"WAJASIRIAMALI NI LAZIMA MJUE KUTOFAUTISHA IPI NI GHARAMA NA IPI NI FAIDA " Prof. Ngowi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Prof. Ngowi awafunda wajasiriamali nchini kuhakikisha wanajua kukotoa mahesabu vyema(bajeti) na kujua jinsi ya kutofautisha kati ya gharama na faida ili waweze kupata faida stahiki na kupata maendeleo. ametoa darasa hilo alipomtembelea mjasiriamali Festo Nyoni ambaye ni fundi seremala aliyejiajiri mwenyewe, katika kipindi chake cha Clinic ya Ujasiriamali

КОМЕНТАРІ • 8

  • @mazaolink
    @mazaolink 6 років тому

    Ni somo zuri sana hilo,wajasiriamali wengi hawajui faida wanaipataaje,wakiipata wanaifanya nini ili kuongeza shughuli zao.Hongera sana Ngowi Tv kwa angalizo hilo.Jitahidi kuwapa kipindi na watu wa Tv ili kusambaza ujumbe

  • @floranyambominja5797
    @floranyambominja5797 2 роки тому

    Kweli huyu Prof alijitoa kwa mioyo wote. Mungu ampumzishe Mahal pema peponi.

  • @johnsonjohn8590
    @johnsonjohn8590 5 років тому

    Barikiwa sana prof

  • @lvptv4610
    @lvptv4610 5 років тому

    Kari nzuri Sana prof ngowi

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 5 років тому

    Kazi nzuri professor

  • @victorgaspar4400
    @victorgaspar4400 6 років тому

    Thanks Prof. Ngowi for the hard work to teach young enterpreneur to consider basic cost breakdown in anything they do