KIJANA ALIYELOWA SIKU YA MASHINDANO YA QUR'AAN TUKUFU AFRIKA APATIKANA NA AKABIDHIWA ZAWADI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 823

  • @aminamomba9586
    @aminamomba9586 Рік тому +2

    Dah wallah kishki Allah akulipe Allah akupe kila hitaji la moyo wako Allah akupe umri mrefu uwendelee kutuelimisha katika haqi na dini ya kweli natamani nikutane na ww unisomee dua Quran na unielimishe

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo Рік тому +116

    MaasshaAllah Allah anampa amtakae ktk wakati usotarajiwa kabisa ALLah atuzidishie mahabba ya dini yake♥️♥️

  • @zuwenahassan3461
    @zuwenahassan3461 Рік тому +10

    Assalm alykum Ustadh kishki ,ni vyema kumchukua na kumuandaa ahifadh Quran Kwa uwezo wa Allah aje kushiriki ktika miaka ijayo tunaimani anaweza Masha Allah .Au sio waislam wenzangu.

  • @zubedarichard2311
    @zubedarichard2311 Рік тому +1

    Maashallah Taqbirii

  • @samiasalim1789
    @samiasalim1789 Рік тому +1

    manshallah jazaka kher Shehk allah tabakaraha akuongezeee mara 3ya ulipo toa

  • @DafraneIbrahim-ic6yw
    @DafraneIbrahim-ic6yw Рік тому +2

    Macha Allah

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 Рік тому +1

    Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allah Akbar!

  • @twalibabdalla5455
    @twalibabdalla5455 Рік тому +24

    Mashallah.
    "Hakika wamchao mungu ndio wenye kufaulu"
    ❤❤❤

  • @aminangusura6115
    @aminangusura6115 Рік тому +4

    Manshaallah shekhee nakuomba kwa mawazo yangu mngemuendeleza kwenye elimu ya dini,na kama ingewezekana mngempeleka kwenye shule za kiislam akazidi kukuza elimu,kwa sababu hiyo ni neema imeonekana

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Рік тому +1

    mashallah Allah barik

  • @tausimadezi2137
    @tausimadezi2137 Рік тому

    Maashallah tabarak'allah Mpaka mwili umenisisimka lillah,,Allah akufanyie wepes kijana salum akupe i'imaan na muongozo #Aameen

  • @hamisibinti2716
    @hamisibinti2716 Рік тому +41

    Mashallah 🎉🎉🎉🎉ila najikuta machozi yantoka 😢😢 kw furaha ya Allah akupe umri mrefu Ameeen thumma Ameen yaaraby sheikh wetu

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Рік тому +36

    Maashallah nimejikuta natoa machozi jaman huyu kaka anavyojieleza halafu mdogo km mwanangu Allah amzidishie kila lenye kheri kwake

  • @halimaramadhan2000
    @halimaramadhan2000 Рік тому +1

    Maa shaa Allah TabarakahAllah

  • @naimasabir7552
    @naimasabir7552 Рік тому +38

    Alhamdulillah,Kweli Wema hulipwa Kwa Wema...Huyu Kijana Anaonyesha Utulivu WA Akili na Usikivu....hakuwa katika Vijana Wala Madawa Wakabaji ili kupata cha MDA,Allah kampa cha Halali...na chakudumu.Allah amhifadhi awe mfano Kwa wenziwe...Wazee naWalimu Wema kama Sheikh,Kishki Wanoendeleza Malezi ya Kiislamu.Allah amlipe Kheri Zake hapa na Baada ya Kuondoka.

    • @maebebe6468
      @maebebe6468 Рік тому +2

      Masha Allah hakika

    • @adamabubakar7569
      @adamabubakar7569 Рік тому +2

      Aamiin 🤲🤲

    • @asmaabdi216
      @asmaabdi216 Рік тому +2

      Wallah maasha Allah

    • @mohamediurembo4714
      @mohamediurembo4714 Рік тому +1

      Mashallah tabaraka rakhamani kwakweli machizi usmenitoka Kwa fulaha allha akuzidishie upendo na shekhe kishi Allah akujazie Imani zaidi❤❤❤❤

    • @kigenimohammed7847
      @kigenimohammed7847 Рік тому +2

      Allahuma amiin yaa rabbi 🙏🤲☝️

  • @tiffahprety1285
    @tiffahprety1285 Рік тому +1

    Mashallah allah akibar

  • @smootkizy_jr
    @smootkizy_jr Рік тому +5

    I'm Christian but I love the faith of that young man Amen to him and may God be with him always

    • @africa7479
      @africa7479 Рік тому +1

      my God be with you too, and guide you to the right path...

