Alafu nimegunduwa kitu kimoja ukitaka kucheka upunguze stress nenda Kwa clam vevo ila ukitaka kujifunza na kuelimika basi muone mtumzima baba la baba BHAILAM eshima kwako broo nakubali sana nimebadilika kitabia na kiakili kupitia ww kaka
Hivi ndivyo jamii inataman kuona na kujifunza, wanawake 99% hawaeleweki wanatafuta Nini, ibilisi amewachanganya Sana, bailam lete jumbe tupo tyr kujifunza Sana Kaka. Kazi👍👍
Bhailam kaka yangu chapa kazi. Hakuna mchezo kwa mke wangu. Ni kutowa roho tu. Hakuna cha nini ao nini, Nakuunga mkono 100%. Kwa mke wangu afadhali upeleke vyote ila usimchezee. Hongera kwa kazi nzuri kaka.
Vile tunatakaga kuwajua waume zetu wapoje...ndo hiki ss mdada alikuwa anahisi hapendwi na mmewake... mchungaji icho kikombe hakikuepuki shenzi ww unafikir iyo UTI ukinywa maji mengi yaisha iyo kit ya moto babaaaa
Alafu nimegunduwa kitu kimoja ukitaka kucheka upunguze stress nenda Kwa clam vevo ila ukitaka kujifunza na kuelimika basi muone mtumzima baba la baba BHAILAM eshima kwako broo nakubali sana nimebadilika kitabia na kiakili kupitia ww kaka
Kazi nzuri sana Naomi kavaa uhusika vilivyo kabisa safiiiii sana aisee
Thanks for supporting
Mungu akuwezeshe kwa mafunzo unayotupa Kaka yetu tunakupenda saaana Burundi 🇧🇮 and 🇨🇩 kazi njema kaka
Hili nifunzo kwa wachungaji wengi sana wengi wamepitia matatzo ya wanandoa kuvuruga nakuvunja ndoa kabisa haswa hawa wachungaji uchwara
Nimempenda mchungaji yuko vizuri
Hivi ndivyo jamii inataman kuona na kujifunza, wanawake 99% hawaeleweki wanatafuta Nini, ibilisi amewachanganya Sana, bailam lete jumbe tupo tyr kujifunza Sana Kaka. Kazi👍👍
Thanks for supporting
@@Bhailamkhan kaka inaonekana umesomea sanaa hujakurupuka
@@Bhailamkhan bro nakufatilia Sanaa bigup
Hakika
Nakubali sana brother napenda sana kazi zako Mimi naweza kusema ni moja kati ya watu wanao kufuatilia sana aujawai kukosea mungu awe nawe
Nakupenda sana bailam love from Burundi
Kazi nzuri bailam uzidishe ubunifu ila wewe ni ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Bhailam kazi nzuri.. Nmeipenda kazi yako❤️❤️❤️
Very educative,salute from Kenya 🇰🇪
Bhailam kaka yangu chapa kazi.
Hakuna mchezo kwa mke wangu.
Ni kutowa roho tu.
Hakuna cha nini ao nini,
Nakuunga mkono 100%.
Kwa mke wangu afadhali upeleke vyote ila usimchezee.
Hongera kwa kazi nzuri kaka.
Thanks for supporting
@@Bhailamkhan napenda kazi zako za saa naomba namba yako nikusapoti kaka
Hahahaha 🤣🤣🤣 mchungaji kasha awezi ku rejea mara nyingine
Bhailam unaweza sana mdogo wangu tumepitia sana hayo maisha
Jamani mmecheza aise mnajua Mungu awatangulie
Thanks for supporting
Duuh!!! hajajikojolea kwelii😂😂😂😂
kazi mzuri✌️
Another kanumba nakuona kabisa ndani ya huyu jamaa
😂😂😂😂kikombe icho baba🇧🇮🙌😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Uko vizuri Sana. Unafundisha watu waelewe
Nakubali sana kazi zako ukiwa kauzi noma unyama mwingi 💪💪
Good massage, hakika hii ni zaidi ya zote ambazo umewahi kuzipika. Hiki chakula kimeva sawasawa. Be blessed brooo
Mwenyezi mungu awabariki san kwenye kazi yenu 🙏🙏🙏🙏🙏
😂😂 mchungaji kimekutaa kitu
Ongereni sana wapenz kwa mafuzo mazuri sana ubarikiwe wote ❤️💯❤️🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
Naomi and Bhailam.... very good combination... keep it up.
