Waallahy ustadh yahya hakuna siku nimecheka kma leo kuona hawa jamaa wanapingana wao kwa wao waallahy uislam utabaki kuwa dini ya Allah dini pekee tena ya haki mbele ya Mungu ni uislam nasema Alhamdulillah
Sheikh yahya kwa maoni wngu mm naona hyu Gerison anaukwli y bibilia ht ka hajakubali diini y haki so mwekee yy karibu saxa vle unafanya ndio akubali i.a kwa ajili y mungu
Jameni kwaiyo kitabu cha hawa wenzetu hakina ukweli kama kitabu kitakatifu Qur'an!!!! Karibuni kaka zetu dada zetu kwenye dini ya haki.dini inayotambua muumba na kila kilicho duniani na akhera.
Ali Mwatajiri kweli skio la kufa halisikii dawa watu wamo gizani na bado wanang'ang'ania Giza wakijifariji kwa kalenda ya biblia na majina ya siku na kukataa Neema ya bure, kusudi la Mungu kumtuma mwana ni ili tupate msamaha wa dhambi sio kuhesabu kalenda inaskitisha saña lkn Neema ingalipo mpokeeni YESU muijue kweli nanyi mtawekwa huru mbali na dhambi, namtaacha kulinganisha uweza wa Mungu na mtu kwamba Mungu kusema mwanangu basi alioa Mungu wa kweli anasema na inakua
Yesu ni neno la mungu lililofanyika Mwili kwa sisi wanaadamu tunasema ni Mungu mkuu. Kwa msingi huo mbingu na nchi na Vyote vizijazavyo ni kazi ya mikono ya Yesu.Mungu Baba alitamka .Mungu Mwana akaumba Kwa uthibitisho huo ,yohana 1.1-18. Yaonesha kuwa Yesu alikuwa ndani ya Baba{ Mungu} kwa upande mwingine twaweza kusema mungu Baba ,Mungu Mwana , na Mungu Roho mtakatifu ,ndiye mungu mmoja. kwa uthibitisho huo, Yohana 17.5 yesu anasema, na sasa Baba unitukuze Mimi pamoja nawe, Kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.yaonesha alikuwa na utukufu kabla ya ulimwengu kuwako hata wakati ulipowadia akafanyika mwili. Hiyo ya kusema kuwa akawa si sahihi.kwani yeye ni yeye Yule Jana Leo na hata milele .na miaka yake haichunguziki. Amina
Ndio nini sasa? MUNGU hageukagi wewe MUNGU NI MUNGU anabaki kuwa MUNGU Tu. hiyo cjui alifanyika mwili sijui ushuzi cjui nini ni upumbavu tu warumi wamejua kuwapoteza nyie
Yaani wakirsto wanajuwa wazi mistakes za Bibilia lakini wanang'ng'ana tu kufanya mambo yasiomo kwenye vitabu vya Mwenyezi Mungu... SubhaAllah... Mwenyezi Mungu Tuongoze katika dini Yako sote vumbe Vyako na Utupe ya kheri kesho Yaumul Qiyamah.....
Waislam kujeni kwa yesu mpate roho mtakatifu kutoka kwa mungu ..Yesu sio religion kuongea mambo ya Good friday na easter monday..hayo ni mambo ya warumi ..mkristo mwenye anaye mjua yesu hawezi amini mambo kama hayo.
Hanna haja ya kupingana kuhusu neno LA Mungu,watu wanataka mafundisho siyo kuonyesha watu vile umesoma,na kutamka lugha ya Waarabu na Wayahudi.Kiswahili ndiyo lugha ya kufundisha.
