Hivi kumbe bado Kuna watu wanaamini ukristo ni dini? 🤣🤣🤣🤣Watu wanabet kanisani halafu mtu anakwambia hyo ni dini, ALLAH awanusuru maana baada ya kufa ni majuto.
Jamani watu tumefungwa kiasi hiki ,ukiona mtu anatabiri mambo ya timu kushinda huyo ni nabii wa uongo Moja kwa Moja Mungu hawezi kumfunulia mtu vitu vya kijinga kama hivo
Uwe Hai Yesu Yu Hai Mpenja umetisha sana
Amen Baba, thank you 🙏
Huyu ni nabii!🙄👀 mamae Mungu anakaz😢
Nabii wa leo
😂😂😂 Iyo ilikua inajulikana 😂😂
Mtumishi mm ni mama nimepotelewa na mwanangu katka mazingira ya kutatanisha naomba maombi yako juu ya kijana wangu ni mwanafunzi form iv
Atali
Duh
Mmh nabii wa mpira 😂😂😂
Huu sio unabii bali ni utapeli na ujanja ujanja tu wa maneno!
Kanisani si mahali pa kufanya mizaha ila bahati mbaya ugonjwa huu upo pia kwa viongozi wa dini.
Kanisa la mashetani watakokota wengi kuzimu.
Sasa hapo alitabiri nn?
Emen baba
Hivi kumbe bado Kuna watu wanaamini ukristo ni dini? 🤣🤣🤣🤣Watu wanabet kanisani halafu mtu anakwambia hyo ni dini, ALLAH awanusuru maana baada ya kufa ni majuto.
Yaani kama vile watu hawana akili yaani.Huyu wa kumwaminikweli?
upumbavu sana sasa huu ni utabiri gani!?
Mzamiru anaokolewa na kipigo kikubwa yeye anataka aongezewe muda!!
Mambo ya mpira mnaleta kwenye dini hii haifai
Kuna mzani unalemea hahahaha
Huyu ni mhuni tu
Hahaha
Jamani watu tumefungwa kiasi hiki ,ukiona mtu anatabiri mambo ya timu kushinda huyo ni nabii wa uongo Moja kwa Moja Mungu hawezi kumfunulia mtu vitu vya kijinga kama hivo