@@amanafi1288 aina maana Kama umesomeshwa kwa bangi ndo uhalalishe bangi, upo kwaajili ya kutetea haki na nakupinga batili, kwahyo jukumu lako nikubadilisha mtazamo wa watu waamini kwenye kile kilicho kua sahihi na si vinginevyo
Yani wananchi wazurimiwa sana naombeni watu wausika wawasikilize wananchi yeye hatari kwa watu wasio na nguvu awa viongonzi wengine wanatumiya nguvu tu
Daa inauma sana kijana anajituma apate riziki lakini anapokonywa tonge lake tutafika kweli tutakukumbuka sana makofuli mtetezi wa wanyonge machinga shida kilakitu shida
Samia rais naiman umeanza kuona wananchi wamechoka Tena wamechoka una chafuka wewe kisa watendaji wako hao angalia nchi inafika wapi jaman police acheni
Wewe ujui kitu nchi ni dhulma hawa watu wamkaa wanaonewa tuka enzi Mkapa , Kikwete,na Magu pia au umesahau watu wa samaki walivyo kua wakichomewa moto nyavu zao,au umesahau Wazili Mpina alivyo kwenda na rula Bungeni kupima samaki ,ACHA upofu wewe hii CCM ni shida
BIG UP TFS SOKO LA MKAA MOJA WENGINE WANALIPIA WENGINE HAWALIPII CHOCHOTE ONDOENI WOTE WANAOVUNJA SHERIA ILI WANAOFUATA TARATIBU WANUFAIKE MSILALE WANAOPIGA MWIGI BILA VIELELEZO TUNAWASHANGAA TU HAWAJIELEWI HADI WAWAPIGIE SALUTI
Mheshimiwa rais mama Samia chunguza suala hili,Kuna rushwa inayotambaa hapo Askari maliasili wamekua wakiwanyànyasa sana raia na kupokonya haki zao licha ya kua na vibali halali. Na hili lipo takriban nchi nzima huu ni uozo usiufumbie macho kwa hakika utatenda jambo mama
Hivi ni Watz wangapi wenye uwezo wa kutumia umeme au gesi!? Dar hapo wangapi wanatumia majiko ya umeme au gesi!? Hao hao wanaokamata, usishangae nyumbani kwao wenyew wanatumia mkaa!!!
Acheni wizi nyinyi ushuru uko juu Mara mbili ya manunuzi nyinyi ndio mnasababisha vijana wawe wezi juzi kibaha mmepiga m beba mkaa risasi mkamuua kisa buku tatu
Mkaa huu unakusanywa wapi? Serikali iangalie swala hili nguvu inayotumika barabarani ingetumika porini unakochomwa mkaa misitu ingepona Wasafirishaji sio wachomaji
Hizi ni Sheria za TFS zilipitishwa na Bunge tukufu , watumishi wanatekeleza Kwa mujibu ya wizara ya maliasili ,, Sheria inasema chombo kilichotumika kilipishwe faini
CHOMBO NI KIELELEZO MUHIMU MAHAKAMANI KINACHOONYESHA BILA SHAKA KUWA MTUHUMIWA ALITENDA KOSA KWA KUTUMIA NYENZO HIYO NA BILA IDHINI HALALI TOKA SERIKALINI
Swali lina kuijia ww wa misitu unapoibeba mikaa unaipeleka wapi je unacha paka akalipie au ndio umeisha itaifisha na kuiba na kuuza kinyume cha sheria au wauza na kuingiza pesa serikalini kihalali na pikipiki kuibebe inahusu nini na makaa
Hawa askari wanakosea kama ikiwa hao wajasiriamali wana vibali , labda wangetoa madai ya kuwa namna ya uwasilishaji wa hiyo mizigo ndio jambo la hatari kwa namna nilivyoona mm jinsi inavyobebeshwa kwa hivyo vyombo vyao maana ni hatari kwa usalama barabarani
Dah tatzo elimu watanzania atutakag kabisa kusoma unabisha vtyu usivyovijuwaaa baadae utaskia matahira serikali unatumia nguvu Apo munagoma munashawishi viruguu
Nchi hii imejawa dhurma ivi serikali gani ambayo haina huruma na wananchi ivi hawa jamaa wanavyopata taabu na mirumbesa kutoka bupu uko adi porini adi uku alafu kiulais unampokonya kanakwamba sio mtanzania
Tanzania Tanzania Tanzania yangu bado nakupenda Nchi inakua jangwa kwakua misitu inafyekwa kwa kasi pasipo kuwa na upandaji miti unaoendana na kasi ya ukataji hili halikubaliki naomba tfs muongeze nguvu ya kuwapiga na kukabiliana nao mpka misitu yetu ipone vivaaaa TFS
Usiongopee umma hakuna hata poli 1 la hifadhi uingie ukate Mkaa unakula shaba mikaa yote inatoka kwenye mashamba ya watu wanaposafisha shamba miti wanachoma Mkaa usiongopee umma tumefanya tafiti k
Vijana wanahangaika kupata cha halal mnawatilia ugumu..lakini hao hao wakiwa majambazi vibaka panya road pia mtawafunga..ndo mana mashoga wengii na malaya wengi kwasab mtu hana kazi ataoa viipi? Serikali haya mambo ya uzuizi mpunguzee nchi yetu lakini tunajuta kuwepo Tanzania Khaaa...!!!
