Kanyanga Pole Pole - St. Clare - Bahati

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 416

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 2 роки тому +21

    Mungu walinde wanakwaya wote kanisa takatifu katoriki duniani kwa.kuwapa guvu na.roho mtakatifu awaongoze imani upendo matumaini uvumilivu katika maisha ya kristor amina

  • @georgeowiti9296
    @georgeowiti9296 7 місяців тому +12

    Mimi sio wa catholic church lakini hii wimbo naipenda xaana....is so painful 😣😣 mungu atulinde...wachawi..wanganga..washindwe Kwa jina la yesu kristo

  • @KAIZAJustasi
    @KAIZAJustasi 5 місяців тому +27

    ambao wanakanya pole pole kwa kumtafuta Mungu like nikuon 2024

  • @ceciliamaundu7231
    @ceciliamaundu7231 11 місяців тому +9

    This song reminds me everything is vanity. Let us invest in the Lord who is eternal

  • @dennisnyambati3232
    @dennisnyambati3232 Рік тому +6

    Wimbo mtaamu Sana mwalimu naomba kupata miziki wake nitashurusana

  • @benardettemuthama6046
    @benardettemuthama6046 2 роки тому +34

    This song humbles all humans..be good to all and live a life that only pleases your creator.

  • @MUNIRAMODEST
    @MUNIRAMODEST 20 днів тому

    Mali yako utayacha kweli hayo yote ni ya dunian Mungu tujaali mwisho mwema tupe Rehema yako Mungu maana tunaendeshwa na kutafuta pesa Mali fahari za dunia hii tunasaha kwamba tunapita Mungu wangu tuongoze maana tuna tumia nguvu nyingi muda mwingi kuandaa maisha mafupi ya hapa duniani tunasahau kujiandaa kwaajali ya misha ya kesho ambayo niya milele Mungu tunaomba Rehema yako😢

  • @shadrachsanga2140
    @shadrachsanga2140 Рік тому +17

    Whenever i hear this song i remember my late father and my late brother may their souls rest in peace.

    • @tallamstive7790
      @tallamstive7790 Рік тому +1

      when i also listen to this song its remains me about my late mother rip mom

    • @azzizclemence9995
      @azzizclemence9995 7 місяців тому +1

      God be with you my dear friend always🙏❤

  • @antonygikunda1406
    @antonygikunda1406 Рік тому +8

    When I hear this remind me my late mum and my late sister......bt also I learnt to be humble

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 2 роки тому +5

    Mungu wangu unilinde dunia hii nchi zote vita sio vita tu ya silaha za.mambomu na bunduki bari ata uzurumati mali za watu watoto walio acha wazazi wao wakiwa wadogo wapate haki yao wanao teseka katika vita hinzi wamama na watoto wazee wangojwa wasio ona wamama wajawazito vijana wasio na makosa vinasababishwa na watu wachache wenye tamaa za madaraka ata kwenye family 👪 zetu kuna vita mungu upokee maombi haya ndugu zetu ujumbe huu hii kwaya amina

  • @noelusengimana6972
    @noelusengimana6972 2 місяці тому +1

    Wimbo huu ni mzuri kbs,ujumbe unageuza kutoka mabaya Kwa meema

  • @mariamwamalwa1663
    @mariamwamalwa1663 2 роки тому +42

    Inanikumbusha siku tulimuaga baba yangu .. mahali ulipo baba uendelee kupumzika Kwa amani😭😭😭😭😭😭

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 2 роки тому +2

    Kwani nifaraja moja yakusali ata kama umechoka lakini unapota faraja ya nyimbo kanisa takatifu katoriki duniani umesali kwa imani kuamini amina

  • @waziriKaguo-u3v
    @waziriKaguo-u3v 25 днів тому

    Inanikumbusha mbali mjomba angu mungu wape wepesi wa dhambi zao maan mbele yao nyum yetu

  • @PauloArushi-l2g
    @PauloArushi-l2g 10 місяців тому +3

    Mmetutoa kimasomaso wenu ha babati manyara❤

  • @yohanacosmas8540
    @yohanacosmas8540 2 роки тому +7

    Sisi niwapitaje Ee yesu mwema tunaomba huruma yako daimaa😥😭😭🙏🙏🙏

  • @gracepedo5553
    @gracepedo5553 6 місяців тому +1

    ❤❤as the so goes ...Dunia hii si Yenu..kanyaga pole pole ndugu yangu..makao ni Uko binguni...I love the song

  • @samuelmwangi-om1sk
    @samuelmwangi-om1sk Рік тому +1

    keep it Good work ujumbe wakweli wimbo mtamu sanaa❤❤

  • @peteromori5677
    @peteromori5677 Рік тому +5

    Tukae kwa yesu milele, Amina

  • @JeanPierreAmédée
    @JeanPierreAmédée Рік тому +6

    Cette chanson me rappelle le jour où j'avais perdu mes deux parents dont mon père et ma mère,que leurs âmes reposent en train.

