Walitudanganya kwenye historian ya Tanzania kuanzia class 1 hadi form six sijasikia historian hiyo walicho kiandika ni TIPTIP alikua kibaraka wa waarabu aliyekua akitumika kuuza waafrika wenzake.
Tuliletewa historia ya kuuchukia uislam kila baya likatajwa ili tuone waarabu wabaya na tuvhukie uislam angalia utawala wa leo na wa kifalme znzilikua pepo hafungwi mtu kwa kubambikiwa kesi lkn leo watu wanasota magerezani kwa jina la ugaidi wakina mbowe na wengine na hakuna utawala mbaya kama wa magufuli aliua na kuwapoteza watu na kuharibu uvhaguzi lknmwisho yuko ktk mikona ya Allah anajibu
Athari za uislamu zanzibar na wema wa watu wake ndizo zilimwezesha babu yangu kusilimu na kuowa mwanamke wa kiislamu na kuzaliwa mamaangu na ndugu 8 hapo zanzibar.
@@StraightPathDawah hii tunafahamu.. waislamu DUNIAN kote wao wanawaza kuuwa watu tu ili wakapate bikra 72 mbinguni😁😁.. hapo shetan kawashika vibaya ,sisi tunawaombea sana , LAKINI NZURI ZAID NI KWAMBA WANAUWANA NA KUPIGANIA WENYEWE KWA WENYEWE. TANGU ENZI ZA MUHAMMAD PAKA LEO. HII NI USHAHID TOSHA WAKO SEHEMU YENYE SHAKA TUPU..
Masha Allah, Allahu Akbar, Insha Allah ukiwa unarudi nyumbani Kenya utapitia na Kwale Ukunda Msikiti Kongo pia utujuze zaidi kuhusu msikiti huo Insha Allah
Kwani ukishika kinyesi chako kwa mikono unakufa au ?kinyesi ukinawa kwa maji kinatoka na sabuni pia zipo au kwenu hakuna maduka,jiangalie ukiongea fikiria kwanza sio unaleta stori za kitoto
Jazakhallah kheir ALLAH akulipe Kwa kazi nzuri kuhusu historia ya dini ya uisilamu Afrika mashariki
Maashaa Allah Tabarakallah, Kazi nzuri sana yaa sheikh, Allah akulipe hapa duniani na kesho akhera 🤲
Waleikum musalam warah mathu lahi wabara kathuu Masha Allah Good 👍job Allah akulipe kula la kheir Inn shaa Allah
MashaAllah shelkh Ramadhani shukrani sana
Masha'Allah!nakubaliana na ww!
Mungu atawalipa
MashaAllah, Allah akulipe kheri
barakac Allah, nimefaham nafatilia siku moja inshaallah itakuja Kkuliza mashwali.
Ramadhana mashallah Allah awazidishia na dawah mitaani
Alhamdulillah nashukur sana kuipata chanel hii...inanisaidia sana kujielewa..😊😊
Allah awape kheiry nyingi wa sheikh zetu in shaa Allah
MashaAllah
Mashallah Allah 💓
Walitudanganya kwenye historian ya Tanzania kuanzia class 1 hadi form six sijasikia historian hiyo walicho kiandika ni TIPTIP alikua kibaraka wa waarabu aliyekua akitumika kuuza waafrika wenzake.
Historia yake ilipotoshwa
Historia yote kiufupi kuna mambo mengi hayapo sawa, waarabu wanaonekana kama sio watu wema lakini kiundani mambo ni tofauti
Kazi ya Nyerere hiyo kudanganya na kubadilisha historia
Allah amlipe mwanawachuoni ramadhan kuria
Tuliletewa historia ya kuuchukia uislam kila baya likatajwa ili tuone waarabu wabaya na tuvhukie uislam angalia utawala wa leo na wa kifalme znzilikua pepo hafungwi mtu kwa kubambikiwa kesi lkn leo watu wanasota magerezani kwa jina la ugaidi wakina mbowe na wengine na hakuna utawala mbaya kama wa magufuli aliua na kuwapoteza watu na kuharibu uvhaguzi lknmwisho yuko ktk mikona ya Allah anajibu
Nimesikia tiptip kwaio Kwa mtipura ipo sehemu inaitwa Kwa mtira kwaio Kuna utofauti au vp?
masha Allha
Alhamdulillah
Athari za uislamu zanzibar na wema wa watu wake ndizo zilimwezesha babu yangu kusilimu na kuowa mwanamke wa kiislamu na kuzaliwa mamaangu na ndugu 8 hapo zanzibar.