Ni kutokuewa tuu huyo ndung'u na Ana kiburi wakati Hana elimu😂😂 Huyu ndung'u aende shule tuu akujifunze philosophy kwanza sasa waislamu mnafundisha upuzi na elimu ndogo na mnafurahia wakati jamaa Hana elimu daah🤣
Huyu garihsen aullizwa je yesu ni mwana wamungu? Akajibu kuwa kiibrania aitwa ben ilohim! Hio ben ilohim ni sawa tu na kusema ni mwana wa mungu, yeye ajaribu kukwepa kiswahili. Ukisama ben ilohim, tafsiri ni ibnu Allah au bin Allah Au ابن الله
Huyo ndacha whatever his name, naona video zake akiponda kuran lkn akiwekwa kwa muhadhara kelele nyingi tu, wakristo wanansifu kwa kelele wala sio kwa maandiko.. Wataelewa tu!! 😂nampenda mchungaji garishon anawapa wenzake vidonge, hadi wanamchukia coz nimkweli, wakristo wamezoea kudanganywa na mbwa wao.. Sweet being a MUSLIM😘
Kama yesu ni mungu kwanini alikua ana omba akiwa duniani? pili mungu hakuli chakula na halali mbona yesu alilala. na mechizedec utamuita nani, juu Hana mama Hana baba Hana ukoo Hana mwanzo wa siku na mwisho wa siku huyu utamuita nani?
Yani waislamu una wakosha mioyo yao wanapo kutana na kafiri mwenzao anaye ongea upuuzi ,askofu wa mpinga kristo huyo hajiekewi kama.nyinyi makafiri wa kiislamu
Mungu ana njaa mungu aomba ni mungugani huyo wapi andiko yesu amesema mm mungu ... Mnamsingizia tu yesu ni mtu kama ww (lakini sasa mnatafutakuniua mm mtu niliyekujakusema kweli) tafuta hilo andiko au hulio, wapi yesu kasema yy mungu ?!?!?! Ukipata andiko nitafute nakuahidi nitakua mlokole mkiristo mpakwa mafuta kama weye!
Hongereni wahadhiri,pia najitambulisha kua Mimi nii tabibu asiliya napia nasoma duwa kwaanae hitajia cheo kazii upendo wahalali yandoa matatizo yamapepo nk iin shaAllah unapona kwa idhini ya Allah kwa wasiila Wa kisomo nadawa za uhakika pia sukari presha sihiri nipo Tanzania mkoa kigoma mjini nambari simu 0768811066
nchemu wilfred wilfred hamna muslam anamuogopa pasta hata cku mmoja ila ndungu yangu soma bibilia vizuri usiskilize mapadri tena agano la kale ndio aliyeshuka nayo nabii issa ukweli wote utaupata
Kwanza inabidi ufaham nn maana ya maulidi na ilikuaje hata yakapatikana maulidi, na nn kinasomwa au kinasemwa ndani ya maulidi, na jee waisilam wote wanayakubali maulidi? Halafu ndio uulize hlo suala lako?
@@janetchildofgod1254 YESU Si MUNGU NA HAWEZI KUA MUNGU, MUNGU YUPI ALIPANDISHWA KWENYE MBAO AKASULUBIWA NA WATU ALIOWAUMBA ULIONA WAPI MUNGU ANA MAADHIMISHO SIKU YA KUFA NA KUZALIWA, MNACHEKESHA SANA
@@marcmakata254 wewe ndo una chekesha na huyo Allah wenu Yuko jehanamu na nyinyi waisilamu mkifa mnamufata huko motoni nyinyi tena mmejaa majine mengi Sana kujeni Kwa YESU mkombolewe la sivyo nyote mtaenda Motoni YESU ni Mungu
Elia Mugini ukiwasha kumfuata Paulo, na ukubali kumfuata yesu usilimu utajua nini nabii Mohamad anatisaidia. hilo swali unguliza wakati umeacha kumpinga yesu.
@@hanifajuma342 yani nyie wakslam nmnadanganya ambao hawajui historia na wavivu nisome siyo mtu mwenye akili timamu; et quran iliandikwa na BWANA hahahahahahaha
Elia Mugini hahahaha, je bibilia imebadilishwa mara ngapi, na juzi Pope wenu alisema bibilia ibadilishwe iandikwe kisasa juu watu wanatoka ukristo kwa kusoma maandishi yaliopitwa na wakati. nyinyi wafuasi wa Paulo dunia itaisha bila kujua mungu.
