MWANASHERIA WA FIFA AISHUKIA TFF/GSM KUDHAMINI VILABU SABA SIO LA KUPUUZWA/SIMBA WANA HOJA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 169

  • @hamisally9255
    @hamisally9255 23 дні тому +3

    Mwanasheria uko sahii tff wanapewa bahasha na huyo gsm

  • @justusn.timothy3587
    @justusn.timothy3587 25 днів тому +6

    TFF Wanatakiwa kujua kuwa iwapo hawana Kanuni za kusimamia Udhamini wa Club, zile za CAF na FIFA zinatumika kama "Mwongozo".

  • @HawaMkomwele
    @HawaMkomwele 21 день тому +1

    TFF leteni kanuni inayoruhusu mdhamini mmoja kudhamino vilabi zaidi ya 6 maana mmesema hakuna kanuni inayomzuia mdhamini kudhamini vilabu 6

  • @maximillianmubashi7328
    @maximillianmubashi7328 25 днів тому +4

    Kwa jambo hili kusema kweli kwa akili ya kawaida tu lazima TFF walitazama. Hata kama sheria zao zinaruhusu itakuwa ni kati ya sheria mbovu ilekebishwe

  • @KASSIMSHEHEMBA
    @KASSIMSHEHEMBA 25 днів тому +2

    Kuna upangaji wa matokeo ,ndio maana mtu anasema Yanga itakuwa bingwa Tena anajua ana uhakika kupata point 36 Kwa hizo timu kabla ya ligi kuanza rushwa hakuna ligi hapa

  • @mirajikawimba8648
    @mirajikawimba8648 25 днів тому +2

    Tff.apo mmebolongaa Sana .katba hiyo mmeipata wapi.?!

  • @AlonimwelemiJumla
    @AlonimwelemiJumla 25 днів тому +1

    Vilabu vingi havipingi kwasababu avina ushindani wakuchukua kombe isipo kua zinapingana kuto shuka daraja anae umia ni simba anae gombania ubingwa tff kunanuka hongo za gsm tu

  • @DaudLucas-qj3mp
    @DaudLucas-qj3mp 25 днів тому +1

    Tff acheni kutuhalibia ligi mtu atazaminije timu saba

  • @pdaxofficial3144
    @pdaxofficial3144 17 днів тому

    Watanzania tuliowengi bendera fuata upepo bayarne Munich kule ujerumani wamedhaminiwa na tajiri mmoja timu kumi ktk ligi yao ya ujerumani, mnasema GSM kwa kuthamini timu saba mbona kawaida sana hiyo, Huyu ni mdhamini sio mmiliki wa Tim, Fuatilieni mpira wa wenzetu sio kupoteza muda na kutumalizia bando zetu kusikiliza ujinga..

  • @EdsonRaphael-l5x
    @EdsonRaphael-l5x 25 днів тому +2

    Kwakwel uzamin wa gsm kwanamna yoyote kuzamini liki yetu haufahi

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 11 днів тому

    Mwanasheria jiulize kama Yanga inamilikiwa na GSM ni Sawa ila GSM sio mmiliki wa yanga

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 25 днів тому +1

    Hivi Ile Sheria ya kunyang'nywa point IPO?Kama IPO tff wasnze KAZI,Msimu huu😂😂😂

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l 25 днів тому +2

    Tatizo wote mlioandika maneno ya walaka wasenge wa jangwani hamna hoja ya msingi zaidi ya kuifunga simba, mnanunua kuhonga wachezaji wa timu, umenunua bidhaa za MO, atauza imeacha kununua atauza, sisi simba hatuna akili kama zenu za kususia bidhaa ya gsm, ila nyinyi wasenge malaya mtajijua wenyewe na Roho zenu mbaya kama sumu

    • @drjbmsige4098
      @drjbmsige4098 21 день тому

      Yaani kama hamsajili wachezaji mnajificha kwenye uwekezaji wa GSM haki ya Mungu mtafungwa hadi mjambe moto

    • @SospeterJackson-v9o
      @SospeterJackson-v9o 15 днів тому

      Marefa na Tff wote ligi iongozwa kwa rushwa

  • @HawaMkomwele
    @HawaMkomwele 21 день тому

    Mwanasheria hao TFF wanapewa bahasha hao

  • @mwana-dodomamedia9111
    @mwana-dodomamedia9111 17 днів тому

    Kwakawaida ukiona mashabiki fulani wanafurahia huu udhamini wa timu 7, ujue wanafaidika na hili

