Mimi pia nmempenda pia japokuwa hajajibu vema,jibu nihivi niheshima na nidhamu kwa mwenye kukuzid cheo,kapiga gwaride kwa kutanua njia watakqyopita na salute kwa wakuu big up
Baba yako huko alipo anajivunia sana kaka na hata sisi wanatanga wenzako tunajivunia kupata habari nzuri kama hizi kaka, mwenyewzi Mungu zaidi kukubariki kuja boy. Kwaminchi umepata jembe
Kama wew si konda au dereva lazima utasema kuwa tuna roho mbaya ila anaemjuwa huyo kama mim hiyo tabia ya kukufata na chombo anayo mim ashikamata sana tu anajita mandonga
Tanzania unatrend ukifanya majukumu yako. Halafu haya yanatokea kwa kuwa hatuna standard za kuongoza hivi vitu so watu wanatumia utashi binafsi kufanya majukumu.
Ila hapo traffic akikosea upande wa msafara... Maamuzi yanakuwa yapi, watamfwata traffic, au wataendelea na protocol.. af wazungumze baadae issue ilikuwa ni nini
@@salamasaidi6620 haha aya inawezekana nikawa mshamba ila uyu amenizidi na ndo munauzaga sura kwa kuonyesha onyesha funguo ulimbukeni utasema mtu mwenye miaka 18 kumbe jitu zima
Mnakuza vitu vya kijinga Kwan Kuna maajabu gan kwa huyo Askari si yupo kwenye moja ya utekelezaji wa majukumu yake ujinga tu ndyo maana utendaji watanzania ni duni sana
Hii kazi inawaweka kwenye hatari ya kifo any time we can do better than this huu mtindo ni wa kizamamni sana trafiki kisimama barabarani wekeni trafiki light zitawaongoza wapi pole sana askari kazi hujui kama utarudi nyumbani kila siku naona umasali usigongwe.
Yuko vzr ameongea point pia anaonesha kuipenda na kuithamini ajira yake hongera ndugu kwa kazi nzuri
Safi sana,shupavu sana,utapata cheo kwa uwezo wa allah 🙏🏿
Kazi kazi All the Best Soldier.. %
Safi sana kazi nzuri
Safi kaka nakukubali uko vizuri umewakulisha vizuri kambi ya bomani pia big up.
Safi sana big up officer
Broo nakukubali
100%100 Allah akufikishe mbali inshallh
Mimi pia nmempenda pia japokuwa hajajibu vema,jibu nihivi niheshima na nidhamu kwa mwenye kukuzid cheo,kapiga gwaride kwa kutanua njia watakqyopita na salute kwa wakuu big up
Aaaakh!!! Maa Shaa Allah Mwanangu Sana Tanga Moja hiyo
Hongera Sana jinsi ulivo ongoza msafara wa mweshimiwa rais Ally mwinyi mungu akutangulie Raha sana
Halikuwezaaa kuzowelaas au hakika pigiwa pichaaa zikarushwaaa hivyooo alivyooo fanya ndioo utaratibu kazi nzuri kijana
Hanalolote huyo mshamba tu
Mjomba kwenye majukumu yake 👍
Anapenda sifa tu Mtanaga
MACECHU STAND UP ✌
Kakaaaaaa ndugu yangu kijana wangu mwanafunzi wangu Tanga hukooooo
Hongera sana askari wetu
Mashaallha kazi nzuri💯
Nijasir Sana big up Sana 💪 kwake
Hongera sana bro Nassir wew ni mchapa kazi, kazi iyendeleeeeeee
Hakika uko vizuri nimeipenda hiyo uko makini na kazi yako
Safi sana chapa kazi🎉
Na kukubali sana kamanda umejieleza vizuri sana
Wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia
Safi sana kazi nzuri afande
Anko nassir mwanyevu pangarawe icon never give up mjomba🙏🏻
Mashalwahu kwa ulakamavu wako
Pambana mkwe kazi Kwanza majungu bdy inshaallh
Yupo vizuri Sana hongera sana
Baba yako huko alipo anajivunia sana kaka na hata sisi wanatanga wenzako tunajivunia kupata habari nzuri kama hizi kaka, mwenyewzi Mungu zaidi kukubariki kuja boy. Kwaminchi umepata jembe
Hakuna kitu special hapo,ni moja ya mbwembwe tu katika kazi
Si mbwembwe bro. Kihana anaipenda kazi yake.
Kijana.
Makini sana
Nimemkubaali sana huyu mwamba 👍Apewe MAUA yake nimepja KAZI mahiri
😂😂😂😂 maua
Hongera sana
KAZI nzuri makanda
Kazi nzuri
Mungu Amjaalie apate cheo Amin ila Nchi hii ina Fitna sana na uchoyo Wonderfully Kamanda Piga kaz
Cheo cha kazi Gani?
Long life blood... Askari ameweza kinoma 😂
Vizuri sana
Mungu akuongoze inshallah 😊😊
Muheshimiwa raosi jamaa kajielezea vizuri namuombea japo kijinyota huyo mpeeeeeeee❤
Good job
Mashallah
upo vzr kaka,,ALLAH ATAKULINDA
Safi sana👍
Tunakuomba dr mwinyi huyu Askari Ameweka heshima kubwa sana kwako kwa hi staili Aliotuonyesha wa tanzania na wazanzibar kwa ujumla.
Utaratibu wa kazi upo hivyo hata angewekwa mwingine angefanya kama yeye
@@mhandoonthebeats8581 dah hv una shida gani ww...wangap hawajawah kufanya???
