SHEIKH QASIM MAFUTA KAFUNGUKA LIVE HUYU HAPA🔴|WENGI HAMJUI KUJITETEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 89

  • @abuuruwaydatvTz
    @abuuruwaydatvTz  9 місяців тому

    ua-cam.com/video/6cNuVyXjK3A/v-deo.html&si=_d20bPQjsHDNpYQM

  • @mjedamjeda4734
    @mjedamjeda4734 Рік тому +6

    MASHAALLAH ALLAH AKUHIFADHI POPOTE UWAPO ULIMWENGUNI AMINI YARABII SHEKH QASIMU MAFUTA NILITAMANI SANA KUJA KUSOMA PONGWE ILA WAZEE HAWAKUWA UWEZO WA KUNILETA ILA ALHAMDULILLAH NAFUATILIA SANA DARSA ZAKO NYINGI
    MWISHO SHEKH KATAJA KAULI ZOTE MBILI NA MSIMAMO WAKE SO MHIM KUHESHIMU MSIMAMO WAKE MAANA NYUMA YAKE KUNA WANACHUONI WAKUBWA KAMA ILIVO KUWA WANAO KUBALI KWA MASHRIT KUNA WANAVYUONI WAKUBWA
    ربنا يبارك فيك ياشيخنا ابو الفاضل قاسم بن مفوت بن قاسم حفظه الله ورعاه

  • @ismailawamu
    @ismailawamu Рік тому +6

    Jazaakallahu khayran . Allah amlipe kila la kheri na amhifadhi shekh wetu

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 Рік тому +4

    Allah amhifadhi shekhe wetu amjalie umri mrefu wenye kheri ndani yake aendelee kutupa faaida hawa ndio vioo vya jamii

  • @dazzwazenji
    @dazzwazenji Рік тому +5

    Mashallah mie nimekuelewa maalim Allah akujalie kila la kher

  • @ramazanimoshi8233
    @ramazanimoshi8233 Рік тому +2

    Allah ambariki na amuhifadhi sheikh,nimempenda sana aliposema ni mambo ya ikhtilafu kisha akasema msimamo wake na halazimishi mtu kufata msimamo wake.kanena maneno matamu sana

  • @wardayazidi1594
    @wardayazidi1594 Рік тому +1

    Jazakallah kheryn

  • @abuuruwaydatvTz
    @abuuruwaydatvTz  Рік тому +6

    SHEIKH KAELEZA MSIMAMO WAKE NA HAJA LAZIMISHA MTU AWE KAMA YEYE

  • @AbbasAkungwa-md2hp
    @AbbasAkungwa-md2hp Рік тому +4

    Allah akulip kila LA kher na akup umri mref ili utupe elim yny manufaa

  • @abdullahabdallah-qp1wj
    @abdullahabdallah-qp1wj Рік тому

  • @selemanijafari9225
    @selemanijafari9225 7 місяців тому +1

    Anae sema picha ina uhalali nani na atoe hoja za kielimu tuzisikie au ajibu hoja kielimu sheh allah akuhifaz umeleta mabadiliko makubwa vitu vingi twavifanya bila elimu kuwafata walimu ila wewe unaweka wazi vitabu na unasema mtu akaangalie na unataja chapa namba ili mtu akasome ila bado wengi wanasema ufahamu na wakati jambo lipo wazi

  • @HashimBilemile
    @HashimBilemile 6 місяців тому +2

    Mbona shekh anazungumza vzr na hajamlazimisha mtu kumfata msimamo wake mbona na mashekh wa kisalafiy hapa Tanzania wanachukuliwa video na hajaguswa Kwa chochote

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 Рік тому +4

    Kama yeye kaelewa dini vibaya mlete babayako ambae kaelewa dini vzr aje atufunze na sisi.

  • @omaryjumas6327
    @omaryjumas6327 Рік тому

    Na kule Makka Je?

    • @أبوفيصل-د3ش
      @أبوفيصل-د3ش Рік тому

      😂 kwa hyo Makka ni Dalili.
      Halafu wale wanachukuliwa sas hatujui wanaridhia au Laa Lakin watu tunaowashuhudia huku wanajirekodi wenyewe.

