Dah wallah kishki Allah akulipe Allah akupe kila hitaji la moyo wako Allah akupe umri mrefu uwendelee kutuelimisha katika haqi na dini ya kweli natamani nikutane na ww unisomee dua Quran na unielimishe
Assalm alykum Ustadh kishki ,ni vyema kumchukua na kumuandaa ahifadh Quran Kwa uwezo wa Allah aje kushiriki ktika miaka ijayo tunaimani anaweza Masha Allah .Au sio waislam wenzangu.
Manshaallah shekhee nakuomba kwa mawazo yangu mngemuendeleza kwenye elimu ya dini,na kama ingewezekana mngempeleka kwenye shule za kiislam akazidi kukuza elimu,kwa sababu hiyo ni neema imeonekana
Alhamdulillah,Kweli Wema hulipwa Kwa Wema...Huyu Kijana Anaonyesha Utulivu WA Akili na Usikivu....hakuwa katika Vijana Wala Madawa Wakabaji ili kupata cha MDA,Allah kampa cha Halali...na chakudumu.Allah amhifadhi awe mfano Kwa wenziwe...Wazee naWalimu Wema kama Sheikh,Kishki Wanoendeleza Malezi ya Kiislamu.Allah amlipe Kheri Zake hapa na Baada ya Kuondoka.
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته صباح ماشاء الله تبارك الرحمن جزاه الله خيرا وتقبل الله طاعتكم ووضع في ميزان حسناتكم يوم لا ظل الا ظله جعلني أبكي اللهم اجعله من أهل الجنة برحمتك يا ارحم الراحمين
Maa shaa Allah tabarakallah, zawadi nzuri Allah aijaze barka. Sheikh zawadi ya tatu msomeshe Qur-an. Anasema anaipenda lkn kwa matamshi yake nahc km hajui kusoma Qur-an. In shaa Allah msomeshe Qur-an na itakua zawadi nzuri kuliko zote kwako na kwake.
MAASHALLAH. SIDHANI KAMA KUNAMTU ANAKUELEWA KAMA NINAVYOKUELEWA MIMI SHEIKH WEWE, SHEIKH KISHKI ALLAH KUHIFADHI NA KILA SHARRI NA BALAA, DUNIANI NA AKHERA🙏🙏🙏🙏
Mashallah,Allah azidi kukupa Kheri na hikma Inshallah.Allah akuzidishie imani usaidie wengi.Mimi mwenyewe nimeshashuhudia imani yako nikiwa Mwalimu wa Kiingereza wa darasa la saba la kwanza la Al-hikma Primary School chini ya Uongozi wa Majapa kama mwalimu mkuu.Kheri nyingi kwa Al-hikma foundation. Mwl. OMARI SARAI
Kwa huyu mtu mwema ambaye nilimuona kwa mbali tarehe 2/4/2023 pale ukumbi diamond jubliee kwenye mashindano ya quran tukufu ambayo yaliandaliwa na aisha sururu foundation. Ningependa kukutana naye na kum busu kwenye paji la uso wake na kumpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya. Alimzawadia mvulana pikipiki na kumbusu kwenye paji la uso wake kwa sababu tu kijana huyo alikaa wakati mvua inanyesha huku mashindano ya quran yakiendelea huku wengine walikuwa wanakimbilia pembezoni . Mashallah ndivyo ubinadamu unavyoitwa. Mwenyezi Mungu ambariki yeye na familia yake katika mwezi huu mtukufu wa ramadhani.
Ma sha allah sheikh kishk Allah akuzidishie pale ulipo toa allah akuhifadhi Ombi langu naomba huyo kijana umsaidie msomesheni dini ktk shule ya Al hekma ili naye asome dini msaidie i kwa ajili ya allah allah Atakulipeni
mashallah mashallah allah azid kukujalia kila la kher nawewe shekhe wetu allah akupe maisha marefu yenye afya nzur nawewe ameen inshallah🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️
Maa shaa Allah ..natoka Kenya wallah Allah azidi kumuongoza huyu kijana na atuongoze sote in Shaa Allah..Sheikh kishki Allah akufanyie wepesi ktk kila jambo utakalolifanya yaa raaby..