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed Рік тому +38

    Maashaallah maashaallah maashaallah shukuran shekhe wetu kwa kitendo ulichokitekeleza Hakika nimfano mzuri ❤🤲☝️

  • @atkerhamad9984
    @atkerhamad9984 Рік тому +1

    Mashaallah walahawla walaquwata ilabillah,mashaallah

  • @mwanakheri169
    @mwanakheri169 Рік тому +2

    Mashaallah Mashaallah Mashaallah

  • @bntrashidi3083
    @bntrashidi3083 Рік тому +1

    Mashallah Ila uyo alovaa nguo ya ccm ameharibu

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Рік тому +1

    Masha Allha Allhahu Akbalu
    Allha akuongoze vema shekhe wetu kwenye kila jambo lenye kheli naww

  • @ramlaleila374
    @ramlaleila374 Рік тому +1

    Kweli riziki inatafuta sababu Ma Shaa Allah Tabaaraka Allah

  • @massudbiz9828
    @massudbiz9828 Рік тому +1

    Jazzakallahu khair sheikh kishki❤️❤️❤️

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Рік тому +6

    SHEKH NAKUOMBA UMUENDELEZA KUMSOMESHA AENDELEYA KUSOMA QUR'AN KAREEM

  • @redittamtam3591
    @redittamtam3591 Рік тому +39

    Allaah akuzidishie ulipotoa sheikh kishki, na akuhifadhi amiin amiin amiin

    • @muhammadkipangatv2674
      @muhammadkipangatv2674 Рік тому +1

      Ameen

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 Рік тому +1

      Amiin Amiin Amiin

    • @assoistiquamat2397
      @assoistiquamat2397 Рік тому +1

      السلام عليكم ورحمة الله وبركاته صباح ماشاء الله تبارك الرحمن جزاه الله خيرا وتقبل الله طاعتكم ووضع في ميزان حسناتكم يوم لا ظل الا ظله جعلني أبكي اللهم اجعله من أهل الجنة برحمتك يا ارحم الراحمين

    • @muhammadkipangatv2674
      @muhammadkipangatv2674 Рік тому +1

      @@assoistiquamat2397
      آمين

  • @mweroruwa6339
    @mweroruwa6339 Рік тому +1

    Mashallah Tabaraka Allah..

  • @al_huda_theguidance5034
    @al_huda_theguidance5034 Рік тому +1

    Takbir... ALLAHU AKBAR

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Рік тому +2

    Maa shaa Allah tabarakallah, zawadi nzuri Allah aijaze barka. Sheikh zawadi ya tatu msomeshe Qur-an. Anasema anaipenda lkn kwa matamshi yake nahc km hajui kusoma Qur-an. In shaa Allah msomeshe Qur-an na itakua zawadi nzuri kuliko zote kwako na kwake.

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 Рік тому +32

    MashaAllah Tabaraka Allah, ku trend kwenye social media kwa mambo ya kher ni bora zaidi. Allah awalipe kila la kheri

  • @mastermfaume
    @mastermfaume Рік тому +1

    MAASHALLAH.
    SIDHANI KAMA KUNAMTU ANAKUELEWA KAMA NINAVYOKUELEWA MIMI SHEIKH WEWE,
    SHEIKH KISHKI ALLAH KUHIFADHI NA KILA SHARRI NA BALAA,
    DUNIANI NA AKHERA🙏🙏🙏🙏

  • @omarisarai7699
    @omarisarai7699 Рік тому +1

    Mashallah,Allah azidi kukupa Kheri na hikma Inshallah.Allah akuzidishie imani usaidie wengi.Mimi mwenyewe nimeshashuhudia imani yako nikiwa Mwalimu wa Kiingereza wa darasa la saba la kwanza la Al-hikma Primary School chini ya Uongozi wa Majapa kama mwalimu mkuu.Kheri nyingi kwa Al-hikma foundation. Mwl. OMARI SARAI

