موقف الإمام الشافعي رحمه الله من هذه المسألة فهو أن القول بخلق القرآن كفر ففي شرح أصول الإعتقاد للالكائي عن الربيع بن سليمان قال : سمعت الشافعي يقول: من قال القرآن مخلوق فهو كافر.
Asalam alaykum mimi nataka kujua ww unasema sahuti ni kiumbe kiarabu kiumbe sasa manabii walikuja kabra ya Qur'ani lugha zao nazo je zinakuaje, mana kila mtume aliepewa kitabu aliletewa kutokana nalugha ya jamii yake.niwekesawa, vyote vinavyo onekana na visivyo onekana vimetoka kwake Allah subahnahu watahara.
SWALI KWA MASUFI:JE KUFUATA QUR'AAN NA SUNNAH KWA UFAHAMU WA WEMA WALIOTANGULIA{MTUME,MASWAHABA NA WALIOWAFUTIA} HAIFAII??? KAMA HAIFAI TUPEWE DALILI(KUTOKA KWENYE QURAAN NA SUNNAH) KAMA YAFAA TUACHENI NA MANHAJ YETU NA KARIBUNI KTK KUIFUATA
Matusi haramu haifai tusigeuke kama mayajudi na manasara ss sote ni waisilamu tuacheni tabia ya kujiona bora kuliko mwingine mmbora wenu mbele ya ALLAH NI YULE MWENYE KUMCHA ALLAH NA KUFUANA SUNNA ZA RASULU ALLAH SAW SANA TUACHENI FITNA NA KUINGIZANA MOTONI AU KUTIANA PEPONI HIO NI AMRI YA ALLAH
LA akhlisuna wal njamaa hawana itikadi hii al ashairaa wa matudiyya hawana itikadi ya kuita maneno ya Allah kuwa makhluuq istoriya yajulikana msibabaishe watu vita vya sufini vipo wazi mtazamo wenu wajulikana mno wengine walizama huko na wakaijuwa itikadi ya wanayoiita quruani kuwa nikiumbe wajulikana msiteteee kupoteza mda bureee
ASALAM ALKM SHEKH HIO NI ITIKADI YA KI IBADHI NA KWA MSIMAMO WA AHLU SUNNA WAL JAMAA MAIBADHI NI KUNDI LILILOPOTEA NA KUHUSU HIO ITIKADI YAKO QURAN NI KIUMBE NAOMBA UNIJIBU MASWALIYANGU HAYA JE ALLAH QURAN NI ELEMU YA ALLAH AMBAYO NI ELIMU ISIOPIGIKA MFANO SWALI JE ALLAH MWANZO HAKUA NA ELIMU KISHA AKAUMBA ELIMUYAKE MUOGOPE ALLH ALLAH AMETAKSIKA NA SIFA HIO
Kisha utakuta watu wasiojiewa wanawapeleka watotowao vyuo vya kiibaadh (Makhawaarij walio muua Aliy ibni abiitwaalib magidi wafuasi wa Abdulwahi bin saba,i
Hivi mawahhabi kitu huwa kinawafanya wakurupuke ikiwa ilmu hawana? Tizama Abdul Qadir alivyoonyesha ujahili wa wazi katika kauli yake! Uwahhabi ni laana kubwa mno
Kila kukicha raddi adabishi, raddi stahiki, raddi tokomezi, shaafi unayapenda sana mambo ya raddi toa clip moja ujiradd na wewe mwenyewe au wswe hukosei?
Mtume Muhammad alikuwa mtu mweus, watu weupe walikuja saud arabia makhundi makhudi, wakawafukuza watu weus (wasomaria) Tz wa Rang, walijitengenezea vtabu vyauongo kwa lengo lakuheshim ma kabra yao
Mfano mtu akawa anatembea je zile athari za miguu yake kwenye ardhi nazo kiumbe....mm nikiandika barua au hii sms yangu nayo ni kiumbe...mafuumul khatwii😂😂😂
Hzo hoja zilikuw tangu mda na kuna wanachuon mpk wameenda jela kwa ajil ya hoja hzo...msimamo wa ahlu suna hatunaamin kuw qurian kiumbe.....sauti c kiumbe sheikh ila inatoka kwa kiumbe....