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873 Рік тому +4

    Mimi naunga mkono video PICHA zote NI HARAMU hazifai

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Рік тому

      Sawa pia ukisema hivyo basi sema ila Kwa mlango wa dharura

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Рік тому

      ​@@abuuruwaydatvTzheheheheheehe eti dharura unafrahisha kwly kaka

    • @nusalim3389
      @nusalim3389 6 місяців тому

      Zunguka dharura zote huwez ishinda ya kutoa elimu na kuitoa batili na sintofahamu,nashangaa dharura mmeweka kwny paspot size tu,fungua jukwaa uongee unavyotaka kw kifua Cha juu SI unadai upo kwny haqq? Kwn umeambiw Kila mmoja anachupa mpaka kwny video na picha, mbona Dr islam.hukuti kapiga ikiwa anakula au anaenda shopping anachuma myasmin kwake,zaid ni nyuma ya minbar tu kwsbb anajua lengo lake

  • @adinanimuhidini5894
    @adinanimuhidini5894 2 місяці тому

    Kwa hizo hizo picha ndio tumewajua Mashekh weengi humu duniani bila hizo picha hatuna tofauti na kuwa kwenye ulimwengu wa Giza tena wakizamani hapo Shekhe Baki na msimamo wako

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788 Рік тому

    kuhusu picha mawahab ndio hawatak ila mashekhe na wanazuon wetu hawapingi

  • @abuusaid511
    @abuusaid511 Рік тому

    SWALI JEEEEEEE. HIVYO KUJIREKODI AU KUTUMIA MIC AU KIPAZA SAUTI JEEEE INAFAAAA???? MASHEKH WETU WACHENI KUISHI KIUTASHI KWA JAMBO KWENYE DINI

  • @minahadam2323
    @minahadam2323 Рік тому +1

    Ww binafsi sjaelew apo

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Рік тому

      Jambo hili lina khilafu Kwa wanachuoni na msimamo wa sheikh hapigi picha Wala hachukuliwi video

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Рік тому +2

      HAPO KWENYE BINAFSI NDIO HUJAELEWA VIPI ALIVOSEMA ANAEGEMEA KWENYE DALILI,... PILI KASEMA JAMBO LINA KHILAAFU... KWA HIYO YEYE BINAFSI KAENDA MSIMAMO WA KUTOKUJUZU... ...

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 Рік тому

      Kama kiziwi uwezi kuelewa

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Рік тому

      ​@@abuuruwaydatvTzlkn ajabu walomsomesha wanafanya kila kitu hehehehehehe dah mtihani kwa kwly simlaumu lkn kila akiendelea kusoma atazinduka maana tunajua bwna mafuta elimu yake bado kaenda kusoma mpk saudi arabia lkn fahamu yake ilikua finyu na mpk matokea yake hyakua mazur walosoma nae wanalijua hili msione naongopa muulizeni mpk shekh dedesi kamchana live mbele za watu kua kafeli alikokwenda kusoma na hakupinga hilo bwana mafuta maana watu wanamjua kwaio kika akizidi kusoma atazidi kutasuka bongo

    • @abdallahjuma1494
      @abdallahjuma1494 Рік тому

      Acha chuki akh izo ni chuki sasa

  • @NasmaHassan-r1p
    @NasmaHassan-r1p Місяць тому

    Yani we kasim mafuta Ni mjinga mkubwa kabsaaaa huna lolote

  • @AbuuRayyan-j8x
    @AbuuRayyan-j8x 2 місяці тому

    Watu wengine ktk izi koment wallahi kama wasenge yani mtu anaongea kisenge senge wallahi Shekh akakubali kwamba jambo lina khilaf lkn yy kakamata fatuwa ya kuto kuchukuliwa video sasa apo kosa likowapi ?. Hatimae lina jitokeza jitu halina muono wwte wa mambo ya kielemu lina zungumza kisenge ilimradi tu.

