JUA LA ELIMU - Historia ya Sheikh MUHAMMAD AYOUB wa Tamta - Tanga | Kuzaliwa | Kusoma hadi Kufariki
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Wengi katika wanazuoni wa leo hapa Tanzania na nje ya Tanzania ukizifuatia silsila za elimu zao basi mwisho utakutana na Kigogo huyu wa elimu aliyeishi Miaka ya nyuma kidogo na si mwingine bali ni Sheikh MUHAMMAD AYOUB
Huenda ukawa humfahamu lakini umeshawahi kumsikia. Alikuwa ndiye muanzilishi na mudiri wa chuo cha elimu ya Dini ya Kiislamu cha TAMTA - TANGA
Hii hapa ni historia yake kwa ufupi ambayo itakupa mwangaza na kumfahamu Mwanazuoni huyu wa Afrika Mashariki na kati.
Asante kwa kuamua kuwa nasi - BUNDUKI TV
#bundukimedia, #uislamu
Maashaa Allah sanad nzuri sana ,Allah amuhifadhi almarhum sheikh M Ayoub
Hiyo ndio sanad mzuri ya sheikh wetu MaashaAllah.
Allaah amrehemu shekhe wangu. Alikua akinipenda sana. Niko Oman 🇴🇲 lakini simsahau
Maashaallaah..
MashaLlah
MashaAllah
Asalam alykum ndugu zangu waislamu.kwa majina naitwa Mariam Zahran Dina.nimeipenda historia ya shekhe Muhammed ayoub.me nipo zanzibar.naomba Namba yako ya CMU Kwa mawasiliano na maongezi Zaidi
Ahsante kwa taarifa nzuri ya uchambuzi wa kihistoria
Akhiy nawe MWENYEZI MUNGU ASIKUACHE KATIKA KUNDI LA WAJA WAKE ANAOWAPENDA KWA BARAKA ZAO AAMIIN
Wanavyooni wengi wamepitia kwa sheikh Ayoub na ukiwaona aliowasomesha ni mashikh wakubwa
Mashaallah mzungumzaji ni fasaha sana.
قد مات قوم وما ماتت مكارمهم
وعاش قوم وهم بين الناس أموات
رضي الله عنه .. 🌹
Maaashaallaaah... Swadakta
Allahumma ighifirahu warhamhu waskanahu filjannah
Allaahumma aamin
Allahumma ighifirahu warhamhu waskanahu filjannah
Amyn
Allah alifanye kaburi lake ni bustani miongoni mwa mabustani ya peponi.
Shukran Sana nimefurahi kwa tarehe hii mola akubariki sana
Shukran
INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN Allah amfanyie wepesi katika safar yetu hii na ATUPE mwisho MWEMA YAARAB. Wanafunzi wa sheikh kuweni wenye kuipeleka mbele Dini WACHENI mizozo isiyokuwa na maana katika DINI. Bega kwa bega mpaka Firdaus
Aaamiin yaa Rabbi
Maashaallaah
Mungu amrehemu amueke pema peponi jina zuri la kwetu mnyanjani Shekh kannena wele wa mnyanjani watajua hilo neno
Shukran Sana sheikh
Mashallah
Shukran
Mungu amrehem shekhe wetu na afanye kaburi yake kuwa viwanja vya peponi amin isnaallah
Aamin yaa Rabbi
isisahaulike kuwa Tamta ni chuo cha Masufi.Haifai Kusoma hapo.
Allah awaongoze.
Mashaallah alla amuondeshee kiza ktk kabri yake
Wa kwanza
😆😆😆 hongera mzeee💪
allah akuhifadhi uzidi kutupa ilimu
jazakallahu khayran
Aaaamiiin
اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة
Aaamin
بارك الله فيك
naomba historia ya muasisi wa mahawa na muasisi wa zahrau
Kaka mungu akujaarie Mana unaturisha Sana neno la mungu
Aaamiin aaamin
ENZI HIZO HAPAKUWA NA MAWAHABI MAANA KWA SASA ANGEONEKANA MJINGA HAFAI WALA HANA ELIMU
MAWAHABI AKILI ZAO SIJUI ZIKOJE YAANI WAMEANISHWA KUWA WAO NDO WANAJUA KILAKITU ILA WENGINE WOOOOTE HAWAJUI KITU
Tunaomba historia ya shekh Shaban Mohammed harir muasis wa maawal islam
Inshaallaah. Tutaifuatilia sheikh
Kasida yangu ipo hapo makao makuu. ان نجا مجتلاء × في ذالهدي
Kaswida za tamtaa deeii
اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة
Mbona kidevu umekikwangua sasa😂😂