JUA LA ELIMU - Historia ya Sheikh MUHAMMAD AYOUB wa Tamta - Tanga | Kuzaliwa | Kusoma hadi Kufariki

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Wengi katika wanazuoni wa leo hapa Tanzania na nje ya Tanzania ukizifuatia silsila za elimu zao basi mwisho utakutana na Kigogo huyu wa elimu aliyeishi Miaka ya nyuma kidogo na si mwingine bali ni Sheikh MUHAMMAD AYOUB
    Huenda ukawa humfahamu lakini umeshawahi kumsikia. Alikuwa ndiye muanzilishi na mudiri wa chuo cha elimu ya Dini ya Kiislamu cha TAMTA - TANGA
    Hii hapa ni historia yake kwa ufupi ambayo itakupa mwangaza na kumfahamu Mwanazuoni huyu wa Afrika Mashariki na kati.
    Asante kwa kuamua kuwa nasi - BUNDUKI TV
    #bundukimedia, #uislamu

КОМЕНТАРІ • 48

  • @murtadhwangereza4208
    @murtadhwangereza4208 7 місяців тому +3

    Maashaa Allah sanad nzuri sana ,Allah amuhifadhi almarhum sheikh M Ayoub

  • @saidiramadhan6263
    @saidiramadhan6263 Рік тому +6

    Hiyo ndio sanad mzuri ya sheikh wetu MaashaAllah.

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 3 роки тому +5

    Allaah amrehemu shekhe wangu. Alikua akinipenda sana. Niko Oman 🇴🇲 lakini simsahau

  • @user-hk7zx9zw9h
    @user-hk7zx9zw9h 6 місяців тому +1

    Asalam alykum ndugu zangu waislamu.kwa majina naitwa Mariam Zahran Dina.nimeipenda historia ya shekhe Muhammed ayoub.me nipo zanzibar.naomba Namba yako ya CMU Kwa mawasiliano na maongezi Zaidi

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Рік тому +1

    Ahsante kwa taarifa nzuri ya uchambuzi wa kihistoria
    Akhiy nawe MWENYEZI MUNGU ASIKUACHE KATIKA KUNDI LA WAJA WAKE ANAOWAPENDA KWA BARAKA ZAO AAMIIN

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 3 місяці тому +2

    Wanavyooni wengi wamepitia kwa sheikh Ayoub na ukiwaona aliowasomesha ni mashikh wakubwa

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Рік тому +3

    Mashaallah mzungumzaji ni fasaha sana.

  • @jamaldinabubakary9507
    @jamaldinabubakary9507 Рік тому +1

    قد مات قوم وما ماتت مكارمهم
    وعاش قوم وهم بين الناس أموات
    رضي الله عنه .. 🌹

  • @kassimfundi2326
    @kassimfundi2326 2 роки тому +3

    Allahumma ighifirahu warhamhu waskanahu filjannah

  • @saidiramadhan6263
    @saidiramadhan6263 Рік тому +1

    Allah alifanye kaburi lake ni bustani miongoni mwa mabustani ya peponi.

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak6577 3 роки тому +2

    Shukran Sana nimefurahi kwa tarehe hii mola akubariki sana

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 2 роки тому +2

    INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN Allah amfanyie wepesi katika safar yetu hii na ATUPE mwisho MWEMA YAARAB. Wanafunzi wa sheikh kuweni wenye kuipeleka mbele Dini WACHENI mizozo isiyokuwa na maana katika DINI. Bega kwa bega mpaka Firdaus

  • @user-eo9ij5je5i
    @user-eo9ij5je5i 5 місяців тому

    Maashaallaah

  • @fatumabakariki8417
    @fatumabakariki8417 Рік тому

    Mungu amrehemu amueke pema peponi jina zuri la kwetu mnyanjani Shekh kannena wele wa mnyanjani watajua hilo neno

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak6577 2 роки тому +1

    Shukran Sana sheikh

  • @mohamedahmed-yj5rq
    @mohamedahmed-yj5rq 2 роки тому +1

    Mashallah

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 2 роки тому

    Mungu amrehem shekhe wetu na afanye kaburi yake kuwa viwanja vya peponi amin isnaallah

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u 9 місяців тому +1

    isisahaulike kuwa Tamta ni chuo cha Masufi.Haifai Kusoma hapo.
    Allah awaongoze.

  • @salamapwepwe8857
    @salamapwepwe8857 Рік тому

    Mashaallah alla amuondeshee kiza ktk kabri yake

  • @MAGICSTONESTZ
    @MAGICSTONESTZ 3 роки тому +1

    Wa kwanza

  • @zahranabdi8124
    @zahranabdi8124 3 роки тому

    allah akuhifadhi uzidi kutupa ilimu

  • @harounabdallah9036
    @harounabdallah9036 2 роки тому

    jazakallahu khayran

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 2 роки тому

    اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 3 роки тому

    بارك الله فيك

  • @zahranabdi8124
    @zahranabdi8124 3 роки тому

    naomba historia ya muasisi wa mahawa na muasisi wa zahrau

  • @MOMMEDIA1
    @MOMMEDIA1 3 роки тому

    Kaka mungu akujaarie Mana unaturisha Sana neno la mungu

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u 7 місяців тому

    ENZI HIZO HAPAKUWA NA MAWAHABI MAANA KWA SASA ANGEONEKANA MJINGA HAFAI WALA HANA ELIMU
    MAWAHABI AKILI ZAO SIJUI ZIKOJE YAANI WAMEANISHWA KUWA WAO NDO WANAJUA KILAKITU ILA WENGINE WOOOOTE HAWAJUI KITU

  • @jumaaruwa8793
    @jumaaruwa8793 2 роки тому

    Tunaomba historia ya shekh Shaban Mohammed harir muasis wa maawal islam

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi8309 3 роки тому

    Kasida yangu ipo hapo makao makuu. ان نجا مجتلاء × في ذالهدي

  • @mwanyukmwanyuk7769
    @mwanyukmwanyuk7769 Рік тому

    Kaswida za tamtaa deeii

    • @kassimamiri4131
      @kassimamiri4131 Рік тому

      اللهم اغفرله وارحمه واسكنه في الجنة

  • @user-ml9it6fm3x
    @user-ml9it6fm3x 11 місяців тому

    Mbona kidevu umekikwangua sasa😂😂