Kila kitu kisichokuwa ALLAH hicho ni KIUMBE duniani kuna khaaliq na makhluuq yaani viumbe na muumba kama Quran sio KIUMBE ni nini? Ni MUUMBA? JIBU SWALI
Kila kitu kisichokuwa ALLAH hicho ni KIUMBE duniani kuna khaaliq na makhluuq yaani viumbe na muumba kama Quran sio KIUMBE ni nini? Ni MUUMBA? JIBU SWALI
موقف الإمام الشافعي رحمه الله من هذه المسألة فهو أن القول بخلق القرآن كفر ففي شرح أصول الإعتقاد للالكائي عن الربيع بن سليمان قال : سمعت الشافعي يقول: من قال القرآن مخلوق فهو كافر.
ما هو دليلك أم مجرد ليرى الناس رسالتك
او ليروا انك تعرف العربية
Asalam alaykum mimi nataka kujua ww unasema sahuti ni kiumbe kiarabu kiumbe sasa manabii walikuja kabra ya Qur'ani lugha zao nazo je zinakuaje, mana kila mtume aliepewa kitabu aliletewa kutokana nalugha ya jamii yake.niwekesawa, vyote vinavyo onekana na visivyo onekana vimetoka kwake Allah subahnahu watahara.
Hili jamaa jinga kabisa kutengeneza ufasaha ili kionekane kua somi bundi tu
SWALI KWA MASUFI:JE KUFUATA QUR'AAN NA SUNNAH KWA UFAHAMU WA WEMA WALIOTANGULIA{MTUME,MASWAHABA NA WALIOWAFUTIA} HAIFAII??? KAMA HAIFAI TUPEWE DALILI(KUTOKA KWENYE QURAAN NA SUNNAH) KAMA YAFAA TUACHENI NA MANHAJ YETU NA KARIBUNI KTK KUIFUATA
Matusi haramu haifai tusigeuke kama mayajudi na manasara ss sote ni waisilamu tuacheni tabia ya kujiona bora kuliko mwingine mmbora wenu mbele ya ALLAH NI YULE MWENYE KUMCHA ALLAH NA KUFUANA SUNNA ZA RASULU ALLAH SAW SANA TUACHENI FITNA NA KUINGIZANA MOTONI AU KUTIANA PEPONI HIO NI AMRI YA ALLAH
IBADHI NA SHIA DUGU MOJA
Mawahabi ni tishio kwa dini ya kiislam.... Asili ya mawahabi ni mayahudi
Kama alivyosema mama ako
@@ابومعاذاحمدناصرmawahabi pia kinachowasumba ni ujinga
Sauti ni kitu kakiumba Allah ni mawimbi na km si kiumbe je ni
Napata faraja kuona watuwabid,aa wote wakopamoja dhidi ya masalafiy (firqatun naajia)
Shekh Abdulqadir ametoa fatwa bila elimu ni fitna kubwa tunatakiwa tusome sio tu buruzwe tu na mashekh wasio na elimu kutoa tu mafatwa
Subhanallah sheikh Shareef Abdulqadir yupo sawa Qur an sio kiumbe mcheni Allah
@@mbarouksalum8319tupe dalili zako zinazi thibitisha kuwa Quran sikiumbe
Maibadhi na mashia takia ndio mtaji wenu
Shekh nimekuelewa ngoja nipate hoja za upande wa pili
Unasema masalafiy asiliyao nimayahudi /Alwah nawakafuata Yale waliyowakisomesha mashaitwan ,,mpaka aliposema Alwah ,,yuallimuna nnasa sihra/Sasa wachawi ni masufi
acha kuwasingizia ashaairah na matwriidiyyah....hawaña itikad hiyo
LA akhlisuna wal njamaa hawana itikadi hii al ashairaa wa matudiyya hawana itikadi ya kuita maneno ya Allah kuwa makhluuq istoriya yajulikana msibabaishe watu vita vya sufini vipo wazi mtazamo wenu wajulikana mno wengine walizama huko na wakaijuwa itikadi ya wanayoiita quruani kuwa nikiumbe wajulikana msiteteee kupoteza mda bureee
ASALAM ALKM SHEKH HIO NI ITIKADI YA KI IBADHI NA KWA MSIMAMO WA AHLU SUNNA WAL JAMAA MAIBADHI NI KUNDI LILILOPOTEA NA KUHUSU HIO ITIKADI YAKO QURAN NI KIUMBE NAOMBA UNIJIBU MASWALIYANGU HAYA JE ALLAH QURAN NI ELEMU YA ALLAH AMBAYO NI ELIMU ISIOPIGIKA MFANO SWALI JE ALLAH MWANZO HAKUA NA ELIMU KISHA AKAUMBA ELIMUYAKE MUOGOPE ALLH ALLAH AMETAKSIKA NA SIFA HIO
Ila muislam wa kwanza kusema Qur'an imeumbwa ni Abu Hanifa ni Abu Hanifa vp na yy kafiri ?
