#MNATUCHANGANYA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 325

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 3 роки тому +68

    tuliolielewa church la huyu mchungaji tujuane kwa kutupia like...then twende tukaimbe wote

    • @khalfanifarisy7398
      @khalfanifarisy7398 3 роки тому

      Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)

    • @mariamjuma2908
      @mariamjuma2908 3 роки тому

      Kwa hiyo kuimba ni dhambi au

    • @richardsikazwe9197
      @richardsikazwe9197 3 роки тому

      Ubarikiwe baba

    • @danielofcars2920
      @danielofcars2920 Рік тому

      Tu ungane tu

    • @kennethkasese1933
      @kennethkasese1933 Рік тому

      @@khalfanifarisy7398 11

  • @ifakisetumbaboy3749
    @ifakisetumbaboy3749 6 місяців тому +3

    Amen
    1 Bwana ni Ngome Yangu Ni Muogope Nani??
    2 Tembea Na Jesus haleluya Amen.
    3 Nimefutiwa Deni Mwenzenu Sidaiwi Tena.
    4 Nimekombolewa Nae Aliyenirehemiya

  • @modesteessau8032
    @modesteessau8032 3 роки тому +11

    Wazee ni hazina mungu akubaliki sana Askofu magembe

    • @rosemneney3244
      @rosemneney3244 29 днів тому

      Ni kupondana tu hamfundishi kumcha Mungu ni wivu tu unawasumbua

  • @metridamihama3087
    @metridamihama3087 3 роки тому +8

    Nmecheka San barikiwa San mtumish Mungu aendeelee kukuinua

  • @ombenimathias5275
    @ombenimathias5275 3 роки тому +10

    Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....

    • @rizikimshindo2177
      @rizikimshindo2177 3 роки тому +2

      Kwa namna hiyo kea kwenda na usasa injili ya kweli utapoteza kabisa

    • @dieudonneniyokwizera3124
      @dieudonneniyokwizera3124 3 роки тому +2

      Kanisa la Leo sio kanisa...ni kama guest house...ukubali au usikubali,kanisa ni lazima turudi enzi za kale

    • @stevenomanga4637
      @stevenomanga4637 3 роки тому +1

      Sio lazima tuimbe kama zamani eti ndo mungu anasikia,,

    • @ombenimathias5275
      @ombenimathias5275 3 роки тому +1

      Kanisa ni Kama Guest house ,uliesema hivyo huo ni upumbavu,hauwezi fananisha Kanisa la Mungu na Guest.... Nonsense

    • @twinkleeddy9263
      @twinkleeddy9263 Рік тому +1

      Baba mchungaj nabalikiwa sana na mahubiri yako

  • @saudakabogo
    @saudakabogo 3 роки тому +3

    Baba barikiwa sana kwa mafundisho mazuri ya kipentecostal, mpigaji wa vyombo pia ubarikiwe umeziwezea kabisa nyimbo kwaya ya zaman

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 4 місяці тому +2

    Kweli sahivi kuna sifa za kawaida sana yan nyimbo za zamani ni motooo

  • @jimmlnsn4123
    @jimmlnsn4123 3 роки тому +8

    Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule

    • @ELIPHAZAMON-ex9zc
      @ELIPHAZAMON-ex9zc 6 місяців тому +1

      Unapotaka kweny maadili ya Mungu lazima wakuonye uache

    • @bestkatunzi2824
      @bestkatunzi2824 10 днів тому

      ​soma vizuri utamuelewa@@ELIPHAZAMON-ex9zc

  • @traffedrdc3585
    @traffedrdc3585 3 роки тому +1

    Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste.
    Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo.
    Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille
    Amina

  • @nellisongodfrey5847
    @nellisongodfrey5847 3 роки тому +1

    Mungu ndie atapima sikuhio yup aingie ufalme wake na yupi abaki maana wamuabuduo mungu wapaswa kumwabudu mungu kwa roho na kweli

  • @josephsibale4283
    @josephsibale4283 3 роки тому +8

    Aaaa mchungaji kumbe unasauti nzuri baba , Nabarikiwa sana kila nikutazamapo .