Waallahy ustadh yahya hakuna siku nimecheka kma leo kuona hawa jamaa wanapingana wao kwa wao waallahy uislam utabaki kuwa dini ya Allah dini pekee tena ya haki mbele ya Mungu ni uislam nasema Alhamdulillah
Naam jama wanawekana sawa tuwafanyie dua mola awape Hidaya.
@@steventitus2174 mungu akuongoze uijue haki uweze ifata
Swadakta
da she he wangu we kiboko yani umekaanga mbuyu umewaachia wenye menu wanatafuna daa ashukuriwe mungu allah awape afya njema
Amin shukran sana Al habib
Allah awajaalie klia la kheri ma sheikh wetu fi dunya wal akhera
Allahuma amin
Wahadhiri wetu uadilifu uwaongoze jamani poleni sana kwa kazi kubwa mfanyayo
Allahuma amin
maashaAllah viongoz wet Allah awape kheri fil dunya wal Akhera
Allah amjalie awe Muslim... Inn Sha Allah
Aaminayaarab
Allah awalipen kheri fidunia wali akhera maustadh na masheikh wote kwa juhudi zenu Allah awazidishie subra kwa kila mambo ya kheri
Allahuma Amin
Amin
@@oopsm3574 Allahumma amin upo ndugu?
@@zayyatiyussuf9566 :tutakutana vichochorini tu usijali.🤣🤣
Ll
ustadh Yahya yaani wewe unaweza kuweka wazi wenyewe kwa wenyewe Makafiri Safi sana Allah akubariki
Bishop Gerishon yupo Karibu sana na UISLAMU Mungu amuongoze katika UISLAMU In sha Allah Amin
Mashallah askoff Allah amuongoze huyu ni muislam
Ndini yaukweli mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uisla hakuna mjadala kwahilo neno hio ndio dini ya Allah
Allah awazudishiye afya njema mzidi kutangaza dini ya Allah, namzidi kuwafundisha hao jama wamepoteya ili wamjuwe Mungu wa ukweli
Allahuma Amin
subhannallah maustadhi wetu mko na kazi waongozeni hao maana hawajui
Allahuma amin
Ma sha Allah.. I like this man. may Allah guide him His way
Amin
Hapo vp uma Allahuakbari asante kila lakheri ma sheikhs
Wallai raha sana ma shaa Allah
Inshallah mwenyezi mungu akupe subra kwa kazi nzito unao fanya shekhe yahya mashaa Allah kazi ipo
Allahuma Amin
Yani chekh umenicekesha allah awape nguvu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mashallah wallah mumeliweza hilo masheikh Allah azidi kuwatilia nguvu zaidi
In Sha Allah, Ustadh Yahya, hawa wawili wataslimu 🙌🙌
Sheikh yahya kwa maoni wngu mm naona hyu Gerison anaukwli y bibilia ht ka hajakubali diini y haki so mwekee yy karibu saxa vle unafanya ndio akubali i.a kwa ajili y mungu
😂😂😂😂😂😂😂😂Innalillah wainnaileyh Rajuun hawajamaa dah wamenichekesha sana
Allah atawlipa kwa juhudi mnazozifanya
Jameni kwaiyo kitabu cha hawa wenzetu hakina ukweli kama kitabu kitakatifu Qur'an!!!! Karibuni kaka zetu dada zetu kwenye dini ya haki.dini inayotambua muumba na kila kilicho duniani na akhera.
