QADIRIA/KHUTBA YA NDOA OFFICIAL VIDEO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • #khutbayandoa #aqaz #QADIRIA #qaswidampya2019

КОМЕНТАРІ • 272

  • @saidikingazi1995
    @saidikingazi1995 5 років тому +6

    Yani qaswida imepangiliwa maneno yalioenda shule hakika mnajua maostadh zangu allah awanongoze katika kuelimisha umma allahumma aamiyn.

  • @NasmaahMahadhi-k6x
    @NasmaahMahadhi-k6x 2 місяці тому +1

    Natak kuuliza ndoa bila ya sheh ndoa afungisha babu mzaa baba amuuliz mwaaum umekubal ajib ndiy aulizwa mwanamk ajib ndiy Mar moj Kish aseme ndoa teal ishapit inahesabik ndoa au sio ndoa

  • @saidaliali634
    @saidaliali634 5 років тому +4

    MASHALLHA KWA WALE WANANDOA INA UJMBE MKUBWA HII KASWAIDA AMAKWELI QADIRIA IPO KWA AJILI YA KUELIMISHA JAMII
    AHSANTE KIONGOZI FAKI & JUMA

  • @fathumramadhan7567
    @fathumramadhan7567 4 роки тому +2

    Masha Allah yani sikosi kila siku kuisikiza mashahiri mazuri Alf mabrouk ❤️❤️❤️❤️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hassandarwesh641
    @hassandarwesh641 5 років тому +3

    Allah Akbar wallah raha hongereni kwa burdani iliy beba ujumb mzitoo. aaaah (no meng sihabaaa)

  • @mariammganga6607
    @mariammganga6607 5 років тому +6

    Mashallah SHEkHE Juma and SHEkHE Fakhu♥️👍🙏❤️

  • @abdulrahmanturki4137
    @abdulrahmanturki4137 Рік тому

    Qadiria mambo Ni mazuri.
    Muimbaji Ana sauti powa.

  • @mudkhamis3078
    @mudkhamis3078 5 років тому +4

    Maashallah, we juma hivi ilo koromeo lako likoje mbona kama la ajabu, dahh we hatari sna

  • @habibahamiss707
    @habibahamiss707 5 років тому +3

    ❤❤❤❤ maa shaa Allah maa shaa Allah maa shaa Allah maa shaa Allah qaswida nzuri sana 👌👌👌👌👌👌😗😗😗😗😗😗💞💞💞💞💞💞😍😍😍😍

  • @DullaHamadi
    @DullaHamadi 3 місяці тому

    Kwa kwely kila nnapo skiaa kasd hii namkubuka snna marehem Bekka Thabit Allha amrehemu ananiliza sna Allha masamehe

  • @kakamkubwa9848
    @kakamkubwa9848 5 років тому +2

    Sijui ata niwape tunzo gani naona kila ntayowapa haitofaa itakua ni ndogo kwa jitihada munayotufanyia ila bora niwaombe kwa Allah awape kila la kheri na awafanyie wepesi juu ya kazi zenu.... Mashallah uongozi wote wa Aqaz & Qadiria na pia niwapongeze wale waliofanikisha kazi zenu....

  • @willywillium1273
    @willywillium1273 Рік тому

    I wish inshaallaah siku moja nita jiunga qadiriya inshaallaah

  • @maryammoj152
    @maryammoj152 4 роки тому +1

    Nakukubali sn ujumbe umetufikiya mashaallah mashaallah

  • @nihifadhiabdul5211
    @nihifadhiabdul5211 5 років тому +1

    mashallah nawapenda qadiria kwa kaswida zenu zina ujumbe ndan yke

  • @zobidaal4423
    @zobidaal4423 4 роки тому +2

    Masha Allah kasda nzuri na inaujumbe mzuri sana asante ustadhi Juma Faki ujumbe umeshawafikia wanandoa kaz kwao waufanyie kazi

  • @hadijabgapsanauyomamaamiri6381
    @hadijabgapsanauyomamaamiri6381 2 роки тому

    kaz nzur manshallah mungu awaongoze nawapenda kwa ajili ya allah

  • @habarikazanzibar3667
    @habarikazanzibar3667 5 років тому +5

    Ma Sha Allah
    Kimya kingi kimeonekana maana yake, Ujumbe mumeupangilia AQAZ

  • @jumakhamis5448
    @jumakhamis5448 5 років тому +4

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 Mashallah Mashallah Mashallah Allahummaswalli wassalim wabarik alaih daaiman abadah