Mashallah kishiki allah akuongezee zaini ya icho alichokupa ili uzidi kusaidia watu nakupe maishamalefu yenye balaka tele kishiki nakupenda kwa ajili ya allah
Mashaallah ALLAH akubarik Sheikh Mtukufu Sheikh Kishki kwa kutekeleza ahadi yako ushauri tu sio lazima ungempa zawadi ya elimu ni ushauri tu Sheikh wangu
Mashallah Mashallah Mashallah tabarakaallah sheikh Allah akujaze khery kila riziki hakoc sababu kijana c alama ya kichwa pka suruali kaja nao iyo iyo Allah amjalie awe hifadhi quran kama anavyo ipenda amiin yarrab 🤲
Shekh Kishki assalaam alaykum.baada ya salaam namuomba Allah akupe umri mrefu wenyekheri nawewe na aendeelee kukupa moyo huohuo wa kutoa na kuwasaidia waislam kwa ajili ya Allah.kwakweli kutoa nimoyo nasio utajiri .
Mashaallah wallah ht mie nimefurahi ❤❤ni yy jmn hd viatu ni yy kwanza mie ht sijazingatia kidont kwenye kichwa lkn nilipomuona sura tu nikajisemea ni yy hongera sana mwanangu pia Allah atakulipa kishki ❤
Maashaallah Allah akitaka kkuinua na kkupandisha darja huwa ni siku moja tu ambayo hukuitegemea wala kuitarajia Alhamdulillah na Sheikh wetu Nurdini Kishiki Allah akuzidishie Iman na akupandishe darja ya juu kabisa na atakulipa kwa mema unayoyafanya kila lakher kwako
Masha Allah. Sheikh Nurdin Allah akulipe khery. Ombi langu kwako, mchukueni huyu kijana Msomesheni Quran na Sunna Sahihi za Mtume Muhammad Swalallahu alayhi wasallam
Mashallah jazaka llahu kheir Mungu ni mwema siku zote na hawezi kumtupa mja wake iyo ni ahadi ya MwenziMung kwa waja wake ,kisha nikuombe tu sheh wangu msaidie kumfunza qurani vizuri ishaalwah atakuwa mwanafunzi mzuri na mwema ishaalwah kheir
mashaallah allah akuzidishie I Imaan sh kiski wewe ni mfano mzuri wa kuigwa na waislam kwa kweli tangu juzi nafuatlia machozi ta furaha yamenitoka kwa jamboree hili
sheikh nurdin ufanyayo hayana kifani wala mfano,,, nimalizie kusema tu,,,, allah akulinde na mahasid, husda na vijiicho na watu wa baya, kukitangaza kitabu cha allah
Mashallah mungu atufungulie kheri na mazuri inshallah, ila mwakani panapo uhai na majaaliwa pasije kunyesha mvua wallah vijana wenzangu tutabeba na mikeka wallah
Ma shaa Allah tabaraka Rahman Sheikh kishik Allah akulipe hapa duniani na kesho Akhera. Kwawel kijana amefurah sana, na Allah azidi kumuongoza kijana wetu aisome na ayafahamu maneno ya Allah.
Dah wallah kishki Allah akulipe Allah akupe kila hitaji la moyo wako Allah akupe umri mrefu uwendelee kutuelimisha katika haqi na dini ya kweli natamani nikutane na ww unisomee dua Quran na unielimishe
MaasshaAllah Allah anampa amtakae ktk wakati usotarajiwa kabisa ALLah atuzidishie mahabba ya dini yake♥️♥️
🤲🤲🤲🤲
Ameen
😂❤ amiin 🤲
Ameen
Ameen
Assalm alykum Ustadh kishki ,ni vyema kumchukua na kumuandaa ahifadh Quran Kwa uwezo wa Allah aje kushiriki ktika miaka ijayo tunaimani anaweza Masha Allah .Au sio waislam wenzangu.
Maashallah Taqbirii
manshallah jazaka kher Shehk allah tabakaraha akuongezeee mara 3ya ulipo toa
Macha Allah
Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allah Akbar!
Mashallah.