Kaz nzur sana ndada angu asee saivi umependeza z sana
Sijuh namimi nimbadilikie mke wangu iv mamamaamamaaaaaE
Naomi ..mwana kuyafind mwana kuyageti😂sasa umeyatimba 😂
So educative mr. Billam, I salute you
Imewezaa bhailam love mob kwko..nikiwa Kenya
Nakubali bailamu kazi nzuri Sana kaka eee si watka wivu huo chukua sas
Mchungaji ana ogopa kifo😂😂😂😂😂
Kaz nzur. Cyo kwa wivu huo ss😂😂
Ujumbe mzuri sana kwa Jamii
Jamaa anajua sana kuact seen ya kuwa mkali,kauzu
Kaka pambana kazi nzuli
Namie nimuke wamutu mnieshim nakama kweli mnipe llllllik
Bailamu duuuuh hiyo mihasira punguza
Tuna taka wivu was kiasi😢😢
Wanawake wa akili moja kichwani
Sasa sisi wanaume tusipo ishi nao kwa akili huwa wanatuvuruga hawa viumbe......
Vile tunatakaga kuwajua waume zetu wapoje...ndo hiki ss mdada alikuwa anahisi hapendwi na mmewake... mchungaji icho kikombe hakikuepuki shenzi ww unafikir iyo UTI ukinywa maji mengi yaisha iyo kit ya moto babaaaa
Bairan, , , motoo🔥🔥🔥, , , kwanza akiungana na vai
Apo unaambia muwe makini na marafiki wenu ju marafiki niwa manafiki xana❤❤❤
Yani kaka ambi unibadilika kabisa ukalipashi name kimakonde ila mungu akupe nguvu uendele kutupa filam
Bailam unaweza kuigize aseee...duhhh
Thanks for supporting
Nakupenda bailam
Mzigo kwa hewa nawakubariiiiiì
Hili ombi Niuoga jamani Duuhhhhhhhhh
It's your boy Akim dollar again
Ok mambo vp
Nakuaminia mkali Kwa kazi nzuri 🇰🇪🇰🇪
Hapo kwamchungaji kutolewa bastola😂😂😂
Nakubali Sanaa kazi zako bro, you're the best
Tunawapenda sana. Tukiwa Burundi
Bhailam ww ni kuma duh? Kwa #Ndoige ulikuwa unateseka huku uko mafia we we ni top in top dadekiiii🙌🙌🏃
Thanks for supporting
oe mbna matusi
umetisha sana
Kali sanaa🔥🔥🔥🔥❤️🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌
Amen mchungaji
😂😂😂😂😂
Mchungaji anasali Sala ya mwisho
Nihatari Kweli 😂😂😂😂😂
Atali na nusu ❤
Tunakukubari Sana bhailam
Nawapenda sana guys ❤
Uko sawa baba am from kenya
Thank
Luv u bhailam
Leo ndo wa kwanza naombeni like zenu
Good work
Mbona stive aonekani?
Saut za wachungaji za kinafk
Wanawake wote wajifunze kutoka Kwa hii filamu
Kazi mnzuri jamani
Mzeee wa hisia
Safiiii🥰
🤣🤣🤣🤣🤣mchungaji
🤣🤣🤣biblia iwe bulletproof
❤❤❤❤
haya sasa apo Kwanza ndo wivu una anza huja koleya
Punguza hasira basi Jaman
Safi
Nomaaa
safi
dad tuliya ivo ivo umetak wivu 😅😅😅
💥💥
Tuongeze basi
Let's reach this guy 100k subscribers 🤗🤗he does wonders👌👌🔥🔥
Big up
❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🙌👏👏👏
Allah naomba unipe mume asiye na hasira kama bhailam😂😂😂😂
AngalIia mwazon utaelewa pat one
Hi
🥰🥰🥰
Good message
Love bailam
😂😂😂😂😂
napenda sana mnachofanya bro
ilo ni funzo kaka
❤❤❤❤