Ukiwa katika kundi LA majasusi ukiingia tu UA-cam lazima ukutane na habari za kiume kama hzi na uzifatilie kwa umakini zaidi gonga like Kama muafrica harisi ila kiroho tunaishi Europe
Ni Vigumu kuzizuia glide bombs au kuzitungua ndege ambazo zimebeba glide bombs(esp.SU 57) kwa Ukraine ,kwa sababu Glide Bombs zinazotumiwa na Russia zina "Flight control Surfaces" yani zinaweza kujiongoza/kuongozwa kwenda kwenye Target husika ,nje ya mpaka wa mfumo wa kujilinda wa anga yani " beyond air defence interception zone" hivo ile ndege na Pilot wote wanakuwa salama....
SNS NAOMBENI NA MIMI NAFASI SIKU MOJA NIJE NICHAMBUE MADA INAYOHUSU VITA YA RUSSIA NA UKRAINE AU VITA YA ISRAEL NA HAMAS,AU MAMBO YOYOTE YA DIPLOMACY NAJIAMINI KATIKA SEKTA HIYO NIKO VIZURI ,NAOMBENI NAFASI WALAU MARA MOJA TU NIONESHE KIPAJI NILICHONACHO
Mabomu ya kuteleza, kwa nini inaitwa glide, kwa sababu imetolewa umbali wa kilomita 60 kutoka mahali pa kushambulia kwa hivyo haiwezekani kuangusha ndege. Mabomu ya kuteleza Urusi inatumia aina mbili za fab family na odab family Kwa kutumia satelaiti ya glonus Thermobaric Wanatumia TOS family ambayo inatumia hit to the degrees of sun .. wanaiita familia ya warusha moto (flame throwers )
Lipo la Marekani linaitwa MOAB kirefu chake ni Massive Ordinance Air Blast, Lakini watu wamelipa kirefu cha Mother Of All Booms.Sasa sijui lipi litakua na hatari zaidii kati ya FAB na MOAB mchambuzi atuambiee
Kweli tumedanganywa sana marekani ndoo ilikuwa inaonekana ina jeshi kali sana kumbe ndoo yale yale ya israel mikwara mingi vitendo sifuri.... Leo ukraine imepewa kila kitu na wanajeshi wa magharibi wote wapo ukraine lakini kibano ni kile kile... Israel nao wanapigana na kikundi miezi yote hiyo wameshindwa kukomboa mateka wanaishia kuua wamama na watoto wadogo..
Kuzidungua ndege za Russia(SU-57) ambazo zimebeba Glide Bombs ni ngumu kwa sababu Zenyewe zinadondosha hizo bombs nje ya mpaka wa Ulinzi wa nga(beyond air defence interception) ni ngumu kwa mifumo ya anga ya Ukraine kujilinda na Hizo Glide Bombs, Na hii Tactic ndo imempa Russia hizi siku za Karibuni hapa maeneo mengi ya Ukraine
@@hamidamussa-sy4fm kma Ni Uwongo Toka Vita Iyanze Na Misaahada Ya Silaa Za America na Nato zimebadilishaa ninn kwenye Vita Hiii Ukitambua Ilo Wala Utashindana Na Urusi , Urusi Ndio Nchii Ya Kwanza Dunian Kwa kuongoza Kwa Uzalishaji Wa Silaha Kma Ujui😂😂😂😂
Kwa nini Ukraine iharibiwe kwa faida ya wanachama wa Nato? Mungu apishe mbali Vita vya tatu vya Dunia. kwa maoni yangu tuko karibu yake. Je tunataka kuishi au kuangamia? wakati wa kuchukua hatua ndiyo sasa. Bravo Putin hata Mungu yuko pamoja na wewe.
