Dah kiukweli jolie iinyimbo inaniliwaza Sana ktk nyakati za mawazo naipenda Sana nimeamua ku give up ktk mpnz niwe single mpnz yanaumiza Sana ACHA NICHUNGE ULIMI WANGU USIJE UKAPONZA KICHWA
wimbo ulionifanya nikawa chizi kipindi unatoka na nilikua very stress za x 😩😩😩😩🥺🥺ulinipa nguvu na kuanza upya kweny mapenzi asante jolie 😫😫😫😫😫acha nichunge ulimi wangu nisije nikaponza kichwa 😩😩
Jolie nakupenda napenda sauti yako napenda kila kitu unakipaj sana mungu akutangulie na akuongoze katika kila kaz zako wewe n star nakuona mbali sana 💕 💕
kwa Mara ya kwanza kabisa nmekufata you tube kuchek hii ngoma maana nmependa melody yake na jinsi ulivoimba actually unastahil support yetu Dada jolie kaz nzur umefanya. big up.
Km mtu humtaki bora uondoke fuata huyo unayempenda kuliko kukaa na kumuumiza mtu innocent ,Jolie big up Dadangu Kuna watu wenye tabia km hyo yamekaa tu they don't care about others feelings ,
Mama sasa tumalize maana akuna binadamu asielewa mziki wako kwa sasa mchawi pekee ndio atakae shindwa kuuelewa mziki wako maana mpaka wanyama wanatikisa mkia. Unatisha sana
NILITOKA MACHOZI MWANZONI SASA NIMESHAZOEA.......... NIMEAMUA NIACHE MAKERERE MPAKA SIKU UKAE UNIELEWE KWAMBA MIMI NDO YULE..... Nakukubali sana sister angu.
Ucje ukaja kuringa wala kupata kichwa kua na heshima na kila mtu unajua sana mziki big up nakupenda sana unajua mpaka unakeraaaaaaaaaah cjawah ichoka hiii
Hongera sana Dada, Kazi nzuri..Ombi langu ni lile lile USILEWE USTAA MAVI MAVI, you are just one of our very own future female artist tunayekutegemea dear.
Huu mziki ni mzuri sana Jolie, jitahidi usome comments za watu hapa, wana ushauri mzuri, utakufikisha mbali. Kamatia hapo hapo aisee. Angalau sasa nimepata msanii Wa kike Wa kumkubali, maana kwa mda mrefu sana nimekuwa na Wa kiume
i wish nothing but alwys best for you...!! pure melody... full mashmash kama umenitungia mie aka kajimbo...!! sema unaanza vizuri usituvuruge uko mbele...!! love you so much
Japhet Elius dada upo vizuri Sana hii nyimbo hinaniumiza Sana yametokea kwangu nikisikia naipenda Sana na nikweli nimeandika taraka Kwa vidole vyangu tusizinguane naangaria Maisha Mengine Kwa sasa nakukubali sana
Nyiee Hii Nyimbo Ni kali Wangapi Tume i search 2024 ? Like here
Uwa haichuji kali saana
Hata leo hapa naisikiza❤❤❤
Dah naskiliza sana
Niko hapa naisikiliza leo tareh 26 April 2024 😊❤
Here 2024 still nice to listen
Wale ambao tunaskiliza 2024 tugonge like hapa
Dah Ii htr sn
Huyu dada yukowapi jaman 😢
Leo hii 02/03/2024
Bado naisikiza kwa hisia kali naona inaenda na tukio linaloendelea na Baba watoto wangu😥😥
❤❤❤
Tuko hapa 2024😊
Inafundisha Sana wallah tena tunazmia na ii nyimbo wanawake
Kila nikiingia ndani mke wangu anaweka hii nyimbo sasa nimeelewa nini anamaanisha
Ahahahha,,
Inafundisha sana
😂
😂😂😂😂😂
Hongera mungu awalinde
Dah kiukweli jolie iinyimbo inaniliwaza Sana ktk nyakati za mawazo naipenda Sana nimeamua ku give up ktk mpnz niwe single mpnz yanaumiza Sana ACHA NICHUNGE ULIMI WANGU USIJE UKAPONZA KICHWA
dah! hatimaye its out...like kama unafikiri huyu dada atafika mbali kimuziki
niceeeee😍😍😍😘
Namuombea kwamungu azid songa mbele
pp
good mam
Nakupend aaaa jolie na ww ndo queen w bongo...
