Mtumish ubarikiwe nakufuatilia sana kwa habari ya Ndoto..ni.kweli nimewayi ota.Nachomwa sindano..na Mtu simuoni kwenye bega langu la kushoto....pakiwa na mam a mmoja anqniangalia ambaye ni jirani yetu.na Mama yangu...pia...lakin mama alikuwa ameshikq nyoka wa kichwa vitatu mkono mwake nyoka wa madodoa...
Kaka pia nimeota nimevaa nguo so yakwangu lakini nikamfata dada yangu nikamwambia dada nipe nguo yangu hii so yangu akaniambia wewe vaa iyoiyo acha kieleele
Lazima nyota yangu irudi, katika jina la , YESU AMEN🙏🙏
Mtumish ubarikiwe nakufuatilia sana kwa habari ya Ndoto..ni.kweli nimewayi ota.Nachomwa sindano..na Mtu simuoni kwenye bega langu la kushoto....pakiwa na mam a mmoja anqniangalia ambaye ni jirani yetu.na Mama yangu...pia...lakin mama alikuwa ameshikq nyoka wa kichwa vitatu mkono mwake nyoka wa madodoa...
Shalom pst, mtumishi nmeota ndoto najiangalia kwa kioo, nmeshutuka Sana nasema nateseka kumbe suraa yangu ipo huku nmelia Sana, ndoo nn mtumishi wangu
God bless you mtumishi wa Mungu🙏
Amen
Lazima nyota yangu irudi katika Jina la yesu
Lazima nyota yangu irudi kwa jina la Yesu
Lazima nyota yangu irudi 🙏🙏🙏
Amen 🙏
Mm nimeishi kukusikia?naomba unisadia troser ya kijana yangu ilibiwa Jana kwakaba zilikuwa tatu naalieada shule pls muobea
I receive in Jesus might name Amen 🙏
Bwana asifiwe mchungaji..in my life I struggle alot but sioni nikifanikiwa..niweke Kwa maombi.
@Margret Chepkemboi barkiwa sana nakuombea na pia jiunge nami live saa mbili usiku kwa maombi.
Subscribe kwa hii channel
Amina
Amina!
Asifiwe yesu
Kweli mchungaji
Niliota nimekaa juu Ng'ombe mweupe..nimempanda kama farasi
ntafanya aje junlistukia Biashara yangu imeisha then nkawa naota nikisurura sokoni sifanyisifanyi chochote wt can I do pastor
@Elizabeth Dirangu omba sana hiyo ni roho ya umasikini na confusion in life
Asante ntazidi kuomba napia unikumbuke umbarikiwe sana mchunganji
Lasima nyota yangu irudi
Amen mchungaji
Mimi kila nikiamka, nakuta wamenichanja wananikata kata mwilini
Naomba namba yako pastor nikutafute whatsup
Kaka mm niliota nachomwa sindano allafu nikawa najisikia kufanya mapenzi tu nisaidie
Hii ni hatari kilicho wekwa ndani yako ni tamaa ya mwili Yani uta sumbuliwa na usherati
Amina
Kaka pia nimeota nimevaa nguo so yakwangu lakini nikamfata dada yangu nikamwambia dada nipe nguo yangu hii so yangu akaniambia wewe vaa iyoiyo acha kieleele
Amen
Lazima nyota yangu irudi kwa jina la yesu
Lazima nyota yangu irudi
Lazima nyota yangu irudi
Lazima nyota yangu irudi