"Hakika wamchao mungu ndio wenye kufaulu"
❤❤❤
Swadakta
Manshaallah shekhee nakuomba kwa mawazo yangu mngemuendeleza kwenye elimu ya dini,na kama ingewezekana mngempeleka kwenye shule za kiislam akazidi kukuza elimu,kwa sababu hiyo ni neema imeonekana
mashallah Allah barik
Maashallah tabarak'allah Mpaka mwili umenisisimka lillah,,Allah akufanyie wepes kijana salum akupe i'imaan na muongozo #Aameen
Mashallah 🎉🎉🎉🎉ila najikuta machozi yantoka 😢😢 kw furaha ya Allah akupe umri mrefu Ameeen thumma Ameen yaaraby sheikh wetu
Khakika 😭😭
Ww hamisi hamisa
Wallah
Maashallah nimejikuta natoa machozi jaman huyu kaka anavyojieleza halafu mdogo km mwanangu Allah amzidishie kila lenye kheri kwake
Amiin
Walah sio wewe tu hata mimi😭
MashaAllah kijana na Sheikh pia
Ni vyema sana kama ingependeza awe karibu nawe ili umuongezee imani zaidi
Masha Allah
Nami pia hiyo Hali imenikuta, Allah Akbar
Maa shaa Allah TabarakahAllah
Alhamdulillah,Kweli Wema hulipwa Kwa Wema...Huyu Kijana Anaonyesha Utulivu WA Akili na Usikivu....hakuwa katika Vijana Wala Madawa Wakabaji ili kupata cha MDA,Allah kampa cha Halali...na chakudumu.Allah amhifadhi awe mfano Kwa wenziwe...Wazee naWalimu Wema kama Sheikh,Kishki Wanoendeleza Malezi ya Kiislamu.Allah amlipe Kheri Zake hapa na Baada ya Kuondoka.
Masha Allah hakika
Aamiin 🤲🤲
Wallah maasha Allah
Mashallah tabaraka rakhamani kwakweli machizi usmenitoka Kwa fulaha allha akuzidishie upendo na shekhe kishi Allah akujazie Imani zaidi❤❤❤❤
Allahuma amiin yaa rabbi 🙏🤲☝️
Mashallah allah akibar
I'm Christian but I love the faith of that young man Amen to him and may God be with him always
my God be with you too, and guide you to the right path...
Maashaallah maashaallah maashaallah shukuran shekhe wetu kwa kitendo ulichokitekeleza Hakika nimfano mzuri ❤🤲☝️
Mashaallah walahawla walaquwata ilabillah,mashaallah
Mashaallah Mashaallah Mashaallah
Mashallah Ila uyo alovaa nguo ya ccm ameharibu
Masha Allha Allhahu Akbalu
Allha akuongoze vema shekhe wetu kwenye kila jambo lenye kheli naww
Kweli riziki inatafuta sababu Ma Shaa Allah Tabaaraka Allah
Jazzakallahu khair sheikh kishki❤️❤️❤️
SHEKH NAKUOMBA UMUENDELEZA KUMSOMESHA AENDELEYA KUSOMA QUR'AN KAREEM
Allaah akuzidishie ulipotoa sheikh kishki, na akuhifadhi amiin amiin amiin
Ameen
Amiin Amiin Amiin
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته صباح ماشاء الله تبارك الرحمن جزاه الله خيرا وتقبل الله طاعتكم ووضع في ميزان حسناتكم يوم لا ظل الا ظله جعلني أبكي اللهم اجعله من أهل الجنة برحمتك يا ارحم الراحمين
@@assoistiquamat2397
آمين
Mashallah Tabaraka Allah..
Takbir... ALLAHU AKBAR
Maa shaa Allah tabarakallah, zawadi nzuri Allah aijaze barka. Sheikh zawadi ya tatu msomeshe Qur-an. Anasema anaipenda lkn kwa matamshi yake nahc km hajui kusoma Qur-an. In shaa Allah msomeshe Qur-an na itakua zawadi nzuri kuliko zote kwako na kwake.
MashaAllah Tabaraka Allah, ku trend kwenye social media kwa mambo ya kher ni bora zaidi. Allah awalipe kila la kheri
MAASHALLAH.
