Bright Ft. Khadija Kopa & Juma kakere & Karen - Ndoa (Official Music Video)
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- #Bright Ft. #KhadijaKopa & #Jumakakere & #Karen - Ndoa
Audio Produced By Mocco Genius
Video Production By Mr Ligo
Follow Us
/ brightmusictz
/ brightmusictz
Juma kalele duuuuhh nakubali mzeeeeeee kwa kakaz yak
Combinaison nzuri saaaaaana produ kukua african. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🐆
uyu kaka anajua ❤❤❤❤❤❤❤
“Wanaume wa sasa surwali ku shuka wanataka kuvuana Nguo..... that’s deep some real teachings here 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Daaaaaaaaahhh ngoma kali sana bright ma mzee wameua kwani bright anakwama wap ngoma kali sana hii mpaka nimeidownload et Kama unaokubali gonga like twend sawa
dogo anajua mpaka anakera
Ngoma nimekaa nairudiya mara zote yani haiishi kiwi istosti imeimba wa sanii wangu niwapendao Kareen na bi Hadidja kopa hongera sana imetuliya ngoma yenu
Yaani huyu Mzee Juma Kakere alivyoanza kuimba nimetamani angemaliza mwenyewe😋❤
Eeeh baba ifunga kz kichupa kiboko
Wimbo mzurii...Caren kafanana na Khadija Kama mama yake kweli na Bright kanana na juma kakere
Jamani khadija kopa kafanana na Kareen macho yao rang utasema mama Na mwanae
Dooh vipawa vyakuimba mungu kawapa nawapenda nyote
Angekuwa Mond Like Kibao Views 2M
Ila kwa kuwa Bright Ila ngoma Kali Mno
Nalinga Comedian waooo mashaallah
Nalinga Comedian tumejuwanareo anataka kunivuanguooe
Twende mbele turudi nyuma hawa wazee wanasauti nzuri sana Mungu awabariki
Bright hongera sna kwa hili unapata bahati ya Khadija kopa
Daah Bonge la ngoma! Maana nilichoka na kujidhuru na kufanya mazoezi, mara chuchumaa, timua vimbi nk. Ujumbe kwenye hii ngoma ni konk. Kama nawaona wale wanaojuana Leo na wanataka kuvuana Nguo!!
Wimbo mzuri Sana, nausikiliza ht hauchoshi, kwa sisi mabachala unatuhusu Sana.
Yani mziki mzuri siku zote huwa watu wachache sana ndio tunaoelewa tuuh..
Mzigo wa kwenda sana kaka
Ngoma kali sana ni ya nyumbani kabisa tanzania mafundi wa muziki wamekutana
Ubunifu wa hali ya juu
Kareen uko vzr mwanangu umependeza haki kipande yko mko vzr kwa kweli
Wimbo mzr sana unaelimisha kwa jinsia zote 😘😘😘
Kaliiiiiii mnoooo narudia mara ya pl 👌👌👌
Wimbo wenye maadilili. 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
Mbona uyu mzee anazeeka na utamu wake kama na wewe umeligundua ilo weka like twende sawa juma kakere upo vizuri mzee 1/4/2020 corona janga la dunia kikubwa dua
Sikuizi hamna mapenz .. mwapendana wakati washida akipata wasalitiwa live ..
Hizi ndonyimbo jaman skuiz hamna mziki wakufindisha mabint nikuharibu tuu
Nyimbo nzuli sana eeee mola wangu nisaidie na mm n8weze kumupata atakae nistili
Nampenda sana bright yuko vizur na kareen
Jamaa hajawahi kuniangusha Yani ni noma big up Bright
Khadija na Karen utasema mtu na mamake kweli kweli. Wako na sura flan hivi nzuriiii, baby face yani. Ngoma nimeipenda sana kwakweli.
Nice nimeipend sana kukaza roho ipo siku chaguo sahihi litakuja
Nzee JUMA KAKERE nampenda huyu baba. Nyimbo inawatu wenye masauti mashaallah. Nimeipenda.
Ngoma Kali saanaaaaaa
Khadija kopa we ni fundiiii aiseeee
Bright nyimbo Kali sana iiii kaka daaaa
Nimeipenda inamafunzo mazuri,wazazi wanaotamani wawaone watoto wao wakifunga ndoa,mola tujaalie nasie tuje tuzishuhudie ndoa za watoto wetu inshallah
Amiin 🤲
Jamani baba napenda huyu
Amin
Aamin Amiin Yarabilalaalahmiin duaa na iwe Makboul kwa sooote
Amen
E bhana e hii nyimbo ni nzuri sana wasanii wamepita vizuri pia producer kafanya mix na beat nzuri hongereni
Love it❤❤.