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 2 роки тому +3

    Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi mlio tuletea Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina

  • @LeakeyKanyamaha
    @LeakeyKanyamaha 6 місяців тому +1

    Nyimbo nzuri sana mke wapo watu wanaowanyasha wenzao uraisi wa milele yao ni hapa duniani

  • @MercianaSkubhe
    @MercianaSkubhe 29 днів тому

    Inanikumbushambali Sana siku niliyokuwa msibani kwa bibiyangu mungu amlaze mabalipema peponi

  • @Rose-b3n7h
    @Rose-b3n7h 3 місяці тому +5

    😭😭😭It reminds me my brother who perished in an accident 😥just 5yrs yaani life is meaningless 💔

  • @patrickyanga8028
    @patrickyanga8028 Рік тому +3

    What a humbling song🙏🙏am a Proud Catholic 🙏🙏🙏

  • @redemptamutuku8907
    @redemptamutuku8907 Рік тому +9

    It's a very nice and humbling song,I keep on listening to it each and every night when about to sleep. Kudos to the cjoir members

  • @SophieJasson
    @SophieJasson Рік тому +3

    Mungu awapeni nguvu muendelee kumwimbia Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @reginasambili2937
    @reginasambili2937 11 місяців тому +1

    Reminds me of my late hubby the choir sang it repeatedly 😭😭😭😭 whenever I listen to it somehow I shed a tear. I thank God it's now my favorite song I've learnt a lot through it and I'm a better person now

  • @sylvanusodhek6020
    @sylvanusodhek6020 10 місяців тому +1

    It is a good song am listening now, may God adds them more

  • @EmmanuelMarco-v1q
    @EmmanuelMarco-v1q 10 місяців тому +3

    Kanyaga polepole ndugu yangu sisi ni wapitaji makao yetu huko mbinguni nimeiangalia 2024 ina sms nzuri sana

    • @FrancisSaleh
      @FrancisSaleh 2 місяці тому +1

      Very encouraging music from the Catholic choir

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Рік тому

    Mungu wangu unilinde watu wako asa nchi zinazo pingana vita apa duniani anajari zinazotokea popote duniani kote amina ulinde family zetu kanisa katoriki duniani kote amina viogozi wetu amina

  • @HurumaAntony
    @HurumaAntony 8 місяців тому

    Akika tukanyage polpole jaman duniya hi sio yetu makao yetu ni mbinguni ee mungu wangu nakushukulu kwa punzi ❤❤❤

  • @elizabethkamene6497
    @elizabethkamene6497 2 місяці тому

    Hii wimbo inanikubusha babangu vile alikua anaiba naskia nikama akona wao mpaka naskia kulia dad continue resting in peace tumetamani sauti yako kika asubui ukiimba (baba yetu uliye mbinguni)

  • @azzizclemence9995
    @azzizclemence9995 7 місяців тому

    Nyimbo safi na ujumbe wa kutosha pia tuwasamee wanao tukosea kila siku ili tukawe na makao mema kwetu mbinguni....Pia Mungu azidi kuwapumnzisha ndugu zetu wote walio pumnzika kwa amani yake🙏❤🌹

  • @FrankMwampashi-om9ww
    @FrankMwampashi-om9ww 5 місяців тому +5

    Inanikumbusha sku ya mama yangu kuaga dunia nikiskia hii nyinbo namkumbuka mama yangu Edith Senti mwanga wa umuangazie na laha ya milele umupe EBWANA apumnzike milele

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 2 роки тому +3

    Mubarikiwe watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume

  • @susansammy2953
    @susansammy2953 2 роки тому +3

    Tick tock brought me here.....a nice song good msg

  • @marymutinda6257
    @marymutinda6257 2 роки тому +7

    I thought it's a new song ! Good message God's pple..more blessings ...Catholic songs be always on it

  • @linetokal1528
    @linetokal1528 3 роки тому +13

    Amen 🙏🙏, this world is not our home nice message to all christian believers from this song, Amen 🙏 Amen 🙏 Amen 🙏

  • @StellaMuriithi-v3t
    @StellaMuriithi-v3t Рік тому +4

    I like the song because it makes many people to humble themselves and reminds us we are heading somewhere

  • @bestamsumange9289
    @bestamsumange9289 Рік тому +2

    kwa kweli tunahitaji nidhamu kubwa na dunia hii ,tukanyage polepole, cyo kwa vishindo.

