Mashabiki wa timu zote haitakiw kumtukana huyu bro achen kisiran ,sis ni mashabiki wala hatulipwi ila nimapenz tu ya team kuwen timamu bhana one day yes ndugu zangu
Mashabiki wa kibongo mpira kwao ni uadui Wala sio utani. Huyu mwamba aishi sana Mimi ni yanga lkn huyu jamaa yuko poa sana Hana hasira Wala Nini yuko simple sana
Kumbe mna heshima hadi mmeanza kuheshimu kombe la shirikisho!?!! Safi ma giant Yanga walishachukua kombe ila hawakupewa kombe🤣😂...na huko mtapigwa tuu🤣😂
@@justinekamala9703sio kweli Mbona Mimi ni yanga pure na kadi ya uwana chama wa yanga nnayo na ila hapo Ahmed Ali kaongea ukweli kaka kwani wewe huoni. Au kwasabab Mimi ni yanga nipinge Kila kitu? Ok poa tuendelee kufurai ubingwa wetu. Kiatu kwetu. CRDB confederation cup ya kwetu inshallah tutampiga azam za kutosha
NILIWAAMBIA TUGOMEE KWENDA UWANJANI NA KUNUNUWA JEZI HUYO KUMBARU MO NA WASHENZI WENZAKE WANGENYOOKA TU 😂😂😂😂 HAYA NDIO MALIPO YAKE SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Acha mambo mengi nyie mnakula mishahara,sisi mashabiki tunaumia sana kwa timu kutokujituma sawax2. Hivyo tunawaombea Mungu awape kujitambua mapema ni kipi mnahitaji kupambania
Huwa anaropoka huyo nakumbuka msimu unaanza aliojiwa kuhusu simba kufunga magori mengi alisema msimu huu simba atafunga magoli 100 sasa sijui kama amefikisha hata nusu ya hayo😂😂😂😂
Muwe na akiba ya Maneno sifa sifa na Vijembe Kombe la Shirikisho la Africa mlikuwa mnalidharau Sasa Wewe ni Mmoja wapo wakulidharau maneno mengi sana Muda wako ulijikita kuikashifu YANGA sio kuisaidia Timu Yenu acha kelele nyingi na Sifa na Vijembe
Tulikwambia kuwa na akiba ya maneno hukusikia leo kiko wapi Mungu bhana wa ajabu sana maana hamtupi Mja wake ulikuwa na maneno Machafu sana hata kama nimsemaji unatakiwa kuwa na kipimo cha maneno lakin wewe unalopoka tu kama mlevi leo umekuwa mpole kama sio wewe Jifunze kwa wenzio wewe,leo hii wakuongea hivo ama kweli duuu
Mimi nasema mpaka mtakapotambua umuhimu wa Mungu ktk kazi yenu ya mchezo wa mpira elewa hicho nikipawa toka kwake hivyo ushauri bire mtegemee Mungu zaidi mumeaminisha saana nguvu mbadala amba yo ni kuwatumainia wanadamu yaani waganga acheni hizo ni laana ikitaka kuiona hii nakupa andiko moja tu ktk kitabu cha Neno la Mungu Biblia Yeremia 17:5-8 soma utaelewa kubari kushauliwaaaa
Napataga shida sana na baadhi ya wasemaji wa timu! Hivi hapa anachozungunza kaelekezwa na Management ya Simba au ni ya kwake? Mbona kama anazungumza utadhani yeye ni CEO?
Shida mna maneno machafu sana mlijifanya pre season kwenda Uturuki mkajinadi eti mmeiba wachezaji airport kumbe mmejibebea laana kibao hakika ni Aibu kubwa Kwan hata yanga ile ya tia maji tia maji haijawai kungombea nafasi ya pili jamani pole mtani mmmmh ni kombe la LUZA tuu
Ili mpira uzidi kupanda kiwango lazima yatokee haya hakuna mkubwa kwenye michuano msimu ujao tuone na kina azam namungo na wengineo sio simba na yanga kila siku
Leo Ahmed kaongea Ukweli wake moyoni. Yaani katoa ushabiki safi sana
Natuma salamu zangu kwa akina Tatu wote popote walipo 🖐️
😂😂😂😂
Kwa kweli kina tatu mzuka poleni sana. Unajua mdomo umemponza kichwa leo mpoleeeee😂😂😂😂
I😃🤣🤣🤣🤣🤣😅ila wewe nimecheka Kwa sauti bila kutaka jamani nisamehewe buleee!