  • @aesherwendo4413
    @aesherwendo4413 Рік тому +1

    MashaAllah,JazakaAllahu kheir

  • @mariamhussein2737
    @mariamhussein2737 Рік тому +1

    Mashallah tabarakallah

  • @Ramazanisajad535
    @Ramazanisajad535 Рік тому +1

    Alhamdulillah

  • @tutiwatuti
    @tutiwatuti Рік тому +1

    Masha Allah Allah atakufungulia rizk zako bila kujua je angeliwa kwenye mpira asingepata hayo

  • @HardwareMoshi1
    @HardwareMoshi1 Рік тому +1

    Mashallah allah hamuifazi

  • @mohammedhussein3097
    @mohammedhussein3097 Рік тому +1

    Kwa huyu mtu mwema ambaye nilimuona kwa mbali tarehe 2/4/2023 pale ukumbi diamond jubliee kwenye mashindano ya quran tukufu ambayo yaliandaliwa na aisha sururu foundation. Ningependa kukutana naye na kum busu kwenye paji la uso wake na kumpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya. Alimzawadia mvulana pikipiki na kumbusu kwenye paji la uso wake kwa sababu tu kijana huyo alikaa wakati mvua inanyesha huku mashindano ya quran yakiendelea huku wengine walikuwa wanakimbilia pembezoni . Mashallah ndivyo ubinadamu unavyoitwa. Mwenyezi Mungu ambariki yeye na familia yake katika mwezi huu mtukufu wa ramadhani.

  • @zulekhasaid6758
    @zulekhasaid6758 Рік тому +1

    Mashallah Allah humpa amtakaye Kwa njia aitakayo yeye Allah amuongoze mdogo etc ameen

  • @jamilahrashed2642
    @jamilahrashed2642 Рік тому +1

    Maa sha Allah Maa sha Allah tabaraq Rahman

  • @sulleimanshalua168
    @sulleimanshalua168 Рік тому

    MaashaAllah ..Allah amlipe kheri

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Рік тому +2

    Ma sha allah sheikh kishk Allah akuzidishie pale ulipo toa allah akuhifadhi
    Ombi langu naomba huyo kijana umsaidie msomesheni dini ktk shule ya Al hekma ili naye asome dini msaidie i kwa ajili ya allah allah Atakulipeni

  • @nuruyusuph5562
    @nuruyusuph5562 Рік тому +1

    Mashallah mashallah

  • @zabibumohamed6088
    @zabibumohamed6088 Рік тому +1

    Daaah mashaallaah, Allaah Akbar.. hadi machozi yamenitoka wallahi

  • @suleimansoud2783
    @suleimansoud2783 Рік тому +1

    MaaShaaAllah

  • @hajithabit864
    @hajithabit864 Рік тому +1

    Mashaallah mungu akuzidishie imani shemhee

  • @omarfundyhassani1309
    @omarfundyhassani1309 Рік тому

    Mashaallah Mashaallah Mashaallah mola atakulpa malipo mema shekeh we2 nurdin kishki

  • @leilazulpha3205
    @leilazulpha3205 Рік тому +1

    Masha Allah Allah azidi Kukuongoza na Allah azidi ampe umri mrefu sheik wetu aki me nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @nuruyusuph5562
    @nuruyusuph5562 Рік тому +1

    Mashallah nimelia

  • @rahimaidd
    @rahimaidd Рік тому +9

    MaashaAllah Uislam raha upendo umetawala shekhe Allah akuzidishie na akupe umri mrefu Amin

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Рік тому +21

    mashallah mashallah allah azid kukujalia kila la kher nawewe shekhe wetu allah akupe maisha marefu yenye afya nzur nawewe ameen inshallah🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Рік тому

    Mashallah shekhe nurdin kishik

  • @KiuyuClinic-fx8sy
    @KiuyuClinic-fx8sy Рік тому +1

    Ma sha Allah

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Рік тому +42

    اللهم اجعل القرءان العظيم ربيع قلوبنا ونور صدورنا

  • @zuleikhaissa684
    @zuleikhaissa684 Рік тому

    Mashaallah Allah akuzishie zaid ya ulichotoa shekh wetu tunakupenda kwa ajili ya Allah Allah akuhifadh nshaallah

    • @maimunasaide2108
      @maimunasaide2108 Рік тому

      Hakuna mola hapassae kuhabudiwa Kwa hakih na Mali isipokua Allah pekee.