Zelensky ameuwasha moto kwenye nyumba yake sasa unamshinda kuuzima na wasaidizi wake amewaponza viti vyao vinawaka moto vile vile sijui itakuaje,na jamaa anamdunda kimya kimya,aliambiwa kasikia lakini kapuuza kwa maelekezo ya wapambe mtihani mkubwa anao jamaa labda aombe poo na kujitoa kimasomaso😂😂😂
Wewe kwanini Urusi kila siku ndio ina sifa nzuri uliwahi kusikia wapi. Lazima na yeye ana disadvantage zake wewe ni shabiki . Sometimes unafa usifu Ukraine nchi ndogo kupambana na nchi kubwa km hiyo ambayo ilisema itaipiga Ukraine kwa siku 3 leo tuna zungumza mwaka wa 2. So acha hizo lie
Ali masudi stop lazy analysis, the style of battle is using know one knows, Lakini ina hitimisho kwamba Urusi inawapa ukraine vita ya uasi ..Urusi imeweka nguvu kubwa ikiwa NATO itajiunga na vita.. kwa sasa mbinu yao ni polepole lakini thabiti. Chaso vyar bado haijazingirwa, lakini ilikuwa ngome zaidi ya miaka 12 iliyopita ambayo inamaanisha ikiwa itachukuliwa Kirusi itasonga kabisa kwani chasoviyar ndio tofauti pekee iliyobaki. Ili kudhoofisha chaso vyar Urusi ilitumia misheni ya bomba kama walivyotumia kwenye soleda Urusi inatumia wanajeshi 17 hadi 20 na 2 kwa recon Ukraine ina wanajeshi wengi 5 sasa wananyakua watu kutoka mijini.
Lengo la PUTIIN Ni kuua uchumi WA nchi za magharibi na Marekani,sio kuwa haiwezi kupiga Ukraine Kwa MDA mfupi ,anao uwezo ila lazima waisome Namba Uraaaaaa
Safi sana nakuku bari katika teknology upo good
Good technique kwa urusi...
Niga ur the best,, kuna mchambuzi m1 awezi kuonesha hata chembe ya zuri mnja kutoka magharibi (HADI UKIMSIKILIZA UNAGUNDUA ANA HISIA ZA CHUKI)
Huyu ndiye mchambuzi Wangu Bora (Ally) hapa Sns, Hasa napenda Sana beto yake na Kipara (Djsma) Amazing Sana.
Mwenzake sma ni kuwapondea tu magharib yani hana jipya,,😅nauko kwenye komenti wasilamu wanavomjaza kichwa bas ndio doh,!
Uchambuzi mzuri sana kaka ally
Mungu wabariki warusi, wapate ushindi, huko , Ukraine, Viva Russia
AMIINA . ILI TUPATE AMANI DUNIANI. MAANA WAHUNI WANAKOMA😂
🙏🙏🙏
Amina
Ukiwa katika kundi LA majasusi ukiingia tu UA-cam lazima ukutane na habari za kiume kama hzi na uzifatilie kwa umakini zaidi gonga like Kama muafrica harisi ila kiroho tunaishi Europe
Sawaaaaaa
Uhakika👍
@@StephanoMoses nakubal
@@HajiJuma-xw7vh kubal
Hakakakitu kanatwanga
Ni Vigumu kuzizuia glide bombs au kuzitungua ndege ambazo zimebeba glide bombs(esp.SU 57) kwa Ukraine ,kwa sababu Glide Bombs zinazotumiwa na Russia zina "Flight control Surfaces" yani zinaweza kujiongoza/kuongozwa kwenda kwenye Target husika ,nje ya mpaka wa mfumo wa kujilinda wa anga yani " beyond air defence interception zone" hivo ile ndege na Pilot wote wanakuwa salama....
uko sahihis
🫡👆🏻
Kama unawafagilia marekani Israel Ukraine juwa ww ni choko
Shukran kamanda kwauchambuz
Habari zenu hua zimehitimu chuo kikuu hivyo sio habari tu bali ni masomo tunafaidika mno!!ahsanteni
Tunakushukuru kwa kutu fafanulia vizur mtangazaji
Juzi nimeona Zelensky anawaalika Urusi kwenye Peace list.
