Songa feat. Double-HISIA ZA MOYONI(Official Video)
Вставка
- Опубліковано 14 лип 2016
- Shukrani kwa Mungu kwa uwepo wa hiki kifanyikacho duniani japo kwenye maisha kuna mambo mengi yanayohusisha watu wengi ndani yake ila kuna muda unaweza ukajihisi mpweke katikati ya kundi la watu,Hisia Za Moyoni ni wimbo unaolezea mengi. Tazama , comment, share na bilakusahau subscribe account yangu kuendelea kufuatilia mengi kutoka kwangu.
Asante.
Download link: www.mdundo.com/a/972
Facebook : Songa (official page)
Twitter : @NiiteSonga (Official page)
Instagram : @NiiteSonga (Official page)
🎉🎉aah mm ntacoment tu nna sbb kibao z kuipenda hii ngoma❤
Kila nikaa wiki moja au mbili lazima nirudi kuisikiliza hapa❤
+ waite polisi
Hisia za moyoni
Nyie mko slow san me per day lazima nisain hapa... Ety
Imani ni Bora kuliko dini👊👊
Undoubtedly my best and most played song by a Tanzanian artist.
Duh cichoki kuitzama hii ngoma songa nakubl sana bro pale ninapokua mnyonge nyimbo yako inanifariji
Duuu Songaa hii ni nomaa@Songa n nchi ya flow no flag
niamini kaka Kwenye hii Dunia CRITICAL THINKERS kama wewe mnahesabika..I respect kazi zako kaka.big up
Nasikitika kuona vijana wanakufa kwa madawa na ukimwi. S.O.N.G.A your the best😢
2020 hapa kimara duh we ni mkariiìi IMANI ni bora kuliko Dini
Mzaliwa 2000✝️lakin naelewa sana nyimbo za mwamba
nikapate upepo kisiwa cha Zanzibar ahsante Songa kwa kutawakilisha utalii wetu zanzibar karibu Zanzibar
Nimekuelewa zaidi 2023
Ata wakikutupa Kenya uta run +254 wamuulize OG😀😀🤣
2024 still here🎉
Usiulize nipo chimbo kama mlipuko WA TALIBAN👍👍
Nakukubali Sana Sana an nimejaza mangoma yakoo
Songa ni NCHI YA FLOW BRO NO HUG 💥🥘🔥🔥🔥
yani mpk leo namckiliza uyu mchizi na lazima awepo kwny playlist yngu...Respect Songa
S.O.N.G.A...........Ipo cku watanzania wataelewa unafanya nn......Safi sana
Katka wanahrkat wa hop songa namuelewa sana kama naww unaelewa anachofanya gongs like
Jamaa nakubar uandish wako, sichok kisikiliz nyimbo za huyu jumaa
Ila songa wewe Ni Kipaji....
#HisiaZaMoyoni
Hii ngoma duuh kali sanaa
Nmejskia kucoment mara nyinyinying ila hii y mwisho"maisha sio shida tu...
Respect tamaduni bob
nachotaka kuona ni furaha inapatikana SUDANI YA KUSINI ..(FACT: HIP HOP LIVES)
Respect my man
goood song pamoja brother
Kina Nash Mc, kina Songa, kina Bonta, kina nani... kina One the incredible kina nani....nyie ni watu makini sijawahi ona.
💥💥💥💥💣💣💣
From UAE +971
Dah Duniani hakufai ndio maana ukizaliwa tu unalia
Songa big up man
duniani hakufai ndo maana ukizaliwa tu unalia ngoma gonga like twende sawa
Best song,I almost play everyday!