  • @rijatiyahaya9643
    @rijatiyahaya9643 3 роки тому

    Mashaallah hongereni sana kwa kz nzuri ya madili ya ndoa💞💞💞

  • @HamadMwalim
    @HamadMwalim День тому

    Masha Allah alhamdulillah kaz mzur

  • @mishinjama6684
    @mishinjama6684 3 роки тому

    Mashaallah... qaswida nzuri xna ya mafunzo

  • @kassimallysharif6308
    @kassimallysharif6308 5 років тому +4

    juma nakukubali sana kasida zako .unatisha sana ongeza juhud ili uwe juu zaidi ya ulipo

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 5 років тому +4

    mashaa Alla Qaswida nzuli nimeipenda mashaa Alla

  • @hassankofa1234
    @hassankofa1234 2 роки тому +2

    ما شاء الله أدام الله فيكم الخير في العلم

  • @chidychidy5507
    @chidychidy5507 3 роки тому +1

    Mashallah dah natama muda wote niangalie

  • @SaeedBakari-vt9il
    @SaeedBakari-vt9il 6 місяців тому

    Maaaashallah😊

  • @nailatyahmad7298
    @nailatyahmad7298 5 років тому +1

    mashaallah maashaallah wallah mnaweza na ninawapenda kwajili ya Allah

  • @tibud9109
    @tibud9109 5 років тому +4

    Mashaallah aqaz mnatishaaaaaaaaa

  • @tatotambwe6085
    @tatotambwe6085 4 роки тому +1

    Barak allah fy kuma

  • @fatmakhamis8605
    @fatmakhamis8605 3 роки тому +1

    Aloo juma tutakuwa hatuswali jmni kwa unavyoimba yaan Allah kakupa kipaji

  • @Popo-nc8ig
    @Popo-nc8ig 6 місяців тому

    Mashaallah nawapenda kwa ajili ya Allah ❤️

  • @mchamcha3431
    @mchamcha3431 4 роки тому +1

    Nzuri Sana team Aqaz

  • @ZongaPingu-cv5fk
    @ZongaPingu-cv5fk 6 місяців тому +1

    Kikweli mm nawashangaa wanao badili maadili ya kasida kuzifanya tarab ila sio vzr turudi kwenye mila zetu mifano tuna inayona kwa ustadh juma

  • @mrsmohammadnguche4165
    @mrsmohammadnguche4165 5 років тому +3

    Mashaallah zenjibari ntakuja sikumoja kujakutembelea hicho chuo in shaaallah

  • @TwalaaTaib
    @TwalaaTaib 5 місяців тому

    Allah akuzidishi mashairi mzuri sana MashaAllah ustadth juma Faki Mabruk Frm Kenya

  • @issamohd9955
    @issamohd9955 4 роки тому +1

    Mashaallah nimeipenda sanaa hii kaswida

  • @chidychidy5507
    @chidychidy5507 3 роки тому +1

    Qaswida nzur mashallah aqaz

  • @salumali7031
    @salumali7031 4 роки тому +1

    Unajua mabroo mko saw sana na mumshkuru mpga beat wenu jamaa yuko swa sanaaaa then we jamaa unajua mana una melody za kaswida big up

  • @fatmambaraka43
    @fatmambaraka43 4 роки тому

    Allah awazidishie mutuelimishe na sisi tukiingia ndoani tuingie kwa kheir

  • @bubbleminho9092
    @bubbleminho9092 5 років тому +4

    Mashaa Allah 💜💜💜kasida nzuri Mashaa Allah

  • @ashamrutu7217
    @ashamrutu7217 5 років тому +4

    Mashaallah ujumbe mzuri sana.

  • @ashuraali3099
    @ashuraali3099 5 років тому +6

    Mashaallah, aqaz hamuna mpinzani

  • @Armsdady
    @Armsdady 5 років тому +3

    Jamn kuna kaswida naiomba cjui kwa jina inaitwaj alisoma ust Salim rashid kuna kibwagizo kinasema wanaqadiria tumejawa na faraja jamn anaeijuia aniambie jina la hio qaswida plz