SNS NAOMBENI NA MIMI NAFASI SIKU MOJA NIJE NICHAMBUE MADA INAYOHUSU VITA YA RUSSIA NA UKRAINE AU VITA YA ISRAEL NA HAMAS,AU MAMBO YOYOTE YA DIPLOMACY NAJIAMINI KATIKA SEKTA HIYO NIKO VIZURI ,NAOMBENI NAFASI WALAU MARA MOJA TU NIONESHE KIPAJI NILICHONACHO
Kaka nmekulewa nmeona umechambua vizr kwenye comment yako apo juu
@@ommymehmed8880 pamoja kaka
Kwanini urusi haijapiga mjimkuu wa ukren tupate ushindi haraka
Vita siochakula🤣🤣🤣
Kwasababu sio lengo la Russia
Mabomu ya kuteleza, kwa nini inaitwa glide, kwa sababu imetolewa umbali wa kilomita 60 kutoka mahali pa kushambulia kwa hivyo haiwezekani kuangusha ndege. Mabomu ya kuteleza Urusi inatumia aina mbili za fab family na odab family Kwa kutumia satelaiti ya glonus Thermobaric Wanatumia TOS family ambayo inatumia hit to the degrees of sun .. wanaiita familia ya warusha moto (flame throwers )
FAB=Father of All bombs🔥🔥🔥
Lipo la Marekani linaitwa MOAB kirefu chake ni Massive Ordinance Air Blast, Lakini watu wamelipa kirefu cha Mother Of All Booms.Sasa sijui lipi litakua na hatari zaidii kati ya FAB na MOAB mchambuzi atuambiee
@@RaymondPaul-bs7sukuna bomu linaitwa tsari la Urusi hilo likipigwa hakuna kinachobaki
Ra marekani liko vizuri@@RaymondPaul-bs7su
Asante mchambuzi
Ally unajua sikuhizi umeanza kua Sharp zaidi ya dj sma yani unajaribu kutupa kitu kila siku bila kupita mda mrefu sijui sma anachelewa wapi
Yule fundi akitoa anatoa facts na logics😂
Sema kijana muda huu ana improve sana✍️🙌
Sema vingine anakosea kosea kusema km 12,000 badala ya mita 12,000
Nadhan sky ndie huwa anachagua nani atupe updates, sma hata Henry wapo on-time vile vile
Nadhani ally atakuwa na kigugumizi hivo tusimlaumu sana, anajua na kujitahid pia
FAB 3000 ni hatari mbaya mbovu.
iizidi inchi za magaribi inchi Ukraine
Pamoja sana kwa uchambuzi mzuri
Safi karibu south afrca
Uraaaaaa
Hizi siku hamu ingeleyi mambo ya Gaza au mlikatazwa jaman tuna itaji kujua maendeleo huko
Ally Masubi is the best
Kuna FAB 3,000 Glide Bombs ni hatari sana.
Leo masud umetisha san
Aliy umesomea chuo Gani nakukubali sana
Unatisha San aliy
@@GraceMkandawile-j5w ahsante sana boss wangu.
Uraaaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Kweli tumedanganywa sana marekani ndoo ilikuwa inaonekana ina jeshi kali sana kumbe ndoo yale yale ya israel mikwara mingi vitendo sifuri....
Leo ukraine imepewa kila kitu na wanajeshi wa magharibi wote wapo ukraine lakini kibano ni kile kile...
Israel nao wanapigana na kikundi miezi yote hiyo wameshindwa kukomboa mateka wanaishia kuua wamama na watoto wadogo..
Kuzidungua ndege za Russia(SU-57) ambazo zimebeba Glide Bombs ni ngumu kwa sababu Zenyewe zinadondosha hizo bombs nje ya mpaka wa Ulinzi wa nga(beyond air defence interception) ni ngumu kwa mifumo ya anga ya Ukraine kujilinda na Hizo Glide Bombs,
Na hii Tactic ndo imempa Russia hizi siku za Karibuni hapa maeneo mengi ya Ukraine
🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺💯👏
Russia 🇷🇺 msulimoto daima
❤❤❤❤
Glide bomb ni sawa Bomu linaloambaa lkn Pia linalosambaa
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇧🇮❤️
😊😊
Russia wameshindikana, ila natamani mje mchambue Electronic weapons zilizo tumiwa na Russia kule Syria
Cheers 🥂
Sawa
Twaweza yaita mabomu vishada
Hoooraaaaaa y
Ingependeza kama ungekua unaweka na video ya lilipotua tuone
Hawana wanafiki tu hawa wachambuzi wa urusi
@@hamidamussa-sy4fm kma Ni Uwongo Toka Vita Iyanze Na Misaahada Ya Silaa Za America na Nato zimebadilishaa ninn kwenye Vita Hiii Ukitambua Ilo Wala Utashindana Na Urusi , Urusi Ndio Nchii Ya Kwanza Dunian Kwa kuongoza Kwa Uzalishaji Wa Silaha Kma Ujui😂😂😂😂
👊👍✌️.
