MFAHAMU KOPLO KOJA: ASKARI ALIYETREND AKIONGOZA MSAFARA WA RAIS MWINYI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 202

  • @JosephinaKupuya
    @JosephinaKupuya Рік тому +5

    Yuko vzr ameongea point pia anaonesha kuipenda na kuithamini ajira yake hongera ndugu kwa kazi nzuri

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Рік тому +21

    Safi sana,shupavu sana,utapata cheo kwa uwezo wa allah 🙏🏿

  • @Andrewbendera
    @Andrewbendera Рік тому +6

    Kazi kazi All the Best Soldier.. %

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 Рік тому +7

    Safi sana kazi nzuri

  • @hassanrashid9436
    @hassanrashid9436 Рік тому +4

    Safi kaka nakukubali uko vizuri umewakulisha vizuri kambi ya bomani pia big up.

  • @abdulazizabuu
    @abdulazizabuu Рік тому +7

    Safi sana big up officer

  • @user-uj5yk5ty3m
    @user-uj5yk5ty3m Рік тому +5

    Broo nakukubali
    100%100 Allah akufikishe mbali inshallh

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 6 місяців тому

    Mimi pia nmempenda pia japokuwa hajajibu vema,jibu nihivi niheshima na nidhamu kwa mwenye kukuzid cheo,kapiga gwaride kwa kutanua njia watakqyopita na salute kwa wakuu big up

  • @hassanmsipi4094
    @hassanmsipi4094 Рік тому +4

    Aaaakh!!! Maa Shaa Allah Mwanangu Sana Tanga Moja hiyo

  • @ramadhanihamisi9393
    @ramadhanihamisi9393 Рік тому +6

    Hongera Sana jinsi ulivo ongoza msafara wa mweshimiwa rais Ally mwinyi mungu akutangulie Raha sana

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 Рік тому +5

    Halikuwezaaa kuzowelaas au hakika pigiwa pichaaa zikarushwaaa hivyooo alivyooo fanya ndioo utaratibu kazi nzuri kijana

  • @jumaamwairo2264
    @jumaamwairo2264 Рік тому +7

    Mjomba kwenye majukumu yake 👍

  • @ibni_H2TL6r
    @ibni_H2TL6r 7 місяців тому +3

    MACECHU STAND UP ✌

  • @allyzumo5832
    @allyzumo5832 Рік тому +8

    Kakaaaaaa ndugu yangu kijana wangu mwanafunzi wangu Tanga hukooooo

  • @alphamwasakyen7696
    @alphamwasakyen7696 Рік тому +4

    Hongera sana askari wetu

  • @UstadhImran
    @UstadhImran Рік тому +2

    Mashaallha kazi nzuri💯

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Рік тому +2

    Nijasir Sana big up Sana 💪 kwake

  • @takrimumakame2271
    @takrimumakame2271 8 місяців тому +1

    Hongera sana bro Nassir wew ni mchapa kazi, kazi iyendeleeeeeee

  • @athumaniyshehoza2252
    @athumaniyshehoza2252 Рік тому +3

    Hakika uko vizuri nimeipenda hiyo uko makini na kazi yako

  • @MudathirAli-i5g
    @MudathirAli-i5g Рік тому +3

    Safi sana chapa kazi🎉

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Рік тому +4

    Na kukubali sana kamanda umejieleza vizuri sana

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 Рік тому +4

    Wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kuzuia

  • @yudamanyumbu4978
    @yudamanyumbu4978 7 місяців тому +1

    Safi sana kazi nzuri afande

  • @Sampertz
    @Sampertz Рік тому +2

    Anko nassir mwanyevu pangarawe icon never give up mjomba🙏🏻

  • @mwajunassibu4192
    @mwajunassibu4192 Рік тому +3

    Mashalwahu kwa ulakamavu wako

  • @user-dx1wg4wr7q
    @user-dx1wg4wr7q 10 місяців тому +1

    Pambana mkwe kazi Kwanza majungu bdy inshaallh

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Рік тому +1

    Yupo vizuri Sana hongera sana

  • @AbbrahamChellah
    @AbbrahamChellah 6 місяців тому

    Baba yako huko alipo anajivunia sana kaka na hata sisi wanatanga wenzako tunajivunia kupata habari nzuri kama hizi kaka, mwenyewzi Mungu zaidi kukubariki kuja boy. Kwaminchi umepata jembe