  • @KASSIMSHEHEMBA
    @KASSIMSHEHEMBA 25 днів тому +1

    Tff hii imechoka imejaa rushwa uzamini timu sita aibu tupu

  • @BorsaAktar-r6c
    @BorsaAktar-r6c 18 днів тому

    Young Ruth Davis Cynthia Gonzalez Brian

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 22 дні тому +1

    Jibu sahihi la kwa nini Simba wanalalamikia udhaminiwa GSM ni kwamba Simba ndio mpinzani mkuu wa Yanga. Yaani unategemea hizo klabu zingine zitalalamika wakati si wapinzani halisi wa Yanga

  • @shabanmwegole189
    @shabanmwegole189 20 днів тому

    Andaa timu yako vizuri kupambana na yanga

    • @mwana-dodomamedia9111
      @mwana-dodomamedia9111 17 днів тому

      Tunaandaa timu ya kuchukua ubingwa wa shirikisho siyo kupambana na timu isiyowahi kuingia hata top ten Africa 😂😂😂😂😂😂

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 25 днів тому +1

    Umetapeliwa Nini na wew mbona mihemko. njoo ue kiongozi wa simba

  • @JonathanMGAIWA-ow4py
    @JonathanMGAIWA-ow4py 25 днів тому +1

    Simba ndio mlengwa wa huu utapeli wengine wanatumika tuu

  • @janeshija6638
    @janeshija6638 25 днів тому +3

    Ujanja wa GSM ni kupata points 18 kwenye hizo timu. K.M. ziifunge Simba kwa nguvu zote kwa Yanga zilegeze isifungwe ili wachukue hizo points 18 kwa hizo timu 6. Huo no ujanja na kujifanya hizo timu zisiweze kusonga mbele. Huo ujanja SIMBA imeuona. Hizo timu jitahidini muifunge YANGA msikubali kifanywa MATEJA kwa YANGA.

    • @amourgwabananga1543
      @amourgwabananga1543 25 днів тому

      Kwahiyo nasimba ili rgeza maana hata yenyewe imewafunga!

    • @amourgwabananga1543
      @amourgwabananga1543 25 днів тому

      CHizo sio hoja gsm toeni uthamini acheni uswahili!

    • @BoniphasLukas-c3c
      @BoniphasLukas-c3c 25 днів тому

      ​@@amourgwabananga1543wezombi kwel

    • @ibrahimmtoni1863
      @ibrahimmtoni1863 25 днів тому

      Ajabu na ukweli Simba wameshindwa kuifunga yanga wanawaambia timu zingine zijitahd kuifunga yanga ujinga wa kiwango cha juu kbs

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 25 днів тому +1

      TIMU 7 SIO 6 POENTS 42 WASHENZI SANA MATOPOLO

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 25 днів тому +1

    ALAFU HATA FIFA HIYO UNAYOSEMA UNAKUWA MUONGO MAANA FIFA WANAKATAZA MTU AU KAMPUNI MOJA KUMILIKI TIMU ZAIDI YA MOJA KTK LIGI MOJA NA SI KUDHAMINI....HIVY0 HAYA YOTE NI MANENO YA WAKOSAJI

  • @kazimotomaswi9700
    @kazimotomaswi9700 25 днів тому +1

    Ingekua ni Mo serikali ingeongea maana hawana shea

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp 22 дні тому

    Babu usieleze sana kiufpii GSM ananunua vilabu hakuna sheria hiyo kupata matokea na katoa rushwa TFF wanashirikiana lkn tumejiona ni jins gan anapat matokea

  • @munirramadhan4435
    @munirramadhan4435 20 днів тому

    Hii nchi ina ujinga mwingi sana Simba na yanaga walikua mzamini wao ni Sport pesa milikua wapi nyie wajuzi wa sheria

  • @adewaleijele
    @adewaleijele 26 днів тому +2

    watu hawapendi ukweli maana hapo kwenye hoja ya mdhamini haipo sawa kuna conflict of interest

  • @munirramadhan4435
    @munirramadhan4435 20 днів тому

    Uwoga wenu ni Yanga sio kanuni wapuuzi Azam kazamin ligi yote mbona ubingwa unamtoa jasho achukue ubingwa kaweka bikin 360 na anatimu kwenye ligi vipi hapo wapiga kelele Azam hawamuoni😅😅😅😅

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 25 днів тому +1

    Tatizo la nchi etu kila sehemu watu wako kimaslai Tff wanajua wanajua wanachukua hela kwa Gsm ndomana wapokimya wameziba maskio

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 26 днів тому +1

    MwanasheriUmeongea VIZURI sana MPIRA WETU SASA RUSHWA IMEKITHIRI.MAZINGIRA YAPO WAZI TAZAMA SIKU YA KUTAFUTA MFUNGAJI BORA WA LIGI YETU.GSM,TFF SASA BINGWA HANAJULIKANA.

