Jamani huyu mzee apewe pongezi yake Asante Sana mzee wangu na Asante Sana d.r mwinyi Nina Imani d.r mwinyi umesikia kilio chetu tunakupend Sana wallah naapa kwa mungu tunakupend Sana Allah akupe umri mrefu wenye kheri na ww amiin I love you so much my d.r president ❤️
Huyu mzee namkubali sana nimkumbuka zamani sana alikuja nyumbani kiungoni kipindi hicho toka hajakuwa mzee sana akitoa daawa za mawaidha wallah akiongea unatamani usiondoke ana maneno matamu mno nilipo iyona hii video nimemkumbuka akiamka alfajiri mskitini kunadi swala ya alfajiri mwenyezi mungu ampe shifaa na ampe hifadhi njema na ampe ghusunill ghatma ishaallah 🤲 nampenda sana huyu mzee kisha anafurahi na watu wote ni mzee mcheshi na mzungumzaji wa maneno mazuri
Kweli siyo Rais wa CCM TUUU ni Rais wa wote walomchaguwa na walokuwa hawajamchaguwa kwa wakati huu WANANCHI wote wanamuekeya HISHMA kwa kuwa yeye ni Rais wa ZANZIBAR. MUNGU IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE. AMIN
Huyu mzee sio kundi la Borafya hamungunyi maneno borafia yeye majungu na kufitinisha na tukipata wazee kama hawa kila kwenye jimbo au kitongoji kwa kweli hatua za maendeleo zitapatikana ishaallah mwenyezi mungu akupe kila lenye kheri na umri wa kuwasemea watu yalio na manufaa hongera mzee
Hii sio wapemba wabinasi nitatizo lakuwa wapemba wote wanaonekana hawaipendi CCM ndio tatizo kumbwa hatuajiriwi hili lishakuwa tatizo sungu watu wanasoma kwamikopo lakini anamaliziya kulima pemba inauma sana MH mwinyi aliangalie sana hili ndio kinachofanya kuna unguja na upemba maisha yote
@@jumakapilima5674 Ubinafsi unawakhusu CCM mazimwi hao waloiba viti vyetu vya ubunge huyo babu ndio alivyokusudia maana ajira hazitolewi kama huna kadi ya CCM nyie ndio wabinafsi serikali zote mbili zenu na mnashabikiwa na polisi kuanzia kujiandikisha na mpaka kupiga kura mnapeleka watu kupiga kura mara mbili mbili Kwa kulindwa na polisi tena kutoka huko bara wakivalishwa uniform za vikosi vya smz hahaha Hasbunallah Waniimal Wakiil
Mzee wangu mie mtanganyika ila nimependa ulivyomkweli mbele ya rais wako.Naamini rais mwinyi ni msikivu atapokea matatizo yenu na kuyafanyia Kazi. Mungu awe nanyi pamoja na rais wenu ❤❤❤❤
Hii dini sio yababa yako jmuingize unae mtaka wewe na umtoe unae mtaka wewe,ukiambiwa uthibitishe kisheria uliyo yaandika hautaweza kuwa makini na mihemko
Babu asante sana umetimiza wajibu wa fursa uliyoipata nakupenda buree😘
Dah hakika Allah akubariki sana sana sana ujumbe umefika.
dahh mashallah uyu mzee mungu amuweke
Allah awape nguvu watu. Wawe japo kama huyy mzee. Waseme ukweli mbele ya viongozi.
mzee Ruksa Allah ampe Maisha marefu yasio na maradhi mzee wetu
Hongera sana babu kusema ukweli
MZEEE NAKUKUBALI 🙋🏼♂️💯✌️
Wow mashallah shikamoo babu 👏🏻
Allah ambariki mzee wetu huyu namwisho mwema huo ndio ukweli kabisa
Huyu mzee kaongea point huajiriwi kama huna mtu
Asante Baba ukovizuri
Ahsante bb umejitoa
Mh.mwinyi hongera hii ni step ya kwanza kuskiliza kero zetu na hoteli step ya pili ni vitendo mzee kasema kweli mzee big up 👊👊👊
Mashaallah mzee ameongea maneno mazito,Allah ampe maisha marefu
Amin
Safi sana mzeee kweli uko vzr
MZEE AMEJAALIWA NA ALLAH KWA NA AMEPEWA UWEZO WA HALI YA JUU SAFI SANAAA SEMA BABA SEMA
Mashallah nakuunga mkono
Huyu mzee kiboko aakhaa""" ajengewe saanam , Muheshmiwa Mwinyi upooo
Mungu akubariki shekhe kibendera. Allah akuweka.