  • @irakozefrancine4611
    @irakozefrancine4611 3 роки тому +8

    He can preach indeed.. God bless him

  • @lukakyauke3258
    @lukakyauke3258 3 роки тому +3

    Mung u akubariki sana mtumishi Magembe Isaya 46;9

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Рік тому +1

    Haya ndo madhara ya kuishi generation isiyoyako, Kila kiti utaona wanakosea, hata vyakula wakila utawaambia wanaharibu pesa, Wanakula vitu vya anasa sana.
    Lakini Siri ya nyimbo ni kumfanya, muimbaji aburudike au ahudhunike hayo yakikosekana, wimbo hakuna maana

  • @furahamwemera4570
    @furahamwemera4570 3 роки тому +2

    Amina🙏🏽 Mungu azidi kukutiya nguvu Mutumishi wa Mungu!

  • @celestinoluis1326
    @celestinoluis1326 2 роки тому +2

    Aleluias Gloria's a Deus. Deus vos abençoe

  • @user-ni1vi3oh5p
    @user-ni1vi3oh5p 6 місяців тому +1

    Barikiwa Saana mungu Akupe Maisha marefu

  • @mrambaalphonce2164
    @mrambaalphonce2164 3 роки тому +1

    Bwana yesu alisema zijueni nyakati na majira

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 роки тому

    Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana

  • @FurahaEliya-df5fo
    @FurahaEliya-df5fo Рік тому +1

    Nimegundua hii dunia hakuna anayafanya vya kwake bila kumponda cha mwenzake hayo tunayaona kwa kila dini na kila dhebehebu pia tunaona kwa waimba wa aina tofauti tofauti kuwa ili nyimbo yake isikilizwe iwe na vijembe.......... Mbona hata weee naweza kukukosoa.....

  • @atukuzwegwayovye8504
    @atukuzwegwayovye8504 2 роки тому

    Baba tunakufurahia sana, tunamshukuru Mungu kwa kuwa na wewe Ili kutujulisha njia itupaswayo kuenenda.

  • @fredkitigwa436
    @fredkitigwa436 3 роки тому +4

    Nakuelewa sana Mch. Maghembe.

  • @mariamchimbombwe2571
    @mariamchimbombwe2571 2 роки тому +2

    What a voice, Nabarikiwa sana hasa baada ya kusikia sauti ya baba mchungaji

  • @pastorjamesmajaliwa7843
    @pastorjamesmajaliwa7843 3 роки тому +1

    Baba Mungu hakupe nguvu mpya katika haya unanifanya nitafute jinsi ya kuwafundisha watoto wa Mungu

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 3 роки тому +5

    Pastor machachari Sana

  • @phubusa2022
    @phubusa2022 Рік тому

    Oooooh!! Lord,,,, How will we change from the current; only one option being with the real God!!!!

  • @isokoyubugingoofficial626
    @isokoyubugingoofficial626 3 роки тому +3

    Ubalikiwe sana Muchungaji ongea ukweli na utabalikia

  • @ewhite2806
    @ewhite2806 3 роки тому +1

    Mchungaji Nakukubali sana Ila nyakati zinabadilika, lazima haya yatokee ili yaliotabiriwa ktk biblia yatimie kikubwa mteule azidi kujitakasa ndivyo neno lisemavyo huwezi kuzuia yasitokee itakuwa Ni kulipinga neno

  • @user-sy3qw2zk1b
    @user-sy3qw2zk1b 3 місяці тому

    Mtumishi muaminifu mbele za MUNGU. Litukuzwe jina la MUNGU baba na baraka za MUNGU na ziwe juu yako.

  • @isayajuliuskaombwe4675
    @isayajuliuskaombwe4675 2 місяці тому

    Huyu ni moja wa wachungaji naohitaji aniwekee mikono yake kuniombea🙏🏻

  • @user-cc3vs5di6y
    @user-cc3vs5di6y 5 місяців тому

    Mungu akupe maisha marefu baba kanisa len lipo sem gan

  • @yohanamgomambeyale9499
    @yohanamgomambeyale9499 3 роки тому +16

    SAIZI WATU WAMEFIKA MBALI MPAKA BONGO FLEVA ZINAIMBWA KANISANI .MCHUNGAJI SEMA UKWELI WATU TUPONE KWENDA MBINGUNI SIO LELEMAMA .

    • @gadielshedaffa3333
      @gadielshedaffa3333 3 роки тому +2

      Mimi ni mwl wa muziki! ila kweli melody za bongo fleava hazileti uzuri kwenye Gospel

  • @irenesimon9107
    @irenesimon9107 3 роки тому

    Eti dege dege ,Muchungaji Mungu akubaliki

  • @yohanamgomambeyale9499
    @yohanamgomambeyale9499 3 роки тому

    MUNGU AKUBARIKI SANA MCH.MOSSES MAGEMBE KWA KULISEMA NENO LA MUNGU BILA KUPINDISHA UKWELI.MUNGU ANA MPANGO NAWEWE

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 3 роки тому +4

    Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.