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi😢Dont give up baby🎉
wimbo ulionifanya nikawa chizi kipindi unatoka na nilikua very stress za x 😩😩😩😩🥺🥺ulinipa nguvu na kuanza upya kweny mapenzi asante jolie 😫😫😫😫😫acha nichunge ulimi wangu nisije nikaponza kichwa 😩😩
Ahhahhhhaa
Sasa umepata umpendae
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
This is obviously one of the biggest tunes of our lifetime. Mad L❤️ve for Jolie.❤️❤️❤️❤️💋🌹💐
Pole mpenzi
Jolie...I love u gal..hutumii nguvu kwenye kuimba kwako and it's just perfect...go girl
2024 n damn gal is talented 😊👏🏻
ase jolie hii nyimbo kwa siku moja huwa naiplay mala mia from 🇨🇦🇨🇦 we love u
RIP JOLIE😢😢
Hadija Angura 😳😳😳
@@hadijaangura6572 weee n Jessy ndie alifariki uyu n mdogo ake
Ntumie audio kipenz kwangu nikidonwload inzngua +255 679076886
Ah mm lazima kila siku niskilize huu wimbo naukubali kinyama
Jolie nakupenda napenda sauti yako napenda kila kitu unakipaj sana mungu akutangulie na akuongoze katika kila kaz zako wewe n star nakuona mbali sana 💕 💕
saut nzul xn nikiwa bunju
Good job
@@karumegood9190 nyimbo kubwa sana hii sema mziki wa bongo hauna thamani.ingekuwa ulaya kwa single hii moja ingempa hela za kutosha sana
kwa Mara ya kwanza kabisa nmekufata you tube kuchek hii ngoma maana nmependa melody yake na jinsi ulivoimba
actually unastahil support yetu Dada jolie kaz nzur umefanya.
big up.
Aziz Aza
Km mtu humtaki bora uondoke fuata huyo unayempenda kuliko kukaa na kumuumiza mtu innocent ,Jolie big up Dadangu Kuna watu wenye tabia km hyo yamekaa tu they don't care about others feelings ,
Exactly 💯 wana cheza na hisia ni mbaya Sana
Masikini pole mamie usilie sana Jolie muombee jesse apumzike kwa amani, amekuachia katoto kama kumbukumbu akuite mama na si mamdogo.
Mama sasa tumalize maana akuna binadamu asielewa mziki wako kwa sasa mchawi pekee ndio atakae shindwa kuuelewa mziki wako maana mpaka wanyama wanatikisa mkia. Unatisha sana
😂😂😂😂ww fara kwl haahaha
Nakuelewa sana jolie
NILITOKA MACHOZI MWANZONI SASA NIMESHAZOEA.......... NIMEAMUA NIACHE MAKERERE MPAKA SIKU UKAE UNIELEWE KWAMBA MIMI NDO YULE..... Nakukubali sana sister angu.
Its so amazing nc song
sio makerere ni makelele, makerere ni chuo kipo Uganda!!
BROWN WAYA niceeeeee
@@allenkalalu6006 hahahahah bg up
BROWN WAYA nice
Ucje ukaja kuringa wala kupata kichwa kua na heshima na kila mtu unajua sana mziki big up nakupenda sana unajua mpaka unakeraaaaaaaaaah cjawah ichoka hiii
Hii nyimbo jolie aliwaza mbali Sana good 2024 🎉
Daaah jolie unaweza ngoma yako ni kali, suchokii kuingalia hii video
Hongera sana Dada, Kazi nzuri..Ombi langu ni lile lile USILEWE USTAA MAVI MAVI, you are just one of our very own future female artist tunayekutegemea dear.
Wimbo mzurrriiiiiiii Sana❤️❤️❤️❤️😍😍😍
Ujumbe mubashara.
