@@haythamabdallah158 Mimi naskia wasiwasi adi plesha inapanda Nina wakati mgumu Yani naleo nimetoka hospital naogopa mpaka hospital dah nime pima vipimo vyote ni mapigo yamoyo yanazid aisee basi nitafute jamani
Tupo sote nikiskia mtu anaumwa na mm naumwa tna nitaangalia Google hpo wahka mtupu nikisema lailaha ila anta subhannaka innikuntum minadhwalimin inapungua
AssalamuAlaikum warahmatullahi wabarakatu Mimi nimeanza kumjua sheikh yussuf diwani nikiwa primary alivyokua akifanya darsa zake za tiba chuchu FM kipindi hicho nilikua mtoto viredio vya betri ilikua Ni elfu tatu za Tanzania Basi nilikua naficha kiredio changu usiku mama asinione napunguza sauti naanza kumsikiliza tiba zake, tiba zake ziliku nzuri me nilikua naandika kwenye kibuku changu 😂😂😂😂 ila saivi nimeshakua mtu mzima
@@haythamabdallah158 nime kutumia namba nitafute nimekutumia namba Kwa maneno hunitafut Sasa nakuandikia sifuli sita ishlini na tisa saba nane saba sita sita mbili nitafute tupate msaada
Mbon mkunazi ujaweka
Hiii hali ni nzto sana lkn hatuna jinsi isipokuwa kuomba dua kwa allah nakutafuta tiba ktk njia za kisheria
Mtihani Allah sw atufanyie wepesi apo kwenye wasiwasi wadini apo ndio mtihan Allah sw awalaani masheitwan waovu kama hao
Dalili zote ninzo nahic mpk kuchangamyikiwa mapigo ya moyo yanaenda mbio hii hali ikinikuta naona nakufa sasaiv nikienda hosp ninachoambiwa anajua mungu😢
unaambiwa nini hosipitali
Hawa naomba nitafte plz
Mimi naumwa wasiwasi jmn naumwa mm
@@halimaabdallah8775 nitafte mpendwa tuelekezane Bi-idhinLLAH
@@haythamabdallah158 Mimi naskia wasiwasi adi plesha inapanda Nina wakati mgumu Yani naleo nimetoka hospital naogopa mpaka hospital dah nime pima vipimo vyote ni mapigo yamoyo yanazid aisee basi nitafute jamani
Sheikh mimi sababu nyigii ulo yataja niko nazo sina raha moyo wangu
Tupo sote nikiskia mtu anaumwa na mm naumwa tna nitaangalia Google hpo wahka mtupu nikisema lailaha ila anta subhannaka innikuntum minadhwalimin inapungua
Jaman namm nateseka nawasiwasi nahisi nakufa mimi
Jazakallah kheyr
Yananisumbua sana mawazo ya wasisi
Nikweli shekhe Mimi nashida nasumbuliwa sana na maradhi hayo
Masha Allah Sheikh
Dalili zote ulizozitaja ninazo subhana Allah isipokua moja tu
Ipi HUNA
In shaa Allah kheri
AssalamuAlaikum warahmatullahi wabarakatu Mimi nimeanza kumjua sheikh yussuf diwani nikiwa primary alivyokua akifanya darsa zake za tiba chuchu FM kipindi hicho nilikua mtoto viredio vya betri ilikua Ni elfu tatu za Tanzania Basi nilikua naficha kiredio changu usiku mama asinione napunguza sauti naanza kumsikiliza tiba zake, tiba zake ziliku nzuri me nilikua naandika kwenye kibuku changu 😂😂😂😂 ila saivi nimeshakua mtu mzima
Mashaallah 😊
جزاك الله خيرا
Dah yote nnayo hayo
Asalam alaikum sheikh nauliza zaatari na hardali zinapatikana wapi ao kwa kingereza zinaitwa ajee
Zaatar powder and mustard powder
Waaleykum Salam warahmatullah wabarakatuh
@@mwanaishanassor377shukraan
Ukiwa na wasiwasi unaweza kubeba mimba??
Mashaallah
Shehe Yan kama mm nateseka Sana
Umefanikiwa mm jaman nateseka moyo unaenda mbio Kila wakat
Nateseka na maradh ya wasiwasi naumwa nina miez 10 sasa moyo hauna aman naumwa nipo kitandani siwez hata kusimama duwa zenu jaman
Mm pia wasiwasi Moy waend mbio
Mwanang miez nan
@@haythamabdallah158 nime kutumia namba nitafute nimekutumia namba Kwa maneno hunitafut Sasa nakuandikia sifuli sita ishlini na tisa saba nane saba sita sita mbili nitafute tupate msaada
@@halimaabdallah8775 tear
Inshallah❤ Allah atakuponya
Unaongea kuruwani tunashindwa kuku sikiliza