  • @carolynadhiambo2543
    @carolynadhiambo2543 3 роки тому +1

    Hallelujah Hallelujah mtumishi wa Mungu wamboe mambo yanayo faaa tufanye kwa ukweli mbele za Mungu

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 2 місяці тому +1

    Zaman wa watu walimba kwa lengo la kuhudumia jamii zao.sasa wanaimba ili wapate umashuhuli na afanikio yao binafsi.

  • @user-jl1db6lc1w
    @user-jl1db6lc1w 4 місяці тому

    Mungu akubariki sana pastor.

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 3 роки тому +5

    Mungu akubariki sana. Mmebaki wachache wenye kusema ukweli!

  • @simionlutebuka2914
    @simionlutebuka2914 2 роки тому +1

    Mmmmmmmh, kila kanisa na majira yake na changamoto zake.
    Tutembee kwa mguu wakat Mungu ametupa akili ya kurahisisha safari.
    Kuna tofauti wakat wa Mwanzo na sasahivi, lazma tukubali kuwa kila zama zilikuwa na changamoto zake.
    Roho mtakatifu tusaidie tusiende kwa mihemko yetu ya miili kwenye kuimba na kuhubiri, tutaharibu kile kitu Mungu amekiweka ndani yetu.

  • @kawayarajabu3446
    @kawayarajabu3446 3 роки тому +1

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU

  • @mgoledaudi6051
    @mgoledaudi6051 3 роки тому +1

    Nimebarikiwa na ujumbe 👏👏👏

  • @glorydenis5111
    @glorydenis5111 3 роки тому +4

    Unaimba vizuri Ila mchungaji.
    Ila acha kuwaponda waimbaji wengine
    Hata amen aleluya. Ina maana kubwaa

    • @lawrencehezronmwakalebela2738
      @lawrencehezronmwakalebela2738 3 роки тому +1

      Hujamuelewa mchungaji

    • @WitnessSamson-qc9ie
      @WitnessSamson-qc9ie 3 місяці тому

      Hujaelewa alichomanisha

    • @Wamisangi
      @Wamisangi 3 місяці тому

      Huyu alikuwa kuruta wa ulozi na uganga wa chienyeji kwa babu yake, bado hajavunja maagano ya kishetani aliyo unganishwa kwayo. Praise and worship akizisikia hirizi za maagano ya kichawi zina muunguza.

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel4614 3 роки тому +3

    Ubarikiwe

  • @user-pt1sc4hc1k
    @user-pt1sc4hc1k Місяць тому

    Mungu akutunze mtumishi

  • @davidomari8660
    @davidomari8660 3 роки тому +3

    Ww ni mtumishi Mungu

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 роки тому +1

    Mchungaji Bwana akubariki sana!!!

  • @franaelisumari5108
    @franaelisumari5108 3 роки тому +1

    Utukufu ni kwa Mungu.Uhamsho,Uhamsho,Uhamsho.

  • @sifaelkikoti3141
    @sifaelkikoti3141 3 роки тому

    Wawooohoo najifunza vingi sana kwako

  • @FlorenceKirigo
    @FlorenceKirigo 3 місяці тому

    Ndio naamini postor sikuhizi hakuna real worship I miss those dayys

  • @paul.shilagi6537
    @paul.shilagi6537 3 роки тому +1

    Hahahha amen be blessed my Pastor injili yako yaponyaaaa

  • @EnockObed
    @EnockObed 7 місяців тому

    Good I like that 🙏🙏

  • @adamukiula7892
    @adamukiula7892 Рік тому

    Amina sn my pastor

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 3 роки тому +1

    Ubarikiwe mtumishii...

  • @nesielias317
    @nesielias317 3 роки тому +1

    Ubarikiwe kwa kutukumbusha

  • @robertw.zyunga9599
    @robertw.zyunga9599 Рік тому

    He is the best pastor

  • @YohanaBanaba
    @YohanaBanaba 4 місяці тому

    Ubarikiwe mzee

  • @hannapatrick4817
    @hannapatrick4817 Рік тому

    Asante baba yangu Magembe

  • @esteredward6980
    @esteredward6980 3 роки тому +2

    Yesu ni yeye jana na leo na hata milele ilimladi anasifiwa ktk roho na kwel

  • @christineabel9638
    @christineabel9638 3 роки тому +1

    Really blessed

  • @sarahmathias1067
    @sarahmathias1067 3 роки тому +2

    Nimekuelewa sana Paster,,,,, Mungu azidi kukusimamia

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 3 роки тому

    Amina mchungaji.
    Sasa hivi kuna kazi.