😂😂😂🤣😂🤣🤣🤣 🤣🤣🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tatu mwakarobo
Duuh.... first time to see you giving interview bila shabiki hata mmoja wa Simba aiseee.
😅😅😅
Mashabiki wa timu zote haitakiw kumtukana huyu bro achen kisiran ,sis ni mashabiki wala hatulipwi ila nimapenz tu ya team kuwen timamu bhana one day yes ndugu zangu
Mashabiki wa kibongo mpira kwao ni uadui Wala sio utani. Huyu mwamba aishi sana Mimi ni yanga lkn huyu jamaa yuko poa sana Hana hasira Wala Nini yuko simple sana
😁😁😁
@@shomytaleem2349 😈😈😈
Nimevutiwa na Hilo shati limefanana na pazia langu nililoanzia maisha ya geto mwa 1996 matogoro songea umetisha Ahmed ally
UNALIWA NDOGO WEWE
@@salimmalaka256msamee uyo hajui vitu 😄😄guchi ilivoghali afananishe napanzia,😂😂anaupngf pesa y kununulia shat ilo n kid yk y nyumba miez 3
Una geto wewe kile chumba cha baba ako ndo geto au
Chumba cha baba ake ndo anasema geto
On point semaji. Ietu pendwa
Allah hapendi kibrii na majivuno
Kwahiyo Allah anapenda kauli za Ally kamwe za mgunda na andazi anachagua andazi
Kweli kabisa tatizo makolo wanamajivuno Sana wameona laana ilivyowatafuna
Umenena👈🙏
Mpira siyo ngonjera ahamed kuwa na adabu ya maneno.
🎉Na bado mtasubiri sana ubingwa kwenu ni baada ya miaka 10
Kumbe mna heshima hadi mmeanza kuheshimu kombe la shirikisho!?!! Safi ma giant Yanga walishachukua kombe ila hawakupewa kombe🤣😂...na huko mtapigwa tuu🤣😂
Kombe la Manara loser
Hawajajua Bado kua ni wabovu lazima wajipange wawekeze kwa miaka mitano na wasiweke malengo ya mwakani maana wao ni timu kubwa
KOMBE GANI WALINYIMWA?? MAMA NTILIYE WEWE 😂😂😂😂
Kumbe mnaweza kuongea kwa heshima...kama sio nyie wale wa "kombe la luza"🤣🤣
Mwenyezi mungu hapendi mtu mwenye kibri mkome
Sio kibri, ni biashara ya mpira inahitaji ivo, uon hata kwenye ngumi wanatumia maneno ya vitisho na kujimwambafai?
Mimi naongea kama mwanasimba, tunapaswa kutimua wote hadi wapishi wanaowapikia chakula. F.....uck😢😢😢😢
😂😅😂😅😂😅
Wewe sio simba. Mwenze2😂😂😂😂😂🎉🎉
😂😂😂😂
Haaaaaaaa Ilo kweli wapishi wanaweka limbwata la magori 5 kupigwa
Kumbe kuongea huku umetulia unaweza😅
😂😂😂
Pole sana semaji umejitahidi kauri ya uwezo wake daah leo uko peke yako pole sana
Umeongea vizuli!
Mimi mwana Yanga lakn kwa speach ya leo nimekuunga mkono; pamoja sana mwamba, umeonyesha kugushwa na matokeo ya Simba.
