Essence Of Worship - Mungu Mkuu ( Official live music video )
Вставка
- Опубліковано 7 жов 2023
- #essenceofworship #livemusic #myworship
It’s a declaration song inspired from the scriptures
Isaya 43:3
Maana mimi ni BWANA, Mungu wako; Mtakatifu wa Israeli, mwokozi wako, nimetoa Misri kuwa ukombozi wako; nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako. For I am the LORD thy God, the Holy One of Israel, thy Saviour: I gave Egypt for thy ransom, Ethiopia and Seba for thee.
Isaya 43:4
Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako. Since thou wast precious in my sight, thou hast been honourable, and I have loved thee: therefore will I give men for thee, and people for thy life.
Isaya 43:5
Usiogope; maana mimi ni pamoja nawe; nitaleta wazao wako toka mashariki, nitakukusanya toka magharibi; Fear not: for I am with thee: I will bring thy seed from the east, and gather thee from the west;
Credits
Video Director and Editor @Amigo Johnson | Johnson Jimmy
Audio captured by ChoosenRecordsTz|Samuel Mboya
Mixed & Mastered by Tamie Bimha
@ Naletha Media Studio.
Venue @SuperdomMasakitz
Live mixed @JeddyFundamentalAudio
Wewe ni bwana Mungu mkuu,
Wewe ni Mungu Mungu wa Majeshi,
Wewe ni Bwana! Bwana! Bwana!
Wewe ni Mungu Mungu Mkuu.
Ni Jasiriri kama simba,
Sina hofu, sina mashaka,
Niko nawe Bwana,
Bwana wa Majeshi,
Wewe ni Bwana Bwana Bwana
Wewe ni Mungu Mungu mkuu
Ni jasiriri kama simba,
Sina hofu, sina mashaka,
Niko nawe bwana,
Bwana wa Majeshi.
Wewe ni Bwana Bwana Bwana
Wewe ni Mungu Mungu mkuu
Wewe ndiwe bwana wa majeshi
Wewe ndiwe mungu wa miungu
Wewe ndiwe mfalme wa wafalme
Mtakatifu wa Israeli
Ni Yahweh ni jina lako
Ninakujua bwana kwa matendo yako
Watangazia mateka uhuru wao
Na waliofungwa kufunguliwa kwao
Jehova Rapha mponyaji
Jireh Mungu mpaji
Shammah uko hapa kufungua kuinua
Vipofu waona .... kwa jina Yesu
Visiwi wasikia .... kwa jina Yesu
Wangonjwa wapona .... kwa jina Yesu
Kwa jina Yesu .... kwa jina Yesu
Viwete watembea .... kwa jina Yesu
Vifungo vyaachiliwa .... kwa jina Yesu
Milima yayeyuka .... kwa jina Yesu
Kwa jina yesu .... kwa jina Yesu
Unaweza Unatosha
Hakuna jambo usiloweza
Ni jasiriri kama simba,
Sina Hofu, sina Mashaka,
Niko nawe Bwana,
Bwana wa Majeshi.
Thank you ❤
*I was born a Muslim in Iraq. I was worried and depressed, sitting and looking at the Tigris River in my city.Jesus' face appeared to me in the water and told me. "Son, you're not alone" And now I'm a Christian, and I pray every day at the edge of the river.Thank you Jesus for this grace. I'm not alone right now. Jesus is with me*
Hallelujah Glory to God
hallelujah
wakenya show some love ,tunawapenda essence of worship,this song gives me goosebumps🙏
This song is just powerful na we will. Be doing it on this. Sunday@ the house of worship Nakuru kiti # the Mwauras
🇰🇪🇰🇪This happens to be one of my darkest moments in life this year but i believe God is with me through all ❤❤ The one reading this post it's a privilege that God has given you being here this October you have every situation you a going through God is there with you don't give up . Pray God with persistence with faith and patience he will answer your prayers 🙏.
God created you with a purpose my brothers and sisters ❤ I love ❤️
Bless you
The East African version of Joyous clelebration🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
30 years of alcoholism 20 year Heroin addict.. and I've never felt as high as when I lißten to this song ..the spirit fills me and I just cry with joy..9 months sober only by the Grace and Mercy of God
Glory to God who saved your soul from the pit of destruction. God loves you so much
Amen. Thank you very much. Good morning 🌄 Have a nice day. Wishing you good health, luck and happiness, God bless you 🙏@@cpaannwanjau6044
Truely grace😮
Hallelujah🙌 to Lord save the holy Spirit
@@cpaannwanjau6044 😎🙂☺🙂🙂🙂🙂🙂😎😎😎😎😎😋😣🇧🇪🇧🇲🇧🇪
Listening from the hospital, indeed He is Lord of Lords amidst the trials. A song in my season. Baraka tele. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Receive your healing in Jesus mighty name AMEN by his stripes we are healed 🙏❤
we proclaim healing over you in Jesus name.
