Assalam alaykum ndugu zangu waislamu hakuna kitu kikubwa Kama kuwa nahistoria.kamili ya uislamu ya maeneo yet tulionayo Kama ni kitu muhimu kwa AJILI kujitathimi upya ili kupata taaluma.zaidi juu nchi zetu na uislamu wetu kwa Nia ya kujenga uimara wa uislamu wetu kwani bill kujua historian yako ni hatari kwa.maisha yako wewe mwenyewe naomba Sana tutafute historia juu yetu na historia ya dini yet na vipi dini ya kiislam ilifika kwetu na ilifikaje kwetu na mwaka gani n k ahsante
Maneno mazuri sana yataishi kwenye vichwa vyetu mpaka tutakapo kutana na mtukufu wa daraja!!jazaka Allahu khayr
Waalaykum Ssalam Sheikh wangu Sastambuli.
Wallahi Tarekhe unayoitoa Mwenyezi Mungu akutilie Baraka.unaichambua Tarekh ndivyo Wallahi unanikumbusha Sheikh wangu Marhum Sheikh Abdullahi Nassir nilipokua Imam wa 3KR Lanet kule Nakuru,ingawa mimi ni Suni lakini nilikua nikienda Darsa zake mana alikua akinifunza mengi kama unavyoendelea wewe.
Ahsante sheikh kwakutujulisha mambo yanayo tuhusu khasa
Jazakhallah Shekh allah barik akupe afia njema na umri mrefu🙏🏾🙏🏾
While listening to the speach which was presented by MR STAMBULI WAS Cait ok
Assalam alaykum ndugu zangu waislamu hakuna kitu kikubwa Kama kuwa nahistoria.kamili ya uislamu ya maeneo yet tulionayo Kama ni kitu muhimu kwa AJILI kujitathimi upya ili kupata taaluma.zaidi juu nchi zetu na uislamu wetu kwa Nia ya kujenga uimara wa uislamu wetu kwani bill kujua historian yako ni hatari kwa.maisha yako wewe mwenyewe naomba Sana tutafute historia juu yetu na historia ya dini yet na vipi dini ya kiislam ilifika kwetu na ilifikaje kwetu na mwaka gani n k ahsante
Walaykumsalam warahmatillah ndugu stambul
Mashallah nime jifunza asante shekh mwezi mungu aku zidishie umli
Mashaa Allah .. shekhe ungetoa kitabu cha HISTORY east Africa ktk karne 7 na nane
Asante sheikh stanbul kwa kutufungua macho tulikua hatujui hio historia
Shukran sheikh,lakini tumekosa slides
Gd
Mashallah
MashaAllah very nice
quite informative