Unaweza ukawa bora hata kama usipo Win... - Mandonga mtu kazi ni mfano wa huo mstari
😂😂
Ilipotea simu yangu nikaipoteza hii hip hop, bonge la songe
Imani ni bora kuliko dini
👌🏽👌🏽👌🏽well thought 💭
"kama kazi yako dhambi,unadhani malipo nini"
Huu mdundo tumchapie Kali mzeee😂😂
How does this have not pass 50M views its amazing
Ati songa utaflow wapi muulize dem wako nishafanya show gapi.....HISIA ZA MOYONI
DUNIANI HAKUDAI NDO MAANA UKIZALIWA TU UNALIA
Duuuuuh pa1kaka nakubal
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤songaaaaaaaaaaaaaaaaa
Unaweza ukawa Bora hata usipowin
bonge la mdundo kiukweli umeongea vtu vkali sana aisee wasanii inatakiwa wawe dzain hii . big up broo songa
Duuuh..mura.inanikumbusha.tarime nyamongo 2023...nikiwa nakula k2 Cha 250..v2.500😂😂😂😂😂😂😂
Sijawahi choka sikiliza hii nyimbo bro... na nikiisiliza after sometimes naona nilimisi kitu kikubwa mno BIG UP SONGA ✌
Ninapoitazama top ten ya nyimbo bora kwangu kwa mwaka @2015, hii moja ya nyimbo kali sana na huwezi kuitoa ndani ya top five,
Respect kwako @niitesonga, shoutout kwake @Double
songa
Respect broo!
Naipenda sana tena sana ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Songa nnakukubali, 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 huku tunakupata
Keep going 2024
2024 tukutane hapa👉🏿
Aisee this Songa guy is dope....
Man me sikujui nimeskia tu song yako Y254 n nikaipenda sana. Great song. Straight to the heart.
"anayenifanya nisimame ndiye anayenifaa.,,,," ngoma kali san mwana.
naikubali sana tamaduni music
Respect bloo
Unaweza kua Bora ata usipo wini ✌
Umefanya mziki uonekane kitu rahisi sana# Big up
Imani ni Bora kuliko dini
Hii ngoma imetulia kinyama
waah this song ina songesha; milima na Daa
talanta kubwa kwa pande zote production on point pia
LOVE FROM NAIROBI
Nice work Songa
Mara zote wewe uko vizur makuamin
Nakuelewa kaka naiflow yote hii ngoma
Daaaaah 😢namkumb manzi angu😢😢😢
Yeees
Kali bila ukali vikal. Cjui nmesema nn
SONGA ni rapper
big up bro Songa,nakuombea umri mrefu,HIPHOP ifike songe mbali zaidi
niite songaa. naskiliza siku nzma ngoma atariii..big up ..
nipe shavu nirushe kofi kwa ruksa pasipo mwinyi
Only those who know about music lyrical king are here🤟🏾👊🏾
Daah talanta kubwa sanaaa kaka
Much respect brother,sichoki kusikiliza na kutizama wimbo huu siku zote za maisha yangu
Gud song songa songa mbele
December 07 2022, kichwa imejaa mawazo sana...najikumbusha umuhimu wa kupambana na Songa👊🏿
Nyimbo nzuri sana 2016-2022
No ma bro song a ulifikili sana kuandika hiyo ngoma
Songa unafikiria sana una mistari yenye logic ila the way unarap bado inabidi ubadilike
video Kali sana arif. big up.
Ngoma kali sana
ni wachache tunaoujua mzik mzr hata kama unastrace zote zinakwesha ni mwendo wa kutikisa kichwa tu
When rappers talked about life not lifestyle.
Songaaaa
Daah
Songa, ur gud broooo... sio kwa punch Hizi daaaaaa. this is my appreciation.
Mkn bro
Penda sana
Kama hjui huez muelewa jamaa hii siyo singeli..the best song ever👊
still nipo pamoja na hii mitindo ,,much respect Songa
Hi nyimbo yangu
Hisia za moyoni
Wanapagawa naamini......napata huzuni kuona vijana wanapagawa na mihadarati, unga na ukimwi
bit zako na verse hakun mwngine songa
kawaida kwa mlevi kupata ajali baa. .niite songa😢😢😢.demu wako nungunungu no...
Hii nyimbo kaliii sana naiskiza kila siku kwangu n BrandNewSong 🔥🔥🔥🔥
Mziki Unaongea
Niite Songa