  • @asuukonyo6144
    @asuukonyo6144 10 місяців тому +3

    Afadhali kunyenyekea hii dunia si yetu. I feel bad nikiona vile watu hujiona

  • @JacklineWanjala-yh1pv
    @JacklineWanjala-yh1pv Рік тому +3

    A very powerful message that humbles me and reminds me to do God's will

  • @rosekithuku6529
    @rosekithuku6529 3 роки тому +11

    The song is so nyce, Keep preaching the gospel guyz.

  • @richardjames8460
    @richardjames8460 Рік тому

    From Tanzania ...am listening the song and love it

  • @DensuuDee
    @DensuuDee Рік тому +2

    Great message and great song our home is in heaven ;

  • @PurityAkello-fn4ig
    @PurityAkello-fn4ig 10 місяців тому

    Wooooow 🎉🎉 this is the best song that i have heard today 😊😊

  • @jaymorethe4th294
    @jaymorethe4th294 Рік тому +1

    It melts the heart,,,so amazing song,,,hii dunia siyo yetu

  • @nazarethchanga2090
    @nazarethchanga2090 2 роки тому

    Kanyaga pole pole dua so yetu, ikiwa na maana tuish kwa kumpendeza MUNGU duniani tu, wapitaji tu. 🙏🙏

  • @EDWARDMLELEMA-kj6ni
    @EDWARDMLELEMA-kj6ni 6 місяців тому +1

    Ngoma imekaa vizuri, big up!

  • @marthamnyakindi1051
    @marthamnyakindi1051 Місяць тому +1

    I love this song endeshataratibu pole pole

  • @JeronimoSeru
    @JeronimoSeru Рік тому +6

    Amen good message to our fellow catholic 😊

  • @felistaskitela887
    @felistaskitela887 Рік тому +4

    My brothers continue rip, sisi wote ni wapitaji😭😭😭😭

  • @BernardinPopule
    @BernardinPopule 9 місяців тому

    ❤❤❤ je suis en RDC mais j'aime beaucoup les chansons en swahili ça me vraiment bien

  • @alqhaha2393
    @alqhaha2393 Рік тому

    The bad side of it after this 8 yrs ago the good singers I see here only few of them are existing.....life is too short...🙏🙏🙏

  • @MerryKivafi
    @MerryKivafi 6 місяців тому +10

    2024 like tujuwanne ❤

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Рік тому +1

    Tread slowly, a very beautiful song that blesses and has a very good message.❤

  • @agnetaerupe8013
    @agnetaerupe8013 Рік тому +2

    Nice song teach us that the world is not our home

  • @SANJA-NANENANe
    @SANJA-NANENANe 5 днів тому +4

    Nani anakanyaga na mimi February 2025?

  • @thomasouma5245
    @thomasouma5245 Рік тому +3

    May the soul 😢😢😢 of JPM rest in peace 😢😢😢😢 kweli dunia si yetu

    • @emmanuelombui2080
      @emmanuelombui2080 Рік тому

      Rest in peace my dad whenever I hear of the song I remember your sacrifice to make me whom I am today

  • @gracemutindi5450
    @gracemutindi5450 Рік тому +2

    This song encourages me to humble myself all through

  • @talamjohn4400
    @talamjohn4400 8 місяців тому

    Great inspiration, yote yatapita tumtumanie mungu.

  • @FidelNyembo-kr4kv
    @FidelNyembo-kr4kv Рік тому +1

    Ongera kubwa ju ya wimbo huu,n'a tunaomba nota ta wimbo huu

  • @FayMawi
    @FayMawi 3 місяці тому +5

    Kwny ii mwimbo ilikuwa inajua coming years kutakuwa kubaya like today wewwh

  • @MercyMueni-us1rh
    @MercyMueni-us1rh 22 дні тому

    Nakubuka babu alikufa mungu akuwe mahali pazuri Rip babu 😭😭😭

  • @kavitamusyoka1083
    @kavitamusyoka1083 Рік тому +1

    Very true, God created us in his own image and likeness.Tuwaheshimu na kuwapenda wote pasi kujali utajiri au umasikini.

  • @JenifaMboya
    @JenifaMboya Місяць тому

    Yani wimbo huu unanitumaga niwaze mbali sana unanifariji na kujua duniani c petu

  • @allexisaya6590
    @allexisaya6590 Рік тому +1

    Wimbo mzuri sana hongereni sana kwa ujumbe mzuri

  • @ericksiro9985
    @ericksiro9985 Рік тому +3

    old is gold nimebalikiwa hakika

  • @CharityKagwiria-vc3tp
    @CharityKagwiria-vc3tp Рік тому +4

    Wonderful song with a alot of teachings.

