MASIKINI PROPHET CLEAR MALISA ANAVYOTIA HURUMA, WAUMINI WAANGUA KILIO
Вставка
- Опубліковано 9 вер 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Mungu ni mwema. Ndugu zangu tuwe na Upendo bila kubaguana maana Neema ya Mungu inakuja tofauti na matarjjio yetu. Mungu Ibariki Tanzania. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Hongera sana Prophet! Asante kwa fundisho la Upendo wa Kristo kwa binadamu yoyote mwenye mwili..hallelujah
Hiyo imekaa vizuri. Ili kujua upo na watu WA hofu ya Mungu au ya cheo! 🙌🙌🙌
Tendo la kinabii,siyo rahisi lakini Mungu aliyemwita anampa ujasiri naye kwa moyo wa kutii ,anaacha heshima zake zote kando,anabariki wale waliotoa sadaka zao akiwa katika hali hiyo! 🙏🙏🙏
Kinawaliza kwasababu walimpita pale nje, ukute hata wengne waliongea maneno mabaya kwasababu tu alivaa uhusika wa mtu ombaomba lakin angekuwa amekaa nje kama alivyo siku zote kanisa zima lingenyenyekea na kumpenda lakin kwa aina hiyo alivyokuwa ni 1 aslimia kati ya 100 ndio walio msikiliza na kumsaidia...For me kuna jambo kubwa mnoo lakujifunza Hapo
Kwakweli Mungu aturehemu sana wakristo tuna upendo wakinafki sana eee! Mungu turehemu sana
I am host mungu akulinde sana tu
Content creation 🔥🔥🔥
Story inafundisha ila angeifanya mbali na kanisani kwake...
😢😢😢😢nimeipenda bule hiii nikwer YESU atatukana naunafiki tulionao wakristo tubadilike tuache kujihesabia haki nakujiona bora tutaumbuka siku ya mwisho
Wamejua ni yeye ndio maana imewauma in short ni hv ASIJIEKUJUA AKUTHAMINI HATA KIDOGO UBINADAM HAUPO THIS DAYS WACHACHE SANA WENYE NAFSI HIO
Aisee..Mungu atusaidie kwakweli
Laiti😭inakuja baada ya majuto,❤Profet Malisa 🥰🤣
🤣
Daah Aisee Sasa kipi kinawaliza
😢😢😢
Amemuiga prophet Eddy
Kamera man hawakumuona hao watu😂😂😂
Camera zipo mda wote especially jpili siku ya ibada camera zipo Kila mahali
umetisha dogo
Wanaolialia wote wanafiki
Hii imeenda..
Hii inaitajika ingine Tena bonge la mov
UYO ALOLALA CHINI NDO KAUA KABISA 😃
😂😂😂
Kaiga nabii fulani muafrika
Ni funzo kwa wengi
Mmh ngumu iyo
Dah! Nmewaza hata ningekua mimi nisingeto
Hello hello
Mung mwema anatutengeneza kifiikra kuwa hata kichaa ana haki ya kula meza moja na we ulie na hakili timamu. Jina lake li himidiwe.
Vichaa wengine wanapiga na kubaka
Kula naye Kama ajakutemea mate
Kwanza anatisha, akikufata unaweza ukamkimbia maana unaweza ukapigwa
Innalilah wainailey rajuoon
Muongo tena mnafiki mkubwa alafu ana ukabila
Sasa kastori mnaleta kafupi hivi
Huyo muongo yeye mwenyewe ana uupendo ukienda kanisani kwake tofauti anakuchukia atakusimanga kanisa zima
Hizo zinaitwa kiki za manabii wa kizazi kibaya cha zinaa ni somo zuri lakini halijafundishwa kwa nia nzuri
Sasa kilio chanini mbona sijaelewa lolote Mim 😂😅
Wakupendao kwa ukweli utawajua.
Mh ka2pa dhawadi leo
😂😂😂apo kwenye kulia bhn,huenda wanaumia like mbele zke hua wanaonyesha mema asa walimpitaaa kwa kumyari😂
Hii mpya 2023.
🤣🤣🤣 mbinu nyingi sana hawa manabii
Tunaweza kuona n mbinu kumbe mwenzao anatimiza maagano chezea manabii wewe😂😂
Siku za mwisho hizi hapa sasa ,ila jamaa anajituma kuaminisha watu.
Hii nchi ina shida sana .hii kiki mpaka kanisani mbona vchaa wapo wengi hamjawai kuwaita kanisanii.tafuteni pesa watanzania
Unafiki unawasuta dhamili zao. Hivyo ndivyo binaadamu walivyo ila watu ni wachache sana,
Duuh
😂😂😂😂
Sasa kwann wanalia na kajifanya chizi mwenye baada ya kulia msamehewe mazambi mnalilia chizi mkusanya sadaka😂😂😂
Kwako unaona nimkusanya sadaka, kwetu, nimtumishi wa Mungu, Tena ALIYE hai
Mumeecti
Siku zote majeruhi hua wanakuaga wanafiki sana tafakali kaa upande mmoja kama moto moto kama baridi baridi hapo nje wamempita tu sahiz wanajiridha nn hovyo na si hivyo tu tutaona mengi na ndo maana biblia inasema kesheni mkiomba
Ameigiza vyema
sema kama alitumia kameraman wasiojulikana hapo kanisan basi amekamilisha nia yake...ila kama kameraman ni wale wale wanaofahamika pale chachi basi mwendo ni ule ule sawa na kutoa pesa mfuko wa kushoto na kuweka kulia😅😅😅😅
huoni camera aliita ayo kama kawatembelea ibadani
ua-cam.com/video/l_xZ_B_idVo/v-deo.htmlsi=2wcdJ12_nIBFhy8J Alijichanga Na Mchawi Daimond Kujiunga Naye.
Kuna bosi alijifanyaga hivyo watu walivyoendaga kwenye intarvuu akawajuwa wanaofaa na wasiofaa
😅 content creator
Copy and paste from Zimbabwe
Ha ha ha watu wanafanya maigizo, huyu ashughulike na uzinzi na utapeli wake huko mke wake anasubiri majibu.
😂😂
Sasa.kwanini na yeye anakuwa na tamaaa za kimwili....jifunzeni kutulia na wake zenu.... fungeni zipu....
Copy and paste kutoka kwa prophet edd
Anapenda kusifiwa uongo
Anakunyanyapaa hata ulipokaa apitu akutabilii sasa anakugombeza ukatoe sadaka akati yeye akuombei
Watu wamungu tujifunze kuto kubagua tujifunze upendo kupitia hii kripu kuna watu ambao wana moyo mgumu tutafute njiaa yakwenda mbinguni tukiwepo uhaii🙏🙏🙏😢😢😢
Hiki nikipimo chaimani kwabinadam yoyote