  • @zimammbaruk4231
    @zimammbaruk4231 Рік тому +1

    Mtu anakwambia picha haifai ila nyumbani kwake ana bonge la TV 80" lap top, Sim Samsung galax, muda wote yuko kwenye kubadili chanel akitohi anaingia hii, sijui wanaingiaje kwenye chanel nyengine bila kuangalia picha, hao hao ndo wamwanzo kukwambia Makkah wame swali taraweikh ama eidd live hii hapa na wanaagalia, Sasa uharamu uko kwenye kupiga tu? Kuangalia sio haramu? Jamani tuweni na inwaf, Mtu anakwambia picha haifa ila ana Sim kubwa, laptop, na tv

    • @Abuu_Asfiya-Salafy
      @Abuu_Asfiya-Salafy 4 місяці тому +1

      naona labda bado haujafahamu kinachozungumziwa hapa,, kuwa na simu,laptop,tv kubwaa si hoja. au nikuulize kwanza dalili iliyokuja kuhusiana na mas'ala ya kutengeneza mapicha unaijua??au unaifahamu ?? yaani umielewa inazungumzia nini?? inataka nini?? unadhani kilichoongelewa katika hadith hiyo ni kitu gani khasa? rejea kwanza hadith sahihi zilizokuja kuhusiana na mas'ala haya,, uzielewa kwa ufahamu wa wema waliotangulia kisha urudi uje kwenye maneno yako haya uliyoweka hapo.

  • @charafimali9731
    @charafimali9731 Рік тому +1

    HAPA NA MIMI SIJAELEWA VIZURI. SASA HII HAPA ILIOTUMWA HAPA YUTYUB NI VIDEO PIA NA NI SAUTI. NA VYOTE HAWAKUTUMIA WEEMA WALIOPITA. IKOJE HAPA HUKMU YAKE ???

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Рік тому

      KWAKUZINGATIA MANENO YAKO NAOMBA UJIULIZE SWALI MOJA
      PIA SIMU YAKO HAIKUWEPO HATA WAKATI WA IMAMU SHAFII SASA HUKMU YAKE NI IPI⁉️
      KISHA NAKUJIBU SWALI LAKO SIO KILA KINACHO ZUKA NI BIDA'A KISHERIA KWAN KUNA BIDA'A KIRUGHA NA HAPO TUNATOA BIDA'A KATIKA VITU MFANO UMEME TAA SUFURIA NK

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 Рік тому

      @@abuuruwaydatvTz ww hujaelew bidaa ni nini bidaa alio zungumzia mtume ni kuengeza kitu au kupunguza kitu kwenye dini mfano maulid mashekhe wanainasibisha na dini yani ni jambo la kidini hiii ndio inaitwa bidaa au ww umeambiwa swali raka 2 ww ukasema haitoshi ukaengea raka 1 hapa umeongeza kitu kwenye dini sio mtu kajenga gorofa lake useme bidaa kwakua enzi za mtume hakujenga hiii co bidaa wala haihucani kabisa

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Рік тому

      ​@@abuuruwaydatvTzsisi hatuna shida lkn shida iko kwnue mnatwambia picha haramu na pia mnakataa kma kuna vitu hakufanya mtume lkn cc tunaweza kufanya nyie itikadi yenu kila jmbo nia lazma awe amefanya mtume hivi leo watugeuzia hehehehehehehe eti twaezafanya ambayo hakufany mtume mbn mpya hii kaka hujasahau lkn

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Рік тому

      ​@@abuuruwaydatvTzyani kaka tuliwaambia zaman hii dini mnaitia ugumu kiasi ambacho mwsho na nyie mtagonga mwamba mutarudia yale mloyasema mwnzo kuyapinga

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Рік тому

      ​@@abuuruwaydatvTzkma kuna kauli bwana mafuta ya kukataza tv kisha awamu nyngine akaruhusu heheheheheh cc tunasema tangu mwnzo ilikua inafaa bali yy elimu yake ilikua ndg baada ya kusoma akapata kujua kwio kila mkisoma mtatoka ganzi la kichwa na mtajua kma kuna mengi mtume na maswahaba hawakufanya lkn cc tunafanya na sio shida ni kiwango cha elimu tu kila ukisoma utazidi kujua mambo pole kaka eti sai ndo wajua kumbe kuna mambo sio lazma awe alifanya mtume cc twajua kitambo kaka endlea kusoma utajua mengi

  • @ahmedjuma6957
    @ahmedjuma6957 7 місяців тому

    Eti malaika haingii nyumba wewe ndio unamtuma malaika wewe nani

  • @omarally6819
    @omarally6819 Рік тому +2

    Shekh Qassim nikweli unavyo sema, ila hili jambo lina hitaji maelezo mazuri zaidi