  • @sniperislam4547
    @sniperislam4547 Рік тому +1

    Maashaallah wajina wangu Allah akuhifadhi
    Na sheykh azd kumpa iman thaabit

  • @kimwanachangani3922
    @kimwanachangani3922 Рік тому +1

    Maa shaa Allah ..natoka Kenya wallah Allah azidi kumuongoza huyu kijana na atuongoze sote in Shaa Allah..Sheikh kishki Allah akufanyie wepesi ktk kila jambo utakalolifanya yaa raaby..

  • @naifal0507
    @naifal0507 Рік тому +1

    🥲..MashaaAllah..Jaman!..

  • @HidnaKirungi-ol3se
    @HidnaKirungi-ol3se Рік тому +1

    Jadhakallahu

  • @mahimbomtuli1600
    @mahimbomtuli1600 Рік тому +1

    Masha Allah Allah awalipe kheri wote kishki pamoja na Huyo kijana wallah nikiwa natazama hizi video machozi huwa yananitoka haswa zile za mashindano

  • @azizarashidy500
    @azizarashidy500 Рік тому +1

    Maashaallah..

  • @najuf8021
    @najuf8021 Рік тому +16

    Mwamba kweli kweli Allah amfanyie wepes katika maisha yake

  • @lawarithal-oafi3178
    @lawarithal-oafi3178 Рік тому +1

    Mashaallah Allah barik takbir

  • @aminanahimana8759
    @aminanahimana8759 Рік тому +1

    Ma Sha Allah Tabaarakallah Furaha hadi machozi❤❤❤

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Рік тому +1

    Masha'allah Allah humpa amtakae🙏

  • @halimapwagu3091
    @halimapwagu3091 Рік тому +9

    Mashallah kishiki allah akuongezee zaini ya icho alichokupa ili uzidi kusaidia watu nakupe maishamalefu yenye balaka tele kishiki nakupenda kwa ajili ya allah

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Рік тому

    Allah akulipe kila lenye kheir Shekh Kishki

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 Рік тому +1

    Mashaallah ALLAH akubarik Sheikh Mtukufu Sheikh Kishki kwa kutekeleza ahadi yako ushauri tu sio lazima ungempa zawadi ya elimu ni ushauri tu Sheikh wangu

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Рік тому +1

    Mashallah Mashallah Mashallah tabarakaallah sheikh Allah akujaze khery kila riziki hakoc sababu kijana c alama ya kichwa pka suruali kaja nao iyo iyo Allah amjalie awe hifadhi quran kama anavyo ipenda amiin yarrab 🤲

  • @asiafadhilmakame9532
    @asiafadhilmakame9532 Рік тому +1

    Shekh Kishki assalaam alaykum.baada ya salaam namuomba Allah akupe umri mrefu wenyekheri nawewe na aendeelee kukupa moyo huohuo wa kutoa na kuwasaidia waislam kwa ajili ya Allah.kwakweli kutoa nimoyo nasio utajiri .

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Рік тому +1

    Mashallah

  • @aminatwalib318
    @aminatwalib318 Рік тому +16

    Mashallah am proud to be a muslim🎉🎉❤

    • @chizaboy9664
      @chizaboy9664 Рік тому +1

      Mm natakanambazako

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 6 місяців тому

      Uislamu ni neema kubwa kutoka kwa Allah tabaraka wa ta'ala, sio ufakhari

  • @AnwarYakoub-eu9gt
    @AnwarYakoub-eu9gt Рік тому +1

    Allah awape barka

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Рік тому +2

    Mashaallah wallah ht mie nimefurahi ❤❤ni yy jmn hd viatu ni yy kwanza mie ht sijazingatia kidont kwenye kichwa lkn nilipomuona sura tu nikajisemea ni yy hongera sana mwanangu pia Allah atakulipa kishki ❤

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma1879 Рік тому +1

    Maa Shaa Allwah

  • @mwajumaissa2358
    @mwajumaissa2358 Рік тому +8

    Maashaallah Allah akitaka kkuinua na kkupandisha darja huwa ni siku moja tu ambayo hukuitegemea wala kuitarajia Alhamdulillah na Sheikh wetu Nurdini Kishiki Allah akuzidishie Iman na akupandishe darja ya juu kabisa na atakulipa kwa mema unayoyafanya kila lakher kwako