Acha umangu meza wewe sisi yanga hatuna mamluki kama nyie wewe ni simba msifie wewe
@@justinekamala9703sio kweli Mbona Mimi ni yanga pure na kadi ya uwana chama wa yanga nnayo na ila hapo Ahmed Ali kaongea ukweli kaka kwani wewe huoni. Au kwasabab Mimi ni yanga nipinge Kila kitu? Ok poa tuendelee kufurai ubingwa wetu. Kiatu kwetu. CRDB confederation cup ya kwetu inshallah tutampiga azam za kutosha
NILIWAAMBIA TUGOMEE KWENDA UWANJANI NA KUNUNUWA JEZI HUYO KUMBARU MO NA WASHENZI WENZAKE WANGENYOOKA TU 😂😂😂😂 HAYA NDIO MALIPO YAKE SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MIMI ni simba damu Kama viongozi wataleta wachezaji wa maana Innshaallah simba bingwa kombe la shirikisho 📿🙏🏽
Labda shilikisho la buza
❤Ukweli ndy huo
Mmetuangusha sana hatakama mnasema tujilaum wenyewe Sisi mashabiki mnatuonea ninyi mnao ishi nawachezaji ndo mjitadhimini nawewe Ahmerd unapenda sanakutufariji sana wakati wausajir kumbe mnatuletea mauzauza olewenu
Sawa umesema lakn uctukane mamba Kabla haujavuka mto ww kipindi yanga anashiriki shirikisho ulitoa maneno ya kejeri sana leo huko wapi
Leo kamekua kapole kama kamefumaniwa😂
😅😅😅
KAMA ULIVO FUMANIWA WEWE 😂😂😂😂
😢😅😅 Aibu kubwa kwenu TATU MWAKAROBO
@@joycemmassi5046 MIAKA 26 EDA SIO AIBU???? MACHOGO FC NYIE
Leo mpoooole kenge weee
Manara fc kombe la losers
hayaa sas maluuza hao
namkuBali sana Ahmed
Pole sana utashiriki kombe la walio shidwa
Acha mambo mengi nyie mnakula mishahara,sisi mashabiki tunaumia sana kwa timu kutokujituma sawax2. Hivyo tunawaombea Mungu awape kujitambua mapema ni kipi mnahitaji kupambania
Mashabiki.wasimba.nawapapole
Wewe ndo mpuuzi wa kwanza uliyekuwa una liponda hilo kombe eti ni dogo na sio hadhi yenu
Nyie mnalazimisha kibogoyo kula Mua acheni ujanja wa kilofa mnapenda wachezaji wa Bei ndogo ENDELEENI kula pesa na mtahukumiwa na mungu
Duh mpaka umekonda Ahmed Ally
Mnalichukia lakwenu kwani.leo kumbe umejua nawewe ni mpuuzi ulisha sema kombe dogo la walishindwa.duhhh kweli we msemaje kiboko
Huwa anaropoka huyo nakumbuka msimu unaanza aliojiwa kuhusu simba kufunga magori mengi alisema msimu huu simba atafunga magoli 100 sasa sijui kama amefikisha hata nusu ya hayo😂😂😂😂
Natafuta wake wawili mmoja aitwe pili Azam na mwengine aitwe Tatu Simba popote pale Tanzania Inshallah...!!!
Ahmed Ally mie siumii simba kumaliza nafasi ya 3. Nilitamani mmalize nafasi ya 6
Muwe na akiba ya Maneno sifa sifa na Vijembe
Kombe la Shirikisho la Africa mlikuwa mnalidharau Sasa
Wewe ni Mmoja wapo wakulidharau maneno mengi sana Muda wako ulijikita kuikashifu YANGA sio kuisaidia Timu Yenu acha kelele nyingi na Sifa na Vijembe
Sawa mwimba taarabu. Naona unaimba na kucheza mdomo umemponza Ahmed Ally
Tunaangukiaaaa tu😁
Kwanza Tungeshuka daraja kabisa Ili tuanze upyaa☹️
una akili sana
MUHINDI NA MPIRA WAPI NA WAPI😒😒 TUNAUMIA SANA SISI MASHABIKI. TULISHINDWA KUMNUNUA AZIZI K, MANZOKI, ADEBAYO HATIMAYE TUMEANGUKIA KWA JOBE 😭😭😭
Nimeandika:" hali inatoka kuwa mbaya kwenda mbaya zaidi ". Mwisho wa ni ndani ya nyumba.