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Рік тому +1

      Mashaallah sheikh kazungumzia Kwa upande wake na msimamo alio shika

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Рік тому +1

      Maelezo mazuri zaidi ni weye kufuata msimamo unaokukinaisha kwa dalili

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 Рік тому

      ​@@abuuruwaydatvTzjambo mtuqnye inswaa haongelei kwa upande wake tu mtu huongea misimamo yote ilivo au madhehebu yote yanavosema kuhusu ilo jmbo kisha mwsho ndo ukasema lkn mm nimependelea msimamo flani hivyo ndo wenye elimu wanavoaema kma wavutia upande wako tu bc innaalillaah

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 11 місяців тому

    Ahhh nyie bana mnajizonga wallah yani nyie ni sawa na banii israel wallah mnajitia tabu wenyewe wakati vitu hivo vipo kabisa wazi acheni tabu na ziki jamani dini nyepesi hii na kila ataefanya uzito itamshinda mwenyewe

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788 Рік тому

    hiv mawahab kazi yenu ni kuwakosoa tu mashekhe?? kwanin usiwafundishe watu uwahab wenu tu muachane na wanazuoni wetu

  • @wahidabdul1365
    @wahidabdul1365 Рік тому

    Naona kama Sheikh Mafuta anazunguka. Kama jambo halikuwepo wakati wa Mtume, Mswahaba, Tabiina, Taabi Taabiina, pia haikuwepo hata wakati wa Mohamned Abdulwahab kwa Mujibu wa Mafuta hiyo ni Bidaa! Kama ni bidaa mbona anaiwekea mazingira ya kufaa? Kumbe kuna bidaa zinazofaa?

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 Рік тому +2

      Bidaa ni ile inayozushwa katika dini sio sio katika mabo ya mubaha maulidi nibidaa kwasababu mumeyaweka kika dini kwani aliekwambia picha ni dini nani

  • @masjidhamzainstitute8890
    @masjidhamzainstitute8890 Рік тому +1

    Wacheni fitna mumemfahamu shekh au nikugeuza geuza na chuki zenu za kijahil!? Shekh ataja masaaili kiyelimu na nyinyi mnakuja kusema mawahabi !!!!!!!

  • @KassimEdrisa-dd7zh
    @KassimEdrisa-dd7zh 7 місяців тому

    Hatuna haja ya kumjua huyu mwehu

    • @MuslimYouthman
      @MuslimYouthman 4 місяці тому +1

      Yaani we ni umelishwa machuki sasa unamtukana muislamu kwa hiyo makafiri ndio jamaa zako acha UPUMBAVU mi mwenyewe situhumu mtu bila sababu

  • @LASSUH4947
    @LASSUH4947 4 місяці тому

    Yaani mtu anajitolea tu hoja ili kuvuta upande wake anasingizia enza za mtume hakukua na camera wala enzi za imam shafi haya xw lkn anasahau enzi hizo hizo hakukua na microphone wala sim mbn anatumia na hasemi mma ilikua hakuna yaani huu mwngine ni ujuha bora mtu anyamaze tu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Рік тому +1

    Mwambie uyo mufti wa pongwe aaacheee kuzunguka
    Atoe dalili

  • @MuhammedFoum-kr5kc
    @MuhammedFoum-kr5kc 4 місяці тому

    😂😂😂😂😂 kama haya mafuta ya Meri yananuka acha upuuz w

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Рік тому +1

    Umeelewa dini vibaya usipotoshe watu

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Рік тому

      Wewe ulie elewa tueleweshe hapa hapa Alafu ukiweza weka namba zako nikutumie na pesa ya pongezi

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 Рік тому

      @@abuuruwaydatvTz nyie mnajulikana ujahili wenu hakuna asiewajua endeleeni na upumbavu wenu.

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Рік тому

      Sawa ila bado sijaona uwelewa wako

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Рік тому

      @@selemankishema5780
      sasa mbona watukana !"??

    • @abuuruwaydatvTz
      @abuuruwaydatvTz  Рік тому

      @@ayububakari9942 kaka huyu Hana ajualo manake nimemwambia atueleweshe yeye si ndio anaelimu anaanza kutukana ni dhahiru anachuki binafsi