WIVU WA MUME PART 2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 110

  • @rajabukude-pi6mf
    @rajabukude-pi6mf Рік тому +2

    Alafu nimegunduwa kitu kimoja ukitaka kucheka upunguze stress nenda Kwa clam vevo ila ukitaka kujifunza na kuelimika basi muone mtumzima baba la baba BHAILAM eshima kwako broo nakubali sana nimebadilika kitabia na kiakili kupitia ww kaka

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Рік тому +7

    Kazi nzuri sana Naomi kavaa uhusika vilivyo kabisa safiiiii sana aisee

  • @nonogustave-oq3nq
    @nonogustave-oq3nq Рік тому +2

    Mungu akuwezeshe kwa mafunzo unayotupa Kaka yetu tunakupenda saaana Burundi 🇧🇮 and 🇨🇩 kazi njema kaka

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Рік тому +7

    Hili nifunzo kwa wachungaji wengi sana wengi wamepitia matatzo ya wanandoa kuvuruga nakuvunja ndoa kabisa haswa hawa wachungaji uchwara

  • @emmanuelbenson6149
    @emmanuelbenson6149 Рік тому +2

    Nimempenda mchungaji yuko vizuri

  • @mjukuuclassic7910
    @mjukuuclassic7910 Рік тому +34

    Hivi ndivyo jamii inataman kuona na kujifunza, wanawake 99% hawaeleweki wanatafuta Nini, ibilisi amewachanganya Sana, bailam lete jumbe tupo tyr kujifunza Sana Kaka. Kazi👍👍

  • @rajabukude-pi6mf
    @rajabukude-pi6mf Рік тому +2

    Nakubali sana brother napenda sana kazi zako Mimi naweza kusema ni moja kati ya watu wanao kufuatilia sana aujawai kukosea mungu awe nawe

  • @uwezojeconie5103
    @uwezojeconie5103 Рік тому +7

    Nakupenda sana bailam love from Burundi

  • @noelydembe5040
    @noelydembe5040 Рік тому +4

    Kazi nzuri bailam uzidishe ubunifu ila wewe ni ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @nelsonolola835
    @nelsonolola835 Рік тому

    Bhailam kazi nzuri.. Nmeipenda kazi yako❤️❤️❤️

  • @abrahamngumbao9859
    @abrahamngumbao9859 Рік тому +8

    Very educative,salute from Kenya 🇰🇪

  • @francescafrancesca8901
    @francescafrancesca8901 Рік тому +5

    Bhailam kaka yangu chapa kazi.
    Hakuna mchezo kwa mke wangu.
    Ni kutowa roho tu.
    Hakuna cha nini ao nini,
    Nakuunga mkono 100%.
    Kwa mke wangu afadhali upeleke vyote ila usimchezee.
    Hongera kwa kazi nzuri kaka.

    • @Bhailamkhan
      @Bhailamkhan  Рік тому +2

      Thanks for supporting

    • @uvinza_stationery8
      @uvinza_stationery8 Рік тому

      @@Bhailamkhan napenda kazi zako za saa naomba namba yako nikusapoti kaka

  • @usumanezana1775
    @usumanezana1775 Рік тому +1

    Hahahaha 🤣🤣🤣 mchungaji kasha awezi ku rejea mara nyingine

  • @hemedbakari8997
    @hemedbakari8997 Рік тому +1

    Bhailam unaweza sana mdogo wangu tumepitia sana hayo maisha

  • @Anithabeniaa
    @Anithabeniaa Рік тому +5

    Jamani mmecheza aise mnajua Mungu awatangulie

  • @JacobMollel-c6x
    @JacobMollel-c6x Рік тому

    Duuh!!! hajajikojolea kwelii😂😂😂😂

  • @PauloThasusana-cg1iz
    @PauloThasusana-cg1iz 9 місяців тому

    kazi mzuri✌️

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Рік тому +6

    Another kanumba nakuona kabisa ndani ya huyu jamaa

  • @labelleshashank8852
    @labelleshashank8852 Рік тому

    😂😂😂😂kikombe icho baba🇧🇮🙌😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @MwitaMgaya
    @MwitaMgaya Рік тому

    Uko vizuri Sana. Unafundisha watu waelewe

  • @yasinramadhan7315
    @yasinramadhan7315 Рік тому +1

    Nakubali sana kazi zako ukiwa kauzi noma unyama mwingi 💪💪

  • @johnchimwaga26
    @johnchimwaga26 Рік тому

    Good massage, hakika hii ni zaidi ya zote ambazo umewahi kuzipika. Hiki chakula kimeva sawasawa. Be blessed brooo

  • @amosidaniel1830
    @amosidaniel1830 Рік тому

    Mwenyezi mungu awabariki san kwenye kazi yenu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @WastaraShabani
    @WastaraShabani 8 місяців тому

    😂😂 mchungaji kimekutaa kitu

  • @حليمهالبلوشي-ز5ث

    Ongereni sana wapenz kwa mafuzo mazuri sana ubarikiwe wote ❤️💯❤️🤣😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @patrickngugi2046
    @patrickngugi2046 Рік тому

    Naomi and Bhailam.... very good combination... keep it up.

