Sijui ata niwape tunzo gani naona kila ntayowapa haitofaa itakua ni ndogo kwa jitihada munayotufanyia ila bora niwaombe kwa Allah awape kila la kheri na awafanyie wepesi juu ya kazi zenu.... Mashallah uongozi wote wa Aqaz & Qadiria na pia niwapongeze wale waliofanikisha kazi zenu....
Jamn kuna kaswida naiomba cjui kwa jina inaitwaj alisoma ust Salim rashid kuna kibwagizo kinasema wanaqadiria tumejawa na faraja jamn anaeijuia aniambie jina la hio qaswida plz
Yaani hii ni qasda imetisha hatari Juma na Faki Allah awahifadhi na waislamu Wote wa Zanzibar mzidi kutupa nashdi zenye kutufunza Sana. Allah atubarik sote. Napenda kuwaanasihi waislam kuwaunga mkono wanaqadiria
Ndugu yngu habar yko, mi ningekushauri kwanza ukapata mda kujua ni nn nasheed na nn musiki kwaio jitahid ulitafte hilo kwanza ...... Maana hii haina tofaut na tetema ya diamond maana kna musiki na kule upo ule ule huku kidogo hamna wanawake wliokaa uchi!!
Kila m1 naufundi wake ila aqaz kwangu asa wako juu, kwa7b wasomaji wake wanauwezo wakusoma kitu usichoweza kukiigizia na uo ndoufundi ila hafidhi hana atakaposoma mimi nisiweze kumuigizia utofauti itakuwa ni sauti tu yeye atakuwa na sauti yke namimi nitakuwa na sauti yang, lkn kiongizi fak au juma fak sio utofauti wa sauti tu hata kuigizia nitashindwa km ataamua kutaka kusoma ili nishindwe uwezo uo hafidh hana na uo ndoufudi wa hali ya juu
Tuna no yko ya whatsap kuna qaswida nikurushie ikisha ww mwenyewe utakubali haya maneno yngu kuwa kwa kiwango chake wako km yeye mana naamini wewe utabisha na kusema ni hafidhi kumbe wala si hafidhi asaa, jamaa kila kitu km hafidhi kuanzia usomaji mpaka sauti hakuna tofauti
Yani qaswida imepangiliwa maneno yalioenda shule hakika mnajua maostadh zangu allah awanongoze katika kuelimisha umma allahumma aamiyn.
8faàķ
Natak kuuliza ndoa bila ya sheh ndoa afungisha babu mzaa baba amuuliz mwaaum umekubal ajib ndiy aulizwa mwanamk ajib ndiy Mar moj Kish aseme ndoa teal ishapit inahesabik ndoa au sio ndoa
MASHALLHA KWA WALE WANANDOA INA UJMBE MKUBWA HII KASWAIDA AMAKWELI QADIRIA IPO KWA AJILI YA KUELIMISHA JAMII
AHSANTE KIONGOZI FAKI & JUMA
Masha Allah yani sikosi kila siku kuisikiza mashahiri mazuri Alf mabrouk ❤️❤️❤️❤️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Qur-an je?
Quran lazima
Allah Akbar wallah raha hongereni kwa burdani iliy beba ujumb mzitoo. aaaah (no meng sihabaaa)
Mashallah SHEkHE Juma and SHEkHE Fakhu♥️👍🙏❤️
Qadiria mambo Ni mazuri.
Muimbaji Ana sauti powa.
Maashallah, we juma hivi ilo koromeo lako likoje mbona kama la ajabu, dahh we hatari sna
❤❤❤❤ maa shaa Allah maa shaa Allah maa shaa Allah maa shaa Allah qaswida nzuri sana 👌👌👌👌👌👌😗😗😗😗😗😗💞💞💞💞💞💞😍😍😍😍
Kwa kwely kila nnapo skiaa kasd hii namkubuka snna marehem Bekka Thabit Allha amrehemu ananiliza sna Allha masamehe
Sijui ata niwape tunzo gani naona kila ntayowapa haitofaa itakua ni ndogo kwa jitihada munayotufanyia ila bora niwaombe kwa Allah awape kila la kheri na awafanyie wepesi juu ya kazi zenu.... Mashallah uongozi wote wa Aqaz & Qadiria na pia niwapongeze wale waliofanikisha kazi zenu....
