauricemadilugerson5933
    @mauricemadilugerson5933 27 днів тому +1

    Whao hata kama CLAM VEVO alikwepa kuja MISISI 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ila familia ya MISISI Tuko nyuma yako 💪💪💪 ongera sana kwa hiki ambacho mnazidi kujifanya pamoja na SUPER DIRECTA wetu KAKOSO 🤝

  • @LeyShao-uo1oq
    @LeyShao-uo1oq 28 днів тому +4

    VEVO ongeza hat dk 20 duh 😢

  • @user-tl4mv1ud9s
    @user-tl4mv1ud9s 28 днів тому +33

    Mm ndio wakwaza naomba like zenu

  • @AshaKamota-wg4oc
    @AshaKamota-wg4oc 28 днів тому +22

    Wakwanza leo jamani naomba like zangu kama zoteee❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @mwanaziararajabu7718
    @mwanaziararajabu7718 28 днів тому +1

    Ooh jmn clam unajitahid sana lkn tuongezee dakika au toa mfuliliozo co leo ad cku 3 tena ndyo kingne kidogo ❤❤

  • @mgejamasanja3427
    @mgejamasanja3427 22 дні тому +1

    Tatzo la waigzaj wa kibongo uchaw mmeupa kipau mbele xn kuliko mafundish yenye maadil mbele ya jamii mpk mnatuogopesha make Kila kina uchaw uchaw

  • @giftelinazi3487
    @giftelinazi3487 28 днів тому +6

    imekuwa bora zaid ntanzi waooh usichelew sana kutoa next

  • @gabrielnjuguna8172
    @gabrielnjuguna8172 28 днів тому +4

    Clam the great acter ….first to comment from gulf ❤❤❤❤ likes my friends

  • @jamesjesus6937
    @jamesjesus6937 28 днів тому +1

    Kakoso una akili sana director wetu ,Mungu akuongoze utufikishe mbali

  • @ramadhanomary2966
    @ramadhanomary2966 28 днів тому +2

    Pongezi kwako pamoja na walio shirik Allah awasimamie kwenye kazi yenu

  • @MaryamSafi-vm6or
    @MaryamSafi-vm6or 28 днів тому +5

    VEVO upewe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kazi nzuri San ubahatish