Trafic yupo vizuri sana ❤❤❤❤❤❤
Bravo🎉🎉😮
Very nice,, congratulation soldier
Ndio kazi inayompa maisha mjini
👍🏿👍🏿❤️
All the best Afisor
hongeren sn
Congratulations Corpral,very smart and very alert.
kazi ipo kwenye damu safi sana kaka
Anapenda sifa mwambie sifa mbaya izotabia zakufukuza daladala kwa honda ili kulazimisha rushwa atapotea
Kwa roho zenu mbaya.
Kama wew si konda au dereva lazima utasema kuwa tuna roho mbaya ila anaemjuwa huyo kama mim hiyo tabia ya kukufata na chombo anayo mim ashikamata sana tu anajita mandonga
Hongera sana best wangu
Huyu Askari ni mnoko sana namchukia sana
Huo ndio uwaskari lazima uwe mnoko kwenye sheria kuzisimamia, maana ili askar awe mnoko aende kinyume na raiyaa anavyo taka
Mnoko kweli aambiwe
Unoko ndiyo uaskari wenyewe
Good job son
Nzur kak 🎉
Kamanda nakupa maua yako upo vinzur nakuombea kwamwenyezi mungu upate cheo kikubwa zaidi
Huyo ni askari, turn out yake, yuko sawia,mkakakamavu ,smart,uwezo kujieleza yuko safi.Kwa ujumla huyo Ni askari.
Nice job
❤❤❤
Noma
Kijana wangu, nakuona sheikh naona umeiva,,
Nyny waandishi tafuteni habari za maana km hamna bora tulieni tu ss ndio kuna kipya gn alichokifanya hapo
Tanzania unatrend ukifanya majukumu yako. Halafu haya yanatokea kwa kuwa hatuna standard za kuongoza hivi vitu so watu wanatumia utashi binafsi kufanya majukumu.
Anapenda rushwa huyo
Very nice smart kabisa
Sarut Nafulai Sana nikiona mtu anaipenda kaziyake naiiyote nikwasababu moyo,akili,mwili, vimelidhika nakaziyako,ila laitikama ivyo vyote vingekataa ninatumaini iyokazi ungeichukia Pigakazi dume tafuta pesa,usitafute sketi Wala majungu chukuwa mauwa yako ayo🎉🎉🎉🎉
Huyu jamaa ni mnoko balaa anaongoza kwa kulazmisha kula rushwa Ukweli namchukia sana
Umeongea pwent broo
Angalia account yako Ina picha Gani basi Kisha sema hisia zako. Njia unayotumia kujiweka huru sio salama kwako
Wwe ni fala mbwa ww
Jina lako peke yake linashabihiana na tuhuma zako kwake kwamba nazo ni za mchongo!!😅😂
Ila hapo traffic akikosea upande wa msafara... Maamuzi yanakuwa yapi, watamfwata traffic, au wataendelea na protocol.. af wazungumze baadae issue ilikuwa ni nini
Khoja
Safiiiii
Yuko vizuri kuna siku alinikaamata akanifahamisha tu bila pesa akaniachia hana Tamaa tofauti na askali wengine niliona kweli watu hatufanani
Wabongo washamba sana ivi vitabia vya kuonyesha funguo za gari ndo nini si uiweke kwa mfuko tu
Fanya yako
We mshamba zaid ya watanzania wote 😁😁😁😁
Funguo ya pikipiki TVS mzee wala sio gar Ako proud na pikpik yake😂😂
@@salamasaidi6620 haha aya inawezekana nikawa mshamba ila uyu amenizidi na ndo munauzaga sura kwa kuonyesha onyesha funguo ulimbukeni utasema mtu mwenye miaka 18 kumbe jitu zima
Hakika huyu askari sio mbinafsi akiongea asemi yeye anasema sisi. yaani askari wote wapo kama anavyo fanya yeye
Kinyozi nzuri anayetumia wembe na kitana
Hahahahaaaaaaaaa
Congratulations
Kazi iendelee
Safi sana maiki
❤
Sifaa zinatrend kuliko mambo yabandari
Masiaya
Weweeeeeeeeee safiiiiiiiii kamanda hii ilikuwa ni kazi uliyoipenda from kumoyo hujalazimishwa
gari kali.za.kifahari nchi.hoehae
Aibu
Good job mkuu
Good job offisa
Good kijana.
Hivi mmeishiwa habari au?sasa hapo nn cha ajabu🤔
Chuki wivu
katikati ya mji wa zanzibar kivip?
Namjuwa huyu Askari namjuwa,Hana tamaaa nimuelewa sanaaa,huyu jamaa sio mtu wa rushwa kabisa ila wapo hapo malindi sub Hana ALLAH
Mmmm
Ki today kakiweka wp ?
Mnakuza vitu vya kijinga Kwan Kuna maajabu gan kwa huyo Askari si yupo kwenye moja ya utekelezaji wa majukumu yake ujinga tu ndyo maana utendaji watanzania ni duni sana
Kbx yn kuna vitu muhimu hawajadil
Hhhhh umetisha nasir H2
Hii kazi inawaweka kwenye hatari ya kifo any time we can do better than this huu mtindo ni wa kizamamni sana trafiki kisimama barabarani wekeni trafiki light zitawaongoza wapi pole sana askari kazi hujui kama utarudi nyumbani kila siku naona umasali usigongwe.
Ilimradi tu wajuaji hamkosekani
Bro. Hunaga makuu wewe af Jabir af Jahfar nk..ZANZIBAR OYEEEEEEE❤️❤️❤️🤣🤣🤣😂😂😂
Nzury sna kamanda wa polisi kwa unaa wako ulotuonesha tunaomba polisi wengine mfate km kamanda koja.
😢
Zanzibari wazaledo
Kazinzur kk
Hizo nimbwembwe 2 kinacho kufanya tukuheshim niutendajiwako siyombwembwe hizo he upotimam kikazi?
Mbona kawida Cha ajabu ni nn au kutembe?