Naam
Ali Mwatajiri kweli skio la kufa halisikii dawa watu wamo gizani na bado wanang'ang'ania Giza wakijifariji kwa kalenda ya biblia na majina ya siku na kukataa Neema ya bure, kusudi la Mungu kumtuma mwana ni ili tupate msamaha wa dhambi sio kuhesabu kalenda inaskitisha saña lkn Neema ingalipo mpokeeni YESU muijue kweli nanyi mtawekwa huru mbali na dhambi, namtaacha kulinganisha uweza wa Mungu na mtu kwamba Mungu kusema mwanangu basi alioa Mungu wa kweli anasema na inakua
Yesu ni neno la mungu lililofanyika Mwili kwa sisi wanaadamu tunasema ni Mungu mkuu. Kwa msingi huo mbingu na nchi na Vyote vizijazavyo ni kazi ya mikono ya Yesu.Mungu Baba alitamka .Mungu Mwana akaumba Kwa uthibitisho huo ,yohana 1.1-18. Yaonesha kuwa Yesu alikuwa ndani ya Baba{ Mungu} kwa upande mwingine twaweza kusema mungu Baba ,Mungu Mwana , na Mungu Roho mtakatifu ,ndiye mungu mmoja. kwa uthibitisho huo, Yohana 17.5 yesu anasema, na sasa Baba unitukuze Mimi pamoja nawe, Kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.yaonesha alikuwa na utukufu kabla ya ulimwengu kuwako hata wakati ulipowadia akafanyika mwili. Hiyo ya kusema kuwa akawa si sahihi.kwani yeye ni yeye Yule Jana Leo na hata milele .na miaka yake haichunguziki. Amina
Kweli wakristo akili zenu za kufikiri n ndogo sana hayo maandiko uliyoyatoa na maelezo yake yote yanapingana. Hebu yafikirie kwa kina
Ndio nini sasa? MUNGU hageukagi wewe MUNGU NI MUNGU anabaki kuwa MUNGU Tu. hiyo cjui alifanyika mwili sijui ushuzi cjui nini ni upumbavu tu warumi wamejua kuwapoteza nyie
Insha Allah huyo askof Gerison muende nae taratibu hadi aingie kwa diniya ki Islam
inshaAllah
Awez kukngia kwenye mashetan mizimu tambiko uganga Majin kulala misikitin
Upo vizur kaka.... MASHALLAH
shukran
Wallah nimtihani sana
uyu Askofu ma sha Allah
Nimefurahi sana nlipo waona wahitilafiana wenyewe
Hiyo Furaha Yako Ndiyo Ukafiri Wenyewe Huo
Elimu elimu elimu... Alisikika mtu mmoja akisema kwa sauti ... Only jesus
nakupenda yahya huna hasira na unajua kuonges na hao kwa uzuri
Mashaa Allah
Yaani wakirsto wanajuwa wazi mistakes za Bibilia lakini wanang'ng'ana tu kufanya mambo yasiomo kwenye vitabu vya Mwenyezi Mungu... SubhaAllah... Mwenyezi Mungu Tuongoze katika dini Yako sote vumbe Vyako na Utupe ya kheri kesho Yaumul Qiyamah.....
Kiislamu ndio dini ya haki pekee ambayo mwenyezi mungu anajua, hao makafiri hawajielewi kbxa.
Nimecheka sana kuona wasiokuwa waislamu wakishambuliana
😁😁😁😁 mbavu zangu mie.Leo wamelimana kweli
@@rehemaahamadiahmadi566 Nakwmbia raha kweli 🤣🤣😅 eti warumi walevi wavutaji bangi
@@kijanahodari2080 😀😀😀😀😀
@@rehemaahamadiahmadi566 Uko wapi dada
@@kijanahodari2080 mimi mwenzio niko nje
Waislam kujeni kwa yesu mpate roho mtakatifu kutoka kwa mungu ..Yesu sio religion kuongea mambo ya Good friday na easter monday..hayo ni mambo ya warumi ..mkristo mwenye anaye mjua yesu hawezi amini mambo kama hayo.
Kwanza rekebisha hio kwa wakristo alafu uje kwa waisilamu
Labda ije bibilia nyengine inaweza nishawishi lkn hii ya sasa hapana Kwa kweli Bora kuwa mbwa naweza kuwa na akili kuliko kuwa mkristo
Masha Allah brother Yaya huyo Bishop ashasilimu?