No GPS this week?
Vita iendelee tuone Nani choko na Nani mwanaume, 👊
mashoga wataisoma numbee
Tunaweza kuyaita mabomu ya vishada
Keep going Russia you will win
Kwa nini Ukraine iharibiwe kwa faida ya wanachama wa Nato? Mungu apishe mbali Vita vya tatu vya Dunia. kwa maoni yangu tuko karibu yake. Je tunataka kuishi au kuangamia? wakati wa kuchukua hatua ndiyo sasa. Bravo Putin hata Mungu yuko pamoja na wewe.
Hujafafanua vya kutosha hiyo ya kuunguza ardhi
Next time inshaalah.
Yanaitwa mabomu ya kuteleza
Team Russia nasikiliza kwa makini
Asante ukrane kwa kulipua meli ya urus
Sasa mbona unalia😂😂😂😂
Unawashabikia mashoga wenzio
Team mashoga njoo mmuone mwenzenu
Unatesekaa ukiwa wapii😅😅😅😅😂
jinga lingine hili hapa😂😂
Putin kiboko ya mashoga
Mikoa mingapi mrusi aimalize Ukraine
Keep it up Russia 🇷🇺
Ila hawa warusi watengwe🙌🔥🔥🔥
Ili iweje wewe yaani we ni mtu magharibi sio
wajisilimishe tu yaishe
Pigilia mbali UKRAIN na FAB mpaka wakome.
Ukleni akipewa mazito utasikia urusi anapiga kelele
Ukraine Ana himars
Na ushoga pia anao
Himars zinawindwa na Lancet Drones.
Acha upambe na uhongo
URAAAAAAAAAAAAAA
Putin🔥🔥🔥🔥
Mabomu mtelezo
🇷🇺🇧🇮🙌
Piga upinde wa vua hao
fab3,000 ya madhara ya circle radius ya 200km unaijua kweli Mkuu?.. daaaaah😅
2km perimeter.
Umechanganya km 200 kwani imekuwa nuclear hyo..?.
Ni km 2 za madhara.
Ukrane katungua ndege ya urus yalipuliwa mig 34
Lini hiyo
mbona unatufosi kukusikiliza😂😂😂 mbwa wewe
Chonde chode Zelensky! Unaimaliza Ukraine!. Kubali matakwa ya Putin. Mkono usioweza kuukata ulambe! US na UK wanakudanganya!
Oya wee achabana aka kakitu natwanga
WACHAPWE HAO WAHUNI AMBAO SASA HAWATAKIWI HATA NA WANANCHIWAAO😂
Mabomunya kuteleza
Sio km 12,000 Bali ni mita 12,000
Tongue slip
Nimeskia kuna FAB 9000 inaandaliwa,ni huzuni kwa wanajeshi wa ukrain
😮
Hiyo bado
FAB 9000 Maana Yake ni Nin #YothamAlex
@@AliKaroyo bomb la kilo 9000
Tuko pamoja
Niunge
Hapa Ali umepiga nondo kali sana.
