yanga kachubuliwa chubu chubu😀😀😀kamwenee kamweneeeee.vyura mmeutia aibu uwongozi mpya😀👊leo makambo kafichwa wapi kwapani au sioni domo likiwa wazi😀pumbavu kumbe vyura mnapenda sana kuliwa na lipuri huhuhuhuhuh zahera leo sabu zake zimeenda kongo yaani zimeferi kama breck za gari ya vyura😀😀😀😀kamweneeeeeeeeeeeeeeeeeee
Baraka Waya Online : Unajua INAUMA SANA YANGA kufungwa na TIMU YENYE JEZI "NYEKUNDU" na ndo maana wanaweseka na kusema LIPULI definition yake ni TAWI LA SIMBA uuuwiii !
Vip leo vyura zimeongezwa dk 6 nzima mmeshindwa kujitetea lakini dk kama hizo akiongezewa simba mnaongea sana sasa na nyie leo mmeongezewa dk 6 nzima.Nakumbuka kuna mechi mlicheza na hawahawa lipuli mliongezewa dk karibia 10.Watoto wame watoa jasho watu wazima nataka kuuliza kwa hiyo lipuli nae kabebwa leo.
hawa madogo waokota mipila wamehujumu yanga yani mtu anafata mpila yeye anaupigia ugoko unaenda mbaaaali ahahahahahahahaha yani tunahujumiwa halafu nahisi KINDOKI apewe namba forward maana anapiga sana mashuti badala ya kudaka ahahahahaha
kifo kifo 2 ata uchelewe cku yako ikifika ww lazima ufe ndy kilichowakuta majilani zetu walikuwa wanatuchekaaaaaaa xana wakisaukuwa wao ni waslika wa janga iliiiiiiii
Amri Said Kocha wa Lipuli Asema Mengi kuhusu kuipandisha timu ligi kuu mara baada ya mchezo dhidi ya dar city kumalizika.. Unataka kujua kasema nn gusa link inayofuata hapa chini. 👇🏾👇🏾👇🏾 👇🏾👇🏾👇🏾 👇🏾👇🏾👇🏾 ua-cam.com/video/cqbDSkXrAZQ/v-deo.html
Amri Said Kocha wa Lipuli Asema Mengi kuhusu kuipandisha timu ligi kuu mara baada ya mchezo dhidi ya dar city kumalizika.. Unataka kujua kasema nn gusa link inayofuata hapa chini. 👇🏾👇🏾👇🏾 👇🏾👇🏾👇🏾 👇🏾👇🏾👇🏾 ua-cam.com/video/cqbDSkXrAZQ/v-deo.html
mwaka huu kupanda ndege ni historia...polen sana watan
@Siwema Mahenge duuh.,hhh
Kifo cha Chura kimeleta mvua hadi rahaaaaaaaaaaa....asante sana Kindoki
Kombe wanaloweza kuchukuwa yanga ni lile lililofunikwa mwanaharamu apite uwiiiiiiii simbaaaa mieeee nacheka kibingwaaaaa💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃😂😂😂😂😀😀🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆
Ha ha haaaaaa watajiju
Kama wewe niganga inakupasa uadamane
Duuuh yanga banaaa
Msiwaraum bana maana wakiona wekundu wanajua ni simba
yanga bado kibakuli kinapita
Umeona eeeh haki walijua simba uwiiiiiiii lipuli mungu anawaona kuvaaa km simba kuwachanganya🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸
Baraka Thomas : WANA-WANA-WANATESEKA SAAANA WALEEE !
yanga kachubuliwa chubu chubu😀😀😀kamwenee kamweneeeee.vyura mmeutia aibu uwongozi mpya😀👊leo makambo kafichwa wapi kwapani au sioni domo likiwa wazi😀pumbavu kumbe vyura mnapenda sana kuliwa na lipuri huhuhuhuhuh zahera leo sabu zake zimeenda kongo yaani zimeferi kama breck za gari ya vyura😀😀😀😀kamweneeeeeeeeeeeeeeeeeee
Aliemuona Shabiki wa Simba mwenzetu akishangilia Gori Like hapo
Yanga mbovu
I know Im kinda off topic but does anybody know a good place to watch newly released tv shows online ?
@Randy Fisher i watch on flixzone. You can find it by googling :)
Lipul HomeBoi Team😀Team uxhnd daily💪
Lipuli oyoooooooooooo
GOLI MBILI SAAAAFI KWENYE UWANJA SAAAAFI NANI A ANABISHA??