Ahmed Ally tumekufunga mdomo kAa kimya mwachie Ally Kamwe aonge.
So Ulisema mmesajili usajili wa kugawa bahari😅😅😅
😅😅😂
HAJI MANARA TUMEKOMAAAAA.,😭😭😭
😭
Wareeeee wanaokupigiagaaa makofiii nyumaaa yakooo wamekukimbiaa reooo urumaaa maskini jamani
TANZANIA SIHAMI 😂😂YANI SEMAJI LA SIMBA NYUMA WAPO YANGA HAHAHA🎉
Hahaha hao wana thimba wanaojificha ndani ya jezi ya wananchiiii jezi yao imekuwa na mibaa😆😆 imefika mahali team yao imegeuka aibu😅😆😆🙌
Tulikwambia kuwa na akiba ya maneno hukusikia leo kiko wapi Mungu bhana wa ajabu sana maana hamtupi Mja wake ulikuwa na maneno Machafu sana hata kama nimsemaji unatakiwa kuwa na kipimo cha maneno lakin wewe unalopoka tu kama mlevi leo umekuwa mpole kama sio wewe Jifunze kwa wenzio wewe,leo hii wakuongea hivo ama kweli duuu
Hata Mic ni chache Maskini ya Mungu😂😂😂😂
Shat la semaj nmelipentaaa,akivaa mume wangu atapenza mno,,Simba tupo pamoja mno mpka mwsho 🦁
Acha umalaya
Mimi nasema mpaka mtakapotambua umuhimu wa Mungu ktk kazi yenu ya mchezo wa mpira elewa hicho nikipawa toka kwake hivyo ushauri bire mtegemee Mungu zaidi mumeaminisha saana nguvu mbadala amba yo ni kuwatumainia wanadamu yaani waganga acheni hizo ni laana ikitaka kuiona hii nakupa andiko moja tu ktk kitabu cha Neno la Mungu Biblia Yeremia 17:5-8 soma utaelewa kubari kushauliwaaaa
USITUKAE MAMBA HUJAVUKA MTO, USITUKANE MKUNGA UNGALI UZAZI BADO. Mungu analipa hapahapa duniani. Na bado hujasema. Mtateseka Sana.
Huyu mropokaji leo hajavaa jezi😂😂😂😂bwege huyu😂😂😂😂
Usitukane mamba hujavuka mto,,huyu mlopo mwaka jana alikuwa anajigamba sana...kimemlamba😅😅😅😅😅
Napataga shida sana na baadhi ya wasemaji wa timu! Hivi hapa anachozungunza kaelekezwa na Management ya Simba au ni ya kwake? Mbona kama anazungumza utadhani yeye ni CEO?
Na uko shirikisho mfike finally kama Yanga msipofika sasa😂😂
Fàinali hawafik
MO ATUACHIE TIMU YETU😢😢 NI BAHIRI, HANA UCHUNGU NA TIMU, HANA USHIRIKIANO NA TIMU, NA ANAKULA MA BILIONI YA SIMBA BILA HURUMA. Ahmed Ali HUNA BAYA.
Mwakani Nafasi ya 3 ni Coastal Union simba munakwenda nafasi ya 18
Mbona hata jezi huvai?
Utakonda babaaa tatu.
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😅baba tatu Tena 👈🤔jamani nimecheka mpaka mbavu zinauma daa!
Naomba namba zako hamedi aly
Nimevutiwa na hilo shati😅
Dada ahmed tatu
Jamaa anajua sana uyu
Wao ndo walikuwa tunacheza ligi ya kombe la malooser sasa leo kiko wapi husitukane mamba kabla hujavuka mto 😂😂
Huwa anajizima data vby 😂😂 leo mpoleee amelowaaa😂😂😂😂
Daaah!!!!!