Angesoma huu ujumbe wako man @Godwin Benedict
Aaaa iii mav mav haaaaaa
Mimi nilitokwa na machozii zamanii now nimeshazoea mikiki ya mapenziii 2021 baby oooooyyooooo let's support good music
Haka kawimbo kana vibe since 2018 hadi leo 2024/07/25 naombeni likes
Ila we dada ni noma 🔥🔥🔥🔥🔥Unaimba napenda nyimbo zako uwiii 😍
Hii nyimbo kali kama imetoka leo ❤
Nzur sana nataman kufanya nae kaz na mm kwasababu ni mwimbaji mzur sana anaweza jaman jolie bas sijui ntafanyeje nfanye kaz na ww
umenifanya niisubiri saana hii video jollie so vzr hvy
eebhana ee uko vzr dada angu, sauti hiyo daaah ``.....`` naipenda kazi yako.
Wewe dada sikujui ila u kill it sooo nice song.yaani siuchokii kila siku naugalia
Jolie hakika wewe nimzuli jaman hongela kwa nyimbo nzuli
Haijirudii tena ngoma kali km hii kwa Jolie (Babkubwa)
nampenda sna dda angu huyu nae mashaallah unasauti
Khadija Mbuta Nipe sub back tuwe marafiki
nakukubali ngoma🔥🔥🔥
No shiida
Kama kawa
I love you jolie
hongera sana ...bora niuchunge ulimi wangu isije ukaponza kichwa
Safi sana wanawake mnafikisha ujumbe kwa wanaohivuna
Daaah naona kama vile umeguza hararii🥰🥰🥰🥰❤❤❤
Kiukwel nakukubali xana jolie, na napenda xana ngoma zako!! Kaz nzur keep it up ma sister
Mmmh Mbnaaa kuimbaaa mim
Aimaanisii
Huu mziki ni mzuri sana Jolie, jitahidi usome comments za watu hapa, wana ushauri mzuri, utakufikisha mbali. Kamatia hapo hapo aisee. Angalau sasa nimepata msanii Wa kike Wa kumkubali, maana kwa mda mrefu sana nimekuwa na Wa kiume
unaweza dada chamusingi usizalau wasani wadog watakaokuomba ufanyekazinao
Donatus Medard Bifandimu hata Mimi aisee
Ni noumaaa sanaaa naomba ni ufanye cover huu wimbo jolie please bongee la nyimboo
Huyu dada namkubal asilimia zote yaan Kila ngoma yke anayotoa Mmwaaaaaa
Ebana ee wemdada unajua San keep it up ngoma kalii 🔥🔥🔥
Well done Jolie...
Kazi tamu kabisaaa hii.... Asante kwa kutuletea good music...!
Huyu mdada yuko wapi. She's talented. It's been too long
Duuuu jolie ameimba vizuri sana na anaonekana kua atakuja kua mwingine apo mbele naipenda sana uu wimbo god bless #jolie
kusoma sijui hata picha nisione kazi nzuri sana sana Julie
Umenifariji sana na maneno yako dada anguu
This is what i was looking for the past 2 weeks, i was just listening to the radios.........i love this song Guys Thumbs up 🤪😚😍
Arnold Alphonce love
Iko poa sana wadada mjipange kwenye tasnia hii ya mziki wa kibongo
People have talent but they are not cherished.binti ana sauti nzuri huyu
hongera sana mdogo wang......kichupa Kiko vzr kinoma noma
Ninacho kuomba Dada j usivimbe kichwa kama wale wengine bonge la zuku lumba hili hakyamungu.