  • @sospeternzengo1715
    @sospeternzengo1715 3 роки тому

    Mwachie Mungu mwenyewe ndo ahukumu cyo kusema waimbaji hivo kwani neno la bwana halipo na wangapi wanasikiliza nyimbo hizo na wanabarikiwa na kuokolewa kupitia mapambio

    • @mathiasstephano8165
      @mathiasstephano8165 3 роки тому

      Hajamhukumu mtu ila anazungumza ukwel, maana kunabaaz yanyimbo zingine zinaibwa kanisani hadi unahisi nimekosea kuja kanisani
      Mfano
      Nacheza kidole.....
      Huu nawenyewe tusemaje??
      Kelekele hahaaa.. Tambilamoyo cjui mann yaan dah!!! Tumelichafua kanisa (amos 6:5, muhubili 7:5)

    • @mathiasstephano8165
      @mathiasstephano8165 3 роки тому

      Kunanyimbo za sifa zingine zikiimbwa had kweli unahisi kubarikiwa
      Zinabariki
      Zinafariji
      Na kugusa mioyo ya watu

    • @bestkatunzi2824
      @bestkatunzi2824 10 днів тому

      ​@@mathiasstephano8165hata zamani hizo nyimbo zilikuwepo,.hata sasa nyimbo nzuri zipo sema ndio hazina umaarufu, kuhukumu et sasa hakuna nyimbo nzuri Sio kweli na ni dalili ya kujihesabia haki

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 6 днів тому

    Siku nikija huko razima nifike kupata baraka kwako mtumishi

  • @espoirmlondani-ue2fm
    @espoirmlondani-ue2fm 10 місяців тому

    Amin nimebarikwa

  • @mkushiinafricatvonline3309
    @mkushiinafricatvonline3309 3 роки тому +21

    Mbingu inahazina ya watu ,wakifuniliwa dunia inaduwaa

  • @bestinabenard2511
    @bestinabenard2511 3 роки тому +1

    Waaaahoooooo9 Ameizng

  • @malindisamwel4144
    @malindisamwel4144 3 роки тому +3

    Ameeee barikiwa sana

  • @johanesjohn8471
    @johanesjohn8471 3 роки тому +8

    🤣🤣 safi pastor, nyimbo za DINI lazima ziwe na ujumbe, hapo kwenye ujumbe wasabato wamefuzu kiasi

    • @johnfaustinechannel746
      @johnfaustinechannel746 3 роки тому

      Ni kweli

    • @soloartist_ivanvespalusind1609
      @soloartist_ivanvespalusind1609 3 роки тому +1

      Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!

  • @JoelyMtewele
    @JoelyMtewele 3 місяці тому

    Namwamini Sana huyu mchungaji tungepata watu 5 kama hwa taifa Zima lingekuwa sawa

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro6930 3 роки тому +5

    😁kweli kabisa nilipookoka miaka ya 90 nilikutahuo wimbo Bwana ni ngomeyangu. Na tembea na Yesu🙏

    • @khalfanifarisy7398
      @khalfanifarisy7398 3 роки тому

      Yohana 17:3,4) mnakosea sana Wakristo. Yesu siyo Mungu. Yesu katumwa na alimtukuza sana! Aliyemtuma tena kwa jina lake(Yaweh) Zaburi 68:20) Pia aliomba kwenye milima kwakukesha. Luka 6:12,13) Vipi leo aje kuwa Mungu ategemewe. Tumieni akiri mnaposoma maandiko. Kufuata mkumbo hakufai.

    • @agnesminja9612
      @agnesminja9612 3 роки тому

      Amen hakika kuna mafundisho mazuri hapo kwenye kumuimbia Mungu

  • @josiahbota8983
    @josiahbota8983 3 роки тому

    Oooh MUNGU atuzaidie manake huwa nashindwa ata tukisiimba aziendi sawa.