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Рік тому +2

    Hakuna kitu special hapo,ni moja ya mbwembwe tu katika kazi

  • @ashiriiyulu6430
    @ashiriiyulu6430 Рік тому +1

    Makini sana

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Рік тому +10

    Nimemkubaali sana huyu mwamba 👍Apewe MAUA yake nimepja KAZI mahiri

  • @aminasaid4771
    @aminasaid4771 Рік тому +1

    Hongera sana

  • @raymondcreditconsultant5067
    @raymondcreditconsultant5067 5 місяців тому

    KAZI nzuri makanda

  • @jelaategroup3750
    @jelaategroup3750 Рік тому +2

    Kazi nzuri

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Рік тому +2

    Mungu Amjaalie apate cheo Amin ila Nchi hii ina Fitna sana na uchoyo Wonderfully Kamanda Piga kaz

  • @boraimanijumamahenge7554
    @boraimanijumamahenge7554 Рік тому +5

    Long life blood... Askari ameweza kinoma 😂

  • @JumaMsukwa-bu5nt
    @JumaMsukwa-bu5nt Рік тому +2

    Vizuri sana

  • @user-ej1mw7xw5x
    @user-ej1mw7xw5x 7 місяців тому

    Mungu akuongoze inshallah 😊😊

  • @user-bo4be2yq8x
    @user-bo4be2yq8x 8 місяців тому

    Muheshimiwa raosi jamaa kajielezea vizuri namuombea japo kijinyota huyo mpeeeeeeee❤

  • @dr.alexmagufwa9131
    @dr.alexmagufwa9131 Рік тому +1

    Good job

  • @nassorrashid2419
    @nassorrashid2419 Рік тому +2

    Mashallah

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 Рік тому +2

    Safi sana👍

  • @suleimanmuhammed1347
    @suleimanmuhammed1347 Рік тому +2

    Tunakuomba dr mwinyi huyu Askari Ameweka heshima kubwa sana kwako kwa hi staili Aliotuonyesha wa tanzania na wazanzibar kwa ujumla.

    • @mhandoonthebeats8581
      @mhandoonthebeats8581 Рік тому

      Utaratibu wa kazi upo hivyo hata angewekwa mwingine angefanya kama yeye

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Рік тому +1

      @@mhandoonthebeats8581 dah hv una shida gani ww...wangap hawajawah kufanya???

  • @sam-l3z9i
    @sam-l3z9i 6 місяців тому

    Trafic yupo vizuri sana ❤❤❤❤❤❤

  • @gimbagembeyale5252
    @gimbagembeyale5252 6 місяців тому +1

    Bravo🎉🎉😮

  • @mswaki_newstz
    @mswaki_newstz 7 місяців тому

    Very nice,, congratulation soldier

  • @ShabanisaidiMsangi-jg6uq
    @ShabanisaidiMsangi-jg6uq 5 місяців тому

    Ndio kazi inayompa maisha mjini

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Рік тому +3

    👍🏿👍🏿❤️

  • @Amourharoub-rf1tc
    @Amourharoub-rf1tc 6 місяців тому

    All the best Afisor

  • @ramadhanijumapugilaleo
    @ramadhanijumapugilaleo Рік тому +1

    hongeren sn

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 10 місяців тому +1

    Congratulations Corpral,very smart and very alert.

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuph 6 місяців тому

    kazi ipo kwenye damu safi sana kaka

  • @cholosadi4352
    @cholosadi4352 Рік тому +3

    Anapenda sifa mwambie sifa mbaya izotabia zakufukuza daladala kwa honda ili kulazimisha rushwa atapotea

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Рік тому

      Kwa roho zenu mbaya.

    • @user-py6mn1uq7z
      @user-py6mn1uq7z Рік тому

      Kama wew si konda au dereva lazima utasema kuwa tuna roho mbaya ila anaemjuwa huyo kama mim hiyo tabia ya kukufata na chombo anayo mim ashikamata sana tu anajita mandonga

  • @user-sp9re7kc1u
    @user-sp9re7kc1u 6 місяців тому

    Hongera sana best wangu

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Рік тому +4

    Huyu Askari ni mnoko sana namchukia sana

    • @murattywamuratty9778
      @murattywamuratty9778 Рік тому +1

      Huo ndio uwaskari lazima uwe mnoko kwenye sheria kuzisimamia, maana ili askar awe mnoko aende kinyume na raiyaa anavyo taka

