Exactly...U are right...Hatuwezi kuendelea kua na uwanja ule mvua tunakimbizana kuroa...Dr Mwinyi for sure ni HERO wa maendeleo Zanzibar...Anaspeed ya hatari sana na ukiregea umedondoka...Tunakuunga mkono juu ya jitihada zako za wazi zinazonekana kwa maendeleo ya Visiwa hivi...Allah akupe nguvu na maarifa Imara pamoja na ustahamilivu wa wale wanaotumia ndimi zao kukutusi ili kesho na kesho kutwa Zanzibar iwe mpya...Tumeona mengi tu mazuri kwani leo Mwalimu wa sanaa mwny experience anafikia kuvuuka 1 Milion/Month na wakati b4 alikua na laki 4....Inbrief kura zetu unazo 2025.
Kwann unauvunja uwanja wa asili, c ungejenga sehemu nyengin zipo kibao. Kuna barabara ya bububu mjini mbovu kwann isijengwe unajenga barabara ya Uwanja wa ndege Mnazi mmoja. Wakat haijafika hata miaka kumi kujengwa. Kuna barabara za ndani. Mbovu ukienda pemba hakufai njia hazipitiki.
Acha usanii ww umetumwa kuja kumaliza lkn. utaiacha hii nchi hakuna kiwanja chenye hadhi ya fifa hapo usanii tumepigwa na kitu kizito wa Zanzibar tuamkeni ndg zng
Rais Hawa bora usiwajibu ,, maana anajifanya haelewi utaratibu,, Tumedhaminiwa barabara mpya wao wanawaza mnaharibu pesa ,,eti zingefaa kununulia madawa wakati udhamini wa barabara
Mapinduzi or Mauwaji mutaenda kujibu mbele y Allah insha Allah
Sasa anatengeneza uwanja , lakini timu ya mpira hana zanzibar haijuilikani na FIFA eti" Utatumika Tanzania " hakuna kitu hapo
Exactly...U are right...Hatuwezi kuendelea kua na uwanja ule mvua tunakimbizana kuroa...Dr Mwinyi for sure ni HERO wa maendeleo Zanzibar...Anaspeed ya hatari sana na ukiregea umedondoka...Tunakuunga mkono juu ya jitihada zako za wazi zinazonekana kwa maendeleo ya Visiwa hivi...Allah akupe nguvu na maarifa Imara pamoja na ustahamilivu wa wale wanaotumia ndimi zao kukutusi ili kesho na kesho kutwa Zanzibar iwe mpya...Tumeona mengi tu mazuri kwani leo Mwalimu wa sanaa mwny experience anafikia kuvuuka 1 Milion/Month na wakati b4 alikua na laki 4....Inbrief kura zetu unazo 2025.
uwanja wa viwango vya fifa je zanzibar ni mwanachama wa FIFA
Michezo sojambo la Mungano inasikitisha Zanzibar haitambuliki n hiyo FIFA unayoitaja inayotambulika Tanganyika one day free Zanzibar insha Allah
Hana lake jambo huyu
muheshimiwa kwanini tenda zooote hazitangazwi na hatuoni kwenye gazeti la serekali ni jambo linalotutia mashaka
Kwani si ushapata jawabu au hukumskiliza na kumfahamu aliyosema ya kwamba kuna two types of TENDERS...Au???
Tunahitaji maendeleo na sio blaa blaa tushikamane tumsuport Rais wetu kwa maendeleo ya nchi yetu
Hasidi hana sababu mkuu
Kwann unauvunja uwanja wa asili, c ungejenga sehemu nyengin zipo kibao.
Kuna barabara ya bububu mjini mbovu kwann isijengwe unajenga barabara ya Uwanja wa ndege Mnazi mmoja. Wakat haijafika hata miaka kumi kujengwa.
Kuna barabara za ndani. Mbovu ukienda pemba hakufai njia hazipitiki.
Acha usanii ww umetumwa kuja kumaliza lkn. utaiacha hii nchi hakuna kiwanja chenye hadhi ya fifa hapo usanii tumepigwa na kitu kizito wa Zanzibar tuamkeni ndg zng
Rais Hawa bora usiwajibu ,, maana anajifanya haelewi utaratibu,, Tumedhaminiwa barabara mpya wao wanawaza mnaharibu pesa ,,eti zingefaa kununulia madawa wakati udhamini wa barabara
Lazima tujue znzbr wapi nawapi na Fifa fifa inaitambua.TFF kupitia cuff ss ww unaejifanya unajua hutaki kuelewesha upo upo tu
Baba yake pia alikua rais huyu au?
We unaishi wapi duh au ndo umefufuka teh teh teh
@@muhambwetvonline kenyan bruh