  • @winniewairimu3822
    @winniewairimu3822 3 роки тому

    Baba barikiwa saaaana

  • @stevenomanga4637
    @stevenomanga4637 3 роки тому

    Nibembeleze yesu ni wimbo mzuri Sana,, sasa yesu akikubembeleze Kuna kosa gani,, we mzee unazeeka vibaya,, pia sio lazima nyimbo zifanane, kweli we kichaa,,, pia hata hizo za kitabuni zilitungwa na watu,,, halafu mambo yamebadilika, hata uko zamani hawakuvaa kama ulivyovaa leo, maana ake ata wewe umebadilika, usitake watu wafanye kama zamani ndo ujue watu wanaimba

  • @mechackmarwa5789
    @mechackmarwa5789 2 роки тому

    Amina pastor

  • @januaryjanuary2685
    @januaryjanuary2685 Рік тому

    I'm blessed

  • @irenesimon9107
    @irenesimon9107 3 роки тому

    Mungu akubaliki

  • @faustinhaule7562
    @faustinhaule7562 3 роки тому

    Safi Sana pastor

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 2 роки тому

    Mhubiri nimekueelewa sana tufunue imani

  • @sakinaamoc9454
    @sakinaamoc9454 3 роки тому +1

    mungu akutunze

  • @mbithejustus246
    @mbithejustus246 Рік тому

    Alleluia ni kusifu

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 3 роки тому +1

    Yesu nibebe wa Roz ni wimbo mzr saaaana una ujumbe mzr na ubariki wengi

  • @drrphaeltz1
    @drrphaeltz1 3 роки тому +1

    Amen

  • @alamusictz
    @alamusictz 3 роки тому

    Amina sana barikiwaaaaa

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 роки тому +2

    Safi sanaaaaaa

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira768 3 роки тому +5

    Ooh Mungu nifutie madeni yangu!!

  • @IreneWatson3
    @IreneWatson3 2 роки тому +2

    2 Samweli 6:14 - Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani.
    2 Samweli 6:21 - Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za Bwana, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa Bwana, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za Bwana.
    2 Samweli 6:23 - Basi Mikali, binti Sauli, hakuwa na mtoto hata siku ya kufa kwake.

  • @erickkantona4369
    @erickkantona4369 3 роки тому +1

    Haleluya

  • @user-cl9tl5zn2y
    @user-cl9tl5zn2y 6 місяців тому

    Pole muchungaji wimbo huo wa unipepe wewe huwelewi,kwa hivyo acha kujisifu.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 роки тому

    Umenitazamisha juu zaidi

  • @samuelmdota8452
    @samuelmdota8452 3 роки тому +5

    Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri, Wachungaji na viongozi makanisani ndiyo chanzo cha hayo yote, hawakutaka na hawataki kuyakemea hata kidogo, Kanisa lina utamaduni wake umejengwa ktk maandiko matakatifu.

  • @emmanuelnollo5022
    @emmanuelnollo5022 Рік тому

    Haaahaa be blessed legend

  • @rozinamsigala7163
    @rozinamsigala7163 Рік тому

    Ameeeeen Ameeeeen Ameeeeen baba🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @aisonnjabula6662
    @aisonnjabula6662 2 роки тому

    Injili iliyohai safi sana baba

  • @sangalothmusicking4292
    @sangalothmusicking4292 3 роки тому

    Mchungaji nimepata kitu cha kunisaidia hapa asante Mtumishi.

  • @susanmburati8519
    @susanmburati8519 3 роки тому

    Mtumishi Kanisa inataka kurudia mungu wa kweli

  • @davisdeogratius9475
    @davisdeogratius9475 3 роки тому +2

    Amina

  • @focuseric4109
    @focuseric4109 3 роки тому +2

    Uyu mzee alitakiwa awe mchekeshaji!!!

  • @robertmnyanyika525
    @robertmnyanyika525 3 роки тому +3

    Mpoto mpoto khaaaa ,,aaa

  • @jojianaskibura3190
    @jojianaskibura3190 3 роки тому

    Mungu atusaidie kwa sababu mapya yanakuja akina Moses Kulola walihubiri kwa kutembea lakini hawa wanapanda vyombo mbali mbali wanakaa guest wakienda kuhubiri na mambo mengi yameendelea na suti wanazovaa sio za wakati ule. Hivyo vyombo vya muziki ilikuwa ngoma tunapiga tu wenyewe Mungu ametuletea vyombo mbali mbali tunamshukuru.
    Ila kwenye utunzi wa nyimbo Roho mtakatifu atusaidie kanisa na kila mwimbaji ahimizwe kuombea huduma yake.

    • @isayajuliuskaombwe4675
      @isayajuliuskaombwe4675 2 місяці тому

      kwani hapo anapoimba ivyo vyombo havipingwi,Mungu azidi kumpandisha huyu mzee aendelee kuwa mwalimu wetu kupitia Kristo Yesu🙏🏻