Mpe Mike hyoooo
Takbir
Hanna haja ya kupingana kuhusu neno LA Mungu,watu wanataka mafundisho siyo kuonyesha watu vile umesoma,na kutamka lugha ya Waarabu na Wayahudi.Kiswahili ndiyo lugha ya kufundisha.
Ujumbe umekufikia lakin
Nilimiss sana daawah mitaani hao maaskofu jamanii mmh
Takbariiiiii iiiiiiiiiiiiiiii
Wafunze makafiri awajui kitu
ndio majukumu yetu kuwafunza
@@kenyadawahtv90 mashallah
YESU atabaki kuwa njia kweli na uzima
Yes ila si Mungu
Basi wacha kumpinga umfuate. tatizo wafuasi wa Paulo hamjitambui.
Elia Mugini kwamaneno au vitendo
Kweli kabisa nakubaliana na ww atabaki kuwa njia ya wakati wake
Hugo gurishoni hamna kitu wakawaida sana
Huyu asilimishwe
Mbavu zangu jaman kwakweli raha wenyewe kwa wenyewe wanachenjiana
Hiyo Raha Yako Ndiyo Ukafiri Wenyewe Huo
Ni kutokuewa tuu huyo ndung'u na Ana kiburi wakati Hana elimu😂😂 Huyu ndung'u aende shule tuu akujifunze philosophy kwanza sasa waislamu mnafundisha upuzi na elimu ndogo na mnafurahia wakati jamaa Hana elimu daah🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Yaani du ! Ukiristo kweli ujinga tu.
hii channel yenyu ni ya kudhalilisha dini zingine
Subhna Allah
huyo msilimisheni
Wewe sheee wasomee qran 34_50_ mbona mnadanganya
Huyu anajielewa anajua kabisa hakuna xmass
Bishop masikio yangu yamepata uziwi kwa sauti yako
Hahahaaaaaaaa
Huyu garihsen aullizwa je yesu ni mwana wamungu? Akajibu kuwa kiibrania aitwa ben ilohim! Hio ben ilohim ni sawa tu na kusema ni mwana wa mungu, yeye ajaribu kukwepa kiswahili.
Ukisama ben ilohim, tafsiri ni ibnu Allah au bin Allah
Au
ابن الله
Hapa wameweza kuwagonganisha hhhhh😂
Pasta sema kwely
Wameji karaga wenyewe
Uislam ni ukwer mtupu
mambo mengine ni ya kuhuzunika ila nacheka tu
SubhanAllah. ..
Ukirsto ni msiba 😊
Hahahahah waislam tatizo hamna roho mtakatifu
Elia Mugini Roho mtakatifu hashuki duniani bila idhini ya mungu, sasa huyu mudai mko nae kila mara sijui ametoka wapi, pengine baharini.
#EliaMugini ......hahaaa na walimu wenu Ndio wamewapiga pini hapohapo......hamuhoji....hamielewi ...hamsikii ukweli...!kwa kigezo cha hamna roho mtakatifu....hahahaaaa...!
...Ngojeni mkawe Chips...!
Mmh nyie msijifanye mnaroho mtakatifu huyo atakuwa roho mkata visu
Hahahaha mkriso akiambiwa atoe verse hana anasingizia roho mtakatifu
Kkkkkkkk salala Askofu balaaa
Takbiraaaaaa
Allahu Akbar
Huyo ndacha whatever his name, naona video zake akiponda kuran lkn akiwekwa kwa muhadhara kelele nyingi tu, wakristo wanansifu kwa kelele wala sio kwa maandiko.. Wataelewa tu!! 😂nampenda mchungaji garishon anawapa wenzake vidonge, hadi wanamchukia coz nimkweli, wakristo wamezoea kudanganywa na mbwa wao.. Sweet being a MUSLIM😘
By the Asikofu ako Sawa juu sisi tumewacha biblia tume fwata maneno ya Warumi ni kweli. Namuhunga mkono kama mukiristo.