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 25 днів тому +1

    Huo ni ukweli kabisa, hapo kazima kuwepo na conflicts of interest

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 22 дні тому

    Hatuna imani na tff hata kwenye swala la lawi wamechangia kisa wao ni costali

  • @drjbmsige4098
    @drjbmsige4098 21 день тому

    Mwanasheria mpuuzi tuu naye kwanini mlalamishi ni simba tuu.. kwanini hajadiliwi azam?

  • @EstherMulinga
    @EstherMulinga 25 днів тому +2

    Wanasimba hangaikeni sn yangu bingwa itaendelea kuwachapa haiteteleki na vijimaneno

    • @Shemahonge-ku7xx
      @Shemahonge-ku7xx 25 днів тому

      Kwauchawi nakuzamini vilabu vingi mpange matokeo kwakuwa nimshamba enderea

    • @BoniphasLukas-c3c
      @BoniphasLukas-c3c 25 днів тому

      Kwan mbona mnaumia kama haiwazuru nyie mtulie msubiri balaa la fifa mnaona sawa kwakua inawasaidia kupanga matokeo

  • @RajabuSongoro-ne7mc
    @RajabuSongoro-ne7mc 26 днів тому +2

    Hili suala!!!lipelekwe Kwa wenye mpira wao FIFA,,,,,,lkn sio wapenda rushwa WA pale karume

  • @RogersKusaga-d8u
    @RogersKusaga-d8u 20 днів тому

    Hicho kitu kinaniumiza kichwa yanga kudhamini timu 7

  • @HenryNdaigaTanzania
    @HenryNdaigaTanzania 25 днів тому

    Mnataka timu zingine ziwe njaa ili ligi iwe yahovyo

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 25 днів тому +1

    Tupeleke FiFA hili swala huu ni uonevu

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 25 днів тому +2

    Kumbe ndio maana Yanga anakusanya pointi nyingi za bure za matawi yake

  • @mikidadmhando2504
    @mikidadmhando2504 22 дні тому

    KAMA TFF HAILIONI HILI NI RUSHWA,BASI GSM KALETA RUSHWA KIAINA ILI AWEZE KUPANGA MATOKEO KWA KUNUNUA MATOKEO

  • @FrankGabriel-ti7lw
    @FrankGabriel-ti7lw 22 дні тому

    Wanatualibia ligi yetu siyo sawa kuzamini timu saba

  • @user-vy5qv1si9l
    @user-vy5qv1si9l 25 днів тому

    Azam anadhamini vilabu vingapi? Na ana timu yake pia ya Azam, Hivi mambulula wanaopiga kelele kuhusu udhamini wa GSM hili swali hamuwaulizi? Basi na Azam JE?

  • @yusufufikiri5005
    @yusufufikiri5005 23 дні тому

    Kwanza matapeli tu. wezi wakubwa hawa. Wahuni tu GSM kwani ni nani mpaka anaisumbuwa tanzania?

  • @jumasuleymani
    @jumasuleymani 19 днів тому

    0:40 0:41 0:41 0:44 0:44

  • @josephatkajange8714
    @josephatkajange8714 17 днів тому

    TFF imewekwa mfukoni mwa Yanga! Hii ni Tanzania bwana!

  • @chidampiri1012
    @chidampiri1012 26 днів тому +4

    Viongozi wa vilabu na wanasheria wa vilabu hawajui haya kama wanaijua hizi sheria kwanini wako kimya hivi

  • @husseinmussa9471
    @husseinmussa9471 22 дні тому

    Nikweli

  • @ExpedithoThomas
    @ExpedithoThomas 20 днів тому

    Embu mtupe ufafanuzi na uzamini wa azam pia msiangalie kwa yanga pekee kama mnazijua sheria tupeni ufafanuzi na huo uzamin wa azam pia

  • @jumasuleymani
    @jumasuleymani 19 днів тому

    Tatizo kufungwa goli nyingi au? Vp na Clab Bingingwa Gsm amedhamini?

