Songa feat. Double-HISIA ZA MOYONI(Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 лип 2016
  • Shukrani kwa Mungu kwa uwepo wa hiki kifanyikacho duniani japo kwenye maisha kuna mambo mengi yanayohusisha watu wengi ndani yake ila kuna muda unaweza ukajihisi mpweke katikati ya kundi la watu,Hisia Za Moyoni ni wimbo unaolezea mengi. Tazama , comment, share na bilakusahau subscribe account yangu kuendelea kufuatilia mengi kutoka kwangu.
    Asante.
    Download link: www.mdundo.com/a/972
    Facebook : Songa (official page)
    Twitter : @NiiteSonga (Official page)
    Instagram : @NiiteSonga (Official page)

КОМЕНТАРІ • 252

  • @husnahassan2199
    @husnahassan2199 3 місяці тому +5

    🎉🎉aah mm ntacoment tu nna sbb kibao z kuipenda hii ngoma❤

  • @harunskawa230
    @harunskawa230 Рік тому +15

    Kila nikaa wiki moja au mbili lazima nirudi kuisikiliza hapa❤

  • @xadygenious414
    @xadygenious414 2 місяці тому +3

    Hisia za moyoni

  • @WilliamZablon
    @WilliamZablon 2 місяці тому +3

    Nyie mko slow san me per day lazima nisain hapa... Ety

  • @gloriadesdery9705
    @gloriadesdery9705 2 місяці тому +4

    Imani ni Bora kuliko dini👊👊

  • @dariusmsagha
    @dariusmsagha 6 місяців тому +2

    Undoubtedly my best and most played song by a Tanzanian artist.

  • @AlhajiSefu
    @AlhajiSefu 5 років тому +10

    Duh cichoki kuitzama hii ngoma songa nakubl sana bro pale ninapokua mnyonge nyimbo yako inanifariji

  • @isayamlawa410
    @isayamlawa410 6 місяців тому +2

    Duuu Songaa hii ni nomaa@Songa n nchi ya flow no flag

  • @evaristmunaku5526
    @evaristmunaku5526 8 років тому +51

    niamini kaka Kwenye hii Dunia CRITICAL THINKERS kama wewe mnahesabika..I respect kazi zako kaka.big up

  • @Joekwid960
    @Joekwid960 Рік тому +3

    Nasikitika kuona vijana wanakufa kwa madawa na ukimwi. S.O.N.G.A your the best😢

  • @omarykomba4302
    @omarykomba4302 4 роки тому +14

    2020 hapa kimara duh we ni mkariiìi IMANI ni bora kuliko Dini

  • @calvinmshanga9077
    @calvinmshanga9077 Рік тому +3

    Mzaliwa 2000✝️lakin naelewa sana nyimbo za mwamba

  • @ibrahimmakame5304
    @ibrahimmakame5304 5 років тому +2

    nikapate upepo kisiwa cha Zanzibar ahsante Songa kwa kutawakilisha utalii wetu zanzibar karibu Zanzibar

  • @georgedeo3726
    @georgedeo3726 10 місяців тому +2

    Nimekuelewa zaidi 2023

  • @astongllo725
    @astongllo725 2 роки тому +2

    Ata wakikutupa Kenya uta run +254 wamuulize OG😀😀🤣

  • @rashatz7759
    @rashatz7759 6 місяців тому +3

    2024 still here🎉

  • @mjtv4966
    @mjtv4966 2 роки тому +2

    Usiulize nipo chimbo kama mlipuko WA TALIBAN👍👍

  • @daudikipelo8761
    @daudikipelo8761 2 роки тому +2

    Nakukubali Sana Sana an nimejaza mangoma yakoo

  • @Joekwid960
    @Joekwid960 Рік тому +2

    Songa ni NCHI YA FLOW BRO NO HUG 💥🥘🔥🔥🔥

  • @abdillahkitwana5974
    @abdillahkitwana5974 2 роки тому +3

    yani mpk leo namckiliza uyu mchizi na lazima awepo kwny playlist yngu...Respect Songa

