E bwana neno ash-shirk billahi halina maana kumshirikisha mungu na kitu au mtu mwengine, hiyo inakuwa ash-shirk ma'allah. Ama ash-shirk billah ambayo mungu ameikemea kwa kuwa hatomsamehe yeyote yule anaetenda hivyo ina maana kumsingizia mungu kwa jambo ambalo hakuliteremsha yaani kumsingizia au kumzushia. Sasa wasema kombe sio shirki. Kwanza hakuna kombe katika Qur'an. Pili iwapo utakunywa hilo kombe unajua madhara ya wino uliotumika katika mwili wako? Acheni mambo yenu ya kutafuta kula kwa yanadhuru au kitowafaa watu. Tafuteni kazi mufanye wala sio kutegemea kulaghai watu ili kupata rizki zenu. Hamuna tofauti na wanasiasa
Zinakutosha vizuri au unatypia chooni ww umesomea chuo gani elimu gani ulio.somea iliyo kuwa haina.mtaala arafu unajiita msomi.wakati.ulikuwa unapanda clasa kwa mudi ya ustadhi soma dini usitomboke tomboke tu
Kwanza kinachotumika kuiandika Qur-an sio wino inaitwa Dhafaran. Je unaijuwa Dhafaran? Yenyewe tu ni dawa. Na haitumiki kwa kazi hiyo tu hata vyakula twatumia dhafaran. Kama Biriani wengi hutumia rangi ya dhafaran. Kwa ajili ya kunogesha chakula kwa rangi, ladha na harufu nzuri. Ukichanganya na mai wardi (Rose water) inakuwa kitu. 👌👌. So dhafaran sio kitu kibaya na hakina madhara kama hivo usemavo wewe.
Kaa usome usikurupuke. Tafta vitab vya kisunna kama منةالرحمن cha Nadeem qablaniy salafi wenzio wote wamekikubali. Utaona ndanimwe makombe yalivyoelezewa. We unasema wino nan kakwmbia kombe wino. Tafta elim kwanza kabla ya kusema
Mashallah
Mungu akupe maisha marefu baba🙏🙏🙏🙏
MASHA ALLAH
Mashaallah
Sauti iko chini sana
Assalam alykum shekh..niko naswali personal vp naeza pata number yako
Kwani wewe ni kipofu
Ingia UA-cam tafuta Othman maalimu
E bwana neno ash-shirk billahi halina maana kumshirikisha mungu na kitu au mtu mwengine, hiyo inakuwa ash-shirk ma'allah. Ama ash-shirk billah ambayo mungu ameikemea kwa kuwa hatomsamehe yeyote yule anaetenda hivyo ina maana kumsingizia mungu kwa jambo ambalo hakuliteremsha yaani kumsingizia au kumzushia. Sasa wasema kombe sio shirki. Kwanza hakuna kombe katika Qur'an. Pili iwapo utakunywa hilo kombe unajua madhara ya wino uliotumika katika mwili wako? Acheni mambo yenu ya kutafuta kula kwa yanadhuru au kitowafaa watu. Tafuteni kazi mufanye wala sio kutegemea kulaghai watu ili kupata rizki zenu. Hamuna tofauti na wanasiasa
Zinakutosha vizuri au unatypia chooni ww umesomea chuo gani elimu gani ulio.somea iliyo kuwa haina.mtaala arafu unajiita msomi.wakati.ulikuwa unapanda clasa kwa mudi ya ustadhi soma dini usitomboke tomboke tu
Kwanza kinachotumika kuiandika Qur-an sio wino inaitwa Dhafaran. Je unaijuwa Dhafaran? Yenyewe tu ni dawa. Na haitumiki kwa kazi hiyo tu hata vyakula twatumia dhafaran. Kama Biriani wengi hutumia rangi ya dhafaran. Kwa ajili ya kunogesha chakula kwa rangi, ladha na harufu nzuri. Ukichanganya na mai wardi (Rose water) inakuwa kitu. 👌👌. So dhafaran sio kitu kibaya na hakina madhara kama hivo usemavo wewe.
Unajua nn wewe mpuuzi
@@tamemahmad9902 wehu hao, waache wakae na maradhi yao kwa upumbavu wao😂. Mie napiga kombe sio mchezo, uandike kwa taratibu nzuri tu
Kaa usome usikurupuke. Tafta vitab vya kisunna kama منةالرحمن cha Nadeem qablaniy salafi wenzio wote wamekikubali. Utaona ndanimwe makombe yalivyoelezewa. We unasema wino nan kakwmbia kombe wino. Tafta elim kwanza kabla ya kusema