TIMBWILI LA LUSINDE KWA WAPINZANI BUNGENI
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Mbunge wa #Mtera, #Livingstone #Lusinde akichangia bungeni mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais (Tamisemi) na Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora) kwa mwaka wa fedha 2019/2020, jijini Dodoma leo
Hawa ndo wanasiasa tunawataka tz kama na ww unadata na lusinde gonga like
mung akuweke lusinde yan daaah sema kwer baba mung atakulipa binadamu afadhiliki mzee nakuombea sana🙏🙏
Kama na wewe unatoka jimbo la lusinde gonga like
Una hoja tam Livingston we noma tunakukubali sana.
Uyu jamaaa uwaga Jembeeeeeeee!!!ninamkubari sana kwa asilimia100%
kiukweli lusinde una maneno mazito siku zote ni kiboko miaka yote upo vizuri unashinda kwa hoja
Yuko vizuri
Huyu jamaa namkubali sana kwakuwachalaza
Umejitahidi sana,hongera sana !
aisee huyu jamaa ni professor wa siasa. big up kaka
ccm tunaielewa ......CCM OYEEEEEEEEEEE
Mheshimiwa lusinde heshima Yako maana uko vizuri kwenye hoja
Upo sahihi sanaa vyema
lusinde kibogo yao kiukweli
Umenena vyema
Nimekusoma Lusinde nakuelewaga
We ni kamanda hakikaaaaa
Kweli huu Ni Upinzani udumavu
Udumavu anao mamako.
Safi sana goli 3 bila halafu unashangilia
Kivuli sio kitu kizuri
Ni kweli Wapinzani wamedumaaaa.
Aliedumaa ni mamako na uchi wake.
Bajaji, wape vidonge vyao. Wakishindwa kumeza, wavitapike.
Maendeleo yanapelekwa kwa walipa kodi si kwa wabunge
Gud saana kibajaji
Lusinde we ni kichwa wapinzan watanzania nimalimbuken
Limbuken ni mamako na uchi wake.
Kibajajiiiiii8iiiiiiiiiiiiii oyo oyo oyo
Fabiani ashery mwambungu nipo mabadaga mbarali mwenyekiti wa uvccm kata ya mapogoro nakwerewa Sana rusinde
Huyu Lusinde sio la saba huyu ana PHD ya political science
Tibajukaaa alisemaaa huyu siyo la saba ila alikosaa vyetiii tu ana PhD
Kaka siasa si elimu, siasa ni longolongo,,,,Elimu ni sifa ya nyongeza tu ktk siasa, ndio maana kina bibi Titi walitisha huku wakiwa hawana elimu ya kutisha!!
Hahahaha Lusinde chizi😂😂
Mzee umewanyoosha wape Vidonge!!
Wew katiwe Lumumba punga wew.
@@emmapaul1766 Tuliza akili acha Bangi zako za kuvutia chooni au una ukichaa kichwani watu wanacoment siyo matusi,Matusi yanakusaidia nini apo?
@@felixkamkala3303 unapokuwa umefokonyolewa hapo lumumba akili zinakutoka unakoment kipunga kama ulivyo punga wew.
@@emmapaul1766 Wew si Punga mwenzangu au unajifanya aujui michezo yako ya kuliwa
Kajiona kaongea San
Taarifa za wapinzan spika anazipuuz ccm utawajua 2
Fatilia kwanza kanuni za bunge sio kila siku taarifa huwa zinahusiwa siku zingine kulingana ufinyu wa muda na mbanano wa ratiba spika anaweza kuzuia taarifa zote sio issue ya ccm au chadema mkuu
Kelele tu MB zangu zinaisha.
Hujalazimishwa kuangalia mkuu
Au tatizo letu ni lile ushabiki usio hata na tija yeyote au sisi wananchi ndo wadumavu wa kutoelewa maana ya siasa
Hapa sema utawala wakubabe tu
Sasa kichwa hiki mboe atakiweza
Lusinde ww huna lolote ni fyatuuuuu
kweli ugali unatabisha sana watu
Poyoyo maana nn?.
Hassan poyoyo yaani hazimo kichwani!
Kibajaji wewe ni jembeeeeeeee
Jembeee la mashoga Lumumba.
Akuna utawala bora mwehu ww
Mbona mi sijaona hoja apo ambayo umeiunga mkono apo eti