  • @AndreaMsamche
    @AndreaMsamche 21 день тому

    GSM stanunua amechi za mtu zote alizozami takukuru mko wap watu wanapeana rushes hazaran

  • @RamadhanAlly-qg9hq
    @RamadhanAlly-qg9hq 23 дні тому

    Kuna watu kwenye coment wanabishana na sheria na ndioo maana sisi tunajua pale walio na akili wawili tu

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 20 днів тому

    Hi yanga inasema yanga bingwa miaka5 wanajua wamefanya nini ndiyo maana wana uhakika

  • @fidelisjoseph-tt9zl
    @fidelisjoseph-tt9zl 25 днів тому

    Kuna polisi Tanzania>jkt Tanzania moja tuu

  • @patrickkazinja4435
    @patrickkazinja4435 25 днів тому

    Huyu kawaje mwanasheria wa FIFA?

  • @kazumarihokororo9153
    @kazumarihokororo9153 22 дні тому

    Ametulia kuongea lkn utumboo tupuuu
    Aeleweki yupo tu kishabiki

  • @RobertSiwavula-jj4pj
    @RobertSiwavula-jj4pj 25 днів тому

    Tunaomba wenye mpila wao watusaidie man tff hajaerwek mpl unapotez laz. Kam mpil tuachan namashabi wavilabu tuongee namashabik wampila

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 25 днів тому +1

      SHOGA MKUBWA WEWE 😂😂😂😂😂

  • @PaskaliEdimundi
    @PaskaliEdimundi 25 днів тому

    Mwanasheria kafafanua vizuri

  • @johngerald4739
    @johngerald4739 25 днів тому

    Mbona simba hadhaminiwi na GSM lakini anapokea kipigo na azam pia

  • @NkondokayaJoe
    @NkondokayaJoe 25 днів тому

    Zile bilioni 1.5 za GSM kwa vilabu vya ligi kuu msimu wa 2021/22, ambayo SIMBA SC iligomea udhamini huo.GSM walitangaza kujitoa na kuomba kurejeshewa pesa yao,hilo suala liliisha vipi? Na vilabu vilivyokuwa vikilalamika kuhusu kutangaza logo hiyo vilipewa pesa hiyo?

  • @motexmotwash6488
    @motexmotwash6488 25 днів тому +2

    Yanga anaharibu sn mpira wa bongo halafu Tff wanaangalia tu siku FIFA wakija kujua haya madudu madudu
    kutakuwa
    na madhara makubwa sn kwa yanga Tff na mpira wote wa bongo.

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 25 днів тому

    Simba tokeni adharani sema GSM aliwapa pesa Yanga ikawafunga nje ndani

    • @Shemahonge-ku7xx
      @Shemahonge-ku7xx 25 днів тому

      @@Kanyawela mlitumia uchawi mwingi nakununua kilakiwezekanacho marefa baazi yawachezaji irimuifunge simba irikuficha huouozo wenu wauzamini watimu nyingi irimkiurizwa mseme simba pia tumeifunga chezeni mpila uwanjani tushindane

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 25 днів тому

    TFF ya tz yenyewe inasheria zao , ukichambua vzri Yani iko kirushwarushwa tu

  • @othumanambae761
    @othumanambae761 25 днів тому

    Kwairi tff wamepuyanga inaonekana wamesha kura mzigowaoo

  • @BASHIRINAMYUNDU-dv5ff
    @BASHIRINAMYUNDU-dv5ff 25 днів тому

    Kwan GSM akikosa kuzizamini timu faida kwa nani tunaambiwa mpira ni kuekeza sasa wadau wanawekeza ili gape lisiwe kubwa kuna wapuuzi wanaona sio sawa kisa tu GSM Kwan moo nayeye si awazamini izo timu nyingine

    • @xadygenious414
      @xadygenious414 25 днів тому

      Jitahidi upate Elimu elimu elimu by Edward ngoyai lowasa

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 25 днів тому

    Mbona Azamu kila timu inatoa na kuipa fedha je Azamu anakuwa amenunua mechi?Usimba na Yanga usituharibie soka

    • @MadieMtimbuka
      @MadieMtimbuka 25 днів тому

      Azam yupo kwenye udhamini wa ligi na sio klabu au baadhi vilabu, jaribu kutofautisha

    • @Kanyawela
      @Kanyawela 25 днів тому

      @@MadieMtimbuka kwaiyo GSM aliwapa pesa simba ili yanga iwafunge nje ndani?