Wanasimba wenzangu hadithi hii inatufundisha nn.....
Semaji baada ya kuona mic zimeongezeka naye kachangamka
Ahaaa semaji la shirikisho nakuelewa sana
Daaaah we Jamaaa haki umeweza😂😂😂🙌🙌🙌
Nikombe dogo ni kombe yeyeeeeyeeee😂😂😂
Man United yetuuuuuu
Mdomoo wakoo nomaaa
washabiki wa simba leo wamevaa jezi za njano ammedi allyi weeeeee tim sio ukoo baba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hili kombe Ahmed a lisema halieleweki ni kombe walioshindwa,je! Simba wamejisndaa kucheza kombe LA waliosjindwa?
😊😊😊hapo hawapo wanasimba umezungukwa na yanga
Sio kweli
Hahahaha!!! Ahamad umepigaje apo Leo kama umeongea kwa staili gani??
Jamaa ana Gundu kali
Mmetuangusha sana, nyie mmeingia kazini kwaajili ya maslai zaidi viongozi mmezingua sanaaaa
Lieshimuuuuu kombee la shirikishooooo leooo unajikutaaaa umedondokeaaa hukoooooooooo
Haya mahojiano ya kimyakimya wapi matopeni
Daah, semaji linaongea kinyonge sana, hadi huruma.
Semaji mbona leo hujavaa jezi ya mnyama😆😆😆
Wewe unaongea sana leo kombe hilo mnaliheshimu si kombe la walioshindwa unasemaga,mdomo umeponza kichwa malipo hapahapa duniani.
Shida mna maneno machafu sana mlijifanya pre season kwenda Uturuki mkajinadi eti mmeiba wachezaji airport kumbe mmejibebea laana kibao hakika ni Aibu kubwa Kwan hata yanga ile ya tia maji tia maji haijawai kungombea nafasi ya pili jamani pole mtani mmmmh ni kombe la LUZA tuu
Naomba clips zote za mashabiki wa Simba za kusema kuwa kombe la shirikisho ni la losers, ziwekwe mtandaoni, ili wasianze kubadili gia angani
Pole sana
huyu jamaa joti na mkojani na eliudi na ndaro wanasubiri, ni mchekeshaji mzuri sana akigundua kipaji chake atapiga hela sana
kwanza mdeal na uongozi kabla ya kufika kwa wachezaji bn
KWELI BRO
hili semaji la simba au yangaa
Mnaa wasingizia wachezajiii mkuu.. maana wachezaji walioo dumu simbaa Apo niwachache Sanaa...ilaa viongoziii ndioo wamedumu mda mlefuu Sanaa apo
Huyu ni afisa habari wa Yanga au Simba? Maana hapo kazungukwa na mashabiki wenye jezi za njano hahaaaaaa
Mr Porojo huyooo!!😅
😂
Mbona leo sisikii yeyeyeyeyeye
Tariq Aziz wa Iraq
Natuma rambirambi kwa simbaaa mnyamaa hakae kwa mnyamaaaa
Ili mpira uzidi kupanda kiwango lazima yatokee haya hakuna mkubwa kwenye michuano msimu ujao tuone na kina azam namungo na wengineo sio simba na yanga kila siku
Mbona leo hajavaa Jezi😢
Nendeni shirikisho mkashirikishwe ushirika kwa kushirikiana na ushirikina
Akalale
Kawampooole kama panado!!😂😂😂
Katika sajili kubwa Simba ni ya huyu jamaa tuuuu😂😂😂😂
Fact💯
Saidoo aongeza mkataba wa miaka miwili 😂😂
Bro ucjali wala usifadhaike ila tujipange tena ila tusifanye makosa tena
Tatu binti Mwakarobo mpoo?
😅😅😅😅😅😅 comed kazini