  • @happymbwamboo8873
    @happymbwamboo8873 3 роки тому +3

    S.O.N.G.A...........Ipo cku watanzania wataelewa unafanya nn......Safi sana

  • @catherinfabiani5265
    @catherinfabiani5265 4 роки тому +3

    Katka wanahrkat wa hop songa namuelewa sana kama naww unaelewa anachofanya gongs like

  • @amanimoses121
    @amanimoses121 4 роки тому +2

    Jamaa nakubar uandish wako, sichok kisikiliz nyimbo za huyu jumaa

  • @pmall8867
    @pmall8867 3 роки тому +2

    Ila songa wewe Ni Kipaji....
    #HisiaZaMoyoni

  • @issankoweboy803
    @issankoweboy803 4 роки тому +3

    Hii ngoma duuh kali sanaa

  • @husnahassan2199
    @husnahassan2199 11 місяців тому +2

    Nmejskia kucoment mara nyinyinying ila hii y mwisho"maisha sio shida tu...

  • @rasibuga5428
    @rasibuga5428 2 роки тому +2

    Respect tamaduni bob

  • @ki2maestro24
    @ki2maestro24 8 років тому +9

    nachotaka kuona ni furaha inapatikana SUDANI YA KUSINI ..(FACT: HIP HOP LIVES)

  • @dorothymchatta3560
    @dorothymchatta3560 8 років тому +16

    Respect my man

  • @phwasound4448
    @phwasound4448 5 років тому +3

    goood song pamoja brother

  • @boeihongoa1436
    @boeihongoa1436 4 роки тому +3

    Kina Nash Mc, kina Songa, kina Bonta, kina nani... kina One the incredible kina nani....nyie ni watu makini sijawahi ona.
    💥💥💥💥💣💣💣

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 5 років тому +11

    From UAE +971
    Dah Duniani hakufai ndio maana ukizaliwa tu unalia
    Songa big up man

  • @sebachaz6483
    @sebachaz6483 5 років тому +2

    duniani hakufai ndo maana ukizaliwa tu unalia ngoma gonga like twende sawa

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc 6 місяців тому +2

    Best song,I almost play everyday!

  • @mlwanikamchizi3507
    @mlwanikamchizi3507 Рік тому +2

    Unaweza ukawa bora hata kama usipo Win... - Mandonga mtu kazi ni mfano wa huo mstari

  • @georgezabron2891
    @georgezabron2891 5 років тому +7

    Ilipotea simu yangu nikaipoteza hii hip hop, bonge la songe

  • @Mtznajua
    @Mtznajua 7 років тому +12

    Imani ni bora kuliko dini
    👌🏽👌🏽👌🏽well thought 💭

  • @African2TheWorld
    @African2TheWorld 7 років тому +4

    "kama kazi yako dhambi,unadhani malipo nini"

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo 11 місяців тому +1

    Huu mdundo tumchapie Kali mzeee😂😂

  • @andrewfullington9777
    @andrewfullington9777 3 роки тому +7

    How does this have not pass 50M views its amazing

  • @abubakaralimohammed3388
    @abubakaralimohammed3388 3 роки тому +1

    Ati songa utaflow wapi muulize dem wako nishafanya show gapi.....HISIA ZA MOYONI

  • @emmamikate4741
    @emmamikate4741 11 місяців тому +1

    DUNIANI HAKUDAI NDO MAANA UKIZALIWA TU UNALIA

  • @chibamzembe6188
    @chibamzembe6188 3 роки тому +1

    Duuuuuh pa1kaka nakubal

  • @user-kv6ik2sr9x
    @user-kv6ik2sr9x 5 місяців тому +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤songaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 9 днів тому

    Unaweza ukawa Bora hata usipowin

  • @michaelkisingi8650
    @michaelkisingi8650 7 років тому +23

    bonge la mdundo kiukweli umeongea vtu vkali sana aisee wasanii inatakiwa wawe dzain hii . big up broo songa