    • @MadieMtimbuka
      @MadieMtimbuka 24 дні тому

      @@Kanyawela hoja hapo ipo kwenye udhamini wa vilabu, simba na yanga wanafungana tokea kuumbwa dunia hata ss hatujazaliwa.wapenzi wa soka wanataka fair games

  • @HamisiMtengwa
    @HamisiMtengwa 25 днів тому

    Tunachotaka kujua upo uhalali mdhamini mmoja kudhamini zaidi ya klabu kimoja

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 23 дні тому

    Aanzishe ya kwake atuachie yanga yetu

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 26 днів тому +5

    Simba wanahangaika wakati wanaongozwa na viongozi matapeli

    • @user-xm5xg1tt6d
      @user-xm5xg1tt6d 25 днів тому +2

      Acha povu mnapata point za mchongo mnadhamini timu ili mpate point za bure

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 25 днів тому

      @@user-xm5xg1tt6d vipi hatanyee mlihongwa? Mbona mlitapika pts 6 mkafa magoli 7

    • @Shemahonge-ku7xx
      @Shemahonge-ku7xx 25 днів тому

      @@robertphilip385 mbona mama Yako tapeli nahatusemi

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 25 днів тому

      @@Shemahonge-ku7xx msambaa utamjua tu wewe ni wale wale Hoya Hoya Yani hujui kitu Kila unachoambiwa na Ahmed Aly unaona nisawatu

    • @zawadiibrahimuseme1482
      @zawadiibrahimuseme1482 25 днів тому +1

      utakuwa unashida wewe sio bure

  • @RamadhanAlly-qg9hq
    @RamadhanAlly-qg9hq 23 дні тому

    Shida yanga timu hii ni ya wahuni wengi

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 25 днів тому

    Hivi nimjinga gani hataelewa kua hiyo ni ujanja wa GMS...lhef ilikua inamfunga kila mwaka akaona achukue..ili isimfunge

  • @BWILEMAKOYE
    @BWILEMAKOYE 25 днів тому

    Acheni ujinga yanga chezeni mupila xio vigisu

  • @HarrisonFanuel-ir1kr
    @HarrisonFanuel-ir1kr 24 дні тому

    Hee!

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 26 днів тому +1

    Adidas ana hisa Bayern Munich na pia anadhamini baadhi ya timu nchini ujerumani hapo vp?

    • @peterkandaya565
      @peterkandaya565 26 днів тому

      Muongo mkubwa wewe, Utopolo hawezi kucheza Mpira ikiwa Kuna fareness Toka Mpira umeanzishwa nchi hii

    • @renatusrevocatus3895
      @renatusrevocatus3895 25 днів тому

      Adidas hamiliki team.

  • @edwardkishiwa3296
    @edwardkishiwa3296 25 днів тому

    Adidas ni sehemu ni wamiliki wa Bayern Munich, na bado ana fadhili vilabu vingine 10 7:23 je FIFA hawaoni ??

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 26 днів тому

    Huyu nae hajui caf champions league mdhamini mkuu ni 1xbet makubaliano yao hawataki kudhamini kampuni yogote ya betting na ndio maana sportpesa hawahitajiki ktk michuano hiyo

  • @amanisebastiani2827
    @amanisebastiani2827 21 день тому

    Nyie mafala😂

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 25 днів тому

    Huenda suala hili TFF wamejificha ili ionekane ni Simba.
    GSM achana na Hivyo Vilabu kuvidhamini endelea na YANGA
    Nia Yao Vilabu viwe omba omba. Tunajua Hao walikuwa wanapa Vilabu hasa Wachezaji Wacheze chini ya kiwango Ndio nia Yao.
    TFF Muwe wawazi Mpira ni Biashara

    • @Farida-vg5ry
      @Farida-vg5ry 25 днів тому

      Mpila ni biashara ndio lakini hakuna biashara ilioluhusiwa kuzamini Wala unayokataza kwa maana hiyo hakuna biashara ya hivyo tff hawana kanuni inayomkataza mtu kuzamini Wala inayo mluhusu kuzamini kwa hiyo hakuna biashara GSM kajitengenezea mwanya wa rushwa ndo tafsri yake

  • @hamidjuma2178
    @hamidjuma2178 26 днів тому

    Ww said ali una akili adidas ana time gani taja mbona nyinyi mnajifanya hamfahamu wakati unaona kwa nn watu hawakupiga kelele nbc sawa na ayo maneno uloandika😊

  • @GABRIELBAHANGARWA
    @GABRIELBAHANGARWA 25 днів тому

    Mbona kama kinachoongelewa ni wivu tu kwani hapa Simba anabinywa wapi? Ubunifu wa kimapato nao ukizuiwa maendaleo ya mpira yatapatikanaje?