  • @mohdleyla-sd3dr
    @mohdleyla-sd3dr Рік тому +1

    Kaz nzur sana ndada angu asee saivi umependeza z sana

  • @japhethelijah4252
    @japhethelijah4252 Рік тому +2

    Sijuh namimi nimbadilikie mke wangu iv mamamaamamaaaaaE

  • @MariamuSaed-tk4nr
    @MariamuSaed-tk4nr Рік тому

    Naomi ..mwana kuyafind mwana kuyageti😂sasa umeyatimba 😂

  • @MOPEBLETv657
    @MOPEBLETv657 Рік тому +4

    So educative mr. Billam, I salute you

  • @KassimMajaliwa-de5oo
    @KassimMajaliwa-de5oo Рік тому

    Imewezaa bhailam love mob kwko..nikiwa Kenya

  • @sammwalongo2099
    @sammwalongo2099 Рік тому

    Nakubali bailamu kazi nzuri Sana kaka eee si watka wivu huo chukua sas

  • @mariamkenya3268
    @mariamkenya3268 Рік тому +1

    Mchungaji ana ogopa kifo😂😂😂😂😂

  • @leahsamson7059
    @leahsamson7059 Рік тому +1

    Kaz nzur. Cyo kwa wivu huo ss😂😂

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Рік тому +3

    Ujumbe mzuri sana kwa Jamii

  • @madahaimani1258
    @madahaimani1258 Рік тому +2

    Jamaa anajua sana kuact seen ya kuwa mkali,kauzu

  • @mathayomagoti7909
    @mathayomagoti7909 Рік тому +3

    Kaka pambana kazi nzuli

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 Рік тому +3

    Namie nimuke wamutu mnieshim nakama kweli mnipe llllllik

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Рік тому

    Bailamu duuuuh hiyo mihasira punguza

  • @bayahamisi
    @bayahamisi 6 місяців тому

    Tuna taka wivu was kiasi😢😢

  • @mastaplan
    @mastaplan Рік тому +1

    Wanawake wa akili moja kichwani
    Sasa sisi wanaume tusipo ishi nao kwa akili huwa wanatuvuruga hawa viumbe......

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Рік тому +2

    Vile tunatakaga kuwajua waume zetu wapoje...ndo hiki ss mdada alikuwa anahisi hapendwi na mmewake... mchungaji icho kikombe hakikuepuki shenzi ww unafikir iyo UTI ukinywa maji mengi yaisha iyo kit ya moto babaaaa

  • @evansmakoza4573
    @evansmakoza4573 Рік тому +1

    Bairan, , , motoo🔥🔥🔥, , , kwanza akiungana na vai

  • @ااا-ش9س6ث
    @ااا-ش9س6ث Рік тому

    Apo unaambia muwe makini na marafiki wenu ju marafiki niwa manafiki xana❤❤❤

  • @FnellyB
    @FnellyB Рік тому

    Yani kaka ambi unibadilika kabisa ukalipashi name kimakonde ila mungu akupe nguvu uendele kutupa filam

  • @juzelujo2169
    @juzelujo2169 Рік тому +2

    Bailam unaweza kuigize aseee...duhhh

  • @neemamosses9259
    @neemamosses9259 Рік тому +2

    Nakupenda bailam

  • @josephmirambo
    @josephmirambo Рік тому +2

    Mzigo kwa hewa nawakubariiiiiì

  • @akimdollarmusic6304
    @akimdollarmusic6304 Рік тому +1

    Hili ombi Niuoga jamani Duuhhhhhhhhh
    It's your boy Akim dollar again

  • @thobiasonesmo-md9cn
    @thobiasonesmo-md9cn Рік тому

    Ok mambo vp

  • @patrickmbaji2737
    @patrickmbaji2737 Рік тому

    Nakuaminia mkali Kwa kazi nzuri 🇰🇪🇰🇪

  • @aminabashirmohamed5752
    @aminabashirmohamed5752 Рік тому +1

    Hapo kwamchungaji kutolewa bastola😂😂😂

  • @footballplacee
    @footballplacee Рік тому

    Nakubali Sanaa kazi zako bro, you're the best

  • @lindagrace1597
    @lindagrace1597 Рік тому

    Tunawapenda sana. Tukiwa Burundi

  • @ombidiz_tz8888
    @ombidiz_tz8888 Рік тому +2

    Bhailam ww ni kuma duh? Kwa #Ndoige ulikuwa unateseka huku uko mafia we we ni top in top dadekiiii🙌🙌🏃