Kisha utakuta watu wasiojiewa wanawapeleka watotowao vyuo vya kiibaadh (Makhawaarij walio muua Aliy ibni abiitwaalib magidi wafuasi wa Abdulwahi bin saba,i
Ikiwa huo ni msimamo wako sawa ila usiwakufurishe wenye msimamo wao pia tuaomeni kwanza tusiwe tu tunaburuzwa kwa kufuata tu bila kua elimu
Tuelezee basi sio utuambie tu unavyohisi ww au unavyoamini ww tupe ushahidi na pia alipokosea yy nikutoa fatwa yakuuita kukufirisha watu
Hivi mawahhabi kitu huwa kinawafanya wakurupuke ikiwa ilmu hawana? Tizama Abdul Qadir alivyoonyesha ujahili wa wazi katika kauli yake! Uwahhabi ni laana kubwa mno
Maisha ya Mashaykh wa Sasa ni Raddi tu. Hakuna mawaidha mengine ni radd tu kila mmoja kuonyesha elimu aliyo kuwa nayo. Zungumzieni فقه التحولات.
Wewe jahili kweli. Hivi huini hiyo elimu sheikh aliyoitoa nimuhimu
Kila kukicha raddi adabishi, raddi stahiki, raddi tokomezi, shaafi unayapenda sana mambo ya raddi toa clip moja ujiradd na wewe mwenyewe au wswe hukosei?
Wewe wahabi jahili kweli.Hivi kuna clip za raddi nyingi zaidi ya clip mawahabi?
Mtume Muhammad alikuwa mtu mweus, watu weupe walikuja saud arabia makhundi makhudi, wakawafukuza watu weus (wasomaria) Tz wa Rang, walijitengenezea vtabu vyauongo kwa lengo lakuheshim ma kabra yao
Mapya !
Vitabu vyenu hivyo ni makafiri
Wewe jahili wakiwahabi mipasho haitakudaidia.jibu hoja kama unaweza
WE KIFARANFGA CHA KISHIA
Qurian ni maneno ya allah...maneno hayawez kuwa kiumbe
Kwa iyo wewe unasema Qur'an ni kitu gani?
qur an ni maneno ya Allah na si kiumbe ni maneno yake huu ndo msimamo wetu qur an inatokana na Allah na kile kinachotokana na Allah hakiwi kiumbe
تنزيل من رب العالمين
Hakuna anayesema kua sio maneno ya ALLAH WAISLAMU WOTE DUNIANI TUNASEMA NI MANENO YA ALLAH BILA MASHAKA ILA YAMESHUSHWA
Sasa maneno yanakuwa nn
Mfano mtu akawa anatembea je zile athari za miguu yake kwenye ardhi nazo kiumbe....mm nikiandika barua au hii sms yangu nayo ni kiumbe...mafuumul khatwii😂😂😂
Vyote hivo ni viumbe au wewe ndio unaamini km hivo sio viumbe?
Toeni basi dalili au hoja shekhe katoka nafasi
Ukitukana kwenye barua hiyo thambi au si thambi
Hzo hoja zilikuw tangu mda na kuna wanachuon mpk wameenda jela kwa ajil ya hoja hzo...msimamo wa ahlu suna hatunaamin kuw qurian kiumbe.....sauti c kiumbe sheikh ila inatoka kwa kiumbe....
Tusomeni kwanza kabla kuhukumu au kujibu hoja watu wanahoja ndio maana wanajibu kwa ufasaha tusomeni jamani tuache kufuata tu bila elimu
Sauti ni kitu kakiumba Allah ni mawimbi na km si kiumbe je ni kiumbaji?
Sauti ni kitu kakiumba Allah ni mawimbi na km si kiumbe je ni
Kila kitu kisichokuwa ALLAH hicho ni KIUMBE duniani kuna khaaliq na makhluuq yaani viumbe na muumba kama Quran sio KIUMBE ni nini? Ni MUUMBA? JIBU SWALI
Kila kitu kisichokuwa ALLAH hicho ni KIUMBE duniani kuna khaaliq na makhluuq yaani viumbe na muumba kama Quran sio KIUMBE ni nini? Ni MUUMBA? JIBU SWALI