Jamani waislamu lazima tujidai kwani sura tul maida ishasema wazi dini imekamilika na makafir hakuna siku watatushinda so waache watapetape ili dini uislim ni kitabu chetu ishatupa ushindi hakuna kitu kwa quran chakosekana its a complete cord
Muhamad alirongwa vipi unauma mini mungu alie uwawa yeso kauwawa katumbikwa kwenye msalaba wa laaana akashindwa kujitoa katika kifo akamlilia Allah akamsaidia alie rogwa na alie uwawa nani mbora mungu kauwawa na viumbe zake
Dini ni kama passport na vitendo ni kama Visa na mtu bila ya hiyo mbili hawezi safiri. Au dini ni kama funguo na vitendo ni kama meno.ili mlango ifunguliwe hamna budi funguo enye meno ipatikane.
Sasa huyu akisema eti Muhammad alirogwa eti hafai kuwa mtume,na je yesu aliyepigwa mijeledi na akasulubishwa nani hafai kuwa mtume,hayo ni ukosefu wa elimu
Nyinyi waislam wacheni kubisha wenyewe ata Quran haimuezisoma paka ujifunze arabic Bibilia hamjaielewa kabisa coz maana zake ni za ndani...wacheni kubisha just openup your eyes end minds stop being blind folded use your comon sense ata stile y kuomba yenyewe hamuoni mna busu arzi afu eti mtu akipita kw mbele eti unaaza tena sasa waomba Mungu alojuu au kitu cha apa apa chini duniani
Joseph Bonday kuswali na majini nikawaida ni waislamu wenzetu...majini ni viumbe vya mwenyezi mungu so kuabudu mungu pia ni Aki yao kwani ata yesu aliwatuma wafuac wake waubiri injili Kwa kila kiumbe akimaanisha hadi majini sio mapepo mnayo kuwa nayo kanisani kila siku Toka Toka waende wapi na umo ndio kwao
@@bwegelanyakhaido3088 Yesu alipo waagiza kuhubiri Injili kwa kila kiumbe ALIKUSUDIA BINADAMU TU.SIO WANYAMA WALA MAJINI(MAPEPO).NDIO MAANA MSTARI HUO ANAENDELEA NA KUSEMA " AAMINIYE NA KUBATIZWA ATAOKOKA, ASIYEAMINI ATAHUKUMIWA".WANYAMA NI VIUMBE ILA HAWANA UTASHI WA KUAMINI, VILEVILE MAJINI HAWANA SIFA YA KUAMINI
Kama WATAKUWA WANAFANYA IBADA, BASI ITAKUWA IBADA YA KUMTUKUZA KIONGOZI WAO AMBAE NI SHETANI NA IBLISI KWA KUWA ALISHAMUASI MWENYEZI MUNGU HIVYO HATAKUWA NA MSAMAHA KWA ADHABU YA MOLA
Masha Allah, Masha Allah, mna kazi nzito walimu wetu ila kwa uwezo wa Allah awafannyie wepesi kwa kila palipo na uzito insha Allah
Allah akbar masha Allah ma shekhe. Wapi shekhe yahya aseme tena na tena mtume wa ulimwengu mzima ndio ni waulimwengu mzima
Jamani waislamu lazima tujidai kwani sura tul maida ishasema wazi dini imekamilika na makafir hakuna siku watatushinda so waache watapetape ili dini uislim ni kitabu chetu ishatupa ushindi hakuna kitu kwa quran chakosekana its a complete cord
Yesu alitumwa kwa wana wa izrail c kwa wakenya sawa👍👍👍live dubai
SubhanAllah. yani mashekh mna kibarua Allah awalipe malipo kesho yakhera Amiin
Allahuma Amin
Amiin Yarabb
Allahumma amiiin
Uislam raha kweli jamani
Allah awalinde Masheikh wetu
Allahuma Amin
Muhamad alirongwa vipi unauma mini mungu alie uwawa yeso kauwawa katumbikwa kwenye msalaba wa laaana akashindwa kujitoa katika kifo akamlilia Allah akamsaidia alie rogwa na alie uwawa nani mbora mungu kauwawa na viumbe zake
Allahumma Amiin
ماشاء الله
Mungu awajazi kula lakhery maustadhi wetu
Allahuma Amin
Islamic is a true way to heaven
Mashalla mungu awazidishie nguvu masheikh mzidi kupigania dini ya haki Islamic
Maasha Allah sheik
Mungu awalipe masheikh,
Taabu kweli kufunza asiyejua hajui
Kila nikiona wahadhiri wetu nafadhaika Sana jamani waislamu wote tutembee kifua mbele utukufu uko kwa mungu kupitia Muhammad S.A.W
Rehema Amadi. kabisaa yani tujivunie na dini yetu ya haki .MashaAllah waadhiri Wajitahidi na ao wenye masikio lakin hawasikii wana macho lakin hawaoni
Kabisa ndugu yangu
ALLAH AWALIPENI KWA KAZI YA IMANI NZURI YA DINI YA PEKEE ISLAMIC
Mungu ahifathi masheqe wetu waendelee kumfikisha kila mahali
Allahuma Amin
Amiin thumma Amiin
Masha Allah tabarakallah
Kenya mnaendelea na mi hadhara Tz akuna sikuhizi dahhh!!!!!