    • @cholosadi4352
      @cholosadi4352 Рік тому

      Mnoko kweli aambiwe

    • @thomasgogomoka6404
      @thomasgogomoka6404 Рік тому

      Unoko ndiyo uaskari wenyewe

  • @princes6045
    @princes6045 Рік тому +1

    Good job son

  • @hassankaduara436
    @hassankaduara436 6 місяців тому

    Nzur kak 🎉

  • @user-nw8vw8ev6b
    @user-nw8vw8ev6b 8 місяців тому +1

    Kamanda nakupa maua yako upo vinzur nakuombea kwamwenyezi mungu upate cheo kikubwa zaidi

  • @athanasekiyoja8369
    @athanasekiyoja8369 Рік тому +5

    Huyo ni askari, turn out yake, yuko sawia,mkakakamavu ,smart,uwezo kujieleza yuko safi.Kwa ujumla huyo Ni askari.

  • @aminaaminahmuhammad8838
    @aminaaminahmuhammad8838 10 місяців тому

    Nice job

  • @hakunamatataznz5508
    @hakunamatataznz5508 6 місяців тому

    ❤❤❤

  • @user-rf1fd4kf8l
    @user-rf1fd4kf8l 6 місяців тому

    Noma

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Рік тому

    Kijana wangu, nakuona sheikh naona umeiva,,

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 Рік тому +3

    Nyny waandishi tafuteni habari za maana km hamna bora tulieni tu ss ndio kuna kipya gn alichokifanya hapo

    • @barackhussein312
      @barackhussein312 Рік тому +1

      Tanzania unatrend ukifanya majukumu yako. Halafu haya yanatokea kwa kuwa hatuna standard za kuongoza hivi vitu so watu wanatumia utashi binafsi kufanya majukumu.

    • @cholosadi4352
      @cholosadi4352 Рік тому +1

      Anapenda rushwa huyo

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume Рік тому

    Very nice smart kabisa

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi2672 7 місяців тому

    Sarut Nafulai Sana nikiona mtu anaipenda kaziyake naiiyote nikwasababu moyo,akili,mwili, vimelidhika nakaziyako,ila laitikama ivyo vyote vingekataa ninatumaini iyokazi ungeichukia Pigakazi dume tafuta pesa,usitafute sketi Wala majungu chukuwa mauwa yako ayo🎉🎉🎉🎉

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Рік тому +4

    Huyu jamaa ni mnoko balaa anaongoza kwa kulazmisha kula rushwa Ukweli namchukia sana

    • @cholosadi4352
      @cholosadi4352 Рік тому

      Umeongea pwent broo

    • @aliiddi608
      @aliiddi608 Рік тому

      Angalia account yako Ina picha Gani basi Kisha sema hisia zako. Njia unayotumia kujiweka huru sio salama kwako

    • @baaliyanuun416
      @baaliyanuun416 Рік тому

      Wwe ni fala mbwa ww

    • @shabanihamis-lc3ww
      @shabanihamis-lc3ww Рік тому

      Jina lako peke yake linashabihiana na tuhuma zako kwake kwamba nazo ni za mchongo!!😅😂

  • @othmannkya5837
    @othmannkya5837 Рік тому +1

    Ila hapo traffic akikosea upande wa msafara... Maamuzi yanakuwa yapi, watamfwata traffic, au wataendelea na protocol.. af wazungumze baadae issue ilikuwa ni nini

  • @dullahrajabu6418
    @dullahrajabu6418 6 місяців тому

    Khoja

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Рік тому

    Safiiiii

  • @YasrFak
    @YasrFak Рік тому

    Yuko vizuri kuna siku alinikaamata akanifahamisha tu bila pesa akaniachia hana Tamaa tofauti na askali wengine niliona kweli watu hatufanani

  • @mbarakazuberi7915
    @mbarakazuberi7915 Рік тому +1

    Wabongo washamba sana ivi vitabia vya kuonyesha funguo za gari ndo nini si uiweke kwa mfuko tu

