SIMBA SC 5-0 MBAO FC; VPL, FULL HIGHLIGHTS (26/02/2018)
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Timu ya Mbao FC kutoka jijini Mwanza, imekutana na kipigo kizito cha mabao 5-0, kutoka wa Wekundu wa Msimabazi, Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye dimba la Taifa Dar es Salaam.
Magoli yote a Simba katika mchezo wa leo, haya hapa, wafungaji wakiwa ni Shiza Kichuya dakika ya 38, Emmanuel Okwi mabao mawili, dakika ya 40 na 70, Nicholas Gyan dakika ya 86 na Erasto Nyoni dakika ya 82
simba nguvu moja!! mungu tunaomba uzidī kutusimamia inshallah
zigimale zigimaleanton simba na mbao Leo morogoro jamhuri
Ipo siku tutakuwa wanasimba Kama tulivyo kuwa mwanzo nakupenda Simba nguvu moja
daah masudi alikua kocha mwenye kuchangamshaa wachezaj na mashabiki sanaaa masud di juma kokote uliko mungu akutangulie ulejee tena simbaa
Hongera Simba ,Mungu awape ubingwa vpl
S
safi sana chama langu
Wapi fire mbao zaunguaaaaa
Yusuph Amani lm
❤
Simba hii CIO ya mchezo mchezo......big up my team!!!
Mariam Mjela thanteeeh..
Vedastina Vedasto wa
Simba ni simba tu ata awe simba Mbarara ni simba
Simbaaaaaa
Pamoja Xaaaana Azam TV
Safi sana azam mmeskia kilio chetu sio mnaweka dakika 10 wakati bando ni letu asanteni
tupo pamoja simba
Yes Nimekosa Kuiangalia Hii Mechi ila2 Nimekua Wakwanza Kuitazama Kwenye #UA-cam Hongereni Sana Kwahili #AZAM_for_Life!!
Kwan simba hawamuoni sangijaa sangijaa hawamuoni simbaaa
ahxnt azam tv
Hii simba inaitwa chinja chinja sio kwa kipigo hiki alichopewa mbao kutoka 4G mpaka 5G ndio ujue simba sio timu ya mchezo mchezo bado zamu yenu nyny washangilia droo
😅😅😅😅😅😅 ety washangilia droo, ila Yanga bhn
Kumbe walianza zamani kushangilia droo hahaha
Huyu Kichuya sio mtu wa mchezo mchezo.. Aiseeeeeeeeeeeeeeee..!
Exl
Kinachoendereasimba
hamsa hamsa
hii simba waipe tu kombe
Hiv hakuna 5G
Barcelona&juventus
Salam kwa timu ambazo bado hazijakutana na mnyamani
Okwi siurundi tu simba jamani
duhh
simba raha kweli
Hii simba sasa nomba mpaka sasa ligi za duniani wasiyo fungwa simba na barcelona..tu kwaiyo tuwaheshimu simba na barcelona
Hashim Cheppa ximba kazeni buti yanga wametuzid point
Nani kama smba
ok
Soomala mwana mziki wa bongo fleva
adamu mwamba legend simba sports club
Nimemiss kusikia majina ya hawa watu
happy dede mambo VP mpenwa
apo sawaa AZAM siyo munatupa dakika 6 mara 5 ndo nini apo mawapa bigap saana na asanteni
ABDUL SHABAN oil
Pamoja
Chezea simbaa wwe hahaaa
Wanaume haooo wakuja yanga jiandaen
wilfred kambona hiyo ndo simba haichagui sehemu popote kambi simba mbele kama tai hahahaha
Tunasubi yanga Tuwape dozi _5
DAWA NDO IYO
Herry Danda razima apigwe
Savp
hahaha mme wa yanga katulizwa kimasomaso
shizo be classic
kama kipa wa mbao ndo huyo hawana
azam tv big up
kama kawa simba ya 4g imeamia kwenye 5g duuuu mnyama unanikoxha mm
Simba ninoma baada ya 4G hadi 5G safi Sana simba
Rachel Tugende hapo sawa
hadi ww umeona bahsi kw kipa hwn
njombe mji fc v simba
Joshua Kilumile
neyma
Dickson Simba kiboko
You
naipenda simba
Ipo siku tutakuwa wanasimba Kama tulivyo kuwa mwanzo nakupenda Simba nguvu moja
Simbaaaaaaaaaaa
Savp