Miadhara ipo kama kawaida tanzania ila waadhiri wamejiongeza wanafanya miadhara kwa style nyingine ya kuuza madawa ya kisuna
fundi magari anasemea ya haina hii
Sheikh Yahya mnanyima watu raha, mada zenu fupi na mnazirusharusha kwa kuzkatakata
Na mbona mnakatakata video, this is not the full video
Mashaallaaah kenya
Mwongo tu sanaa huyu Sasaka😢
Garison alazimisha somo lake kuingia vichwani mwa watu hata jaso jamani Hahaaaaa hilo kwa kanisa banaaaa si kwa waislam
Mash Allah
Yesu ni bwana wewe ni nani 😆😆😆
Ngugi Salim unaleta ukora.
Mungu hana mtoto we we mkristo vip nyie
Mada zenu ni nzuri sheikh but ni fupi
polen saana
Mashallah
Dini halimpeleki MTU mbinguni isipokuwa matendo yake na Neema ya Mungu tu
Dini ni kama passport na vitendo ni kama Visa na mtu bila ya hiyo mbili hawezi safiri.
Au dini ni kama funguo na vitendo ni kama meno.ili mlango ifunguliwe hamna budi funguo enye meno ipatikane.
@@muhammadabdi774 kabsaa
Wacha zako kaka,kwani Mungu alikuwa mjinga ndio akaleta dini kwa viumbe wake ndio iwe uongofu kwa watu duniani???...dini ni njia bwanawe!
Kama majini Wanaswali JIULIZE Ibada wanamfanyia nani?
Aliewaumba
@@dullyvidully7798 Ili iweje??
Mungu
Wanamuabudu Allah subhanahu wataala. Kwa sabb hakuubwa mwanaadamu Na majini Ila wamuabudu Allah.
Nawapongeza viongozi wa Kenya kuruhusu mihadhara uku tz hakuna kabisaa viongozi wababaishaji hawataki kujua ukweli
Allah ajaalie wepesi InshaAllah
Bishaneni
😃😃😃 kumepambazuka
L
Maashallah
Hawa watu wanaojiita wakristo, hawana akili
Sasa huyu akisema eti Muhammad alirogwa eti hafai kuwa mtume,na je yesu aliyepigwa mijeledi na akasulubishwa nani hafai kuwa mtume,hayo ni ukosefu wa elimu
Nooor Dubem hawajielewi hawa ndugu zetu wa damu
🤣😂🤣😂
Nyinyi waislam wacheni kubisha wenyewe ata Quran haimuezisoma paka ujifunze arabic Bibilia hamjaielewa kabisa coz maana zake ni za ndani...wacheni kubisha just openup your eyes end minds stop being blind folded use your comon sense ata stile y kuomba yenyewe hamuoni mna busu arzi afu eti mtu akipita kw mbele eti unaaza tena sasa waomba Mungu alojuu au kitu cha apa apa chini duniani
Wewe bibilia waifahamu kweli??
Gerishon anahubiri umesaya au ukristo?cjamuelewa!
Mkimaliza MKASWALI NA MAJINI YANAWASUBIRI msikitini mnamwabudu MUNGU WENU IBLIS
We ushawahi kuona mskitini akatolewa jini si makanisani uko ndo mnakotowana majini nyie kenge
Joseph Bonday kuswali na majini nikawaida ni waislamu wenzetu...majini ni viumbe vya mwenyezi mungu so kuabudu mungu pia ni Aki yao kwani ata yesu aliwatuma wafuac wake waubiri injili Kwa kila kiumbe akimaanisha hadi majini sio mapepo mnayo kuwa nayo kanisani kila siku Toka Toka waende wapi na umo ndio kwao
@@bwegelanyakhaido3088 Yesu alipo waagiza kuhubiri Injili kwa kila kiumbe ALIKUSUDIA BINADAMU TU.SIO WANYAMA WALA MAJINI(MAPEPO).NDIO MAANA MSTARI HUO ANAENDELEA NA KUSEMA " AAMINIYE NA KUBATIZWA ATAOKOKA, ASIYEAMINI ATAHUKUMIWA".WANYAMA NI VIUMBE ILA HAWANA UTASHI WA KUAMINI, VILEVILE MAJINI HAWANA SIFA YA KUAMINI
Pia MAJINI NI MAWAKALA WA IBLISI HIVYO HAWANA SIFA YA KUMFANYIA IBADA MWENYEZI MUNGU ILI HALI WAO MKUU WAO NI YULE IBLISI NA SHETANI.
Kama WATAKUWA WANAFANYA IBADA, BASI ITAKUWA IBADA YA KUMTUKUZA KIONGOZI WAO AMBAE NI SHETANI NA IBLISI KWA KUWA ALISHAMUASI MWENYEZI MUNGU HIVYO HATAKUWA NA MSAMAHA KWA ADHABU YA MOLA
Yesu alitumwa kwa wana wa izrail c kwa wakenya sawa👍👍👍live dubai