I wish inshaallaah siku moja nita jiunga qadiriya inshaallaah
Nakukubali sn ujumbe umetufikiya mashaallah mashaallah
mashallah nawapenda qadiria kwa kaswida zenu zina ujumbe ndan yke
Masha Allah kasda nzuri na inaujumbe mzuri sana asante ustadhi Juma Faki ujumbe umeshawafikia wanandoa kaz kwao waufanyie kazi
kaz nzur manshallah mungu awaongoze nawapenda kwa ajili ya allah
Ma Sha Allah
Kimya kingi kimeonekana maana yake, Ujumbe mumeupangilia AQAZ
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 Mashallah Mashallah Mashallah Allahummaswalli wassalim wabarik alaih daaiman abadah
Juma Khamis
Mashaallah hongereni sana kwa kz nzuri ya madili ya ndoa💞💞💞
Masha Allah alhamdulillah kaz mzur
Mashaallah... qaswida nzuri xna ya mafunzo
juma nakukubali sana kasida zako .unatisha sana ongeza juhud ili uwe juu zaidi ya ulipo
mashaa Alla Qaswida nzuli nimeipenda mashaa Alla
ما شاء الله أدام الله فيكم الخير في العلم
Mashallah dah natama muda wote niangalie
Maaaashallah😊
mashaallah maashaallah wallah mnaweza na ninawapenda kwajili ya Allah
Masha'allah,,, napenda sanaa qaswida zenu ujumbe mzr
Mashaallah aqaz mnatishaaaaaaaaa
Barak allah fy kuma
Aloo juma tutakuwa hatuswali jmni kwa unavyoimba yaan Allah kakupa kipaji
Hhhh asnt
Ww ushwali usijeukamtia mwenzako makosani
Mashaallah nawapenda kwa ajili ya Allah ❤️
Nzuri Sana team Aqaz
Kikweli mm nawashangaa wanao badili maadili ya kasida kuzifanya tarab ila sio vzr turudi kwenye mila zetu mifano tuna inayona kwa ustadh juma
Mashaallah zenjibari ntakuja sikumoja kujakutembelea hicho chuo in shaaallah
msalemu
Njoo
Allah akuzidishi mashairi mzuri sana MashaAllah ustadth juma Faki Mabruk Frm Kenya
Mashaallah nimeipenda sanaa hii kaswida
Qaswida nzur mashallah aqaz
Unajua mabroo mko saw sana na mumshkuru mpga beat wenu jamaa yuko swa sanaaaa then we jamaa unajua mana una melody za kaswida big up
Allah awazidishie mutuelimishe na sisi tukiingia ndoani tuingie kwa kheir
Jamn
Mashaa Allah 💜💜💜kasida nzuri Mashaa Allah
Mashaallah ujumbe mzuri sana.
Mashaallah, aqaz hamuna mpinzani
Jamn kuna kaswida naiomba cjui kwa jina inaitwaj alisoma ust Salim rashid kuna kibwagizo kinasema wanaqadiria tumejawa na faraja jamn anaeijuia aniambie jina la hio qaswida plz
Ahsante sheikh juma na swahib wako sheikh fak
Ukhty dida
Mashaallah ❤❤
Nimekuja Mara moja hapa leo 2024 mwez July, nimeimis hii qaswida
Jamn mm hii naipenda San qaswida hii aaah🤲🙏
Asante for this
Mashallah mashallah kwa hutba ya ndoaimetulia
Mashallah
Ndio burdan zangu nyumban kwangu kawsida za aqaz maana wamekamilika kila sector
Mashaallah kaswida nzur sana
mashaallah napenda qaswidah zenu sjw nazipataj audio zake
Choyo tu
Allah awajalie saan aqaz
Amin
Manshallah ❤
Mashaallah allah awabaarik kwa kz kbw muliyoifanya
Hongera fundi
Thnks soooo
Masha Allah barakallahu fiik wajazakallahu khair
Yaani hii ni qasda imetisha hatari Juma na Faki Allah awahifadhi na waislamu Wote wa Zanzibar mzidi kutupa nashdi zenye kutufunza Sana. Allah atubarik sote. Napenda kuwaanasihi waislam kuwaunga mkono wanaqadiria
Ndugu yngu habar yko, mi ningekushauri kwanza ukapata mda kujua ni nn nasheed na nn musiki kwaio jitahid ulitafte hilo kwanza ...... Maana hii haina tofaut na tetema ya diamond maana kna musiki na kule upo ule ule huku kidogo hamna wanawake wliokaa uchi!!
