Nini Serikali ? Amir jeshi mkuu katoa kauli ya kiongozi mkuu, Mtawala alishasema Jambo lichunguzwe haraka watu wakaja na agenda yao ya kisiasa na mtazamo tofauti, sijui jema ni lipi,ila wanasiasa ndioo washutumiwa namba moja kwa kuchochea kufa kwa Raia 😢 tusilaumu Serikali tu bali kauli mbaya za viongozi wotee wa kisiasa
@@ameirzapy1318 mfano rais angesema vyombo vyangu vya usalama hao waliopotea haraka waonekane msinichafue na serikali yangu hivi ni kweli hawengetolewa waliko ? Lakini unaposema haya yanayotokea hata nchi nyingine yapo bado jibu la waliopetea halijatoka sisi wenye ndg waliopotezwa tunakuwa tumefarijiwa? Naona maneno ya faraja yalikuwa ya muhimu zaidi ambayo huyapati kwenye hotuba ile
Hata ambaye hajasoma uko biased kwenye negatives ignoring strong points like SGR, bwawa la mwalimu Nyerere. Etc. you are irrational. You can't convince anyone.
Hizo SGR,BWAWA LA NYERERE matunda yatatumiwa na nani kama watumiaji ndiyo wanakufa?wewe ndiye una mtazamo hasi maendeleo ni watu siyo miundombinu isiyotumika itakuwa mapambo tu kama watumiaji hakuna afadhali awachimbie makaburi ili marehemu hao wazikwe vizuri😊
Hivyo vyote havina maana kama uhai wa binadamu. Omba sana mungu isitokee kwenye familia yako! Jiulize hizo familia za wahanga zinaona hiyo miundo mbinu ni ya maana au wanalilia ndugu zao?
Mungu atusaidie
Daa! Kuongoza ni rahisi sana ,lakini ukizungukwa na washauri wabaya uongozi ni kazi ngumu.
Wanajukikana tumeambiwa tuko vizuri kwenye intelijensia iweje tuseme kunawasiojulikana
Watekaji ni serikali
Mungu akulinde comrade
Kila lenye mwanzo lina mwisho
Ao ccm ndo wanao tuuwaa asee nimeamini baad ya kauli ya mamaa
Wana enjoy Sana warekaji maana wana ulinz wakutosha mbwa Hawa lakn wakumbuke mungu niwetu site, ukiua kwa upanga lazima ufe kwa upabga
🎉🎉🎉🎉yako ngurumo
Asante
😢😢😢😢😢😢😢😢
Du! Yaani ukitoa taarifa unageuka mharifu
Mm nahisi watekaji ni wasiojulikana nahao watu bora uktane na simba
Nini Serikali ? Amir jeshi mkuu katoa kauli ya kiongozi mkuu, Mtawala alishasema Jambo lichunguzwe haraka watu wakaja na agenda yao ya kisiasa na mtazamo tofauti, sijui jema ni lipi,ila wanasiasa ndioo washutumiwa namba moja kwa kuchochea kufa kwa Raia 😢 tusilaumu Serikali tu bali kauli mbaya za viongozi wotee wa kisiasa
@@ameirzapy1318 mfano rais angesema vyombo vyangu vya usalama hao waliopotea haraka waonekane msinichafue na serikali yangu hivi ni kweli hawengetolewa waliko ? Lakini unaposema haya yanayotokea hata nchi nyingine yapo bado jibu la waliopetea halijatoka sisi wenye ndg waliopotezwa tunakuwa tumefarijiwa? Naona maneno ya faraja yalikuwa ya muhimu zaidi ambayo huyapati kwenye hotuba ile
Hata ambaye hajasoma uko biased kwenye negatives ignoring strong points like SGR, bwawa la mwalimu Nyerere. Etc. you are irrational. You can't convince anyone.
Hizo SGR,BWAWA LA NYERERE matunda yatatumiwa na nani kama watumiaji ndiyo wanakufa?wewe ndiye una mtazamo hasi maendeleo ni watu siyo miundombinu isiyotumika itakuwa mapambo tu kama watumiaji hakuna afadhali awachimbie makaburi ili marehemu hao wazikwe vizuri😊
Hivyo vyote havina maana kama uhai wa binadamu. Omba sana mungu isitokee kwenye familia yako! Jiulize hizo familia za wahanga zinaona hiyo miundo mbinu ni ya maana au wanalilia ndugu zao?
Nchi inaendeshwa vzr San HatA vyama vingi vifutwe Tu mana vinatetea wahuni na wakoloni
🎸🐐
Khaaa
Acha usenge
Hata mia huna umeegesha pumbu tu,kazi kuvaa shanga za mamaako kiunoni na kuwakatikia vijeba,hanisi mmoja wewe,
Wewe una maslahi na utawala dhalimu uliopo