MUME WANGU
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- #Bhailam#Mbwela#naomi
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Karibu kujiunga na group la What's app
BONYEZA LINK 👉👉chat.whatsapp....
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : www.facebook.c...
Karibu kujiunga na group la What's app
BONYEZA LINK 👉👉chat.whatsapp.com/Jqzzxa1X8Qz4r2GCUgyS1i
Subscribe hapa :
/ @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : facebook.com/profile.php?...
Link inagoma mzee
Mbona kwangu haikubali jmn
Hongera brother kazi nzuri
Nyie ni noma bailam we ni hatari
Oya wewe bhailam mnaish mitaa gn nyie na crue yenu??
ANOTHER BANGER 🙌🏽🙌🏽
Good
❤
Claim na BHAILAMU kujeni kenya aky
Kwa mandugu zangu ambao hawaja olewa wala kuoa tujifunzeni mengi sana kwenye kipindi hichi kabla ya kuingia katika ndoa yako hakikisha kama kuna machafu ambayo umeyatenda au unaendelea nayo naombeni muiwache kabla ya kuingia kwenye ndoa,haswa mm nikiwa mmoja wenyu nimejifunza mengi na ninazidi kujifunza mengi sana kabla niitwe mke wa mtu maana jina hilo ni jina la heshima sana,nawapongezeni sana tena sana Mr Bailam mungu aibariki kazi ya mikono yenyu,kipindi kitamu na bado ni mafunzo kwa binadam woote😍❤❤love you guys
Amen
Kazi mzuri sana
Hiii sio KAZI ya mikono Yao Bali ni KAZI ya midomo yao mungu ibariki Sana
Nimejifunza kitu dugu zangu wa Tanzania much love from Kenya guys like back 😢❤
Tatizo la bhailam unatuletea movie nzuri afu muendelezo inachelewa sijui unakwama wapi mi nafatilia Sana season zako Ila unanikatisha tamaa muendelezo hamna
Sasa kama hii unaona unamuendelezo kaka si imeisha iyo
Sawa imeisha Ila Kuna season nyingi mama mkwe bi tausi namchukia mke wangu Hadi leo muendelezo hamna
@@hamisijongo5818 tunaogoja sana part five watching from Qatar 🇧🇭🇧🇭
Daaaah kaka mnajuwa mpaka mnajuwa tena hii cinema kali sana bonge la funzo Kwa walawitiji big up
Mmh! Tena kinyume na maumbile aiseee! Inauma
Mbwela unajua sana
Kazi nzur na inafundisha sana hongereni
Nakukubali sana BAHILAM
Bhailam hongera sana unatupa funzo wanandoa , Mungu akupe uzima na afya tele na kipaji chako kiendelee 🙏🙏🙏🙏
Mungu awasamehe BHAILAM $ ANITHA
Bhailam na timu yako you are the best.
Kaka yangu hongera sana,
Kazi nzuri,
Sio vizuri kumuumiza mwenzio.
Mungu akikupa mwanamke haukusaliti kwa nyakati tunao ishi kwa sasa, muheshimu.
Mpe heshima yake, mpende na umubembeleze.
Kuwa karibu nae kwa hali na Mali.
Mungu awabariki.
Good job 👍
Fundisho kubwa sana
Amen
Nimependa hisia mlizo Nazo kwenye hii muvi , kazi nzuri sana sana
Bro baylam e ase mko pw San huyo jamaa rasi nimuigizaji mzur San Yan kiujumla mko pw San especially mm nakukubali San bro👊from arush tunawakubal San
High performance, chemistry balanced.
Mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.... sio mwanamke hivunja ndoa yake🥂
Kazi nzuri comedy zenu zinatufunza kitu
Kazi. Mnzuri sana.ongera washiri wote
Mmakonde
Mashaailaa.kazi mnzuri.sana.ongereni.sana.nankipenda iko kitanda
Kazi inamafundisho
Mengi.mazuri
Imeisha vizuri bhailam iendelee ❤🥰🥰🥰👌👌👌👌💯congratulation
Nimekufuatilia sana mzee baba Bhailam unajua mno na unahusika kila mahala ipasavyo na unauvaa uhusika kiasi kwamba naona tuzo inakufaa kabisa ya MUIGIZAJI BORA WA KIUME UPANDE WA TIKTOK
Nmejifunza k2 kwenye hii movie ya bailamu kuwa c wanawake Wenyewe watukutu hata sisi wanaume pia n wasumbufu! Huyu dada alikuwa anampenda sana baila! Na pia alitaka kuolewa lakn baila alikuwa hajitambui kwenye hii movie!! Hongera sana baila umen2funza wanaume kuwa uc2mie mwanamke kinyume na maumbile!