  • @dentomedicalresourceslimit4602
    @dentomedicalresourceslimit4602 25 днів тому

    GSM hana Timu. Bado 49% hazijapata muwekezaji.

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 26 днів тому

    Wewe muulizaji asiyeguswa ataumiaje?
    Wengine waoga

  • @SaidMana-dp4et
    @SaidMana-dp4et 25 днів тому

    T f f hawataki kusikia malalamiko ya wananchi kwa hiyo inaonyesha kuna jambo hapo haiwezekani mdhamini azamini timu zote hapo kuna ligi tena? Mbona azam au simba hawadhamini?

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 25 днів тому +2

    Ubovu wa Simba hauwezi kurekebishwa na kanuni za TFF. Simba wanafigisu nyingi na TFF wameisaidia sana Simba kwa sababu viongozi wengi wa TFF ni mashabiki na wapenxi wa Simba na ukiona hili limeanza kuongelewa kwa nguvu namna hii ujue TFF wapo njiani kuwasaidia Simba na muda sio mrefu hii kanuni utaiona inaanza kutumika lakini jee TFF inauwezo wa kuwapa wadhamini timu ambazo GSM atalazimika kuziacha? Sheria za kupanga matokeo zipo na hakuna timu iliyo ilalamikia Yanga kuwa inapanga matokeo kwa sababu ya GSM kudhamini timu nyingi. Kifupi Simba peke yake ndio timu inayolalamika na hakuna timu nyingine inayowaunga mkono na hii ni wazi kuwa hii hoja ni ya kibiashara kati ya MO vs GSM kupitia Yanga na Simba, hii sheria haitasaidia soka letu bali itamnufaisha MO kwa vile vinywaji bidhaa zake zitendelea kuwa na soko kwani kwa sasa mashabiki wa Yanga hawanunui tena bidhaa za MO na wale wa Simba haWanunui bidhaa za GSM lakini matangazo ya biashara ya GSM yamepata wapenzi wengi na biashara zake zinasoko kubwa kuliko zile za MO. Kwa hiyo kinachotokea ni kulaximisha kupunguza kasi ya biashara za GSM na sio kweli kwanba ni kupanga matokeo na inawezekana hao wanaopiga makelele wanapewa kitu na MO. Azam,Simba zote zimefungwa na Yanga sio kwa sababu wanadhaminiwa na GSM bali ni kwa sababu ya kuzidiwa kiufundi na Yanga na bado Ihefu ikaifunga Yanga licha ya kudhaminiwa na GSM. Simba waache mpira wa chuki na hila na badala yake watafute viongozi wanaojua mpira. Kaizer chief, Gallaxy, Redarrows, Vital O, Azam, Simba nk. ndani ya mwezi mmoja zimefungwa na Yanga na hakuna timu hata moja inayodhaminiwa na GSM.

    • @desolz3809
      @desolz3809 25 днів тому +1

      Mgazeti wote huo mimavi mitupu

    • @IlhamKhalid-mt3jp
      @IlhamKhalid-mt3jp 25 днів тому +1

      Mavi ya mama yake msenge uyoo akafirwee na gsm

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 25 днів тому +1

      BINTI MAPUNDA AKILI ZAKO ZA KIPUNDA BORA UTOMBWE UTATULIYA UNA NJAA YA MBOO 😂😂😂😂😂😂 SUPU CHAPATI FC WEWE 😂😂

  • @bihogorakaroli9691
    @bihogorakaroli9691 25 днів тому

    Mmmmmm

  • @AmanHamisi-q7t
    @AmanHamisi-q7t 25 днів тому

    Gongo wazi povu kama lote😂

  • @danielmallongo6841
    @danielmallongo6841 25 днів тому

    Mwanasheria wa fifa anaongea kiswahili tena

  • @selemanikazembe9134
    @selemanikazembe9134 25 днів тому

    Hivi huyu jamaa yuko vzuri kweli kwenye haya anayozungumza?suala la fedha chafu kamwe haliwezi kuwa kwenye jurisdiction ya tff,hatuwezi weka kanuni based on tuhuma,tofautisha udhamini na umiliki.unaongea kiingereza kingi lakini hoja huna.
    Huwezi compare biashara ya mpira kule epl na kwetu,tuko ktk stage ya transition,hivi mpira wetu totally ni professional?je sheria ya BMT inaiutambua mpira wetu kuwa ni wa ridhaa au professionals?

