Haya yajulikana maswali yanoga kiwanjani nilikuwa sijui hili nimeelewa kimeeleweka tena vinzuri

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 101

  • @hodhanmusa7224
    @hodhanmusa7224 5 місяців тому +16

    Mtu wa kwanza ku watch . Masha Allah my brother ustaadh Salim Allah akupe maisha marefu na janaat firdows

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 5 місяців тому +3

      Allahumma Aamiyn

    • @SaidMgeni
      @SaidMgeni 5 місяців тому +2

      امين يارب

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому

      Aameen ameen ameen sote tunawapenda sana kwa ajili ya Allah

  • @sadickkagoma5297
    @sadickkagoma5297 5 місяців тому +7

    mashaa Allah kazi nzuri sheikh wangu,Allah wajaze kheri

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 5 місяців тому +1

    Waaaa 😂😂😂😂😅😅baullo mshezi sana 😅😅😅😅

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 5 місяців тому +5

    3:55 - Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata juu ya wale walio kufuru, mpaka Siku ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni katika yale mliyo kuwa mkikhitalifiana........Shekh wng naomba nisaidie ufafanuz wa Aya hiyo👆👆👆nimeulizwa na mkristo imenichanganya,mbona km Mungu anasema atamfisha kisha atamnyanyua na sisi tuna Amin Yesu alinyanyuliwa na tuna Amin Yesu hakufa,nisaidie Shekh wng

    • @hythamhashiem4458
      @hythamhashiem4458 5 місяців тому +2

      Allah hajasema nitakufisha ukisoma kwa alfarsy utaona ame sema nitakutimizia muda wako wakuishi na nitakunyanyuwa kwangu ispokuwa makadiyani wame fasiri متوفيك kwa maana ya kufa, lakini ukiangalia tasfsiri zote hazijafasiri mutawaffika kwa maana ya kufa illa wame fasiri kukabidhiwa au kutimiziwa muda wakuishi

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 5 місяців тому

      @@hythamhashiem4458 sasa mm kinacho nivuruga kichwa nina Quran kwenye cm yng inasema nitakufisha,mwenye uelewa wa Aya hiyo naomba anisaidie maana nilikuwa mkristo nikaslim sasa wakristo nilio waacha huko wana nibana kuacha Ukristo na hlo ni miongon mwa swal nimekosa majibu nashindwa kujitetea,naomba msaada ndgu zngu

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 5 місяців тому +1

      @@hythamhashiem4458 kinacho nichanganya mm nina Qur'an kwenye cm yng,nayo inasema nitakufisha,mwenye uelewa na Aya hiyo naomba anisaidie maana nilikuwa mkristo nikaslim sasa wakristo nilio waacha huko wana nibana kuacha Ukristo na hlo ni miongon mwa swal nimekosa majibu nashindwa kujitetea naomba msaada ndgu zngu

    • @michaelamiani6755
      @michaelamiani6755 3 місяці тому

      Hivo ndio uongo huonekana

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 5 місяців тому +3

    Maashaallah doctor ame kuja leo

  • @janieali5521
    @janieali5521 5 місяців тому +1

    MashaAllah Tabarak Allah Masheikh wetu kwa mafundisho bora kabisa.
    Mungu awazidishie elimu na baraka nyingi kwa kazi bora kabisa zaidi ya kazi zote.

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 5 місяців тому +1

    Masha Allah sheikh salim ujumbe umefika Allah akulinde na maadui wa uislamu

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 5 місяців тому

    Wew cyo mzima wew

  • @faizulfahz3209
    @faizulfahz3209 5 місяців тому +2

    Wangejua vizuri zaidi kuhusu Muhammad wangempenda saana kwasababu yeye ni kheirul qhalqillah yaaani mbora wa viumbe,

  • @josemu870
    @josemu870 5 місяців тому +4

    - KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

    1:2 - Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;

    1:3 - Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;

    1:4 - Mwenye Kumiliki Siku ya Malipo.

    1:5 - Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.