Hamid B sasa umeijuaje tetema?unaamrisha mema wasahau nafsi yako?
Hamid B na huku umekuja kufanyje naona na wew umo
@@aliyomar9140 najaribu kuweka sawa kwamba tusijidanganye kua kuna utofaut wa hapa na tetema.....
Hamid B Allah atubaarik
Mzur sana mupo vizir ndugu zangu
Mashaa Allah
Boss MVP hapa naomba nipigie au nitumie noyako tuongee
AQZA MASAALLAH KWAKWELII MAMBO NI🔥🔥🔥🔥
Gap
walio wengi wanaipenda sana bidaa zama hizi za sasa
Suleiman Mwalimu Ni kweli kabisa maneno yako kwa sababu dini hatuna kabisa katika mioyo yetu tumebakiwa na dini ya baba ni muislam na mm ni muislam
Mashaalwaaa
😢mashaalah
Hii kasida naipenda kuliko iko p Sana .
Masha allah hongereni kwakz nzur
Mashaallah mko vizur hasaaaaaaaa
❤❤❤❤❤ napenda san
big up aqaz mupo juu sana
Mashaalah ❤❤
Mashaa Allah Aqaz
Masha allah nimeipenda sanaaa
Kazi inaenda tuu mpk leo
Nice imependeza kwl
Ahsante kwa ujumbe
Jazakumullahulkhayrah
Kazi nzur mashaallah
ManshaAllah
Iko sawa ❤❤❤👏👏👏
Maashaallaah
mashaa allah aqaz nawapenda bure wallah
❤
May the blessings of the Almighty shower on you...well read...it sound great
Mashaallh mungu Azidi kuwapa nguvu
Mashalhaa alha awape elimu zaidi yahy
Mara hii sijapata kaswida zenu mpya nitazipataje?
ما شاء الله تبارك الرحمن الله يحفظك
Ama kwa hakika nimepata funzo kweli
Nakubal kaz iyo imeend shulee
Andika jina la huyo ustaazi utaziona
Juma fakih and fakih mbarooq are they relate?
Aisha you two
Yani kama na mimi vile nipo napenda cana kaswid mama mpemba
mashaalh
MashaaAllah ujumbe mzuri san
qasida iko poa jamani
khutubu ya ndoa
Qaswida nzuri
Wamejitahidi kidogo ila mambo hayanogi tanzania one hayupo sheikh HAFIDH tukitaka tusitake
Sikweli
Yaani nyinyi hamna mpizani kwakweli Qasida nzuri na ujumbe mzuri
Kila m1 naufundi wake ila aqaz kwangu asa wako juu, kwa7b wasomaji wake wanauwezo wakusoma kitu usichoweza kukiigizia na uo ndoufundi ila hafidhi hana atakaposoma mimi nisiweze kumuigizia utofauti itakuwa ni sauti tu yeye atakuwa na sauti yke namimi nitakuwa na sauti yang, lkn kiongizi fak au juma fak sio utofauti wa sauti tu hata kuigizia nitashindwa km ataamua kutaka kusoma ili nishindwe uwezo uo hafidh hana na uo ndoufudi wa hali ya juu
Tuna no yko ya whatsap kuna qaswida nikurushie ikisha ww mwenyewe utakubali haya maneno yngu kuwa kwa kiwango chake wako km yeye mana naamini wewe utabisha na kusema ni hafidhi kumbe wala si hafidhi asaa, jamaa kila kitu km hafidhi kuanzia usomaji mpaka sauti hakuna tofauti
Mud Khamis nirushie nami whatsaap0746537880
Mashaa Allah😘😘😘
kutoka tanga ust juma unawakilisha sn
Kazi nzuri
swadactor hery ziende kwao