Allah huakbar
Uwo ndo ukirsto jmni
Sheikh Yahya kafunga mdomo aliposkia kuhusu bangi
😀😀😀😀pale samaki alikua akikaangwa kwa mafuta yake
Allahu Akbar
Yesu ni Mungu, Akuna Chrismas in christian hiyo ni catholic idea
Wapi kasema yeye ni mungu? Letr maandiko!?
Kama yesu ni mungu kwanini alikua ana omba akiwa duniani? pili mungu hakuli chakula na halali mbona yesu alilala. na mechizedec utamuita nani, juu Hana mama Hana baba Hana ukoo Hana mwanzo wa siku na mwisho wa siku huyu utamuita nani?
@@hanifajuma342 he did that to save his people that y he come us a human beigh
To them from the sins, na mbona Bado munahangaika kuomba msamehewe dhambi.
@@user-rf5tz5ft2y melczadec ni yesu
Bibilia iko 9000 ni mistake
Yani waislamu una wakosha mioyo yao wanapo kutana na kafiri mwenzao anaye ongea upuuzi ,askofu wa mpinga kristo huyo hajiekewi kama.nyinyi makafiri wa kiislamu
Dini ya kiislam imekutuka bruh wacha kuponda yesu ni wawaizarail wew wako Muhammad wacha kubisha
Easter iko kwa bibilia ..Mimi Niko na verse...
toa hiyo andiko
Rete iyo Aya usilete polojo
Easter ipo nikweli ila sio kufufuka kwa yesu Mana yesu mwenyewe aliikuta ilikuwepo kabla yake
Mbona hutoi hiyo haya
Toa andiko
Yesu ni Mungu askofu yeye akwende uko
Mung anazaliwa ww acha ujing hujielew ww kam nimung bon kazaliw yy ninabii.kam manabii.wengine kasom vizur.ww achakuongea upuuz
Jannet Kenya toa verse inayo ongea hivo
@@sammarley1413 wafilipi 2 :5-11
@@hamastien5439 mariam aliza mwili wafilipi 2 :5-11
Mungu ana njaa mungu aomba ni mungugani huyo wapi andiko yesu amesema mm mungu ... Mnamsingizia tu yesu ni mtu kama ww (lakini sasa mnatafutakuniua mm mtu niliyekujakusema kweli) tafuta hilo andiko au hulio, wapi yesu kasema yy mungu ?!?!?! Ukipata andiko nitafute nakuahidi nitakua mlokole mkiristo mpakwa mafuta kama weye!
Wanafwata miezi walevi na wavuta bangi kule rome
Duuh bibilia ina mistake elfu 9 looh mtihani halafu wt wanakifuata
Taja mistake tano Kati ya hizo elfu 9
Hahahah.. Sijui nisema ni vihoja. Hakika uislamu ndo dini sahihi ktk ulimwengu huu
hata ufanyaje kilanafsi itaonja mauti hivo kamaviongozi mnapingana je! waumini tujifunzenini kama nyinyi mnazarauliana
Hapa ni kua muislamu tu upone
Ujuwe iyo sio dini ni dini y watu fatilia kwanza Mungu hatairiwi
Hongereni wahadhiri,pia najitambulisha kua Mimi nii tabibu asiliya napia nasoma duwa kwaanae hitajia cheo kazii upendo wahalali yandoa matatizo yamapepo nk iin shaAllah unapona kwa idhini ya Allah kwa wasiila Wa kisomo nadawa za uhakika pia sukari presha sihiri nipo Tanzania mkoa kigoma mjini nambari simu 0768811066
Ma Shaa Allah,
Pasaka ilikuwepo kabla ya Cristo acha kutuzingua
Maandishi?