    • @alextanzania
      @alextanzania Рік тому

      Fanya yako

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Рік тому

      We mshamba zaid ya watanzania wote 😁😁😁😁

    • @daudjohn752
      @daudjohn752 Рік тому

      Funguo ya pikipiki TVS mzee wala sio gar Ako proud na pikpik yake😂😂

    • @mbarakazuberi7915
      @mbarakazuberi7915 Рік тому

      @@salamasaidi6620 haha aya inawezekana nikawa mshamba ila uyu amenizidi na ndo munauzaga sura kwa kuonyesha onyesha funguo ulimbukeni utasema mtu mwenye miaka 18 kumbe jitu zima

  • @mohamedkondo-tq2bm
    @mohamedkondo-tq2bm Рік тому +2

    Hakika huyu askari sio mbinafsi akiongea asemi yeye anasema sisi. yaani askari wote wapo kama anavyo fanya yeye

  • @kiyabolnjemu9646
    @kiyabolnjemu9646 Рік тому +1

    Kinyozi nzuri anayetumia wembe na kitana

  • @aminamrisho8878
    @aminamrisho8878 Рік тому

    Congratulations

  • @AbdallaJuma-ih4ib
    @AbdallaJuma-ih4ib 7 місяців тому

    Kazi iendelee

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 7 місяців тому

    Safi sana maiki

  • @aimanankya7405
    @aimanankya7405 7 місяців тому

  • @jamesjustine2811
    @jamesjustine2811 Рік тому +2

    Sifaa zinatrend kuliko mambo yabandari

  • @user-up3tn4de9u
    @user-up3tn4de9u Рік тому

    Masiaya

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Рік тому

    Weweeeeeeeeee safiiiiiiiii kamanda hii ilikuwa ni kazi uliyoipenda from kumoyo hujalazimishwa

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Рік тому +2

    gari kali.za.kifahari nchi.hoehae

  • @mazeenipia8782
    @mazeenipia8782 Рік тому

    Good job mkuu

  • @KUPASteven
    @KUPASteven Рік тому

    Good job offisa

  • @anthonymilambo6038
    @anthonymilambo6038 Рік тому

    Good kijana.

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 Рік тому +2

    Hivi mmeishiwa habari au?sasa hapo nn cha ajabu🤔

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 Рік тому +1

    katikati ya mji wa zanzibar kivip?

  • @KadabraGadna-xu5ez
    @KadabraGadna-xu5ez 8 місяців тому

    Namjuwa huyu Askari namjuwa,Hana tamaaa nimuelewa sanaaa,huyu jamaa sio mtu wa rushwa kabisa ila wapo hapo malindi sub Hana ALLAH

  • @AmosiEmanuel-dw2pj
    @AmosiEmanuel-dw2pj 5 місяців тому

    Mmmm

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 8 місяців тому

    Ki today kakiweka wp ?

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 Рік тому +5

    Mnakuza vitu vya kijinga Kwan Kuna maajabu gan kwa huyo Askari si yupo kwenye moja ya utekelezaji wa majukumu yake ujinga tu ndyo maana utendaji watanzania ni duni sana

  • @kombohajjihamad8776
    @kombohajjihamad8776 5 місяців тому

    Hhhhh umetisha nasir H2

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Рік тому

    Hii kazi inawaweka kwenye hatari ya kifo any time we can do better than this huu mtindo ni wa kizamamni sana trafiki kisimama barabarani wekeni trafiki light zitawaongoza wapi pole sana askari kazi hujui kama utarudi nyumbani kila siku naona umasali usigongwe.

  • @msellemseif3102
    @msellemseif3102 Рік тому

    Bro. Hunaga makuu wewe af Jabir af Jahfar nk..ZANZIBAR OYEEEEEEE❤️❤️❤️🤣🤣🤣😂😂😂

  • @mohamedrishadiahmed.
    @mohamedrishadiahmed. Рік тому

    Nzury sna kamanda wa polisi kwa unaa wako ulotuonesha tunaomba polisi wengine mfate km kamanda koja.

  • @herimbinguni9384
    @herimbinguni9384 Рік тому

    😢

  • @MahdiMkubwa-yb1oz
    @MahdiMkubwa-yb1oz Рік тому

    Zanzibari wazaledo

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 Рік тому

    Kazinzur kk

  • @papaamakolokolo3868
    @papaamakolokolo3868 8 місяців тому

    Hizo nimbwembwe 2 kinacho kufanya tukuheshim niutendajiwako siyombwembwe hizo he upotimam kikazi?

  • @user-rw6pl4zd8x
    @user-rw6pl4zd8x 6 місяців тому

    Mbona kawida Cha ajabu ni nn au kutembe?