HASANTEE sana dada Veronica lkn jana usiku nilishindwa kuimalizia hii simulizi inatisha sana pia nilisema siiisikilizi tena inaogopesha Lkn inabidi niiendeleze Ili Nipsey kuyajua mengi
We going to lost her😢 again 😭😭 why don't u remember to pray u take things too easy jaman...akili y Esau haipo sawa the same situation mwalimu mwenzake ,she pass through ...its same to this sister 😢 but hawastuki ata kwa akili za kawaida....me am so huggrie😡 tunaenda kumpoteza huyu dada innocent soul😭 why so why jmn Essau.... muombeen Mungu basii aweke mkono wake😭😭😭😭😭💔
Shetani mtabishaji mkubwa sana,Ashidwe kwa jina la YESU
Jamani, Uchawi upo, MUNGU wewe ndio mlinzi wetu maan uko juu ya vyote
Jamani fundi mitambo Moro bado hatuwapati tunalia na fundi mitambo etii daaah 😢
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Kweli jamani EFM tufikirieni na sisi wa morogoro
Jamani pole baraka natumai wamelifanyia kazi
Ahsante Vero kwa simulizi nzuri
Huyo binti ni jini
Woooh no 1
Uwii jamaniii huyuu mtt kma kijinii
Esau huyo binti c mtoto mzuri achana nae kama mama yako alivyokwambia kwenye ndoto
Duuu aisee uchawi siopoa mapepo hayana mana hatakidogo yamelostisha watuwengi aisee
HASANTEE sana dada Veronica lkn jana usiku nilishindwa kuimalizia hii simulizi inatisha sana pia nilisema siiisikilizi tena inaogopesha Lkn inabidi niiendeleze Ili Nipsey kuyajua mengi
Hata mm
@@zuwenaalamin8985 umeonaee
Jamanii hata mm inanitisha🥲
Mmm!! Esau kaa mbali na huyo bint jela yakuita tena
weka sehem ya 9 Vero haipo
Da Vero, sie tunaosikiliza kwa you tube unatupunja ile sehemu ya mwisho , inakata , ikikata ndo bc tena.
Nina imani huyu dada ni jini lengo laka ni Essau na si wengine ila mwenye kihere kihere ndo anapita nae😢
Hata yule mtoto nadhan alimuuwa bila kujua kuna watu wakiku angalia tu jocho lake lakudhuru bila kujuwa yeye ndio tatizo
We going to lost her😢 again 😭😭 why don't u remember to pray u take things too easy jaman...akili y Esau haipo sawa the same situation mwalimu mwenzake ,she pass through ...its same to this sister 😢 but hawastuki ata kwa akili za kawaida....me am so huggrie😡 tunaenda kumpoteza huyu dada innocent soul😭 why so why jmn Essau.... muombeen Mungu basii aweke mkono wake😭😭😭😭😭💔
Comment tu kiswahili maana mmmh
@@restutapatrick4695😂😂 bora umeona dah watu wa emotional sana hadi ..
Simulizi nzuri ila fupi fupi mpaka hasira yani 😂 juma tatu nako mbali duh 😩 ila huyo mwanafunzi mmm atawamaliza 😢
Uyu Esau sijui ni dawa kawa bongozoZo khaa kaboa
Uchawii huo dada usimlaumu huyo kijana huo ni uchawii siyo akili yake
@@allytv1714hapana bhana wanaume wazito sanaa. Fikra zenu zimelala
Naisubiri ya Jana j3 sijaipata
Daaah tutaogop kuwasaidia watu mahan
Daah jumatatu mbali jamani😢
Jmn tunaenda kumpoteza msamalia wa pili 😭.lkn mama yako alikuambia usimkalibie uyu binti.. lkn pia huruma yan sielewi tuuu
Dada mwingine huyooo tena anaenda kufa jmn daaah
Daah Jumatatu mbali 😂
Hivi Jana ilikuwa juma pili mbona nimeona kimya mpaka nimeirudia seseh ya nne
Inawezakua huyo mwanafunzi ndiye kasababisha kifo cha Mwalimu yaweza kua ako na mikosi huyo binti
Mimi naona huyo siyo mwanafunzi ila ni jini au pepo siyo mtu huyo
@@Estersaimon-pp9ln Yes huyo ni jini
Sio tu mkosi ni mchawi
Au jini
Wema umempanza mama wawatu nimejifunza kitu
Yaaan
huyu binti jini atakuwa mhhh
Nakukubali sn dad vero❤
😢aisee naumia sn
Simulizi nzuri ila inatisha
Nasubiri kwa hamu 6
Huyu bint asiwe jini jamani
Huyu binti na huyu kijana ni vivuli labda huyu kijana aliombwa kwa mgaga na yeye ndio yuwa uwa bila kujijua huyu kaka
@@ftimaramadan4748 duh mtihani
Mutupe namba sisi wasikilizaji tutoe maoni yetu
Yani tunateseka uko moro mtandao ukifika jion ndio unabuma
Esau
Huyo mwanafunzi ndio kivuli kinachomfuata huyo kaka na atamaliza watu wengi
Tatizo lipo kwa Essau
Daah jamani
Tuomba namba jamani
J 3 daaa
Da vero❤
😊😊😊😊😊😊😊😊
Tunasubiri ya 6
Nshaitafta hapa hamn
@@RukiyaHussein-nh8si ameshaiweka
Sio jini uyo mtoto kwel?
Usiogope tuwasaidie kwa tahadhali kubwa sana
Vero naomba no yako jamani Esau kakumbana na jini hiloo.
@@grorymsangi4651😂😂😂kabisa