Kazi nzuri sana inafunza sana
bailam rudi kwa yule jamaa umuombe msamaha. Kuna kesho kwa mungu
Atarudi vipi na wanaigiza hili ni funzo kwetu sisi watazamaji na pia ni mambo ambayo yako kwenye hii jamii na kizazi cha sasa kwa ujumla 💯💯💯
🤣🤣🤣kjn unahisia qali sana
Master of feeling movie keep it up ✌️✌️
Huyu huwa anateka kabisa hisia za mtazamaji wapo vizuri funzo zuri
Kazi mzur M/ mung azid kuwatia nguv kipaj kinaonekan
Kaz nzur wote🔥
Bairam huyo ni mwamba utapingwa 😅😅😅😅 umewazowea wale wengine..........ama uongo mashabiki wenzangu
🤣
Bhailam unajuw cheza san 👌👌👌
Team bhailam nawakubali sana 👍
Katika waigizaji...Bhailam you're crowned to be my mentor,, if this is how I feel commenting,,its beyond explanation meeting you live
😂😂😂 duuu atar dada angu Kaz nzur
Weeh imenikumbusha ushungu sana nliopitia😢😢
Mwamba anajua kulia saaan kuna yeye na malaya ndoige lol they are the best kwa mambo ya kulia anyway did u kill it bruh one u hav to do is just to keep up I bet god shall raised ur job up
Nice kazi nzuri sana inafunza
God bless the work of your hands..mnatufundisha sana
bint katisha saana,,, Allah umuongoz
Kuna muda bailam nakuona kama kanumba ila daaah unajua mwamba
Mombasa 001 Kenya likes apa
Bailam have people who knows to act and they have points on there work i love u bailam really u make me to forget who i am in my life but u increase my capacity ❤❤❤
Somo zuri sana kwa wanandoa wote thanks bhailam so keep it up broo
Another big content
hongera saana bro ni Christophe dayance of Congo Lubumbashi
Atali na nusu
Bhailam hakika movies zako zaelimisha, asante sana kwa kazi Mzee 🙏.
Good job my brother Bhailam 💪💪💪
Napendezwa sana na movie zako from Kenya 🇰🇪
Anitha kwa mda mfupi umeanza kuja juu pafomance Yako Sasa hivi na kwenye msela kapenda kuna tofauti kubwa sana pambana
Great bhailam from Kenya
Bailam unajua kulia sana ❤❤😂😂
Bairam kaz zako nzur babu endelea kutupa comedy
Kazi nzuri sana kaka Allah akulinde🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
😂😂😂😂 et nilkuwa nanana nakucheat 😂😂 mbwa bhailam😂😂
Big up ✌️✌️
Bro hongera Sana kwa kupitia njia ya vumbi Naya lami
Hakika mnajua jamani
Nakubali sana kazi yako Bhailam 🎉
Good job ❤❤❤ we love you all ❤❤❤ keep it up guys 🎉🎉🎉
Bhailam very serious man daah! Big up sana brother pamoja.
This guy this guy, bhailam
Courage vraiment
Hebu shika talaka nendaa,nendaa!mambo uliotenda kuyavumilia nimeshindwa,oo nendaa!nendaa hata kama zamani nilipenda😂
Duuh bhailam punguza ukali mwamba
Bhailam at it again 🎶
Mbwela nibalaaa iyongoma atamadebe hasogei bro mimi nimsanii kama ww alafu nishabik yako burundi tunafuatilia san kaz zako
Nice Work 👏🏻👏🏻👏🏻
Nakubali kazi kaka
Dah unaweza kutoa machozi
Mke mwenyewe malaya😂😂 Kwani hajui km ameolewa
Kazi nzuri comedy zenu zinatufunza kitu! Hongera Sana! On vous regarde depuis Mayotte.
Mko sawa
Naomi naww unakuj moto wakuotea mbali safi sana
Mmetisha sana❤
Nikweli
Mupe usiya
Unamwambiya
Amuogope
Mungu usiya muzuri unapa
Mafuzo ayo
Anita na wewe humo unamtesa mwezako tulia na mwezako piga hata mguu mmoja basi ila mnajua hongereni mtafika mbali sana
Mwenye makosa ni mwaume wakati akienda kuhanya akuwabia mke wake akishapata shinda najifanya mgojuwa me nakuacha ukiumia naenda nikiebdaga
Fuzo kamili hili 🔥💖
Hap kwenu action 😂😂mmezidunda kweli nyie mbwa
Nice work Mr.bhailan
Mashallah kazi nzur
Nice
Imekaa powa big up mnoooooo!!
Chombo Kwa hewa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Noma sana
Bombastic movie, I wartch
Yaani mmeanza kutisha sasa,kumbe Naomi naye anayaweza sasa,kabisa.
Am fifth to comment I appreciate you Bhailam . Please comment if u like It❤
iyi nikali, tatizo uyu jama mukonapupa nafasi ya kuongea sana kamamuvi nanikomedi apunguze kuhongeya
Walah nimelia 😭😭
Nyinyi mwatosha kutoa movie sasa kama zile za 🇳🇬
Kazi nzuri hongereni
Kazi safi ❤❤❤❤
Better
Atar na nusu naomy aikuwez 😂
Part 2 tunaomba baada ya kuachwa uliishije
Kazi MZURI Sana.
Tunawapenda sana
Mke wa mtu ni zumu 😭
Nakubar wewe namba 1🎉
Inauma 😢❤❤❤