SIDHANI KAMA KUNAMTU ANAKUELEWA KAMA NINAVYOKUELEWA MIMI SHEIKH WEWE,
SHEIKH KISHKI ALLAH KUHIFADHI NA KILA SHARRI NA BALAA,
DUNIANI NA AKHERA🙏🙏🙏🙏
Mashallah,Allah azidi kukupa Kheri na hikma Inshallah.Allah akuzidishie imani usaidie wengi.Mimi mwenyewe nimeshashuhudia imani yako nikiwa Mwalimu wa Kiingereza wa darasa la saba la kwanza la Al-hikma Primary School chini ya Uongozi wa Majapa kama mwalimu mkuu.Kheri nyingi kwa Al-hikma foundation. Mwl. OMARI SARAI
✍️✍️✍️✍️ ni shekh mnyenyekevu sana sijawahi ona
MashaAllah,JazakaAllahu kheir
Mashallah tabarakallah
Alhamdulillah
Masha Allah Allah atakufungulia rizk zako bila kujua je angeliwa kwenye mpira asingepata hayo
Mashallah allah hamuifazi
Kwa huyu mtu mwema ambaye nilimuona kwa mbali tarehe 2/4/2023 pale ukumbi diamond jubliee kwenye mashindano ya quran tukufu ambayo yaliandaliwa na aisha sururu foundation. Ningependa kukutana naye na kum busu kwenye paji la uso wake na kumpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya. Alimzawadia mvulana pikipiki na kumbusu kwenye paji la uso wake kwa sababu tu kijana huyo alikaa wakati mvua inanyesha huku mashindano ya quran yakiendelea huku wengine walikuwa wanakimbilia pembezoni . Mashallah ndivyo ubinadamu unavyoitwa. Mwenyezi Mungu ambariki yeye na familia yake katika mwezi huu mtukufu wa ramadhani.
Mashallah Allah humpa amtakaye Kwa njia aitakayo yeye Allah amuongoze mdogo etc ameen
Maa sha Allah Maa sha Allah tabaraq Rahman
MaashaAllah ..Allah amlipe kheri
Ma sha allah sheikh kishk Allah akuzidishie pale ulipo toa allah akuhifadhi
Ombi langu naomba huyo kijana umsaidie msomesheni dini ktk shule ya Al hekma ili naye asome dini msaidie i kwa ajili ya allah allah Atakulipeni
Ni kweli ndug yang
Mashallah mashallah
Daaah mashaallaah, Allaah Akbar.. hadi machozi yamenitoka wallahi
MaaShaaAllah
Mashaallah mungu akuzidishie imani shemhee
Mashaallah Mashaallah Mashaallah mola atakulpa malipo mema shekeh we2 nurdin kishki
Masha Allah Allah azidi Kukuongoza na Allah azidi ampe umri mrefu sheik wetu aki me nakupenda kwa ajili ya Allah
Mashallah nimelia
MaashaAllah Uislam raha upendo umetawala shekhe Allah akuzidishie na akupe umri mrefu Amin
Amiiii yarabiiy
mashallah mashallah allah azid kukujalia kila la kher nawewe shekhe wetu allah akupe maisha marefu yenye afya nzur nawewe ameen inshallah🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️
Ameen
Mashallah shekhe nurdin kishik
Ma sha Allah
اللهم اجعل القرءان العظيم ربيع قلوبنا ونور صدورنا
اللهم آمين يارب العالمين 🤲
اللهم آمين
Allahumma Aamiin yarabbi
Mungu akuzaidishie iman
Ameen yaraby
Mashaallah Allah akuzishie zaid ya ulichotoa shekh wetu tunakupenda kwa ajili ya Allah Allah akuhifadh nshaallah
Hakuna mola hapassae kuhabudiwa Kwa hakih na Mali isipokua Allah pekee.
Maashaallah wajina wangu Allah akuhifadhi
Na sheykh azd kumpa iman thaabit
Maa shaa Allah ..natoka Kenya wallah Allah azidi kumuongoza huyu kijana na atuongoze sote in Shaa Allah..Sheikh kishki Allah akufanyie wepesi ktk kila jambo utakalolifanya yaa raaby..
🥲..MashaaAllah..Jaman!..
Jadhakallahu
Masha Allah Allah awalipe kheri wote kishki pamoja na Huyo kijana wallah nikiwa natazama hizi video machozi huwa yananitoka haswa zile za mashindano
Maashaallah..
Mwamba kweli kweli Allah amfanyie wepes katika maisha yake
Mashaallah Allah barik takbir
Ma Sha Allah Tabaarakallah Furaha hadi machozi❤❤❤
Masha'allah Allah humpa amtakae🙏
Mashallah kishiki allah akuongezee zaini ya icho alichokupa ili uzidi kusaidia watu nakupe maishamalefu yenye balaka tele kishiki nakupenda kwa ajili ya allah
Allah akulipe kila lenye kheir Shekh Kishki
Mashaallah ALLAH akubarik Sheikh Mtukufu Sheikh Kishki kwa kutekeleza ahadi yako ushauri tu sio lazima ungempa zawadi ya elimu ni ushauri tu Sheikh wangu
Mashallah Mashallah Mashallah tabarakaallah sheikh Allah akujaze khery kila riziki hakoc sababu kijana c alama ya kichwa pka suruali kaja nao iyo iyo Allah amjalie awe hifadhi quran kama anavyo ipenda amiin yarrab 🤲
Shekh Kishki assalaam alaykum.baada ya salaam namuomba Allah akupe umri mrefu wenyekheri nawewe na aendeelee kukupa moyo huohuo wa kutoa na kuwasaidia waislam kwa ajili ya Allah.kwakweli kutoa nimoyo nasio utajiri .