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 Рік тому +1

    umetisha sana

  • @pascalmusana2137
    @pascalmusana2137 Рік тому

    Kali sanaa🔥🔥🔥🔥❤️🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌

  • @renatusernest2272
    @renatusernest2272 Рік тому +2

    Amen mchungaji

  • @rahelihaule
    @rahelihaule Рік тому +2

    Mchungaji anasali Sala ya mwisho

  • @Solanjerecho
    @Solanjerecho Рік тому

    Nihatari Kweli 😂😂😂😂😂

  • @OfficiaGfilm
    @OfficiaGfilm Рік тому +3

    Atali na nusu ❤

  • @minanietienne-sz8xu
    @minanietienne-sz8xu Рік тому

    Tunakukubari Sana bhailam

  • @labelleshashank8852
    @labelleshashank8852 Рік тому

    Nawapenda sana guys ❤

  • @Kenyaairforce-xd7md
    @Kenyaairforce-xd7md Рік тому +2

    Uko sawa baba am from kenya

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Рік тому +2

    Luv u bhailam

  • @ibrahmseif-rx8yq
    @ibrahmseif-rx8yq Рік тому +6

    Leo ndo wa kwanza naombeni like zenu

  • @oceanlove6691
    @oceanlove6691 Рік тому +2

    Good work

  • @labelleshashank8852
    @labelleshashank8852 Рік тому

    Mbona stive aonekani?

  • @najmanasoro1426
    @najmanasoro1426 Рік тому +1

    Saut za wachungaji za kinafk

  • @oscarokumu1186
    @oscarokumu1186 Рік тому

    Wanawake wote wajifunze kutoka Kwa hii filamu

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 Рік тому

    Kazi mnzuri jamani

  • @ivanokillerfadhili525
    @ivanokillerfadhili525 Рік тому +2

    Mzeee wa hisia

  • @ashaamran4879
    @ashaamran4879 Рік тому +2

    Safiiii🥰

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 Рік тому +2

    🤣🤣🤣🤣🤣mchungaji

  • @mafunitv1445
    @mafunitv1445 Рік тому +3

    ❤❤❤❤

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Рік тому

    haya sasa apo Kwanza ndo wivu una anza huja koleya

  • @neemamosses9259
    @neemamosses9259 Рік тому

    Punguza hasira basi Jaman

  • @mussamadua1079
    @mussamadua1079 Рік тому +2

    Safi

  • @detabepe5022
    @detabepe5022 Рік тому

    Nomaaa

  • @lucykapinga369
    @lucykapinga369 Рік тому +1

    safi

  • @asdfhdv9230
    @asdfhdv9230 Рік тому

    dad tuliya ivo ivo umetak wivu 😅😅😅

  • @mwanamack640
    @mwanamack640 Рік тому

    💥💥

  • @isidoreyezunkiza-5048
    @isidoreyezunkiza-5048 Рік тому

    Tuongeze basi

  • @nyoksheaven2031
    @nyoksheaven2031 Рік тому +5

    Let's reach this guy 100k subscribers 🤗🤗he does wonders👌👌🔥🔥

  • @labelleshashank8852
    @labelleshashank8852 Рік тому

    ❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🙌👏👏👏

  • @hanifahanifa7708
    @hanifahanifa7708 Рік тому +1

    Allah naomba unipe mume asiye na hasira kama bhailam😂😂😂😂

  • @Sadomatiasi
    @Sadomatiasi Рік тому

    Hi

  • @maryamhamza-im6ix
    @maryamhamza-im6ix Рік тому

    🥰🥰🥰

  • @kassimdadi5406
    @kassimdadi5406 Рік тому +1

    Good message

  • @shamsahasan2748
    @shamsahasan2748 Рік тому

    Love bailam

  • @عبادالبلوشي-ي7غ

    😂😂😂😂😂

  • @master_filmz
    @master_filmz Рік тому

    napenda sana mnachofanya bro

  • @master_filmz
    @master_filmz Рік тому

    ilo ni funzo kaka

  • @Da.angelina
    @Da.angelina Рік тому

    ❤❤❤❤