nyimbo kama hii uwezi kukuta inapewa tunzo yaani sijui hao watu wamuziki cjui wanajua nn. what a lovely song❤️❤️
daah bonge la ngoma congregation bright
Hii ngoma ni ya heshima kwa bright umefany Kaz kubw na wat wakubw safi,🔥💪
Nyimbo kubwa sana...Ndani yake kuna ujumbe mkubwa
Nyimbo nzuri sana big up kwa bright
Safi sana bright umetisha sanaaaaa
Duh mbona ngoma kali ni-like mara ngapi
Jaman dah ngoma hii tamu hataree..kila kitu on point na Mzee wetu kakere long tym sana aisee,naipendana sana nyimbo yangu ya February
Kazi nzuri na yenye ujumbee Safi Sana
Blood nakubal sana ngoma Kali vbaya collaboration bomba
Daaàaaah ngoma limekaa poa sana
Likes kwa wingi tumsaport bright jamaa yuko vzuri
yuko vizuri ua-cam.com/video/-fZAkB55DNg/v-deo.html
Kabisa
Shikamoo mzee wangu Juma kakere
Sana msukumaaaa
Ni bonge la nyimbo kama umelikubal twende na like
Daa bonge ngoma dogo anajua sana
Jamani nimeukumbuka wimbo wa huyu mzee safari ☺☺☺☺
Sichoki kuusikiliza huu wimbo duh, u killed this 💓💓
Ngoma tamu sana ina viungo vyote muhimu, wamekutana wasanii wote mahir na ninaowapenda, hingeren sana kwa kazi nzur
Dah katika nyimbo Kali kwangu hii ipo top 3 walahi walahi
Kaz nzuli sana
Inshallah pia mm ombi langu nipata mume mwema
Nipo hapa mume mwema
Mungu atatijaaliatu wajina… tuzidishe subra.
Mungu akupesawa na hitaji lako maanausipompata aliyesahihi nichangamoto katika ndoa
Allahumma amin
Aminaa kikubwa uzima mume mungu atakuonesha
Great song 👍👍👍👍👍
Nice one bright
These are the kinda songs we need sio matusi kila siku, tekenya, chuchuma, zibua mtaro, chuchu saa 6 seriously.. wat a lovely song!!
Yeah fine as hell, these are all ages songs man!! Story telling beautiful. Atleast watu wazima wanaweza wakaburudika.
😂😂😂😂😂
Nakuunga mkono ndugu,matusi ya rejareja sasa basi
Aixeeeeeh umetxha xana had nakoxa neno la kufananixhwa na ubora uliopo
Saf Sana nyimbo imeniburudisha Sana hongera kwenu
Kama uko single kama mm pls weka likes hapa tumuombe Mungu 😥
Amiiiin👏👏
Nipo apa
Amina
☺☺☺nitumie no.yako tushee upendo
Ndoa
Nyimbo nzuri sanaaaa..... Nimeikubali tuu sanaaa.... Kazi safi Sanaa... ✔️
Mdogo wangu. Umefanya kitu kukubwa mno humu
Nuksi mbayaaaaaaaa,umetisha bright
Wow ...wow.... kali sana 🔥🔥
Woow mzee wangu Mungu akubariki Sana
Jaman me nmependa alipo imba juma kakere .
Nice nice nice.....mixer gud gud gud.....song
Kazi nzureee.... Kila mtu kaitumia vyema part ake
Kazi nzuri sana ,ina ujumbe
Tam sanaaaa
Bright wewe unajua tulipo sapotiana hii ngoma nouma
Hujawahi kuniangusha kijana mwenzangu
Ngoma nzuriii I Sana
Kama umemuona aloimba pole sana mama kwa safar bibie tuonane hapa
Ni nzuri kama umeilewa kama mi hebu nipe like
Vip
Safi sana ngoma ni motooo
Daaah ngoma nimeikubali
Hii ndio maana halisi ya fasihi !!
Huu wimbo mzuri sana sana
Hatari sana
Nimekubalii hii ngoma 100%
Mama niombeee kwa Mungu nipate sitirikaaaaa.........safi sana hicho kipande
Muda unaendaaa Hilo uzingatie muweke Maulana da!! Bonge la ngoma big up bright & karen na wakongwe hao
Mungu atusaidie kweli mda aisubiri.
Mzee juma kakere katishaaa sana
Gud idea #nice_song
Mziki mzuri😘😘
Bonge moja la ngoma, Like hp km umeielewa hiii ngoma
Cool music# Bright from 254
Good idear bright nice sms
Nimeilewa sana hii ngomaaa
WaTanzaNia Hatupendan HII NYIMBO NI KALIII JAMAN LAKN LIKE CHACHE HAPA JAMN
Hawapend nyimbo zenye maadili kama hii unasikiliza hata na wazaz na watoto imafunza washazoea matus ndio wanalike upuuz
@@maryammaram2612 yeah mama wanapenda yope na dochido
Nimeipend xan
@@maryammaram2612 kwel walo weng matus ndo nyimbo ila hii hainag matuc lakin balaa
Saanaaaa
Juma kakere ana sauti nzuri sanaa, imejaa u legend... Khadija Kopa ndio sisemi... They should do a song, Juma & Kahadija
hatari sana mwanangu hii ni ngoma ya taifa