  • @abdul-azizally9952
    @abdul-azizally9952 5 років тому +3

    Ahsante sheikh juma na swahib wako sheikh fak

  • @SalmaSalum-d7z
    @SalmaSalum-d7z 3 місяці тому

    Ukhty dida

  • @ZuuAbuu-q1g
    @ZuuAbuu-q1g 10 місяців тому +1

    Mashaallah ❤❤

  • @abdoolshakuruswalehe546
    @abdoolshakuruswalehe546 2 місяці тому

    Nimekuja Mara moja hapa leo 2024 mwez July, nimeimis hii qaswida

    • @HassaniAbdi-l6c
      @HassaniAbdi-l6c Місяць тому

      Jamn mm hii naipenda San qaswida hii aaah🤲🙏

  • @ibrahimodoii9693
    @ibrahimodoii9693 Рік тому

    Asante for this

  • @monatomamonatoma3308
    @monatomamonatoma3308 2 роки тому

    Mashallah mashallah kwa hutba ya ndoaimetulia

  • @shabanhaji4790
    @shabanhaji4790 3 роки тому +3

    Mashallah

  • @nassorrashid2857
    @nassorrashid2857 3 роки тому +1

    Ndio burdan zangu nyumban kwangu kawsida za aqaz maana wamekamilika kila sector

  • @hidayabura8575
    @hidayabura8575 4 роки тому +1

    Mashaallah kaswida nzur sana

  • @aminhakhamisi7742
    @aminhakhamisi7742 4 роки тому +1

    mashaallah napenda qaswidah zenu sjw nazipataj audio zake

  • @chidychidy5507
    @chidychidy5507 3 роки тому +1

    Allah awajalie saan aqaz

  • @QwieeenamaranthiniTanzania
    @QwieeenamaranthiniTanzania 3 місяці тому

    Manshallah ❤

  • @yakoubvpmohd9727
    @yakoubvpmohd9727 3 роки тому +1

    Mashaallah allah awabaarik kwa kz kbw muliyoifanya

  • @hamadsaidi4902
    @hamadsaidi4902 5 років тому +3

    Hongera fundi

  • @qal6469
    @qal6469 3 роки тому

    Masha Allah barakallahu fiik wajazakallahu khair

  • @jumakhamis5448
    @jumakhamis5448 5 років тому +2

    Yaani hii ni qasda imetisha hatari Juma na Faki Allah awahifadhi na waislamu Wote wa Zanzibar mzidi kutupa nashdi zenye kutufunza Sana. Allah atubarik sote. Napenda kuwaanasihi waislam kuwaunga mkono wanaqadiria

    • @hamidjuma4621
      @hamidjuma4621 5 років тому +1

      Ndugu yngu habar yko, mi ningekushauri kwanza ukapata mda kujua ni nn nasheed na nn musiki kwaio jitahid ulitafte hilo kwanza ...... Maana hii haina tofaut na tetema ya diamond maana kna musiki na kule upo ule ule huku kidogo hamna wanawake wliokaa uchi!!

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 років тому

      Hamid B sasa umeijuaje tetema?unaamrisha mema wasahau nafsi yako?

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 років тому

      Hamid B na huku umekuja kufanyje naona na wew umo

    • @hamidjuma4621
      @hamidjuma4621 5 років тому

      @@aliyomar9140 najaribu kuweka sawa kwamba tusijidanganye kua kuna utofaut wa hapa na tetema.....

    • @aliyomar9140
      @aliyomar9140 5 років тому +1

      Hamid B Allah atubaarik

  • @shaibunassirbakar2998
    @shaibunassirbakar2998 Рік тому

    Mzur sana mupo vizir ndugu zangu

  • @ilhamhaji933
    @ilhamhaji933 4 роки тому +2

    Mashaa Allah

  • @mvponlinetv
    @mvponlinetv 5 років тому

    Boss MVP hapa naomba nipigie au nitumie noyako tuongee

  • @youmnaaboubakar9671
    @youmnaaboubakar9671 5 років тому +2

    AQZA MASAALLAH KWAKWELII MAMBO NI🔥🔥🔥🔥

  • @suleimanmwalimu3018
    @suleimanmwalimu3018 5 років тому +2

    walio wengi wanaipenda sana bidaa zama hizi za sasa

    • @azizially1592
      @azizially1592 5 років тому

      Suleiman Mwalimu Ni kweli kabisa maneno yako kwa sababu dini hatuna kabisa katika mioyo yetu tumebakiwa na dini ya baba ni muislam na mm ni muislam

  • @HaweyAli-b2c
    @HaweyAli-b2c 8 місяців тому

    Mashaalwaaa

  • @JAMILAsaid-fm1nc
    @JAMILAsaid-fm1nc 4 місяці тому

    😢mashaalah

  • @mudathirsaid872
    @mudathirsaid872 4 роки тому

    Hii kasida naipenda kuliko iko p Sana .