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 25 днів тому

    Swali je ? Kuna watu wanaweza kuthamini tim zisizo na afya kimichezo ? Hilo ndiyo swali kubwa kwangu au ndiyo mnategemia hao wakina mzee Magoma ? Kwa sababu kama wachezaji wa hizo zilizobaki wategemee zicheze na Simba au Yanga ndiyo zitegemee pesa za mlangoni wapewe wachezaji kiukweli mtauuwa mpira Tanzania itakuwa mechi zote zichezwe Dar tu ili zipatikane pesa za kulipa wachezaji hivyo

  • @AbdallahMnyiwe-he2zu
    @AbdallahMnyiwe-he2zu 25 днів тому

    Kuna kupanga matokeo

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 25 днів тому

    Wasajili waache keleeele

  • @kambalekambale541
    @kambalekambale541 25 днів тому +1

    Ngojeni vilabu vikose udhamini zitafungwa mpaka kumi

    • @RahimMahadi
      @RahimMahadi 25 днів тому +1

      B4 gsm hivyo vilabu vilijiendesha vp

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 25 днів тому +1

      WAFUNGWE HATA 20 USENGE MSITULETEE NGURUWE WALA MIHOGO NYIE

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 25 днів тому

    Gsm akijitoa kuzidhamini hizi klabu ushindani utakosekena kwenye ligi,pia Kuna baadhi ya timu zitashindwa kusafiri kwenda kwenye michezo mbali mbali

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 26 днів тому +2

    Huyu simba anaonekana wazi

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 25 днів тому +1

      Huyo ni mwanasheria wa fifa anachoongea ni actuality shida watz mnaushabiki wakipuuzi usio na maarifa hii iko kwenye mpira na hata siasa , Leo unaongea ivyo kwakua we yanga angefanya hivyo simba au azam na akawa bingwa na wewe usingekubaliana mko wepesi sana kusahau vitu kwa furaha ya Leo tu

    • @BoniphasLukas-c3c
      @BoniphasLukas-c3c 25 днів тому +1

      Kwakua anasema ukwel naww pia yanga ndiomana unaona nisawa nampira wenu wakienyej sheria zikifanya kaz mtateseka mabwege nyie

    • @RahimMahadi
      @RahimMahadi 25 днів тому +1

      Mnataka kila dhambi yenu ionekane tukufu

  • @hassanomar8157
    @hassanomar8157 25 днів тому

    Upumbav mtupu

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 25 днів тому

    Mafanikio ya young African sport club yamekuwa nongwa kwao mbona GSM alikuwepo kipindi wanabeba ubingwa na mbona Mo aliwahi kudhanini Timu zaidi ya sita nani ali lalamika wamepata nongwa

  • @hamidjuma2178
    @hamidjuma2178 26 днів тому

    Unajua watanzania wengi wana upenz wa kijinga hasa hawa nyuma mwiko kinachozungumzwa hapa ni kuwa na time na kumiliki timu nyingi kwa nn mnangangania

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 26 днів тому +1

    Hizi propaganda zilizoanzishwa ni makusudi ili wawatoe yanga mchezoni na GSM aghaili kudhamini timu ndogo.. Imekula kwao

  • @AmeMahmoud
    @AmeMahmoud 25 днів тому

    Mnaonaje gsm akaacha kudhamini mpira nchini si itakua vizuri kwa upande wa simba

    • @nbwchannel4997
      @nbwchannel4997 25 днів тому

      Daah itakua vzr sana wewe umenena

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 25 днів тому +1

      KWANI HUU USHENZI MNAMFANYIA SIMBA NGURUWE WALA MIHOGO NYIE.

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 26 днів тому

    Jiandaeni vzr tu,itakuwa atakae sema Singida kauza mechi ndo mana kapigwa2,unasubiliwa wewe then,unapigwa kono la nyani😂😂

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 26 днів тому

    Watu kama Hawa ndio wanao rudisha nyuma maedeleo ya mpira