Siwapendi hawa raia Kama nn, wamemlemaza kaka yangu kisaikolojia, tangu 2010 hadi leo hajakaa sawa, yaan hua jikiwaona najaa na hasira sijui jitapona lini
Now days unyanyasaji unazidi nchi inakuwa ya watu wachache. Nyie askri mtakufa mdomo wazi Kwa uonevu wenu watu wananungunika miyooni mwao
MWONEE MTZ HURUMA SI KWA HAYA, MHURUMIE KWA KUWA NA MAZOEA YA KUWEKA AKILI KANDO WAKATI WA UCHAGUZI NA KUIKUMBUKA AKILI ZAO WAKATI WA WANAPOMINYWA.
Kama kweli viongozi wa inchi hii wanauchungu na vijana simpunguze bei ya gesi kwa nini bei ya gesi iko juu hivyo.!?
Vijana mukipewa uongozi kidogo tuu mnajisahau kuwa mumesomeshwa na pesa ya kuuza gongo na bangi na wazazi wenu... Nyambaff
Anajisahau VP wakati anatimiza majukum yke
@@zuberiadamu3684 Majukumu gani Ndg yangu yasiyokukumbusha ulikotoka...
@@amanafi1288 aina maana Kama umesomeshwa kwa bangi ndo uhalalishe bangi, upo kwaajili ya kutetea haki na nakupinga batili, kwahyo jukumu lako nikubadilisha mtazamo wa watu waamini kwenye kile kilicho kua sahihi na si vinginevyo
Duuuu htr Sana rip Dk magufuli
Yani wananchi wazurimiwa sana naombeni watu wausika wawasikilize wananchi yeye hatari kwa watu wasio na nguvu awa viongonzi wengine wanatumiya nguvu tu
Daa inauma sana kijana anajituma apate riziki lakini anapokonywa tonge lake tutafika kweli tutakukumbuka sana makofuli mtetezi wa wanyonge machinga shida kilakitu shida
Dah! Naililia nchi yangu Tanzania, kwanini haya yanatokea!!?😪😭.
walikumbuka kunyanyasa watu saahizi ndio wanakata kiu yao
Yani kama hawajazaliwa na binaadamu 😭😭😭 mungu ni mwema Kila kitu kinamwisho wake
Dawa ngewatwanga hao mbwaaa koko mpakaa wanye mavii kwanzaaa akili ziwakae sawaa....Tamaa zao mbayaaa zitawaua vifo vibaya sanaa
Enzi za Magufuli ziko wapiii hakuna migomo hakuna maandamano
Mama anakula urojo ana ata habari yaani bibi anatia njaa watu kila anacho ambiwa yeye anatia saini viatu vya magufuri uwezi kuvaa kwa nini ulivichukua
Yani kiloba cha kilo 25 unalipa elfu 6 yeye atauzaje huo ni wizi mkubwa hivi viongozi tuliowachagua mnatusaidia nn kwa manyanyaso haya
Duuuh hii ndio Tanzania ya mama kwani mama haoni kama sisi watu wachini tunaonewa sana
Kazi Iendelee..!!
Njaa tu hao hakuna kiongoz apo pumbavu nyie hajira akuna sasa mtarilwa
Sasa nyinyi mbwa mnapeleka wap mkaa huo nyie paka mnanjaa nyoko nyie
WATAPUNGUZA 2024, SASA HIVI VUMILIENI TU.