Get well soon...Rapha is still on the throne.
Huyo dada alizaliwa akiimba aisee. Beutiful voice no struggles. Great music,words kila kitu
Jina lake tafadhali
Wanangu sana nyie🎹🥁🎸🎸🎤🇹🇿🎶Nawapenda sana jamani🙌🏽😅😊
You guys are doing alot to people's souls...some of us are renewed, others are Delivered,others are Restored, many inspired, many encouraged and countless are Uplifted in the spirit.....just by listening....only listening to your music. Gwamaka pls don't be out of that microphone anytime soon. May Jesus keep your ministry for me❤
This comment 😭😭😭😭😭😭
I said same when i heard this song i only praised God all Day at work and still listening! My spiritl iman s renewed
@@essenceofworshipministriesI remember how I was tied into the chains of secular music untill I met essence of worship.its my hope to meet you guys someday if not in this life then in heaven. I love your Ministry...some say I'm obsessed with a team that doesn't know me but I can't help it but love you.
@@user-yi5vw5vw1n😭😭😭wow! You are not alone.
Absolutely true,, the grace carried by this man of God I honor and fear
God bless you team essence 🙏 🙌
One of my best worship teams in Africa ❤. With love from Kenya.
Ni jasiri kama simba 🙌 sina hofu sina mashaka ..nipo nawe BWAAANA 🙌BWAAANA WA MAJESHI🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 blessings🎉🎉
Mungu aweke awaweke nyie watu munakitu mungu asimame nanyii
Glory to Mighty God Ni jasiri kama simba sina hofu sina mashaka nipo nawe Bwana wa Majeshi
MUNGU awabariki sanaaa 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
This woman has got heavenly vocals! Weeeee!!!🤩
Baraka Watumishi 🔥🔥🔥Nyinyi wabaraka Sana Katika Kizazi hiki🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Always blessed by this team, thank you for allowing God to use you to minister mightily to souls. Personally, your songs are food to my soul. Love from Kenya 🇰🇪😊❤.
Those moments when you feel like letting go all of your sorrows and you don't really know what to do... I recommend you come and listen to this song 🙌❤️
Mbalikiwe sana nawapenda sana Niko nchini Rwanda
Amen Amen👏👏 Tunawapenda sana Burundi🇧🇮🇧🇮 Mungu Awabaliki sana
Mungu wetu ni BWANA Mungu wa majeshi Tena ni Mungu mkuu Sana HALLELUJAH 🙏🙏
Wewe ni BWANA MUNGU MKUU,
Wewe ni Mungu MUNGU WA MAJESHI
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Eeeeeiiish this is Excellent❤❤❤❤❤
More Grace Essence of Worship
Mungu mkuu sifa na utukufu tunamrudishia Mungu wa majeshi.
Essence of worship family be blessed very much for your commitment to serve God. May God grant you the desires of your heart. God bless you too servant of God Gwamaka for your leadership 🙏🙏🙏
Amina Amina
Nijasiri Kama Simba…. Sina hofu…. Sina Mashaka…. Niko nawe… Bwana…. Bwana wa Majeshi…. This song should be played and listened among different nations…. What a blessing…. The Holy spirit is present ❤🙌🏾🙇🏾♀️🙏🏾🎈😊😇
Yesu Kristo awabariki sana.
I pray to god that whoever is struggling and continuing his hardwork and dedication towards his, her goal may his. Her will achieve the goal very sooon
My fevoliteee nyimbo❤❤❤❤
🙌🙌🔥🔥🔥 Asante Yesu kwa watumishi wako Hawa endelea kuachilia mafuta zaidi na zaidi Kwa utukufu wako 🙌🎉🎉 kazi njema sana💪💪
Powerful,, to God be the glory 🇰🇪🇰🇪
Ni jasiri kama Simba Sina hofu Sina mashaka ,Niko nawe bwana my declaration in this season ❤❤❤❤.with love from Kenya
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Amen ❤
I feel the presence of God even before listening to this song…i connect myself with this annointing
Nimebarikiwa saana ..tunawasubiri kwa hamu saana 27th of this month at citam valley Road...Mungu awabariki saana
Nabalikiwa sana na Essence jamanii Mungu awabalik sana
Asante sana Mungu nitakusifu na kukutukuza milele🙏🙏🙏🙏🤲🤲
TEAM ALTO NAILED IT❤🎉
Kwa hakika Wewe ni Mungu Mkuu
Namtukuza Mungu kwa mafuta aliyoachilia kwenu ESSENCE OF WORSHIP yaani I feel presence of God in this song nimebarikiwa
Wewe ni bwana Mungu Mkuu
Kwa hakika wewe ni Mungu
Ni jasiri kama Simba Sina hofu Sina mashaka maan nipo nawe Yesu .essence of worship you have my prayers
Nilikuwa nausubiri kwa hamu huu wimbo, be blessed guys
Hakika Wewe ni Mungu MKUU.... much love from South Korea... Hakika upako hauna mipaka we Get it as it is... God bless you for Derivering this anointing❤
Ukiri wangu kwa Familia yangu na Nchi yangu pia.