nakupa bigup zanaa Jolie,bt naamin ukijulikan zaid utajishebedua kua we ndo zaid ya wote usifanye hvyo dadang,gonga kama ndo kwel
nice song
Naipenda Sana hiiii nyimbo coz kukaa kimy ndy jibu la Maanaaaa Sana
japo sijui kusoma picha nimeiona nimeiona da kilichoimbwa humu Ndani kama kaniona nampenda dada ngu sana enderea nakuombea
Kumbatia uongo ila ukwel utakuponya
Da, penda sana nyimbo hii
Beautiful music, Nairobi tunaikubali sana
namkubali kwa %100 na atafika mbali sana kwaninyimbo zake ninzur
Jolie_tz hakika atafikaa mbalii saanaaa kwenye muziki
nilikuwa nasubri sana hii video 🙏🙏🙏 asante sana
naikubali sana hii ngoma 👏👏👏👏
Daah mama ur on fire nyimbo Kali sana ila views wachache km wewe una amini km mm gonga like hapa Jolie anajua
gonga like hapa kama umemwelewa Jolie
Wimbo muzuli
Nice
sanaaaa but it's so pain too kwa kuskia kifoo cha Dada akeee Jessie jmn it's too painfully
Noumaa sana
Gud sn
Kumbatia uongo ila ukweli utakuponya aaaaah 💜💙💛💚💓💝
Ukiachana na ujumbe uliowekwa katka mashaili ebu sikia saut iyo love you jolie
Ni hataree!!! Nakubari sana
i wish nothing but alwys best for you...!! pure melody... full mashmash kama umenitungia mie aka kajimbo...!! sema unaanza vizuri usituvuruge uko mbele...!! love you so much
wewe ni maana ya mziki mzuri✌👏👏👏
nakupnda ww na mzki wakoo
Naumia sana nisipokuona unatoboa aisee. Daah unajuwa yaan duuh
💓💓💓💓💓 mwaaaaaaaaaaaa Jolie amegusa moyo wangu
Otile brown brought me here...this is perfect stuff.❤
Mambo n moto..... Mambo n fire. Luv u #JOLIE
Nimeiangalia hii karibia mara 50 na bado napenda kuisikilza kaz nzuri baby uko juu kaza buti
Ah wimbo mtamu sana. Nimechelewa kuujua. Una bang kwa head yngu kila wakati
The next big thing.Napenda nyimbo zako.much love from 254
KAMA unaaMini Hi NGOMA Ni KUBWA NA ITAWAPA TABU SANA MABINTI GONGA LIKE HAPA😋😋
😁😁😂
Sana tyu
Nixon Lema qaliiii
Umejuaj hahaha
Nimeamua niache makelele eyaaaa asante Jolie nice message
Nakupenda Sanaa mdogo wangu.. Na unasaut nzur Jolie
now nshazoea like kama umeachana Na mpenz wako kama Mimi means now upo single
Can't get enough of this song...Mob love from kenya😍😍😍
jolie huy mziki wako umenigusa san asant dada kaz nzuri
Kazi nzuri hongera sana kwaka bug up
Sauti nzuri sana, with love from Bagamoyo
mangesani kiukweli huyu dada anajitahidi ila sijui kwanini havumi sana
Nadhani wakati wake umefika, support muhimu
#kama
Uliona kapoct
He nyimbo jana
LIKE_____hpa
#NGOMA___IKO__POW
Japhet Elius dada upo vizuri Sana hii nyimbo hinaniumiza Sana yametokea kwangu nikisikia naipenda Sana na nikweli nimeandika taraka Kwa vidole vyangu tusizinguane naangaria Maisha Mengine Kwa sasa nakukubali sana
Huu wimbo nina play kila mda siwezi kusikiliza mara moja lazma niurudie rudie
Hatimae nimeipata hii ngoma nmeitafuta sana aysee
Video kali mke wangu😍😍😍
Nimeamua niache makelele mpka cku ukae unielewe kwamba mm ndo yulee haimanish
Jolie nakupenda
Sichoki nimeangalia hiki kichupa hadi mb na chaji zimekata ustuangushe jolie nakupenda sana
Am from Uganda but i like Swahili. kweli nafsi yangu unaichoma
Jst came across over this....don't understand the language (kiswahili)BT she sounds so sweet.....straight away 4rm Uganda😍💯
Wht a beautiful song
Thanks mumyy wimbo mzuri kwakweli sichoki kuuckiliza
Nice jo. Mama umenigusa sana.
I listened this song many times, nice song
nimependa xn wimbo wako na sichoki kusikiliza
Sawa sana siz from +254 twakupokea kazi safi,sauti waaaaaa
Kama umeniona iviiii nice xnaaa nakuelewa xnaaa Jolie mungu akuzidishie nguvu zaid👍👍
I'll view and enjoy this beautiful song everyday and i don't know when i 'll stop...!!! Ts now 3am ila mpk Dawn 🌇 nta review 😊😊😊
the song is dope mama....the kitenge thing thou its amazing🔥🔥
Dada Moto Sana jamani... Naikubal hi ngoma kinyama
nyimbo Kali imetulia bi mdada
kama imekubamba gonga like twenztu
#jolie
super talented she's the next big thing in the 255
keep up the spirit lady,ur tone of music is lovely and sweet....
umeimba ktu halisi kabsa wanawake wengi tunaamua kuacha makelele japo tunaumia,ukiulizwa maswali unakoroma, tunachunga ulimii... I love it