Samia rais naiman umeanza kuona wananchi wamechoka Tena wamechoka una chafuka wewe kisa watendaji wako hao angalia nchi inafika wapi jaman police acheni
Magufuli aliwambia, mtamkumbuka tena sana.🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️
Tena Dana😭😭😭😭
Wamjini wa na njaaa ndio maana
Inamaana wilaya nzima ya mkuranga munawafanya hawajui kzi ,kutoka mkuranga mpaka mbagara
Wewe ujui kitu nchi ni dhulma hawa watu wamkaa wanaonewa tuka enzi Mkapa , Kikwete,na Magu pia au umesahau watu wa samaki walivyo kua wakichomewa moto nyavu zao,au umesahau Wazili Mpina alivyo kwenda na rula Bungeni kupima samaki ,ACHA upofu wewe hii CCM ni shida
Hangaya yupo busy na ngozi nyeupe pamoja na matajiri😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hizo ni akili za kimaskini
BIG UP TFS SOKO LA MKAA MOJA WENGINE WANALIPIA WENGINE HAWALIPII CHOCHOTE ONDOENI WOTE WANAOVUNJA SHERIA ILI WANAOFUATA TARATIBU WANUFAIKE MSILALE WANAOPIGA MWIGI BILA VIELELEZO TUNAWASHANGAA TU HAWAJIELEWI HADI WAWAPIGIE SALUTI
R.i.p magu
Magu ndio muasisi wa huu ukatili akiwa waziri wa maliasili , au ni magu yupi?
Mheshimiwa rais mama Samia chunguza suala hili,Kuna rushwa inayotambaa hapo Askari maliasili wamekua wakiwanyànyasa sana raia na kupokonya haki zao licha ya kua na vibali halali. Na hili lipo takriban nchi nzima huu ni uozo usiufumbie macho kwa hakika utatenda jambo mama
Duh hii naipenda sana tuna onewa sana tatizo kila mwenye mamlaka amekua mkamataji sasa hii inchi ina enda kubaya
Acha kuonea vijana maisha sio rahisi
wananchi oyeeee wanaenda kupikia majumbani kwao tu aowezi makawezi wengine
Kwann kila mtu Kwenye serikal hii anakuwa mnyanga'nyi hawa walishataka kuwaibia mkaa watu hapo
Hivi ni Watz wangapi wenye uwezo wa kutumia umeme au gesi!?
Dar hapo wangapi wanatumia majiko ya umeme au gesi!? Hao hao wanaokamata, usishangae nyumbani kwao wenyew wanatumia mkaa!!!
Dahh serekali ya ajabu hii wakirnda kuiba mna wapig risasi wakijiajiri mnawakata
Magu wananchi umewaachia maswali magum ambayo majibu yake ayaonekan pumzika kwaamani jesh
Duuh kiroba cha kilo 25 cha mkaa ushuru wa serekali ni Tsh6,000 jamani mbona unyonyaji mbubwa sana hivi
Sasa utakuta wanaenda kuuza wao huko Ofisini kwao siwangekuwa wanautupa
Saiv vijana kazi mnayoo
Enzi za JPM huo uwakala wa misitu ungeutema tena fasta. Nyie hata mimi mlinisumbua sana. Tz bila JPM Itakuwa chungu zaidi ya klolokwine🧐🧐🧐🧐🧐😏
Mbona hakuutema na alisifia kazi yao ya ujusanyaji pesaa
Nadhani mmemuelewa huyu mtunza misitu, watanzania tunapenda sana mtelemko, alafu mnamlaumu tu serikali
Hawa ndio wale wale ofisi ile ile dhuruma 2
@Sefu Makanyila Kwahiyo na majambazi pia waachiwe kwa kigezo ndio maisha yao!
Tanzania ukijiajiri mtihani usipojiajiri mtihani
Natamani hata kulia kweli nachukia sana hivi vitendo. Sheria zipo ila watu wanataka sifa
Poleni ,nikukumbuka yote hayo wakati ukifika
Acheni wizi nyinyi ushuru uko juu Mara mbili ya manunuzi nyinyi ndio mnasababisha vijana wawe wezi juzi kibaha mmepiga m beba mkaa risasi mkamuua kisa buku tatu
Jamn mbona wizi huuu?