Sasa uyu zelesky anaumwa kishwa kabisa kwani yeye anaona atafanyikiwa kwa vita ya kutemeya mwenziye 😂😂😂😂
Ali masubi umri mdogo nondo kama zote🔨
Sasa kama ameona ni hatari, anasubilia nn,
Tatizo lugha ningumu kuelewa 😂😂
Ukrane kalipua visima viwil vya mafuta vy urus
siyo Ukraine wewe mbumbumbu, ni Marekani na NATO yake, Ukraine haina jeshi
Krasnoda yashambuliwa na ukrane
Propaganda ambayo haina kichwa wala miguu ,tunajua kichapo wanachopata Ukraine 🇺🇦 .Ruksa kujifariji😂😂
Ushoga unakuhangaisha
😂😂😂😂we jamaa ukapimwe akili na malinda
🇷🇺
Bomu mtelezo
Ukraine Ana attacks storm shadow
Wa pili Leo nipeni like
Zelensky ameuwasha moto kwenye nyumba yake sasa unamshinda kuuzima na wasaidizi wake amewaponza viti vyao vinawaka moto vile vile sijui itakuaje,na jamaa anamdunda kimya kimya,aliambiwa kasikia lakini kapuuza kwa maelekezo ya wapambe mtihani mkubwa anao jamaa labda aombe poo na kujitoa kimasomaso😂😂😂
Urusi ni watu kama sisi subiri mfalasa aingie ukleeni inchi ndogo sana
Ukrane ya shambling mij miwili ya urusi krasnoda na rostov
Wewe kwanini Urusi kila siku ndio ina sifa nzuri uliwahi kusikia wapi. Lazima na yeye ana disadvantage zake wewe ni shabiki . Sometimes unafa usifu Ukraine nchi ndogo kupambana na nchi kubwa km hiyo ambayo ilisema itaipiga Ukraine kwa siku 3 leo tuna zungumza mwaka wa 2. So acha hizo lie
Nadhan umeanza kufuatilia vita hii siku za karibuni na kama unafuatilia basi huwa una base na media za magaribi
Ww utakuwa choko
Hamna mbinu yakijeshi ambayo wewe utaijua
Mpingaji
Wote wanazo na pesa wanazo wewe utaona tu
Ali masudi stop lazy analysis, the style of battle is using know one knows, Lakini ina hitimisho kwamba Urusi inawapa ukraine vita ya uasi ..Urusi imeweka nguvu kubwa ikiwa NATO itajiunga na vita.. kwa sasa mbinu yao ni polepole lakini thabiti. Chaso vyar bado haijazingirwa, lakini ilikuwa ngome zaidi ya miaka 12 iliyopita ambayo inamaanisha ikiwa itachukuliwa Kirusi itasonga kabisa kwani chasoviyar ndio tofauti pekee iliyobaki.
Ili kudhoofisha chaso vyar Urusi ilitumia misheni ya bomba kama walivyotumia kwenye soleda Urusi inatumia wanajeshi 17 hadi 20 na 2 kwa recon Ukraine ina wanajeshi wengi 5 sasa wananyakua watu kutoka mijini.
Asante mchambuzi mkubwa.
U are the who don't know the battle style but we do.
Bado mzee putini ana hangaika na ka inchi ka Ukraine? Miaka 2 sasa.
Urusi anapigana na NATO kwa mgongo wa ukrein
Na mashoga wenzako wa Israel wamehangaika na Gaza kwa mda gani
Lengo la PUTIIN Ni kuua uchumi WA nchi za magharibi na Marekani,sio kuwa haiwezi kupiga Ukraine Kwa MDA mfupi ,anao uwezo ila lazima waisome Namba Uraaaaaa
Sawa sns ni timu urusi bbc pia uangalii wanavyojitia madeni wenzako kwa kumsaidia ukraine karibia inchi 20
Hujui kinachoendelea
Uraaaaaaaa🫡🇷🇺
Ukraine kayatungua mskombora
Pole hujielewi pungawew
Ukrane babalao
Baba yako wewe aliemtomba mama yako
😂😂 unajipa habar
Ukraine shoga lao
Urusi yaa shambuliwa mji wa voronezy kambi za slaa kalipuliwa zote ongera ukrane
Ushoga unakutesa
😂😂😂jamaa haujawahi kuwa na akili tangia shuleni
Kwan huna kaz ya kufanya mbona unakoment mara 100 halafu wenzako wanakoment mara moja tu