  • @angelanjila3185
    @angelanjila3185 5 років тому +1

    Masha allah hongereni kwakz nzur

  • @mishg6483
    @mishg6483 5 років тому +1

    Mashaallah mko vizur hasaaaaaaaa

  • @AzimaraShabani
    @AzimaraShabani Рік тому

    ❤❤❤❤❤ napenda san

  • @bugahamada4300
    @bugahamada4300 5 років тому +2

    big up aqaz mupo juu sana

  • @sablinitanzania2215
    @sablinitanzania2215 4 роки тому +4

    Mashaalah ❤❤

  • @bintykigan7014
    @bintykigan7014 5 років тому +1

    Mashaa Allah Aqaz

  • @shakilaseif3510
    @shakilaseif3510 5 років тому +1

    Masha allah nimeipenda sanaaa

  • @alikhatibshehe4764
    @alikhatibshehe4764 2 роки тому

    Kazi inaenda tuu mpk leo

  • @idatali3897
    @idatali3897 5 років тому +1

    Nice imependeza kwl

  • @sleyymmaha6697
    @sleyymmaha6697 3 роки тому

    Ahsante kwa ujumbe

  • @hamisiramadhan3010
    @hamisiramadhan3010 2 роки тому

    Jazakumullahulkhayrah

  • @mohdmwarab7707
    @mohdmwarab7707 Рік тому

    Kazi nzur mashaallah

  • @mahijakapingu395
    @mahijakapingu395 5 років тому +4

    ManshaAllah

  • @pp1153
    @pp1153 5 років тому +1

    Iko sawa ❤❤❤👏👏👏

  • @khartoumkhart4881
    @khartoumkhart4881 5 років тому +1

    mashaa allah aqaz nawapenda bure wallah

  • @SafinaAbbas-es6ox
    @SafinaAbbas-es6ox 8 місяців тому +1

  • @abdirahman7321
    @abdirahman7321 4 роки тому +3

    May the blessings of the Almighty shower on you...well read...it sound great

  • @nassorrashid2857
    @nassorrashid2857 3 роки тому +1

    Mara hii sijapata kaswida zenu mpya nitazipataje?

  • @radhiaali8043
    @radhiaali8043 3 роки тому

    ما شاء الله تبارك الرحمن الله يحفظك

  • @Fadhili-x6g
    @Fadhili-x6g Рік тому

    Ama kwa hakika nimepata funzo kweli

  • @AbdillahDante
    @AbdillahDante 4 місяці тому

    Nakubal kaz iyo imeend shulee

  • @nurdinmkilisi9402
    @nurdinmkilisi9402 Рік тому

    Andika jina la huyo ustaazi utaziona

  • @Aishyun6554
    @Aishyun6554 5 років тому +2

    Juma fakih and fakih mbarooq are they relate?

  • @yunussally8233
    @yunussally8233 4 роки тому

    Yani kama na mimi vile nipo napenda cana kaswid mama mpemba

  • @seccucharlse7867
    @seccucharlse7867 5 років тому +2

    mashaalh

  • @bintichausa4744
    @bintichausa4744 5 років тому +1

    MashaaAllah ujumbe mzuri san

  • @rashidsalum1569
    @rashidsalum1569 5 років тому +2

    qasida iko poa jamani

  • @HawaSefu-on2jg
    @HawaSefu-on2jg Рік тому

    khutubu ya ndoa

  • @uweismohammed6959
    @uweismohammed6959 5 років тому +2

    Qaswida nzuri

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 5 років тому +3

    Wamejitahidi kidogo ila mambo hayanogi tanzania one hayupo sheikh HAFIDH tukitaka tusitake

    • @uweismohammed6959
      @uweismohammed6959 5 років тому +1

      Sikweli

    • @shehahamad8156
      @shehahamad8156 5 років тому

      Yaani nyinyi hamna mpizani kwakweli Qasida nzuri na ujumbe mzuri

    • @mudkhamis3078
      @mudkhamis3078 5 років тому

      Kila m1 naufundi wake ila aqaz kwangu asa wako juu, kwa7b wasomaji wake wanauwezo wakusoma kitu usichoweza kukiigizia na uo ndoufundi ila hafidhi hana atakaposoma mimi nisiweze kumuigizia utofauti itakuwa ni sauti tu yeye atakuwa na sauti yke namimi nitakuwa na sauti yang, lkn kiongizi fak au juma fak sio utofauti wa sauti tu hata kuigizia nitashindwa km ataamua kutaka kusoma ili nishindwe uwezo uo hafidh hana na uo ndoufudi wa hali ya juu

    • @mudkhamis3078
      @mudkhamis3078 5 років тому

      Tuna no yko ya whatsap kuna qaswida nikurushie ikisha ww mwenyewe utakubali haya maneno yngu kuwa kwa kiwango chake wako km yeye mana naamini wewe utabisha na kusema ni hafidhi kumbe wala si hafidhi asaa, jamaa kila kitu km hafidhi kuanzia usomaji mpaka sauti hakuna tofauti

    • @mindiathuman8778
      @mindiathuman8778 4 роки тому

      Mud Khamis nirushie nami whatsaap0746537880

  • @omanoman728
    @omanoman728 5 років тому +2

    Mashaa Allah😘😘😘

  • @alikhatibshehe4764
    @alikhatibshehe4764 2 роки тому

    Kazi nzuri

  • @ramadhanikola3899
    @ramadhanikola3899 4 роки тому +1

    swadactor hery ziende kwao