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Місяць тому

    Duuuh..mura.inanikumbusha.tarime nyamongo 2023...nikiwa nakula k2 Cha 250..v2.500😂😂😂😂😂😂😂

  • @jeremayageremy9882
    @jeremayageremy9882 2 роки тому +3

    Sijawahi choka sikiliza hii nyimbo bro... na nikiisiliza after sometimes naona nilimisi kitu kikubwa mno BIG UP SONGA ✌

  • @chiyughajr.9968
    @chiyughajr.9968 8 років тому +7

    Ninapoitazama top ten ya nyimbo bora kwangu kwa mwaka @2015, hii moja ya nyimbo kali sana na huwezi kuitoa ndani ya top five,
    Respect kwako @niitesonga, shoutout kwake @Double

  • @MgombaJunior
    @MgombaJunior 3 місяці тому +2

    songa

  • @georgekarundabenard2739
    @georgekarundabenard2739 2 роки тому +2

    Respect broo!

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Місяць тому

    Naipenda sana tena sana ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @ntawurusigajaphet813
    @ntawurusigajaphet813 5 років тому +2

    Songa nnakukubali, 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 huku tunakupata

  • @yuzzomanboy
    @yuzzomanboy 7 місяців тому

    Keep going 2024

  • @mashaurimasolwa2601
    @mashaurimasolwa2601 23 дні тому

    2024 tukutane hapa👉🏿

  • @khaledeponera6070
    @khaledeponera6070 2 роки тому +1

    Aisee this Songa guy is dope....

  • @ianmwaliko9834
    @ianmwaliko9834 5 років тому +4

    Man me sikujui nimeskia tu song yako Y254 n nikaipenda sana. Great song. Straight to the heart.

  • @dicksonokanda9091
    @dicksonokanda9091 7 років тому +7

    "anayenifanya nisimame ndiye anayenifaa.,,,," ngoma kali san mwana.
    naikubali sana tamaduni music

  • @HamisKhalfan-df5kk
    @HamisKhalfan-df5kk Місяць тому

    Respect bloo

  • @astongllo725
    @astongllo725 2 роки тому

    Unaweza kua Bora ata usipo wini ✌

  • @rodgersgregory7198
    @rodgersgregory7198 2 роки тому +1

    Umefanya mziki uonekane kitu rahisi sana# Big up

  • @kelvinchuhila3780
    @kelvinchuhila3780 Рік тому

    Imani ni Bora kuliko dini

  • @abdulrahmankanduka1977
    @abdulrahmankanduka1977 4 роки тому +1

    Hii ngoma imetulia kinyama

  • @dennogods_pick1166
    @dennogods_pick1166 7 років тому +5

    waah this song ina songesha; milima na Daa
    talanta kubwa kwa pande zote production on point pia
    LOVE FROM NAIROBI

  • @silentmaxbln7227
    @silentmaxbln7227 7 років тому +2

    Nice work Songa

  • @abdalahsambala6667
    @abdalahsambala6667 8 років тому +2

    Mara zote wewe uko vizur makuamin

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 2 роки тому

    Nakuelewa kaka naiflow yote hii ngoma

  • @samstive665
    @samstive665 Рік тому

    Daaaaah 😢namkumb manzi angu😢😢😢

  • @INVISIBLE761
    @INVISIBLE761 2 місяці тому +1

    Yeees

  • @legsmediatz
    @legsmediatz Місяць тому

    Kali bila ukali vikal. Cjui nmesema nn

  • @aboubakarkamikaze-vr9gk
    @aboubakarkamikaze-vr9gk 10 місяців тому

    SONGA ni rapper

  • @clemenceolivery9427
    @clemenceolivery9427 8 років тому +2

    big up bro Songa,nakuombea umri mrefu,HIPHOP ifike songe mbali zaidi

  • @heavenonearthchannel3748
    @heavenonearthchannel3748 7 років тому +2

    niite songaa. naskiliza siku nzma ngoma atariii..big up ..