  • @maganyarobert7008
    @maganyarobert7008 Рік тому +2

    Pumzika kwa amani mdogo angu George kilanga maganya

  • @charokarisa8818
    @charokarisa8818 2 роки тому +6

    May God bless you abundantly for your great song

  • @faithwafula7841
    @faithwafula7841 Рік тому

    Nice song may God continue to blessed all ❤❤

  • @jeanmarckasongo4589
    @jeanmarckasongo4589 2 роки тому +4

    Vous avez raison mes frères et sœurs, félicitations pour cette belle chanson

  • @davidmuthiora9952
    @davidmuthiora9952 10 років тому +8

    I luv this song.God bless the composer and the entire choir as it has very strong message.Davy kbu

  • @lewisnzuki9942
    @lewisnzuki9942 2 роки тому +4

    Humility and love for others is key. We own nothing and cannot afford to be proud

  • @michaelmurimi5326
    @michaelmurimi5326 Рік тому +1

    waooh amazzing song, it is very humbling

  • @mercywathika8184
    @mercywathika8184 2 роки тому +1

    A great song keep on spreading the gospel. I need skiza code

  • @TitusKioko-l6k
    @TitusKioko-l6k Рік тому

    This song touches my heart I feel Pain so sad for losing my grandfather countinue resting in peace

  • @JacintaKasiva
    @JacintaKasiva Рік тому +3

    Amen 🙏 Amen 🙏 Amen 🙏🙏🙏 amazing choir 🔥🔥🔥

  • @GodlistenMbesere
    @GodlistenMbesere 3 місяці тому

    Ndaa nyimbo zur kweli tunapita tu 😂😂😂😂

  • @lawschool2056
    @lawschool2056 10 років тому +5

    one of the best songs i have ever come across. i have been looking for the CDs

  • @acpitasmusambi
    @acpitasmusambi Рік тому +1

    Dunia ni mapito.Very Inspiring

  • @irenemwanzia270
    @irenemwanzia270 2 роки тому

    These song reminds me of my Father who left us it is true we don't belong to these world

  • @estherkakumbi1848
    @estherkakumbi1848 Рік тому +1

    Here because I saw the song on Tom Daktari's content on tiktok❤❤

  • @valeriamgani4524
    @valeriamgani4524 Рік тому +1

    Wimbo Mzuri Sana jamani hongereni sana

  • @FavourMureti
    @FavourMureti Місяць тому

    It reminds me of my late dad ,,,,,rest in peace dad

  • @alqhaha2393
    @alqhaha2393 Рік тому +1

    Very nice song!!👌👌👌❤❤👏👏

  • @gertrudewanja2653
    @gertrudewanja2653 3 роки тому

    Ohh wat a beautiful song...maneno ya kujenga kweli

  • @catephil8966
    @catephil8966 5 місяців тому +1

    It reminds me of my grandma i lost two months ago

  • @josephatmakau-vw7wy
    @josephatmakau-vw7wy Рік тому

    It reminds me my late father and mother may there souls rest in peace

  • @carolmmamatugi7515
    @carolmmamatugi7515 2 роки тому +41

    After kuiona tiktok here I'm wana tiktok piga like tukisonga

  • @anatoliwema3664
    @anatoliwema3664 7 місяців тому

    Mr. Mkazi comedian wangu anaupenda sana huu wimbo kwa video clips zake

  • @azzizclemence9995
    @azzizclemence9995 7 місяців тому +1

    Endelea kupumnzika kwa amani baba angu mzazi mimi kijana wako nazidi kukuombea🙏

  • @deniskinyuakavunge2335
    @deniskinyuakavunge2335 Рік тому +1

    It reminds me about my dad who passed away continue resting in peace dad

  • @RebecaSanke
    @RebecaSanke 5 днів тому

    2025 mungu ni mwema 😇🙏azid kutubariki sote

  • @kaylamimo
    @kaylamimo 6 місяців тому

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Huuu wimbo unanibarikiii sanaanaa

  • @beatricembithe2203
    @beatricembithe2203 2 роки тому

    Nice song keep on going watu wa mungu

  • @JoshuaMwanzia-uj3ln
    @JoshuaMwanzia-uj3ln Рік тому +1

    Kanyanga pole pole ndugu yangu.dunia si yetu

  • @benardmonda4895
    @benardmonda4895 Рік тому +2

    Sure nobody is permanent we need to seek the face of the Lord