Hongera sana lipuli
😂😂😂😂kamwene Lipuli nimeangalia video bila kupenda huwa siangalii za Yanga ila leo nimefurahi sana
Mc Isunga hahahhhaa...at uwag siangalii za vyuraa Ila leo imenilazm
Mc Isunga 😂😂😂 kama mimi tu huwa nazipitaga tu ila leo hadi nimecoment
@@guulajini3596 😂😂😂 raha sana
@@meinlfudickson7062 😂😂😂😂😂raha sana
Hahaha
Kama unawaonea huruma chura churani gonga like
Refarii anawatafutia Yanga goli kawaongeza dk 6 zote. Teh teh
Ingekuwa mechi ya simba ndio hivo ungewasikia Yanga na Zahera wakidai hivo
Pole sana yanga
Lipuli ni Nini? Lipuli ni tawi la Simba linalodili na Yanga
Paul Nonga mzuri sana.ila Shamte anatisha kwa free kick
Baraka Waya Online : Unajua INAUMA SANA YANGA kufungwa na TIMU YENYE JEZI "NYEKUNDU" na ndo maana wanaweseka na kusema LIPULI definition yake ni TAWI LA SIMBA uuuwiii !
Mariam Zuheir Nikweli
@@mariamzuheir4278 hhh
Hahha difinition what is lipuli ? Lipuli.is the branch of simba wchich deals with yanga only
De la boss reizer : MTAIMBA SANA NA HATA BADO nafikiri pia muimbe MAREFA WOTE TZ ni wa SIMBA si ndiyo !
😂😂😁😂😂😂😂tisha sana mkali.
😂😂😂😂😂😂😂 amazing definition
@Siwema Mahenge mama umeielewa iyo difinition lkn maake mm. Ni mnyamaa mkali sana isome tena
@@mariamzuheir4278 hahaaha usiteseke jmn. Mm nikoboko ya churaa
Kwa matokeo kama haya tunaruhusiwa kulia
Ramadhani kareem lipuli wenzangu wote
Honestly lipuli siyo club ya kubeza wapo vizuri kila kona
Oyooooooo
Ritha Donatus unajua mpira lipuli wako vizur mno
Kamwene nimefurah Sana kwa kichapo yanga ilichochezea
lipuli hao wamenifanyia kitu kizr zana kwasiku yaleo
Yanga.oyaaaaaaaaaa
Waliiogopa jezi kwan wanajua moto wa hiyo jez nyekundu
Jamani acheni kutuandamaa
Hakika kindoki anajitahid sanaa
😂😂😂😂 vyura wanatia huruma Sana
YANGA kamwene
Changa Iddi kamwenee
Vp nyie simnasema mnakocha mzuri mbn mmetobolewa kwa Mara nyingine kamwene
Pamoja na mzuka wa ajib lkn mmepigwa km mbwa koko
Eeh mzuka ule noma kurukaruka kote kivyuravyura lkn waapi afu umeona na mzuka wa kelvin yondani alipoingia?
Haki Jana nimelala najamba kufungwa hawa kuku
Uwiiiiiiii usinifulishe kwa kucheka dol
kindoki sio golikipa anapangua kila mpira unaofika kwake badala ya kudaka
Wazee wa kulalamika vyura fc
Kamwene International !
Kuna mzee mmoja wa yanga anasema simba imewaloga yanga ili wafungwe all yaani lawama fc
Haya sasa 2nasema kamwene yanga 😁😁😁
Ata hufikirii baadae zahera anakuja kulia kama mtoto
Nimekumbuka sana hi mech
Kamweneeee oyeeeee
Mkiambiwa yanga hamjui mpira mnabisha ona sasa aibuuu😂😂
Duuuuuh polen yang
Paulo Nonga kipaji toka Bwiru Boys....wale wa Bwiru Boys kwa SUNAMI mtakumbuka kizazi cha Nyoka.
Hadi raha moyoni
😂😂😂😂😂yaan nachek kam mwehu nlisem mm lipuli piga hao na imekuwa 😂😂 fey sio level yenu anatufaa sisi 😂😂yanga CAF mtaisikia kwa simba na mtibwa
Kamweeeene
Ha ha ha kamwene ninoumaaaaaaaa
Lipul2-0 Yanga
Kamwene kamweneeeee
Kamwene mwamfilile mwakipumbu mwaka yanga?
