Kama kuna somo unataka kulijua kutoka kwa sir binladen acha comment yako hapo chini na BINGO ONLINE TZ tutakuletea na ili kumpata sir binladen mpigia simu 0679426148 . LINK YA UA-cam YA SIR BINLADEN ua-cam.com/channels/5QELa40yMcx2CgwMnoQAWQ.html
😂😂😂😂😂😂 Kama mazur uyo yesu yupo wapi.... 😅😅😅😅 Acheni kujidanganya.... Sema na nafsi yako kwamba hauhitaji hizo roho kwa Maan Ni ushirikina ila sio yesu yesu kafanya nn sasa apo
Masikini, ameenda kuswali msikitini emeishia kupata majini na kua mganga. Hakika shetani ametawala. Tumaini la kweli alipate wapi, kimbilieni kwa Yesu jamani Yeye anakuponya bure bila mauzauza yeyote, wala hauhitaji kuandika aya kwenye karatasi kwa karamu nyekundu.
Kama kuna somo unataka kulijua kutoka kwa sir binladen acha comment yako hapo chini na BINGO ONLINE TZ tutakuletea na ili kumpata sir binladen mpigia simu 0679426148
.
LINK YA UA-cam YA SIR BINLADEN
ua-cam.com/channels/5QELa40yMcx2CgwMnoQAWQ.html
Mashallah
Good 👍
Mm nataka namba yake tu
Mwenyez mungu akuongoze uwe mtu kweli wkusaidia wenye matatizo na sio kuongopa natumain unamwopa mwenyez mungu
Congratulations 🎉🎉
Maalim nakuelewa sana
Ana tamaa ya pesa huyu. Ukimpigia anataka anunue gari kwako tayari
safi sana huyu ana maono makali sana alaf ana loho ya utu
Njia ya peke ni Jesu Kristo mwana wa mungu aliye haai.Ya shetani ina malipo.Ya mungu ni bure milele na milele amin
Mungu Hana mtoto toa upuuz wako apa
MUNGU awe na mtoto ili iweje, mmetapeliwa na Sauli mnayemuita Paul. Trinity delusion....
Assalamu aleykum je,Dactari mpaka aone kwenye ndoto?kuhusu operesheni?sio wote wanaona kwa kichwa wewe shukuru Allah
Mashaallah
ALLAHU AALAMU.
Je dawa ya mgongo inapatikana
Kwa damu ya YESU KRISTO hizo roho ziteketee kwa moto Kristu
Damuyasesu unaikua wewe au akiliyako imeishiahapo kwadamuyayesu kweda
😂😂😂😂😂😂 Kama mazur uyo yesu yupo wapi.... 😅😅😅😅 Acheni kujidanganya.... Sema na nafsi yako kwamba hauhitaji hizo roho kwa Maan Ni ushirikina ila sio yesu yesu kafanya nn sasa apo
Namba yako
Dawa ya jamaa niliitumia
Tupe dawa Kaka
Masikini, ameenda kuswali msikitini emeishia kupata majini na kua mganga. Hakika shetani ametawala. Tumaini la kweli alipate wapi, kimbilieni kwa Yesu jamani Yeye anakuponya bure bila mauzauza yeyote, wala hauhitaji kuandika aya kwenye karatasi kwa karamu nyekundu.
Saf
Naomba namba zako
Mwalim wang nimeku mc sana naume tususa sana zinga