Mzee mungu, akupe, kila, la, kheri, umeongea, maneno, mazito
Jamani huyu mzee apewe pongezi yake Asante Sana mzee wangu na Asante Sana d.r mwinyi Nina Imani d.r mwinyi umesikia kilio chetu tunakupend Sana wallah naapa kwa mungu tunakupend Sana Allah akupe umri mrefu wenye kheri na ww amiin I love you so much my d.r president ❤️
Huyu mzee namkubali sana nimkumbuka zamani sana alikuja nyumbani kiungoni kipindi hicho toka hajakuwa mzee sana akitoa daawa za mawaidha wallah akiongea unatamani usiondoke ana maneno matamu mno nilipo iyona hii video nimemkumbuka akiamka alfajiri mskitini kunadi swala ya alfajiri mwenyezi mungu ampe shifaa na ampe hifadhi njema na ampe ghusunill ghatma ishaallah 🤲 nampenda sana huyu mzee kisha anafurahi na watu wote ni mzee mcheshi na mzungumzaji wa maneno mazuri
Nice mzee umetoa yamoyoni kwa kueleweka kabisa.
Mzee yupo vizuri
Mzee umetuwakilisha vyema ila maneno Kuntu kila sekta Mashallah
Mashallh mzee wetu maneno kunt
mzee kaacha usia mzito sana hadi kiama,ALLAH SW mpe mwisho mwema mzee huyu AMIN
Uko vizuri sana
Kasema ukweli wake babu
Mashaallah Mashaallah ☝️
Asante sana unaongeya ukweli mtupu 😭
Kweli kabisa
Mm binafs naamin baada ya hapa Naamin Dr Mwinyi ataweka mamb saw wallah naamin hilo
Huyu mzee amezungumza vizuri
رضي الله عنك ابي الفاضل
sie wapemba mpaka tusemewe huyo sio mpemba lkn anaonesha uzalendo
Mashallah mzee mungu akupe kheiri inshaalla
Kwani mpemba yukoje?
@@husseinmkanga7794 Lafdhi yk
@@didamsellem2679 kwahiyo huyo mtu wa wapi?
Ni kweli huyo si mpemba ila anaishi
Wewe mzee vip
Dhulma hailetii maendeleo
Semakimeumanaaaa
Pemba Mungu akutieni nguvu kwa umoja wenu. Rais hongera kwa ziara naamini changamoto hizo zitatatuliwa kwa wakati.
Asante rais kusikiliza watu wa chini ndio ninavyotaliwa ww ni rais ya wazanzibar wote si wa ccm
Kweli siyo Rais wa CCM TUUU ni Rais wa wote walomchaguwa na walokuwa hawajamchaguwa kwa wakati huu WANANCHI wote wanamuekeya HISHMA kwa kuwa yeye ni Rais wa ZANZIBAR. MUNGU IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE. AMIN
Tatizo sio kusema wala kusikiliza tatizo ni kutekeleza
Dar nikweli unatamani umsikietu
Huyu mzee sio kundi la Borafya hamungunyi maneno borafia yeye majungu na kufitinisha na tukipata wazee kama hawa kila kwenye jimbo au kitongoji kwa kweli hatua za maendeleo zitapatikana ishaallah mwenyezi mungu akupe kila lenye kheri na umri wa kuwasemea watu yalio na manufaa hongera mzee
Maneno kuntu lkn ukitaka ugomvi na uwadui na ccm kuwa mkweli uwone moto
Yupo vizu babu habani maneno wana kuongopa
We unsema dispensary 😳 Jana mchizi wng Mkali Omi kenda spitali ya Chake na kakosa izo Panadol😂 mamae serikali iyi
Kw iyo kakaa na maradhi yake kisa hamna serekali
hatari
Hii sio wapemba wabinasi nitatizo lakuwa wapemba wote wanaonekana hawaipendi CCM ndio tatizo kumbwa hatuajiriwi hili lishakuwa tatizo sungu watu wanasoma kwamikopo lakini anamaliziya kulima pemba inauma sana MH mwinyi aliangalie sana hili ndio kinachofanya kuna unguja na upemba maisha yote
Kweli kabisa. Inaumiza sana
Mzee wa tahiyatu huyo
Uwozo umesababishwa na wao CCM pia hawatoki
Acheni ubinafsi!!