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 Рік тому +1

    Masha Allah. Sheikh Nurdin Allah akulipe khery.
    Ombi langu kwako, mchukueni huyu kijana Msomesheni Quran na Sunna Sahihi za Mtume Muhammad Swalallahu alayhi wasallam

  • @asraoman735
    @asraoman735 Рік тому +1

    Mashallah mashaall

  • @AthumaniLubwaza-un2qh
    @AthumaniLubwaza-un2qh Рік тому

    Mashaallah Jazakallah hair

  • @ambarnelly6071
    @ambarnelly6071 Рік тому +8

    Mashallah jazaka llahu kheir Mungu ni mwema siku zote na hawezi kumtupa mja wake iyo ni ahadi ya MwenziMung kwa waja wake ,kisha nikuombe tu sheh wangu msaidie kumfunza qurani vizuri ishaalwah atakuwa mwanafunzi mzuri na mwema ishaalwah kheir

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Рік тому

    Mashaallah jazakumllah kheir

  • @farahanseif-hm4yx
    @farahanseif-hm4yx Рік тому

    mashaallah allah akuzidishie I Imaan sh kiski wewe ni mfano mzuri wa kuigwa na waislam kwa kweli tangu juzi nafuatlia machozi ta furaha yamenitoka kwa jamboree hili

  • @mariamthabit9773
    @mariamthabit9773 Рік тому

    Maa'shaa Allah barakallah fiykum

  • @zainamohammed7109
    @zainamohammed7109 Рік тому +1

    Allah Akbar nimetoka machozi ya furaha Allah akulipe kheri sheikh

  • @aishahasan7722
    @aishahasan7722 Рік тому +6

    Mashaa Allah mabroouk 😍🤲🏻🤲🏻
    Shaikh wangu Kishk naomba umchukue awe chin yko asome hpo Al-hikma ❤

  • @Anzalmidel
    @Anzalmidel Рік тому +1

    Masha Allah..😢😢

  • @dorahhussein
    @dorahhussein Рік тому +1

    Mashaallah

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Рік тому

    Alhamdullillah Takbiiir

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 Рік тому +2

    MASHA ALLAH
    ALLAH BARQI

  • @zuhurajuma5839
    @zuhurajuma5839 Рік тому +1

    Mashaalah Allah akulipe sheikh Kishki ila kubwa msaidie kuifahamu quran na dini zaid

  • @patrotineabudo8911
    @patrotineabudo8911 Рік тому +1

    Masha Allah

  • @ummuaymazoza7276
    @ummuaymazoza7276 Рік тому +1

    Masha Allah Masha Allah Masha Allah

  • @fatumakale7004
    @fatumakale7004 Рік тому

    Maashallah maashallah

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Рік тому

    Mashaallah bado mdogo sana mwenyezi mungu akuongoze in shaallah

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 Рік тому

    sheikh nurdin ufanyayo hayana kifani wala mfano,,, nimalizie kusema tu,,,, allah akulinde na mahasid, husda na vijiicho na watu wa baya, kukitangaza kitabu cha allah

  • @husseinabubakari3037
    @husseinabubakari3037 Рік тому +1

    Masha Allah Shekh mm ninaombi kwakuwa kijan. Huyo anapenda Quran kwa nn asijifunzee shule kwako akijafunza na Quran kam inawezekana In Shaa Allah

  • @fatmamwinyi3827
    @fatmamwinyi3827 Рік тому +2

    Mashallah mungu atufungulie kheri na mazuri inshallah, ila mwakani panapo uhai na majaaliwa pasije kunyesha mvua wallah vijana wenzangu tutabeba na mikeka wallah

  • @MwajumaAyubu-e5q
    @MwajumaAyubu-e5q Рік тому +1

    Mashaallah mungu akupe maish marefu ❤

  • @khadijatamimi2495
    @khadijatamimi2495 Рік тому +3

    Masha ALLAH barakah ALLAHU FIQU ulipo toa sheikhe wetu ALLAH akuzidishie maradufu ❤kwa ajili ya ALLAH

  • @shadyaadam8919
    @shadyaadam8919 Рік тому +1

    Ma shaa Allah tabaraka Rahman
    Sheikh kishik Allah akulipe hapa duniani na kesho Akhera.
    Kwawel kijana amefurah sana, na Allah azidi kumuongoza kijana wetu aisome na ayafahamu maneno ya Allah.