Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana, Nakuongezea vipande vingine iyoo Kumbukumbu LA torati. 21;;18, KITABU CHA AYUBU. 14 -: 1-----2. KITABU CHA. MEDHALI. 11: 14, WAEFESO. 6: 1--- 3, hayo nimashauri KWA VIJANA wetu wanao kufa uku MAREKANI ,
Tunapo hendeleya kwenye asili bila kuheshimu sharia za inche za kigeni basi tutazidi kuhangimia mimi nzonzi nasema maaana asili siyo sheria ao mungu nasema najuwa nasema nini
@@Mtumishiisraeli kwanin usiongee adi wakutafute mtumishi? Au unataka kuojiwa ili wengine wakufagam? Kama umepewa maono na Mungu inatakiwa kuongea bila kutafuta boss
Swali langu kwako kiongozi ni kwamba kama mimi nimetoka ktk familia ya laana na mikosi umesema hata nifanye nini siwezi kufanyikiwa mpaka kufa ni kweli?hata kama nimesha mpokea yesu kuwa bwana na mwkozi wa maisha yangu mbona maandiko yanasema kwamba yeye yesu alibeba Laana zote kwakuteswa kwake msalabani
Hakika mtumishi watu wamepotoka na mungu huwa anatoa adhabu dunia ya leo kuna jamii imeharibika lakini yote hayo ni kumludia mwenyezi mungu atuhulumie mchungaji upo sawa kabisa ndio ilivyo😢😢😢
Watu wa congo tu ache uchawi hi hali ya nyumbani tuna jua . Ukienda congo vijana wana kufa Sanaa!! kambini nyarugusu vifo vyaku pindukia, mbona watu wa nchi nyingi wako ulaya marekani nani wapagani ila hakuna vifo kama watu wa congo? kwa hio sisi watu wa congo tu ache uchawi .
Kwaiyo vijana hao wanao kufa ndo wanamuasi Mungu? Kwaiyo wazee ndo wameshikililia Mungu ndomana awafi? Mtumishi Kuna sehem unakosea..vifo ambavyo vipo kwa vijana sio kusudi la Mungu..nawengine ni waimbaji wa nyimbo za Kumuabudu Mungu!! Kwaiyo vijana wa kibembe ndo wanalaana na ndo wamemuasi Mungu? Kwaiyo makabila mengine ni watakatifu? Acha uongo
Ubarikiwe Sana mtumishi wa bwana
Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana,
Nakuongezea vipande vingine iyoo
Kumbukumbu LA torati. 21;;18,
KITABU CHA AYUBU. 14 -: 1-----2.
KITABU CHA. MEDHALI. 11: 14,
WAEFESO. 6: 1--- 3,
hayo nimashauri KWA VIJANA wetu wanao kufa uku MAREKANI ,
Bwana asifiw
Mungu akubariki Ilangi🎉❤
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Amina
Musichanganye mambo semeni vijana wa kibembe njo wanakufa sana apa Marekani, wabembe muna uchawi sana kumanina zenu
kweli kabisaa ,Wanajichanganya mno. wakifika marekani
Tunapo hendeleya kwenye asili bila kuheshimu sharia za inche za kigeni basi tutazidi kuhangimia mimi nzonzi nasema maaana asili siyo sheria ao mungu nasema najuwa nasema nini
Amen ubarikiwe sana neno ili lime nigusa sana 🙏
Ameeeen
Charles Mungu zidishie pia kwa kazi yako
Amen baba yangu
Mungu akubariki sana papa 🙏🙏🙏
Amen
Shalom naitwa nabii israel naifahamu chanzo cha vifo pia nauwezo wakumaliza Naishi kenya mubarikiwe
Tuambie sasa chanzo ni nn ?
Na wafanye nn ?
Bilashaka nambazangu nimeziweka wanitafute nitawasaidia
@@Mtumishiisraeli😂
@@Mtumishiisraeli kwanin usiongee adi wakutafute mtumishi? Au unataka kuojiwa ili wengine wakufagam? Kama umepewa maono na Mungu inatakiwa kuongea bila kutafuta boss
hee Mungu pekee
Kweli paster mtuakipatapesa kabisa mungupembeni
Amen 🙏🙏
mbona wenye hawamjuwi Mungu wanaishi na watu wa baaya wanaishi maisha marefu iyo niuongo musiwape wa chawi na fasi
Swali langu kwako kiongozi ni kwamba kama mimi nimetoka ktk familia ya laana na mikosi umesema hata nifanye nini siwezi kufanyikiwa mpaka kufa ni kweli?hata kama nimesha mpokea yesu kuwa bwana na mwkozi wa maisha yangu mbona maandiko yanasema kwamba yeye yesu alibeba Laana zote kwakuteswa kwake msalabani
MAOMBI Ndo silaa kubwa ya kutoka kwenye vifungo vya laana
Bro maneno sio kweli Ata kidogo anavyo ongea mtu Mtumishi avina uhalisia na Hali ya sasa
@@EcaStephanekwa upande wako unadhani nini kinapelekea vifo dhaidi
Umeswali na ukajipa jibu mwenyewe kwahiyo amini jibu lako.
ni uongo
Bwana Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Aman
ubarikiwe San my anko Mungu akulinde uko uliko
Nikweli kabisa baba yangu 🥰🙌
Kweli kabisa, ubarikiwe Sana
Mungu akubarik mtumishi
Ngelitaka ni mjibu kwa ma ojiyano ya sadi tv
Hakika mtumishi watu wamepotoka na mungu huwa anatoa adhabu dunia ya leo kuna jamii imeharibika lakini yote hayo ni kumludia mwenyezi mungu atuhulumie mchungaji upo sawa kabisa ndio ilivyo😢😢😢
Naomba namba za uyo nabii
Swali langu nikujua walio muasi Mungu au kumsahau Mungu ni wale wanao kufa au wanao wauwa ?
Swali nzur sana!!
Wacongo hutajua aliyeokoka kweli Mitume fake wako.huko,Wapaka.Mkorogo wako.huko ni kazi kupambanua watu wa Congo
Amina mtumishi
Mungu atuhurumie sana
Watu wa congo tu ache uchawi hi hali ya nyumbani tuna jua .
Ukienda congo vijana wana kufa Sanaa!! kambini nyarugusu vifo vyaku pindukia, mbona watu wa nchi nyingi wako ulaya marekani nani wapagani ila hakuna vifo kama watu wa congo? kwa hio sisi watu wa congo tu ache uchawi .
kweli
Kwaiyo vijana hao wanao kufa ndo wanamuasi Mungu? Kwaiyo wazee ndo wameshikililia Mungu ndomana awafi? Mtumishi Kuna sehem unakosea..vifo ambavyo vipo kwa vijana sio kusudi la Mungu..nawengine ni waimbaji wa nyimbo za Kumuabudu Mungu!!
Kwaiyo vijana wa kibembe ndo wanalaana na ndo wamemuasi Mungu? Kwaiyo makabila mengine ni watakatifu? Acha uongo
Watumishi kama hao ni wachache sana katika ulimwengu huu.
Sema amerca
Nitumie namba za uyo nabii
Ametaja namba yake SIKIA vidéo
Mbona yeye Alizala na wake wa wali
Anataka kuma Anisha uchiwi ni Asili?
Wacha kusema ulaya
Kusema ulaya wengi wanafikili nchi za wazungu ndio ana maana hiyo lakini anasema USA
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana
Amen
Amen Amen mtumishi ubarikiwe Sana nikweli
Amen