Sasa hapo jamani mtu ana jitafutia akanunue unga nanyi mwachukuw leo tumeshinda na njaa siyo vizur mama samia tuonee huruma
mpaka nimetoa machoz awa askal sio wazur kabisa mi kwa maneno t yawatu walikuja kunisachi ndan walibeba kilakitu ndan yan nawachukia bhas t
Mkaa huu unakusanywa wapi?
Serikali iangalie swala hili nguvu inayotumika barabarani ingetumika porini unakochomwa mkaa misitu ingepona
Wasafirishaji sio wachomaji
Huo mkaa mpaka unafika mjini hapa waumeshatimiza mashrt yote ya ubebaji unaukamataje sokoni huo mkaa
Kiroba kimoja Cha kilo25 ni 6500 ushuru utakuja kuuza me mkaa huo huku..n bado ununuzi hapo ni shida kwa kweli
Roho mbaya na hiyo kodi nin kubwa kama mnataka kuzuia misitu bora muwe wazi si kuweka kiasi kikubwa hivyo
Kwa haraka haraka unadhani huo mkaa wanapeleka wapi? Mimi nadhani wanaenda kugawana tu,
Awadhulma sanaa
Ulijuaje ukweli ni huo
Wewe ni mpumbavu
Xx mtu katoka mkamba huko mkuranga,kavuka mageti njiani na kalipia vibali mkaa unafika mjini mnachukua kirahisi,tutamkumbuka Sana magufuli aisee
Sawa vijana nimewapenda tumeludi nyumaaaaaaaaaaaaa
Amani ya Tanzania wallahi inalindwa na raia wenyewe, sababu kwa wingi wa raia dhidi ya hao mgambo sipati picha wangeamua kukomaa nao na kuanzisha fujo
Ndio maana wakistaafu wanaishia kupararaizi mbwa hawa
Vijana Hawana KAZI
Yaaani nyie mnadhambi kwelii kipolo. Hichoo ndio.alipie 6000 nayeye atauzajee
Kwa askari wa maliasili awana bunduki msiende kimya kimya mbagara waelewa ni wachache
Sasa chomboo knausikaa vp??walipshweee on the spot au chukuen mzgoo lakn c chomboo maaana chomboo siyoo sehem ya hifadh
Hizi ni Sheria za TFS zilipitishwa na Bunge tukufu , watumishi wanatekeleza Kwa mujibu ya wizara ya maliasili ,, Sheria inasema chombo kilichotumika kilipishwe faini
CHOMBO NI KIELELEZO MUHIMU MAHAKAMANI KINACHOONYESHA BILA SHAKA KUWA MTUHUMIWA ALITENDA KOSA KWA KUTUMIA NYENZO HIYO NA BILA IDHINI HALALI TOKA SERIKALINI
Swali lina kuijia ww wa misitu unapoibeba mikaa unaipeleka wapi je unacha paka akalipie au ndio umeisha itaifisha na kuiba na kuuza kinyume cha sheria au wauza na kuingiza pesa serikalini kihalali na pikipiki kuibebe inahusu nini na makaa
Mali asili wanatakiwa kukaa porini sasa hawa wamjini inakuaje wakati mjini hakuna misitu
Jpm mungu akulaze pema peponi
mnawasumbua bure hakuna palipo na tanuru la mkaa isijulikane mnawapotezea nguvu zao bure
Kaz yenyewe ya mkaa ni noma😭😭😭😭
Hao wa mjini ni maofisa wa dikitali ndo maana
Hii hali sio sahihi kuwapora mikaa yaoo kama kuna kosa mfahamishe au fain alipe hawa jamaa dhuruma sanaa
Tunakoelekea sijui tumuombe Mungu kwakeli
Hichi ngumu sanaaaa daaa
Weziiiii ao weziiii tu
Madawa hamkamati mikaa inaathiri nini angalia vijana wanaaribika kwa madawa
Tutaelewana tu.!!!dah hii Tanzania yetu mpya sina maneno mengi mm.