Allahu akbar
Heee tumedanganya jamani historie nzuri hii mashalah sasa hamna familiya zao hawa viongozi wote jamani bwana tiptip familiya yake hamna
Kumbe waarabu waliwapiga wareno..kama kawaida yao wazee wa kujilipua
Ndio Hadi wakashika adabu
@@StraightPathDawah hii tunafahamu.. waislamu DUNIAN kote wao wanawaza kuuwa watu tu ili wakapate bikra 72 mbinguni😁😁.. hapo shetan kawashika vibaya ,sisi tunawaombea sana , LAKINI NZURI ZAID NI KWAMBA WANAUWANA NA KUPIGANIA WENYEWE KWA WENYEWE. TANGU ENZI ZA MUHAMMAD PAKA LEO. HII NI USHAHID TOSHA WAKO SEHEMU YENYE SHAKA TUPU..
Masha Allah, Allahu Akbar, Insha Allah ukiwa unarudi nyumbani Kenya utapitia na Kwale Ukunda Msikiti Kongo pia utujuze zaidi kuhusu msikiti huo Insha Allah
MashaAllah Tabarak Llah Sheikh: Ramadhan' kazi nzuri sanaa.
Allah awalipe kila'lakheri nyote muliyo jitoleya Ameen
Mashallah lkn mbona mgeni hajakaribishwa Urojo😢
Mashallah masheikh wetu kwa kutuelemisha kujua misikiti mikongo zaidi Afrika mashariki hii ni kumbukumbu mzuri kwa vizazi vijazo Allah barik
Masha"Allah
MashaAllah, Allah akulipe🙂🌍
MashaAllah. Shukran sheikh Ramadan kwa juhudi zako.Allah akulipe khery
Waleikum musalam warahmathu lahi wabara kathu Masha Allah
Mashaallah mashaallah mashaallah...Allah awaeke masheikh wetu
Njoo Tumbatu Jongowe uone msikiti mkongwe Zanzibar uliojengwa mwaka 37 Hijiria nakutumika mwaka 38 ila historian ya Jongowe inafichwa sijui kwa nn?
Mashallah, ila watu wengi hata Waislamu wanapotosha Historia Yao wenyewe
Sheikh Ukimaliza hapo ukijaaliwa ufike Sehemu inaitwa Mafiya na kilwa
Pia tugewauliza kwanini Yahya Zakariya (John the Baptist) alimbatiza Jesus Christ (pbuh), Muungu wao kwa maji ya mto wa Jordan badala ya tissue?
Ila yule mwanamke kavunja rikoni eti ataendelea na tishu 😂😂 ila huo urojo umesababisha shekhe wetu ameze mate 😂😂
ماشا الله👏
Muendelezo wp sehemu 7
Straight Path Dawahzaidi Zanzibar
Masha Allah
Nikurekebishe sheikh washirazi sio waarabu ni watu wako karibu zaidi na wahindi angalia kwenye map shiraz iko wapi
Nenda kasome history inaonesha bado huijuwi wewe
Muhammad Ahmed upo Sawa washirazi sio waarabu ni wapeshia wa Irani ambao sasa wanaitwa wabulushi hapa tanzania visiwani na bara
Sasa unaeza anza na maji kabla ya tissue siutashika kinyesi
Kwani ukishika kinyesi chako kwa mikono unakufa au ?kinyesi ukinawa kwa maji kinatoka na sabuni pia zipo au kwenu hakuna maduka,jiangalie ukiongea fikiria kwanza sio unaleta stori za kitoto