Yanga SC 2-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 22/10/2024
Вставка
- Опубліковано 21 жов 2024
- Yamefungwa magoli mawili, Yanga ikishinda 2-0 dhidi ya JKT Tanzania kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi, mchezo ukiwa ni wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierLeague
Wafungaji wa magoli hayo ni Pacome Zouzoua na Clatous Chama...
Asanteni wanajeshi wetu ila tunaomba mkue mnazitumia Sana nafasi zinazotengenezwa siku hizi nafasi 8 magoli mawili 2 kweli 😢 🙏 Paccome punguza chenga mingi toa pass watu wapasie nyavu😢
Yanga bingwa
Hakuna level yetu hapa bongo🎉
Yanga tamu yanga Tanzania bisha tena
Kama unaamini yangabingwa hakuna wakumzuia tujuane kwa like
Hakuna kujuana hapa simba bingwa
😂😂😂😂😂@@WokovuWangu
@@WokovuWanguYanga hii moto sana
@@youngyayoo2805 simba bingwa
BAADAE UTASIKIA"WEE SIDE UKO NJE YA 18 ,WE KIMWAGA TULIA HUU NAUDAKA TU HAINA SHIDA"😂😂
😂😂😂😂😂😂
😀😁😂
Tayari ashayoa side ndo imenifanya nije hapa😂
Nani kawa Man of the Match? Maana pacome alikuwa Moto leo
Ukiskia umepangwa na yanga bora msusie mechi
Huyo mzize nibala Sana anajua mpira😂😀😀
Wakwanza kuangalia leo second ya 50
Huyu mtangazaji ni mzuri, ila acha mbwembwe za kizamani mara kujifanya unachanganya kiarabu, ENZI LUGHA YETU YA KISWAHILI
chama so mzee bhn
Tuombe kibari Cha kucheza ligi zilizoendelea hapa bongo hatun mpinzani
Na kamba anafungiwa kipa😂 ila wanajikuta kumuiga diarra afu inawacost maskini😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Pacome
Haw jamaa dakik za mwish wangetulia zil nafas walizopat wangerudish magoli
Watarudisha kesho asubuh ucjal
Kasika sio rahisi kwa watangazaji wa Tanzania kuchanganya na kiarabu ina leta raha kwa wasikilizaji ila kama kwako inakukera wengine tunainjoi
Jaman Ile barua ilio Tumwa ilisemaje
Ni unyamaaa
Mbona mchezo wa tarehe 19 viongozi wa yanga waliwapongeza wachezaji wenu
Sasa hv timu nyingi wakicheza na yanga wanakuwa na presha mpaka wanafanya makosa cwalaumu ni moto yanga wanaowapelekea
Kimataifa ndio jibu kamili lakini mpila watiz mchongo tutaona atakae wahi kuludi nyumbani 😂😂😂😂wale wabebwaji watajulikana
Hutaki utataka
Makolo milango yenu yafaham ikoje uko 😂😂😂😂
Wakati wazee wa makolo wanalia lia chama ana wanyoosha
gamond umefanya sub gani ...😳👀 unamtoa job ..usirudie tena mchezo huo. Umeingiza wachezaji wasio kaba wanakimbia hovyo kina azizi..ebboh.
Kichapo
Yanga nimabingwa
Hizi tabia za kumuiga Diarra zitawagharimu wengi
Bingwa wa kubebwa
Umeme ♥️: hawa JKT wote ni wa-TZ, hivo mpira hawajui ila kwa domo, bla bla bla za kutosha. Hayo ndo matokeo yake.
Punguza makasiriko😅
Kil nikikumbuk et wanatak kombe l africa et kwa mpir huu
Dah tumewaPdidy tena bhana kama akina Deborah
Tukienda Afrika tunakuwa wakali ligi ya hapa hatutumii nguvu 2 zinatosha sana na pointi tatu.
Ila mzinze😂
Mukikutana na simba mnabebwa 😂😂
Simba lazima watubebe sisi baba.
Wasenge sana mshazoea kubebwa mwisho wenu huu hapa hatimaye. Yaani muwe na kikosi kipana bado mnanunua game mnahonga marefa mpaka wazee wa ramli dadeki! Jkt 9 na hamjafanya k2. Sheria gani kipa adake nje kidogo ya uwanja asipewe adhabu ndogo eti anapewa red. Kama sheria za mpira msumeno basi Kayoko hana kazi naye saivi agekuwa Mahabusu Segerea. TFF mnazingua kinoma
Simba 11 walikula chuma 5 😂😂😂😂 yanga bingwa kwa mara ya 4 halaf safari yenu ya kuhama ligi imeishia wapi
@@FatmaMiraji-od4rr ilikuwa sasa mnaweza bila Kayoko na chenyewe cha kujifunga,manina. Mkiambiwa msishangilie kabla ya dakika 90 mnahisi mnaonewa. Huu mwezi hamuendi po pote niko paleee
Sheria kipa akidaka nnje ya box naakiwa yy ndomtu wamwisho nikadinyekundu ww kma hujui sheria kaakimya mihemko haina faida
@@adamnguvu1020 kama refa wote wanajua sheria lile goal la juzi walitafsiri sheria gani,ikiwa mpira umetoka ukarudi ndani mchezaji wenu kacheza na sio kama alifunga na alishangilia kama kafunga. Hizo sheria zimetungwa kwaajili ya kuhalalisha makosa ya team pinzani za Yanga pekeyake sio?
Zile faulu alizofanyiwa Kibu na Ateba je,Goal la Kibu kwann iwe ofside na la kenu lisiwe goal kick?