  • @allendeusdedith8482
    @allendeusdedith8482 7 років тому +1

    nipe shavu nirushe kofi kwa ruksa pasipo mwinyi

  • @lancela7370
    @lancela7370 2 роки тому +1

    Only those who know about music lyrical king are here🤟🏾👊🏾

  • @poolwiztz6118
    @poolwiztz6118 2 роки тому

    Daah talanta kubwa sanaaa kaka

  • @barakasosopi4656
    @barakasosopi4656 4 роки тому +2

    Much respect brother,sichoki kusikiliza na kutizama wimbo huu siku zote za maisha yangu

  • @bakarifundi4351
    @bakarifundi4351 4 роки тому

    Gud song songa songa mbele

  • @Elfuego257
    @Elfuego257 Рік тому +1

    December 07 2022, kichwa imejaa mawazo sana...najikumbusha umuhimu wa kupambana na Songa👊🏿

  • @saleh9997
    @saleh9997 Рік тому +1

    Nyimbo nzuri sana 2016-2022

  • @joramkitime1101
    @joramkitime1101 3 роки тому

    No ma bro song a ulifikili sana kuandika hiyo ngoma

  • @samwelsamwel2692
    @samwelsamwel2692 4 роки тому +1

    Songa unafikiria sana una mistari yenye logic ila the way unarap bado inabidi ubadilike

  • @kintangochibelabela307
    @kintangochibelabela307 8 років тому +2

    video Kali sana arif. big up.

  • @yusuphmussa6589
    @yusuphmussa6589 4 роки тому

    Ngoma kali sana

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph4907 5 років тому +1

    ni wachache tunaoujua mzik mzr hata kama unastrace zote zinakwesha ni mwendo wa kutikisa kichwa tu

  • @Chalz10x
    @Chalz10x 2 роки тому +1

    When rappers talked about life not lifestyle.

  • @chotandege7926
    @chotandege7926 4 роки тому

    Songaaaa

  • @charlesduncanm196
    @charlesduncanm196 3 роки тому

    Daah

  • @geraldmunisi6922
    @geraldmunisi6922 8 років тому +3

    Songa, ur gud broooo... sio kwa punch Hizi daaaaaa. this is my appreciation.

  • @Abuu_Burydaah
    @Abuu_Burydaah 2 роки тому

    Mkn bro

  • @speaklifeafrica
    @speaklifeafrica 4 роки тому +1

    Penda sana

  • @hermankassanga4645
    @hermankassanga4645 6 років тому +1

    Kama hjui huez muelewa jamaa hii siyo singeli..the best song ever👊

  • @novatusrichard9375
    @novatusrichard9375 5 років тому +3

    still nipo pamoja na hii mitindo ,,much respect Songa

  • @charlesduncanm196
    @charlesduncanm196 3 роки тому

    Hi nyimbo yangu

  • @mukakathejoker6504
    @mukakathejoker6504 7 місяців тому

    Hisia za moyoni
    Wanapagawa naamini......napata huzuni kuona vijana wanapagawa na mihadarati, unga na ukimwi

  • @joassadock6838
    @joassadock6838 5 років тому

    bit zako na verse hakun mwngine songa

  • @heavenonearthchannel3748
    @heavenonearthchannel3748 7 років тому

    kawaida kwa mlevi kupata ajali baa. .niite songa😢😢😢.demu wako nungunungu no...

  • @user-mk1tk8iy4s
    @user-mk1tk8iy4s 8 місяців тому

    Hii nyimbo kaliii sana naiskiza kila siku kwangu n BrandNewSong 🔥🔥🔥🔥

  • @ashirafuabdallamhed-ez1hj
    @ashirafuabdallamhed-ez1hj Місяць тому

    Mziki Unaongea

  • @KTMediatv
    @KTMediatv Рік тому

    Niite Songa