LISSU,ASKOFU MWAMAKULA,MADUHU WAFUNGUKA HAYA UHURU WA VYOMBO VY HABRI/ZIMEBAKI MEDIA ZA KUPIGA UMBEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 вер 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►UA-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

КОМЕНТАРІ • 32

  • @AlexcpetroCpetro
    @AlexcpetroCpetro 4 хвилини тому +1

    Kweli kabisa

  • @HaryPoter-zw7vr
    @HaryPoter-zw7vr 27 хвилин тому +1

    Waandishi wa Tanzania ni SHIDA TUUU

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 2 години тому +1

    Bila KATIBA HAKI hakuna wao hp juu wanakula bata vx za m 500 ndenge kila cku dar to dodoma, unaonaje hio,uhuru halisi hakuna wasojulikana wpo,baba,

  • @huseinomary808
    @huseinomary808 29 хвилин тому

    Waandishi wapo star tv , Example chief odemba & aloyce nyanda mashine izo kbs

  • @deohaule8161
    @deohaule8161 2 години тому

    Kuna censorship kwenye media. Kwa kifupi serikali imeingilia vyombo vya habari kuripoti habari za serikali.

  • @IvetaSteven-b9z
    @IvetaSteven-b9z Годину тому

    WAKIANDIKA MAMBO MUHIMU WANATEKWA VYOMBO VINAFUNGIWA

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 32 хвилини тому

    Hata vituo vinavyohusika kutofika katika jopo hili tangu jana,mimi mwananchi ninayefuatilia kuzuiwa na vyombo hivyo vyote wakati huu ambao bado tunasikiliza kipindi hiki kisifikishe taarifa zao kwetu kwa usahihi kwa nia ileile ovu ili watanzania wengine tusielewe jinsi vyombo hivi vya habari kitolewa ukweli hu kwetu mpaka muda huu kwa kuuchezea mtandao sasa bila kuogopa taarifa zote mbya kwetu.

  • @NgamelaYussuph
    @NgamelaYussuph 2 години тому

    Media Ni Biashara Kila.Mtu Anaandika Kitu Ambacho Kina Manufaaa Kwake So Uandike Mambo ya Siasa Yanahusu,

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi Годину тому

    Kweli baba Askofu Emmaus Bandikile, waandishi wengi wana utapiamlo... Makanjanja waliotengenezwa kuwaandikia habari vigogo, na kupamba utawala, utasikia Samia ametuleyea barabara, matundu ya choo huu sio uzalendo wamekuwa wauza story za umbea na uchawa tuu.

  • @iddykivu050
    @iddykivu050 Годину тому

    Sasa Mtu kama Mwijaku Kitenge Unafikili watazungumzia nini Zaidi ya Umbea

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Годину тому

    Nchi hii hatuna waandishi wa habari bali tuna takataka za waandishi wa habari.

  • @Steve-q8m
    @Steve-q8m Годину тому

    Katiba ibadilishwe ili kupata uhuru wa vyombo vya habari kwa haki

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 6 хвилин тому

    Vyombo vya habari ni nini kinawazuia msiandikè habari?

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Годину тому

    Waandishi wamefungwa midomo mikono na macho na Serekali. Wakisema wanafungiwa au kunyanganywa vibali

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi Годину тому

    tuvusheee baba

  • @IvetaSteven-b9z
    @IvetaSteven-b9z Годину тому

    shida ni mfumo wa uchaguzi sio kuongezeka kwa mipaka

  • @ThomasErro
    @ThomasErro 33 хвилини тому

    uyu ni askofu wa dini au ni askofu wa chama chadema mbona anakuwa wambelembele sana, hasa chadema inapokuwa na mambo yake, hivi kanisa lake ni ipi, mbona cjaona akihubiri injili ata kwa cku moja

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 2 години тому +1

    WACHA KUDANGANYA WAGALATIA SERIKALI HII IMEZIBA MRIJA NYIE TEC MMESHAJULIKANA NA PROPAGANDA ZENU ZA UDINI NA CHUKI 😢😢😢

    • @chizcom4229
      @chizcom4229 2 години тому

      UMEPOKEA UDINI UMEKOSEA MAWAZO EMBU NENDA MADINA UKUTE HAKUNA WASOMI NA WALISOMA WAKAKUONGOZA KUZUNGUKA KABAHAA INGEKUWA KABAHAA HIPO TANZANIA INGEKUWA STENDI YA MPIRA

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 2 години тому

      @@chizcom4229MAPALOKO MMEJULIKANA NA UDINI WENU HAHAHAHA VYUMA VIMEKAZA MIUJIZA IMEKUWA FAKE WACHUNGAJI SADAKA HAZITOSHI ALBINOS HAWAPATIKANI 😢😢😢😢😢

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 2 години тому

      @@chizcom4229 WAGALATIA MMESHAJULIKANA NA MAIGIZO YENU HAHAHAHA

    • @BeatusNgereza
      @BeatusNgereza Годину тому

      Acha kumsakama askofu

    • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
      @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Годину тому

      Waislamu wengi kwenye ubongo wana mavi ni mambumbu na machizi kutokana na kwamba wanaishia kusoma majini madrasa wakristo wanaenda kusoma shule na habari za YESU

  • @muddyausi8470
    @muddyausi8470 2 години тому

    Me. nimeacha kusoma. magazeti. huu. mwaka. wa. 4 au. wa. 3. wala. kunbalia. tv. naangalia Azama two. niwaone. rafiki. zangu. watruk na. wakolea. na. Tv. Mahasim. basi

  • @JoshuaSabu-r2p
    @JoshuaSabu-r2p Годину тому

    Media nying ss hv wanatangaza mikeka et bado dk 10 ushinde shilingi laki .......

  • @alexsakilu2650
    @alexsakilu2650 Годину тому

    Akili kubwa

  • @JustineWangi-j2t
    @JustineWangi-j2t 2 години тому

    Memsahau mwangosi?yuko wapi?mwandishi akiandika ukweli anabambikiwa kesi ya uchochezi ndiomaana wameamua kufanya matangazo ndio yanalipa wala utafutwi na watu wasiojulikana.

  • @JustineWangi-j2t
    @JustineWangi-j2t 2 години тому +1

    Waandishi wenyewe wanapongwa na serikali sasa we unataka wafanye nini dawa nikususia habari za serikali.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Годину тому

      Kweli kabisa mfano ni jana Arusha kanyanganywa cheap na mpambe wa Mkuu wa Mkoa. Wanadhibitiwa na Serekali wasipofuata ya Serekali wanafungiwa

  • @Steve-q8m
    @Steve-q8m Годину тому

    Katiba ibadilishwe ili kupata uhuru wa vyombo vya habari kwa haki