Inaonyesha vijana wengi Singida wamekosa elimu, wahaonyeshi kubaini hoja muhimu za ukombozi zinazotolewa na wasomi. Wao kila lijalo ni sawa leo na kesho.
Wewe mwenye we somea vitabu hivyo mpaka unasimama hapo Kama siupumvavu ninihiyosasa na kwanza hivyo vitabu sasa hivi havipo ndio mana kumbe umefhulimiwa ushindi kwa sababu ujinga wako
Ccm ni chama cha wezi na wauza mali za Wananchi.
Chadema ni chama cha *HAKI*
TUCHAGUE CHADEMA.❤
Mdomo ukiuruhusu huongea chochote! Kutenda ni jambo lingine! Na mara nyingi wanaongea na kukosoa sana SI watenda kazi wazuri! Muwe na kiasi!
Ndio maana unaona inchi inavyokwenda Elimu yetu Ni ajabu sana watalamu wetu wanatuangusha sana .
Kitu muchungaji ulichokosea sio kwamba tunajitawa,IMF Word Bank ndio wanao tutawala.
Msigwa juma na roza ndiyo imekufikisha hapo,unataka kutuambia hautaweza kungoza kwa juma na roza
Pumbavu wewe, Yani ndio maana tuko hapa tulipo Leo
Samia jafai
Inaonyesha vijana wengi Singida wamekosa elimu, wahaonyeshi kubaini hoja muhimu za ukombozi zinazotolewa na wasomi. Wao kila lijalo ni sawa leo na kesho.
Yes mjukuu wa Mkwawa. Babu yako aliona mbali tena aliwakataa wajeruman. Leo tumekuwa mambumbumbu mpaka tunalamba miguu ya mwaarabu!
Hata kama. Matatizo hayawezi kutatuliwa na akili zile zile zilizosababisha matatizo yenyewe.
Hahahahahaha
Chadema Hanna jipya sera Hanna KZ kutukana msigwa nenda mazabaoni ukahubiri Chadema MNA pata rudhuku ofisi Hakuna nyie wapigaji tu
Kwan chadema hamuwezi kufanyaaa siasa , mpka mtukanee . Mnahizi kutukanaa ndio mtapata kula ACHENI utoto nyie, ndio wajinga
Kama wametukana kawashitaki usivumilie.
Wewe mwenye we somea vitabu hivyo mpaka unasimama hapo Kama siupumvavu ninihiyosasa na kwanza hivyo vitabu sasa hivi havipo ndio mana kumbe umefhulimiwa ushindi kwa sababu ujinga wako