@@jumakapilima5674 Ubinafsi unawakhusu CCM mazimwi hao waloiba viti vyetu vya ubunge huyo babu ndio alivyokusudia maana ajira hazitolewi kama huna kadi ya CCM nyie ndio wabinafsi serikali zote mbili zenu na mnashabikiwa na polisi kuanzia kujiandikisha na mpaka kupiga kura mnapeleka watu kupiga kura mara mbili mbili Kwa kulindwa na polisi tena kutoka huko bara wakivalishwa uniform za vikosi vya smz hahaha Hasbunallah Waniimal Wakiil
@@w4058 Mapinduzi,,,,,,,,!!!!
Dr ataweka saw mm naamin
RAISI MWINYI JITAHIDI SANA KWA KWELI
ukisema ukweli unakuwa adui watu wanajitolea kwa ajili ya maendeleo basi utachukiwa tuna tumiwa tu halafu unaonekana hufai
Mzee wangu mie mtanganyika ila nimependa ulivyomkweli mbele ya rais wako.Naamini rais mwinyi ni msikivu atapokea matatizo yenu na kuyafanyia Kazi. Mungu awe nanyi pamoja na rais wenu ❤❤❤❤
Kaka hupaswi kujiita mtanga nyika ww ni mtanzania
Nimekukubali Mzee hali halisi hiyo
Ubinafsi pemba gonga like 👍
Hii wiki haimalizi Dr ataweka mambo saw
Na karafuu bei ndogo sana
Mzee umeongea ukweli mtupu hakika maisha ya wapemba allah ndio anajua na yeye ndio tegemeo letu.
kajilipua nn wakati anaongea ukweli
Hii vidio kwakweli siwezi kuiwacha
babu umeongea sana, amesikia huyo
Ukweli autakiwi Babu yangu kwenye hii dunia ya Leo Babu
Mtego huo
SEMA BABUUUUUUU
Mzeee umeongea sahihi
Hata hao Act wangeshinda wasingemuajiri kazi CcM hata awe amesoma kiasi gani hiyo ni ngumu ukweli ni huo
Mh. Rais leo wiki ya pili bububu kijichi mashine ya Maji imeharibika wananchi wanapata tabu
Uhakika unayosema baba
Jambo linalokosesha maendeleo zanziba ni dhulma za viongozi wetu dhulma haidumu wala haina manufaa
NI UWOZOOO ZANZIBAR BADO SANA KIJINCHI KIDOGO TU LAKIN BADO SANA HONGERA MZEE MZALENDO MUNGU AKULINDE UKISEMA UKWEL UTAAMBIWA JASUSI
Ukwel huwa mvhungu
Mnachukuwa wanyamwezi mnawapanga ndio ionekane mpemba kasema
nyie hasa wabaguz duh
Ubinafsi huo!
Kwani mnyamwezi sio mtu,acheni kijifanya watukufu
@@jumamakame417 "akramakum indallah atqaakum"
Staghfiru Kwa Mungu , hebu shukuru huyu Mzee kutetea Na katoa kero Kwa wahusika ,Na hizo kero zinawahusu wote hapo wenyeji Na hao wageni
Maneno ya mzee ni matamu kabisa
Pemba imetupwa tokea enzi na sasa imezidi kwa chuki za kisiasa
Mbona kama joti
Hakuna viongozi bhana afrika wote ni wale wale wanaangalia matumbo yao tu haiwezi badilika pemba wala unguja km viongozi wakiwa weusi
Hahahaaa
Unataka ajemzungu atawale upya
Na mm msimamo wangu ndio huo huo 100%
Yule mtoto wa Sheikh Bachu anayasikia haya? Namna alivyo wasifu kina Hussein Mwinyi na mama Tozo sasa kuna ukweli wowote kuwa ni waadilifu.
kwanza kukaa hapo na kuwaskiliza tu ni uadilifu
Mzee umeongea
Hhhhhh
HANA MPYA HUYO MWINYI SIO MUISLAMU JINA NA UMBILE NAFSI NA IMANI HANA.
Allah Ni mjuzi
Ujinga huo!
Hatuwezi kumhukumu mtu Mungu ndie anojuwa ya nje na ya ndani.
Hii dini sio yababa yako jmuingize unae mtaka wewe na umtoe unae mtaka wewe,ukiambiwa uthibitishe kisheria uliyo yaandika hautaweza kuwa makini na mihemko
@@jumakapilima5674 tena wahali ya juuu
Kwann anapewa mnyamwezi aongee
Huo ndio ubinafsi wenyewe!!
Mhh🤔🤔