Ni Jasiri kama Simba,
Sina Hofu Sina Mashaka
🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amina ❤
Mungu awainue zaid na zaid ya hapo ili na sisi tunaopenda nyimbo za gospel toenjoy zaid❤
my favourite team your blessing❤🎺🎤🎼🎼🙌🙌🙌🙌🙌
So scriptural song..that's the way to Go.
Mbarikiwe sana
Wow! Wow! Yet again another powerful and amazing song ❤more grace min. Gwamaka and your entire ministry 🙌may grace abound more💯love from Kenya ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thank you for allowing yourselves to be used to bless and lift us up.
Amen amen
Hakika wewe ndie Bwana wa mabwana
Personne n'est comme Jesus et personne n'est peut dire non a sa parole amen❤❤❤@essence of worship🎉
Ni jasir kama Simba, kuna siku nilikuwa naumwa sana, nikawa na hofu kuu, Usiku nikaota kulikuwa na mkutano wa Injili, nikawa nimepiga magoti nalia sana, kumbe mtumish Gwamaka kaniona, akaja kabla hajaniombea akasema Usiogope kabisa huu sio wakat wa kulia. Akaniombea, sasa sina hofu tena❤
Mungu ni mkuu
Ni Jasiri kama Simba,Sina hofu Sina mashaka...wao❤❤❤❤
Good audio mixing and mastering,,keep working with that man
Appreciate that
This lifted me! The prayer at the end ministered to me! God bless you EOW!
amen ..amen he is God almighty...
Blessed voices ever😭😭😍😍 You people bless me everytime🥲
Amina mbarikiwe sanaaaaaaaaa
Wow!!!
I don't have to worry🎉🎉. Just the song that fired my Spirit today. Glory to God. The Name of Jesus is powerful
Am brave more than a lion, I have my Lord of Host🔥🔥🙏🇰🇪🇰🇪
Mungu ni mkuu sana❤
What a song! Hakuna usiloliweza mungu wa majeshi.🇰🇪🇰🇪
Na mwapendeza sana
🎉🎉🎉🎉🎉Much Love from Kenya.....Am Blessed 😊😊
Barikiwa Sana Wapendwa.
Baba tunalitukuza jina lako ni kweli wewe ni Mungu Mkuu unaeishii na kutawala dunia nzima ni yako utukuzwee YESU🙏🏼😊 sina hofu wala mashaka niko nawee
Best following
Unaweezaa unatoshaa🎉❤
Essence....... Mnanibariki sana, Nanyi mbarikiwe na Bwana wa Majeshi
Be blessed essence of worship nimekuwa nikisubiria huu wimbo muda mrefu Sana love yu guys
Mungu awabariki sana
How I have been looking for this song wueee finally
Sina Mashaka
amen amen
You forever remain my best,,,more grace to you all❤
I love how every song released comes at a specific time that I need to hear in the season I am in. Be blessed 🙌
Nice song🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wewe ni BWANA BWANA BWANA MUNGU MUNGU MKUU ❤❤❤😊
I am Congolese 🇨🇩🎉🎉I love this song 🎉
This song is such a blessing to me.
Wow, playing again and again...
Gwamaka Gwamaka Gwamaka❤
Mungu mkuu❤
Mungu wa Mbinguni aendelee kuwainua watumishi wa Mungu.
Mungu awabariki sana Watumishi wa Mungu kwa Kazi Nzuri Yenye Baraka, Mungu azidi kuwatunza
😊🙌🔥
The Lord of host receive worship!
Mungu azid kuwabark jamn
Namtukuza Mungu kupitia ukurasa wenu huu namwabudu Bwana Mungu mkuu Bwana wa Majeshi
I feel the presence of God. More grace. It's so powerful.Much love from Kenya ❤❤❤❤❤
Mashabiki Wa Essence Nawaomba Iwapo Utaona Hii Comment tafadhali Baada ya kusikiliza Wimbo Huu Mtamu Tafadhali Msiondoke Kabla Hamjapitia kwangu Pia Mnisuppoti Nawaomba Na Mungu Atawabariki 🙏 yeyote atakaye Nissappoti kwa Kusubscribe Nawaomba tu 🙏🙏🙏🙏