Mashallah
Mashallah am proud to be a muslim🎉🎉❤
Mm natakanambazako
Uislamu ni neema kubwa kutoka kwa Allah tabaraka wa ta'ala, sio ufakhari
Allah awape barka
Mashaallah wallah ht mie nimefurahi ❤❤ni yy jmn hd viatu ni yy kwanza mie ht sijazingatia kidont kwenye kichwa lkn nilipomuona sura tu nikajisemea ni yy hongera sana mwanangu pia Allah atakulipa kishki ❤
Maa Shaa Allwah
Maashaallah Allah akitaka kkuinua na kkupandisha darja huwa ni siku moja tu ambayo hukuitegemea wala kuitarajia Alhamdulillah na Sheikh wetu Nurdini Kishiki Allah akuzidishie Iman na akupandishe darja ya juu kabisa na atakulipa kwa mema unayoyafanya kila lakher kwako
Masha Allah. Sheikh Nurdin Allah akulipe khery.
Ombi langu kwako, mchukueni huyu kijana Msomesheni Quran na Sunna Sahihi za Mtume Muhammad Swalallahu alayhi wasallam
Ofa hiyo ameshapatiwa
Mashallah mashaall
Mashaallah Jazakallah hair
Mashallah jazaka llahu kheir Mungu ni mwema siku zote na hawezi kumtupa mja wake iyo ni ahadi ya MwenziMung kwa waja wake ,kisha nikuombe tu sheh wangu msaidie kumfunza qurani vizuri ishaalwah atakuwa mwanafunzi mzuri na mwema ishaalwah kheir
Mashaallah jazakumllah kheir
mashaallah allah akuzidishie I Imaan sh kiski wewe ni mfano mzuri wa kuigwa na waislam kwa kweli tangu juzi nafuatlia machozi ta furaha yamenitoka kwa jamboree hili
Maa'shaa Allah barakallah fiykum
Allah Akbar nimetoka machozi ya furaha Allah akulipe kheri sheikh
Mashaa Allah mabroouk 😍🤲🏻🤲🏻
Shaikh wangu Kishk naomba umchukue awe chin yko asome hpo Al-hikma ❤
Kuran haifam vzr mpeleken madrasa
MaashaAllah
Masha Allah..😢😢
Mashaallah
Alhamdullillah Takbiiir
MASHA ALLAH
ALLAH BARQI
Mashaalah Allah akulipe sheikh Kishki ila kubwa msaidie kuifahamu quran na dini zaid
Masha Allah
Masha Allah Masha Allah Masha Allah
Maashallah maashallah
Mashaallah bado mdogo sana mwenyezi mungu akuongoze in shaallah
sheikh nurdin ufanyayo hayana kifani wala mfano,,, nimalizie kusema tu,,,, allah akulinde na mahasid, husda na vijiicho na watu wa baya, kukitangaza kitabu cha allah
Masha Allah Shekh mm ninaombi kwakuwa kijan. Huyo anapenda Quran kwa nn asijifunzee shule kwako akijafunza na Quran kam inawezekana In Shaa Allah
Mashallah mungu atufungulie kheri na mazuri inshallah, ila mwakani panapo uhai na majaaliwa pasije kunyesha mvua wallah vijana wenzangu tutabeba na mikeka wallah
Hhhhhhhh kama ulikuwepo kwenye akili yangu
Mashaallah mungu akupe maish marefu ❤
Masha ALLAH barakah ALLAHU FIQU ulipo toa sheikhe wetu ALLAH akuzidishie maradufu ❤kwa ajili ya ALLAH
Aaaamin yaarabil alaamin🤲🤲🤲🤲🤲
Ma shaa Allah tabaraka Rahman
Sheikh kishik Allah akulipe hapa duniani na kesho Akhera.
Kwawel kijana amefurah sana, na Allah azidi kumuongoza kijana wetu aisome na ayafahamu maneno ya Allah.