    1:6 - Tuongoe njia iliyo nyooka,

    1:7 - Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea

  • @Natashaamina-u7w
    @Natashaamina-u7w 5 місяців тому +1

    Mpola mpola 😂😂 mashallah tabrakallah

  • @ZakiyaAnwar-w1r
    @ZakiyaAnwar-w1r 5 місяців тому +3

    Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh Allah azidi kuwalinda na baraka kuwashushia mzidi kutangaza dini yake Alhamdulilah Allah awaongoze

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aameen ameen ameen sote

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 5 місяців тому +1

    Kiswahili safi ni mcha Mungu

  • @jamaltv2953
    @jamaltv2953 5 місяців тому +3

    Wallah haki itabaki kuwa haki, Allahu Akbar

  • @isahbarasa
    @isahbarasa 5 місяців тому +2

    Waleikum salam waramtulah wabarakatu alhamdulilla rabbi allamin ❤️

  • @nanuwaredeya
    @nanuwaredeya 5 місяців тому +3

    Masha Allah salim Daawah

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Місяць тому +1

    Paulo huko aliko marungu kama yote Dah, kafanikiwa kupoteza dunia. 😅😅

  • @josemu870
    @josemu870 5 місяців тому +2

    Allah amuongeze nguvu amulide ampe afya subra dawa iendelee Allahamdhullah

  • @halsamnur4553
    @halsamnur4553 5 місяців тому +2

    Not everybody can give dawah . It need patience and make non muslim to understand u . I pray that terittory that u give dawah everyday.inshallah they will all accept islam one day . May Allah bless u in this dunya and akhira .🫡

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому

      May Almighty Allah guide them to see right

    • @halsamnur4553
      @halsamnur4553 5 місяців тому +1

      @@salimdaawah123 ameen ya raab

  • @asl6295
    @asl6295 5 місяців тому +1

    Haya Sema Bismi...

  • @mahmudmugarura2175
    @mahmudmugarura2175 5 місяців тому +1

    Walaikum salam warhmatillah wabarakat

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl 5 місяців тому +1

    mashaallah

  • @abdirahmanmohamed1732
    @abdirahmanmohamed1732 5 місяців тому +4

    Mashaallah

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 5 місяців тому +1

    Mashalla 😍

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 5 місяців тому +2

    Allah amuongoze Mama wa Sheikh Salim katika UISLAMU.. (Aamyn)

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому +1

      Aameen ameen ameen

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 5 місяців тому +1

      @@salimdaawah123 Sheikh Salim .. wewe na Sheikh Ramadhan Kuria (Allah awahifadhi).. Wallaahi mnatupa ujasiri wa kuweza kuwagongea Wasio Waislamu majumbani mwao .. 😃 .. Wanaogopa sasa kuja kutugongea sisi .. .... ALLAH ATUTAQABALIE SOTE

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 5 місяців тому +1

      @@salimdaawah123 Tunapenda tuwaone siku moja mkiwa Pamoja na Sheikh Ramadhani

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому +1

      @swafiirbulbul819 Aameen ameen ameen sote

  • @kassimali9421
    @kassimali9421 4 місяці тому +1

    Assalamu alaikum,well done

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  4 місяці тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @faridbashuu
    @faridbashuu 5 місяців тому +1

    😂 Haiyaaaa Muhammad 😂😂😂😂😂 Wakristo jameni !!

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому +1

      Mpaka kieleweke inn shaa Allah

    • @faridbashuu
      @faridbashuu 5 місяців тому

      @@salimdaawah123 insha'Allah

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 5 місяців тому +1

    Mashaalah

  • @mohamudabdullahimohamud3995
    @mohamudabdullahimohamud3995 4 місяці тому +1

    Masha allah

  • @ibruzah001
    @ibruzah001 5 місяців тому +1

    ALLAHU AKBAR ♥️

  • @davidjuma3440
    @davidjuma3440 5 місяців тому +2

    Saalim usimuache huyu kijana sana, yupo vizuri kwenye usomaji wa vitabu

  • @faizulfahz3209
    @faizulfahz3209 5 місяців тому +1

    Mtume Muhammad ako na mamlaka kubwa sana kwa sababu yeye ni imamul ambiya..kumaanisha alisalisha manabii wote mbele yake hapo baitul maqdis pili alienda mbele ya mungu wake akiwa na malaika jibril..wasome saana uislamu wallahi wataupenda inshaAllah kwa idini ya mungu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому +1