Tushaambiwa ufauru wa au viwango vya elimu za askari
Sasa mnapeleka wapi huo mkaa Kama faini wapigwe Mambo yaendelee
Hawa askari wanakosea kama ikiwa hao wajasiriamali wana vibali , labda wangetoa madai ya kuwa namna ya uwasilishaji wa hiyo mizigo ndio jambo la hatari kwa namna nilivyoona mm jinsi inavyobebeshwa kwa hivyo vyombo vyao maana ni hatari kwa usalama barabarani
Siku ya kiyama kila aliemdhulumu mwenzake atamlipa tuwe na subra
Duh huu uonevu Sasa, unampa leseni ya biashara hiyo hiyo, hlf Tena unanyang'anya. Basi msitoe leseni
Week ya Hudma kwa wateja hii, Wanashindwa kutoa elimu ,wanatumia nguvu. Sijapenda
Umeongea point... Elimu kwanza
Kiuwalisia hapa kuna shida sio bure nimeshangaa kiroba cha kilo 25 wanalipa elf 62250 mmmh kuna dalili za uonevu mkubwa
Sasa huo mkaa ukishachuliwa unapelekwa wapi,kama mtu hana kibari kamata,kama anacho kwanini mnachukua mkaa wake kamata aliempa kibari
mhifadhi misiti anafanya nin mjini mjin kuna misitu kwel?
Mmmmmh! Ni hatar sana sasa hii zurma itaisha lini?
Duh uchafu mtupu watu wa seli wote mtakufaaa
Yn Nyie nitatizo Lushwa tupu
Wanapeleka wapi mkaa hao Mali ya sili 🤣🤣🤣🤣
Tanzania kuna sheria mbaya sana hasa zamisitu.
Dah tatzo elimu watanzania atutakag kabisa kusoma unabisha vtyu usivyovijuwaaa baadae utaskia matahira serikali unatumia nguvu Apo munagoma munashawishi viruguu
Sasa wanawanyanyanya wanapeleka wapi mkaaa huo?
Mkiwaondoa hawa, nawamachinga mnatengeneza nn
Si myaoige mawe hayo majambazi ya huyu Bibi?
Duuuh
Kwanza punguzeni guess nchiyeet. Imezid jaman duuhh
jamn kiloba cha kiloro 25 ushulu 6250 Duh
Aise duh!
Uonevu kinyama
Nchi hii imejawa dhurma ivi serikali gani ambayo haina huruma na wananchi ivi hawa jamaa wanavyopata taabu na mirumbesa kutoka bupu uko adi porini adi uku alafu kiulais unampokonya kanakwamba sio mtanzania
Tanzania Tanzania Tanzania yangu bado nakupenda
Nchi inakua jangwa kwakua misitu inafyekwa kwa kasi pasipo kuwa na upandaji miti unaoendana na kasi ya ukataji hili halikubaliki naomba tfs muongeze nguvu ya kuwapiga na kukabiliana nao mpka misitu yetu ipone vivaaaa TFS
Usiongopee umma hakuna hata poli 1 la hifadhi uingie ukate Mkaa unakula shaba mikaa yote inatoka kwenye mashamba ya watu wanaposafisha shamba miti wanachoma Mkaa usiongopee umma tumefanya tafiti k
Mama Yuko wap haoni haya
Vijana wanahangaika kupata cha halal mnawatilia ugumu..lakini hao hao wakiwa majambazi vibaka panya road pia mtawafunga..ndo mana mashoga wengii na malaya wengi kwasab mtu hana kazi ataoa viipi? Serikali haya mambo ya uzuizi mpunguzee nchi yetu lakini tunajuta kuwepo Tanzania Khaaa...!!!
Watanzania kinachotuponza ni ukarimu watu tu...
woga tu hpo kuna vurugu gn? watu kelele na wanacheka tu sioni sura kama za guinea doumbuya.
🤣🤣🤣
Tunasublia Sasa waziri wa mali ya sili anasema kwa hili kawa sabbu watendaji wa chini mnajisahau mpka mkumshwe
Mnafanya ugumu wa maisha kwa mtumiaji sio kwa hao watu kwakweli hamna akili.
Siwapendi hawa raia Kama nn, wamemlemaza kaka yangu kisaikolojia, tangu 2010 hadi leo hajakaa sawa, yaan hua jikiwaona najaa na hasira sijui jitapona lini
HIVI KWELI WAZIRI WA MALIASILI HAKUMSIKILA KISHIMBA BUNGENI?? SAMIA TUPISHE PLZZZZZZZZZ,NA LIMAMA LIMETULIA TU
Na hawa Askari wanavaa mikofia ya kuficha sula,wanania gani?
Yapigeni mawe Tu mbn mko wengi
Kwa nn gari litumike la kiraia na si la serikali, unyonge huu utaisha lini.
Hakuna gari ya kiraia hapo