Waislamu tafadhali jadiliana na wakristo wa sda maana ndio wakristo wanaofuata biblia peke yake juu ya uso wa dunia. Mbona mnawaogopa nyinyi?
nchemu wilfred wilfred hamna muslam anamuogopa pasta hata cku mmoja ila ndungu yangu soma bibilia vizuri usiskilize mapadri tena agano la kale ndio aliyeshuka nayo nabii issa ukweli wote utaupata
Mm mwislam ila nafatilizia agano la kale paka Yesu anasema km yy ataondoka atakuja mtume wa mwisho aitwae Ahmad ndio mtume mhd s.a.w
Ukiristo sio dini ni upagani tu
And comment
Waisilamu acheni kuwasumbua wakiristo hayo mapepo yenu yanawasumbua Sana kujeni Kwa YESU wacheni kupoteza mdaa YESU anawapenda sana
Kajambe wewe mshamba tu
Janet Child Of God hujielewi
Wakristo Pia mapepo
Janet Child Of God pole
Nimejikuta nacheka jamani ati warumi wavuta bangi
Gerison odare umemlima mchumgaji
Warumi si watu wazuri. We cheki wamewandikia had pombe wanywe
🤣🤣
jarbu ku upload video ndefu
akhuy utapata kiendelezo inshaAllah
Nini wota amuna elimu ya ku fundisha bura kabisa
Hivi katika quran kuna siku ya mauridi ya kuzaliwa muhammad?
😂😂😅😅ole wenu na bible yenu 😊
@@minaminaa1669 hujajibu swali mama
tumia akili bro mungu awezi kufa msalabani
Kwanza inabidi ufaham nn maana ya maulidi na ilikuaje hata yakapatikana maulidi, na nn kinasomwa au kinasemwa ndani ya maulidi, na jee waisilam wote wanayakubali maulidi? Halafu ndio uulize hlo suala lako?
Gerishon asilimu yaishe
Bado anapenda umaruf
@@zainabuhmbabazi4928 umarufu wa dunia utampa khasara tu.
YESU ni Mungu
YESU SI MUNGU
@@marcmakata254 YESU ni Mungu na atabaki kua Mungu milele kuja Kwa YESU ukombolewe majine ya kisilamu amekufunga pole but YESU anakupenda sana
@@janetchildofgod1254 YESU Si MUNGU NA HAWEZI KUA MUNGU, MUNGU YUPI ALIPANDISHWA KWENYE MBAO AKASULUBIWA NA WATU ALIOWAUMBA ULIONA WAPI MUNGU ANA MAADHIMISHO SIKU YA KUFA NA KUZALIWA, MNACHEKESHA SANA
See
@@marcmakata254 wewe ndo una chekesha na huyo Allah wenu Yuko jehanamu na nyinyi waisilamu mkifa mnamufata huko motoni nyinyi tena mmejaa majine mengi Sana kujeni Kwa YESU mkombolewe la sivyo nyote mtaenda Motoni YESU ni Mungu
Mashee munatakika mukutanishe na ndasha
Yaan ndaxha ndio hana jipya kaz makelele tu
Jesus is Lord
Yahaya kenya video camera kama ngapi
Yategemea akhuy hamid.... zipo kwanzia 30k kwenda juu.
Zile ndogo
Nikipata nafasi nitakutumia picture uone
No yangu hii 0795660693
inshaAllah
Wewe ni kiboko wafunze wajungaji wafunzue
HahahahahH ila waislam bhana nyie mkapunge mapepo tu ndo kazi yenu hivi hata nikiwauliza swari muhamadi anawasaidia non mtajibuje
Elia Mugini ukiwasha kumfuata Paulo, na ukubali kumfuata yesu usilimu utajua nini nabii Mohamad anatisaidia. hilo swali unguliza wakati umeacha kumpinga yesu.
@@hanifajuma342 yani nyie wakslam nmnadanganya ambao hawajui historia na wavivu nisome siyo mtu mwenye akili timamu; et quran iliandikwa na BWANA hahahahahahaha
Elia Mugini hahahaha, je bibilia imebadilishwa mara ngapi, na juzi Pope wenu alisema bibilia ibadilishwe iandikwe kisasa juu watu wanatoka ukristo kwa kusoma maandishi yaliopitwa na wakati. nyinyi wafuasi wa Paulo dunia itaisha bila kujua mungu.
Kanisani laha tunapata madem
Hivi kanisani na msikitini wapi kunakemewa mashetani ??🙆😂😂