      Allah awaongoze waione haki na waifuate

  • @Mohamedsedu
    @Mohamedsedu 4 місяці тому +1

    Allah atuongoze

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 5 місяців тому +1

    Ndio maana mnyama baada ya kuchinjwa huningingizwa ili damu yote itoke. Naunapomsome ukafunika masikio yake kwenye macho hutulia.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому

      Yeah ndio hivyo wataelewa tu inn shaa Allah

  • @fatumayusuf-7736
    @fatumayusuf-7736 5 місяців тому +1

    Mashaa'Allah. Sheikh salim.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому

      Masha Allah tunawapenda sana kwa ajili ya Allah

  • @abdallahazizi999
    @abdallahazizi999 5 місяців тому +1

    Walimu Naomba Allah awaongezeye elimu ilimuendelee kuwafikishia viumbe wake

  • @SheeMaryam.M
    @SheeMaryam.M 5 місяців тому +5

    Alhamdulillah i thought hakuna dawah leo..
    Kwa hivyo mwalimu kila kichinjio Kuna muisilamu wa kuchinja?
    Juu nikienda nyumbani banana huwa sili nyama , knowing that, hakuna muisilamu wakuchinja vichinjioni..

    • @abdallahdoka9173
      @abdallahdoka9173 5 місяців тому +1

      Kichinjio Kenya mzima ni waislamu pekee wamepewa authority ya kuchinja

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 5 місяців тому +1

      @@abdallahdoka9173
      Shukran sana nime poa Sasa nikienda butcher nitabuy Sasa bila wasi wasi

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 5 місяців тому +1

    Na lau angekua chapati ange chambuka vizuri sana, maana siyo kwa samli ile. Ndoo nzima imeisha wakimmwagilia.

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 5 місяців тому +3

    Pepo (paradise) haina plural, lakini Pepo majini ina plural nayo ni mapepo

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому +1

      Masha Allah umefafanua vinzuri sana

  • @AdanIsmail-qb8wb
    @AdanIsmail-qb8wb 5 місяців тому +4

    Assalam Aleikum warahmatulahi wabarakat shekhe hakuna sauti katika video naomba muangalie tena❤

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh iko sawa sasa

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Місяць тому +1

    Sheikh Salim hilo andiko la nyakati wa kwanza 1 : 16 wakristo watalipinga sababu ukisoma biblia yakizungu inasema Hamathite na biblia za kiswahili zengine zinasema na wahamathi.

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 2 місяці тому +1

    Mbona Aya za Paulo zimo ndani ya Bible?

  • @bibleknowledge-b1y
    @bibleknowledge-b1y 5 місяців тому

    Msamaha wa dhambi tuliupata kalvari...

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому

      Huko ni wapi?

    • @bibleknowledge-b1y
      @bibleknowledge-b1y 4 місяці тому

      Mbona unaonekana unafundisha wakati hata msingi huujui...Ndugu maandiko hayo sio hadithi hizo...

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  4 місяці тому

      @@bibleknowledge-b1y hueleweki msingi wa nini???

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  4 місяці тому

      @@bibleknowledge-b1y luka 1:1 anasema ni hadithi wewe unasema sio hadithi mbona hueleweki

    • @bibleknowledge-b1y
      @bibleknowledge-b1y 4 місяці тому

      Ndugu msingi wetu ni Yesu Kristo aliyetuokoa na dhambi na kupitia yeye tulipata msamaha wa dhambi... UNAPOTOSHA MAANDIKO..

  • @faizulfahz3209
    @faizulfahz3209 5 місяців тому +2

    Wangejua vizuri zaidi kuhusu Muhammad wangempenda saana kwasababu yeye ni kheirul qhalqillah yaaani mbora wa viumbe,

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 місяців тому +1

      Allah awafungue vifua vyao waione haki