Hahahahhaaa asante lipuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nyela kamweneeeeee
Yanga kamweneeee,,,hatimaye ngamia aomba maji ya kunywa samora hahahahahahahahahah
alie msikia mpenja akisema tazama mlimbwende tipwatipwa akitetema kwelikweli
Hii inaitwa Kamwene international hahahaaaah
daah inauma zahera alizoea penalty
Wanakula mbwa alafu mnawaletea chura...
Wanakula tu😂😂😂
😂😂😂😂😂😂nimecheka kwa sauti mpendwa
Mc Isunga 😂😂😂😂 chura kaliwa huko safiii jiji limetulia sasa
@@guulajini3596 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimefurahi mpaka najiogopa APA
Rahma Ramadhan 😂😂😂😂😂😂
Vip leo vyura zimeongezwa dk 6 nzima mmeshindwa kujitetea lakini dk kama hizo akiongezewa simba mnaongea sana sasa na nyie leo mmeongezewa dk 6 nzima.Nakumbuka kuna mechi mlicheza na hawahawa lipuli mliongezewa dk karibia 10.Watoto wame watoa jasho watu wazima nataka kuuliza kwa hiyo lipuli nae kabebwa leo.
Na kipindi cha kwanza wameongezewa tano
Ata siamini masikio yangu
pia mechi na lipuli ambayo walifungwa goli 1:waliongezewa dkka 7 lkn mambo yalikuwa magumu
Hassan Juma turihawew
@@maulidimashuda5681 umeandika nn hapo?
hizo jenzi zimewapoza yanga wakiona n
chura fc mtateseka miaka 10 iyo n lzma
Hawa lipuli mechi yao.watauza.kwa Azam maana uwezo.wa kucheza na tim za nnje hawana
Umeoneee
Kamwene
Hawa lipuli ndo walifungwa 3-1 na simba ama ? Huu mpira wameutoa wapi jamani ni shida
Lipuli fc. mtabakia kua Tim ndogo tu mbere ya yanga atakama mmeifunga yanga.
Kwahyo ssi yanga tunacomment wap 😂😂😂
Wengine kizungu hawajuyi ebu kwa kitanzaniyaaa maanaaa yake nn?????
Jaman lipuli wamebebwaa😂😂
hawa madogo waokota mipila wamehujumu yanga yani mtu anafata mpila yeye anaupigia ugoko unaenda mbaaaali ahahahahahahahaha yani tunahujumiwa halafu nahisi KINDOKI apewe namba forward maana anapiga sana mashuti badala ya kudaka ahahahahaha
Kamwenee
This is simba ndogo
Mnyaaama wa kinyalu huyoooo!!!!
jamani kwani kuna nini huko mazwzafc
KAMWENEEE
Kamwene
Mohamed Idd kamweneeer
yupo anayeteseka au anayeumia Na matokeo kama yalivyo tokea
Kamwene*2
Ha ha ha kamwene
shuti ra noga agetapika mav ile kudadak
Wanahitaj huruma Hawa chura jaman
Shamteeeeee💪💪
kufungwa kwa yanga imekuwa shida timu ipi imbayo haijawahi kufungwa ?juzi kati tu simba amekula hamza mmeshasahau tayar
kamwene mnogage
Mim yang lakn hii mmenikera ile balaa kama mandezi
Yanga maku
Kipindi icho magoma hakuwepo nn
kifo kifo 2 ata uchelewe cku yako ikifika ww lazima ufe ndy kilichowakuta majilani zetu walikuwa wanatuchekaaaaaaa xana wakisaukuwa wao ni waslika wa janga iliiiiiiii
Hahahahhahahhahahahha. Nacheeeekaaaa
😂😂😂 jaman vyura
Amri Said Kocha wa Lipuli Asema Mengi kuhusu kuipandisha timu ligi kuu mara baada ya mchezo dhidi ya dar city kumalizika..
Unataka kujua kasema nn gusa link inayofuata hapa chini.
👇🏾👇🏾👇🏾 👇🏾👇🏾👇🏾 👇🏾👇🏾👇🏾
ua-cam.com/video/cqbDSkXrAZQ/v-deo.html
Hii inaitwa Kamwene international hahahaaaah
Amri Said Kocha wa Lipuli Asema Mengi kuhusu kuipandisha timu ligi kuu mara baada ya mchezo dhidi ya dar city kumalizika..
Unataka kujua kasema nn gusa link inayofuata hapa chini.
👇🏾👇🏾👇🏾 👇🏾👇🏾👇🏾 👇🏾👇🏾👇🏾
ua-cam.com/video/cqbDSkXrAZQ/v-deo.html