Mashaallah. Inatukumbusha zamani sana ilipokuw Qadiria inasoma Qaswida za visa vya tarehe vilikuw vinawagusa watu katka huu umma. Mungu awazidishie heri kina She: salum rashid na wanafunz wote wa Qadiria Mungu awabarki murudi katka asili yenu ya zamani ya Qaswida kam hizi za upole sio zile za maharusi watu wanazopiga ngoma. Allah Awabarik
Hii ndio Qadiria tunayoijua sisi ilikuw hatari sana ndani ya Tanzania mpak nje ya nchi. Jitahid murudi katka asili yenu ya zamani ya Qaswida zenje sampuli kama hizi za salum rashid anasom kwa upole na wengine wanaitikia. Mukifanya hivo Qadiria itakuwa na NGuvu kubwa kama hapo zamani na kutikisha katka maulid ya maisara na nje ya nchi
Mashaallah. Inatukumbusha zamani sana ilipokuw Qadiria inasoma Qaswida za visa vya tarehe vilikuw vinawagusa watu katka huu umma. Mungu awazidishie heri kina She: salum rashid na wanafunz wote wa Qadiria Mungu awabarki murudi katka asili yenu ya zamani ya Qaswida kam hizi za upole sio zile za maharusi watu wanazopiga ngoma. Allah Awabarik
Mashallah mupovizur naomba murejee kaswida Kama zile za zamani inshallah.
Maashallah❤❤❤ .dhana ni miongoni mwa dhambi Saba zenye kuangamiza.
❤❤❤ maashallah,dhana ni miongoni mwa dhambi Saba zenye kuangamiza
Mashaallah hiii ndo kadiria ya zamani so sasa munaimba kama taarabu munaiharibu asili yenu
Nmeitafuta hiii hatar finaly nmeipata alhamdulillah
Yeah huyu jmaaa fundi sanaa ....salum bn rashid😍
Hii ndio Qadiria tunayoijua sisi ilikuw hatari sana ndani ya Tanzania mpak nje ya nchi. Jitahid murudi katka asili yenu ya zamani ya Qaswida zenje sampuli kama hizi za salum rashid anasom kwa upole na wengine wanaitikia. Mukifanya hivo Qadiria itakuwa na NGuvu kubwa kama hapo zamani na kutikisha katka maulid ya maisara na nje ya nchi
Inanikumbusha mbali sn yani
Masha Allah ujumbe umefika
Qasida ya zamani lkn bd inaishi
Mashalah kaswaida mzur
saut mashair kil kitu kipo sw
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤ maashallah,dhana ni miongoni mwa dhambi Saba zenye kuangamiza