LISSU,ASKOFU MWAMAKULA,MADUHU WAFUNGUKA HAYA UHURU WA VYOMBO VY HABRI/ZIMEBAKI MEDIA ZA KUPIGA UMBEA
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Kweli kabisa
Waandishi wa Tanzania ni SHIDA TUUU
Bila KATIBA HAKI hakuna wao hp juu wanakula bata vx za m 500 ndenge kila cku dar to dodoma, unaonaje hio,uhuru halisi hakuna wasojulikana wpo,baba,
Waandishi wapo star tv , Example chief odemba & aloyce nyanda mashine izo kbs
Kuna censorship kwenye media. Kwa kifupi serikali imeingilia vyombo vya habari kuripoti habari za serikali.
WAKIANDIKA MAMBO MUHIMU WANATEKWA VYOMBO VINAFUNGIWA
Hata vituo vinavyohusika kutofika katika jopo hili tangu jana,mimi mwananchi ninayefuatilia kuzuiwa na vyombo hivyo vyote wakati huu ambao bado tunasikiliza kipindi hiki kisifikishe taarifa zao kwetu kwa usahihi kwa nia ileile ovu ili watanzania wengine tusielewe jinsi vyombo hivi vya habari kitolewa ukweli hu kwetu mpaka muda huu kwa kuuchezea mtandao sasa bila kuogopa taarifa zote mbya kwetu.
Media Ni Biashara Kila.Mtu Anaandika Kitu Ambacho Kina Manufaaa Kwake So Uandike Mambo ya Siasa Yanahusu,
Kweli baba Askofu Emmaus Bandikile, waandishi wengi wana utapiamlo... Makanjanja waliotengenezwa kuwaandikia habari vigogo, na kupamba utawala, utasikia Samia ametuleyea barabara, matundu ya choo huu sio uzalendo wamekuwa wauza story za umbea na uchawa tuu.
Sasa Mtu kama Mwijaku Kitenge Unafikili watazungumzia nini Zaidi ya Umbea
Nchi hii hatuna waandishi wa habari bali tuna takataka za waandishi wa habari.
Katiba ibadilishwe ili kupata uhuru wa vyombo vya habari kwa haki
Vyombo vya habari ni nini kinawazuia msiandikè habari?
Waandishi wamefungwa midomo mikono na macho na Serekali. Wakisema wanafungiwa au kunyanganywa vibali
tuvusheee baba
shida ni mfumo wa uchaguzi sio kuongezeka kwa mipaka
uyu ni askofu wa dini au ni askofu wa chama chadema mbona anakuwa wambelembele sana, hasa chadema inapokuwa na mambo yake, hivi kanisa lake ni ipi, mbona cjaona akihubiri injili ata kwa cku moja
WACHA KUDANGANYA WAGALATIA SERIKALI HII IMEZIBA MRIJA NYIE TEC MMESHAJULIKANA NA PROPAGANDA ZENU ZA UDINI NA CHUKI 😢😢😢
UMEPOKEA UDINI UMEKOSEA MAWAZO EMBU NENDA MADINA UKUTE HAKUNA WASOMI NA WALISOMA WAKAKUONGOZA KUZUNGUKA KABAHAA INGEKUWA KABAHAA HIPO TANZANIA INGEKUWA STENDI YA MPIRA
@@chizcom4229MAPALOKO MMEJULIKANA NA UDINI WENU HAHAHAHA VYUMA VIMEKAZA MIUJIZA IMEKUWA FAKE WACHUNGAJI SADAKA HAZITOSHI ALBINOS HAWAPATIKANI 😢😢😢😢😢
@@chizcom4229 WAGALATIA MMESHAJULIKANA NA MAIGIZO YENU HAHAHAHA
Acha kumsakama askofu
Waislamu wengi kwenye ubongo wana mavi ni mambumbu na machizi kutokana na kwamba wanaishia kusoma majini madrasa wakristo wanaenda kusoma shule na habari za YESU
Me. nimeacha kusoma. magazeti. huu. mwaka. wa. 4 au. wa. 3. wala. kunbalia. tv. naangalia Azama two. niwaone. rafiki. zangu. watruk na. wakolea. na. Tv. Mahasim. basi
Media nying ss hv wanatangaza mikeka et bado dk 10 ushinde shilingi laki .......
Akili kubwa
Memsahau mwangosi?yuko wapi?mwandishi akiandika ukweli anabambikiwa kesi ya uchochezi ndiomaana wameamua kufanya matangazo ndio yanalipa wala utafutwi na watu wasiojulikana.
Waandishi wenyewe wanapongwa na serikali sasa we unataka wafanye nini dawa nikususia habari za serikali.
Kweli kabisa mfano ni jana Arusha kanyanganywa cheap na mpambe wa Mkuu wa Mkoa. Wanadhibitiwa na Serekali wasipofuata ya Serekali wanafungiwa
Katiba ibadilishwe ili kupata uhuru wa vyombo vya habari kwa haki